LAMATA AFUNGUKA SABABU YA MENINA KUTOONEKANA KWENYE JUA KALI/DORA KUINGIA KISIMANI/KUVUNJA DIRISHA
Вставка
- Опубліковано 5 січ 2022
- Usisahau ku "SUBSCRIBE" Channel yetu kwa habari nyinginezo nyingi na nzuri
LAMATA AFUNGUKA SABABU YA MENINA KUTO ONEKANA KWENYE JUA KALI/DORA KUINGIA KISIMANI/KUVUNJA DIRISHA
#Bonatv #Exclusive #Lamata - Розваги
Hongera sana Lamata yaani kwa Tanzania sidhani kama kuna director anakuzidi daaah big up mamii ❤❤
Kweli kabisa kwa jinsi ulivyo naupendo uwezi mfanyia hivo mtu big up sana lamatah
Lamata nakukubali san wa Tanzania Munaez Kbx🇴🇲🇧🇮✌️✌️🥰
Jamani naipenda sana jua kali hongeren sana
Tunakupenda Ukovuzur pia umenifurahisha
Una Hekima Unavo jibu maswar Yani kwabusala
Ongera saana naipenda Jua Kali saana
Love you Lamata
Lamata hongera dada uko vizuriii.
Jua kali mm mwenyew naipenda san 😘
Safii sanaa yaan
I love you lamata
Mungu anakuona lamata
Mashallha mko vizuri sana
Safi saana kazi nzuri🔥🔥🔥🔥
Hongera dada Kwa ujasiri ingekuwa mwingine menina alivyoongea na wewe ungeropoka Ila wewe umenyamaza
ukisha itwa mkubwa nikama 🗑️
Kwel jaman Kuna watu wanabusara
Hongera kwakweli.
Tunaipenda ila haiishi sasa tumechoka yani 🙌
Ww una moyo wako mungu akuweke lamata maisha marefu kwako
Dada nakupenda Sana wew nimpambanaje
Lamata Mungu akukumbuke kwa sadaka yako yakusaidia watu
Kwanza jaman jua kali ingetakiwa iwe kuanzia j3 mpak j2...wiki nzima tusipumzike
Aunaga kazi mbovu lamata
Mama @lamatah nakupenda bure
Lamata utapasuka jamani
Nice
Umuongo sana kwanza kwa unavyo ongea basi unajionesha kuwa ww muongo
Nasisisi tunakupenda saaana da Ramatha jua kali tunaifatilia Burundi 🇧🇮🇧🇮. Mkijihitaji mgine wakucheza usikose kuniita nawapenda saana
Na mim pia from burundi nampenda sana lamatha
Mhhhh lamata mnene hilo kono sasa
❤ napenda
Nasisi tunakupenda sanaaaa piga kazi dada
Hogera saan
Jamani bora menina
Yas 🎉
Pore sana. Wabongo
nakupnda sna bona tz
Huyu dada nampenda sana lamata na kazi zake zote ninzuri sana
Maria lazima awepo kwenye kuwakiwa jua awamu hii
🔥🔥🔥❤️
😂😂😂😂😂😂❤❤❤
Lamata we fund
Shikamoo me napenda sana kuigiza nilikuwa napenda sana nipate nafasi ya kuigiza
Yaani unavyoelezea tu nasisimka
Huyu mtu ninoma Niko Mpanda katavi nafatiria you2bu
Hata mimi nimeielewa inanifundisha
Nipe seen niigize mie dada lamata
Pongezi kwako my dada Lamata si kwa jua hili ila tunaomba uipunguzie maumivu familia ya sofia
She is qute
Ila naila wa saiv hajawai toa jozi
Hujafanya vzr wampenda ungemfnyia rohombaya achaunafki
Maria 😁😁
Hongera saaana
Mko vizuri saaana Jua kali
Unene huo unaelekea kubaya
Huyu naira anafaa Sana kwasasa Tena msmbadirishe
Mhm acha uongooo
Bado ajaweza bado bana naira yule ndio mwenyewe
Ulimkosea menina unajitetea
Lamata na mim napenda kuigiza nakupataje jamani
Jmn mpumzoshe Anna mpe ndoa ata miez6
Amri kumi za mungi
1 .zinaaaa
Usiwalaze wanawake na wanaume wakafanya wanaekt
😊😊🙏🙏🤲🥺❤❤❤
Salehe usijichubue kaka, 🤔🤔
Manina mkorogo wa buku umemkolea
Lamata punguza kula chips mayai
Lamata fund mpaka menina kajfungua mimba ya frank kashidwa kurudi lokeshen
Nirushieni hiyo yajana tarehe 20 bas mana nachakura nasioni😂
Mkono wa lamata ni sawa na paja langu
Lamata ashaboko mama yako mbona unafanana nae
Umeona adi kuongea
Heeee m nljuaga lamata mwanaume kumbe 🙈
😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂🙌
😂😂Diamond platnumz ka furahi sana baada yaku ona hii vidéo jionee nawe apa u furahi pia 👀🎥🎹
👇👇👇👇👇👇👇👇
ua-cam.com/video/6YyHZwCiAxQ/v-deo.html
Ujue unawazinisha wenzio na wewe pia unazibeba dhambi
Bado mko nyuma sana kwenye film HAWATUMII viso a vya ukweli wala Bahraini. Wana act studio wana edit. Yani nyie mnafanya vitu ukweli 😂😂😂bado mko nyuma
Wendio umesema maana neonaga za nje huko wanayofanya ving wanafanya edit
Sasa tuko nyuma au mbele?
Mshamba wewe upo nyuma wewe na familia yako
Kenge kama wew lazima nilijua tyu
Dada lamata HASANTE sana yaani hai walioanza mwanzo wamefaidi