MFAHAMU ANNA WA JUA KALI ALIYETAPELIWA HELA ZA HARUSI NA IZZO BIZNESS
Вставка
- Опубліковано 1 тра 2021
- Kutana na Mwigizaji Godliver ambaye ametamba Kwenye tamthilia mbali mbali ikiwemo tamthilia ya Jua Kali ambayo mule ndani anaitwa Anna, ambaye kapitia misuko misuko ya mapenzi. Hapa AyoTV amefunguka mengi ya kumfahamu Bonyeza PLAY kumtazama.
Sasa hii ndio interview🤝, waingizaji wajifunze kupitia huyu dada Anna. Hana bwebwe zakujishauwa nice one. Love from Germany 🇩🇪🇩🇪
Asante sana
Sorry dada unaishi ujerumani sehem gani
Unaweza kuwa jirani yangu
@@halima_Paulin maybe me niko Berlin
@@halima_Paulin mrembo upo sehemu gani ?
Ohooo Mayra mama Karina Mrs majid gumbo kwa kweli upo vizuri sana mungu akuzidishie zaidi ya hapo habibty.
❤️❤️❤️ nakuona kabisaa kwenye maono yangu.... naamini ipo siku kwa mapenzi ya mungu nitafika huko.
Linajua Kuigiza Hili Dada Aiseee....We Amu Njooo Nikuage😂😂😂😂......Umesikia Tunalima Huku
Most talented female actress i know,,,,,
Yani uyu Dada nibonge la msaniiii😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍
Kasema muhaya imn wahayaya gonga laik
The best actress av seen recently...she is soo real...her skills are soo good...nampenda sana jamani...amenifanya nikaipenda jua kali..coz of her
Wanasababu ya kujifunza kitu toka kwako unajielewa sana dada Anna
Kiukweli huyu dada namkubali sana kiufupi anaweza sana,mwenyezi mungu akupiganie katika kile ambacho unakipenda.
Ambao tulikua hatumjui huyu dada gonga like
Wooow hyu dada mamkubali mnooo so cute ❤️na anajua kuigiza hongera dada
Daah huwez amin leo nimesililiza entaview ya mtu mpaka mwisho my sis ur star like u
Unafanya vizuri sana keep it up Anna😘
Mungu ataendelea. Kukupigania said na zaid uko vizur kwanza hana skendo mbaya hata uvaaji wake anajiheshim pia nakupenda sana mayra mrs gumbooo
Mayra, mama karina, mrs majid, mrs salum ndani ya uhuru
Huyu anatakiwa awe hollywood huko na manetflix.
Kama kawaida yako unaongea htr we love u
Mpenzi wake Beka, hakuna sehemu ameigiza nikaacha kupendezwa na uigizaji wake. You are a true star
Sio uyu mpenz wake beka yupo kweny pazia anatumia jina LA brenda
Anaongelea Beka watamthiliya ya haikufuma cyo Beka muimbaji
I love u 😍 Anna from 🇺🇸❤️💯🥰
Nampenda saana G.. Tangu siri ya Mtungi...Uku kwenye Haikufuma beka amekuroga mama.. Be blessed 😘😘😘
Hahahahaha Yan beka anaboa🤣🤣🤣🤣
Hhhhh
Nilimpenda kwenye Uhuru una gharama zake
Dada yangu mayla nakupenda Sana katika uingizaji ,wako harfu sasa napenda uingize na faridi kila sehemu mke na mme,natamani siku nikuone tu nikukbatie
Anna anasimama na mungu Kila konaa alipo yupo, ajishaui ye a ajal Kaz zake mwenyew yupo simple
HONGERA SANA...NAKUKUBALI SANA.NIMEKUFAHAMU KWENYE JUA KALI.
Mama Kalina nakupenda bure muhaya mwenzangu wa Katoma Mungu azidi kukupa afya na maisha mema🙏
Hats mie nampenda saana Hana malingo na ulimbukeni Kama wasanii wengine wa kike natani afike anakotaka
Manshallah 🧡🧡
Umejibu vizuri saana, uhandishi ni ur real profession
Nampenda sana huyu dada jamani,Mama kalina
Kwel unafanya kitu kutoka moyoni ndio maana hukosei... kaz nzur bbygal❤️❤️...yan unavaa uhusika adi raha, kifup hauboii
Siri ya mtungi ulikuwa my favorite actress mpaka sasa ubarikiwe sana
Godliver godlian anafanya vizur Sana anaingiza saut Kama valden sultana kwenye sultan na kwenye etrugrul pia saut ya mama etrugrul anawakilisha yeye shivangi pia nagnee aliweka saut yeye na nyingine nyingi Sana Yuko vizur Sana uyu mwanamke jamani noma🔥🙌🥰
Nimempenda hajichubuwi huyu dada nampenda kwenye uigizaji
Wee nawe ongea point
Hongera Sana mwaya
Huyu dada cjaona mfano wake ako na kipaji kikubwa xaana yaani akilia kama ana cheka anachanganya yaani Mashallah, dada Anna uko powa big LOVE from Kenya.
Mm nakupenda from Kenya nakuaminia htr.tena uliniumiza mbavu w na yule doctor
Waooo cogratulation
Muaya hongera sana dada kwakutuwakilisha
Nilikuelewa kwenye Uhuru na gharama zake
Nakupenda sana Dada Anna
Yessss Anna nakukubali zaman tulikua tunaangalia akina wema akina jakline na Irene na kusema hawa n wasanii wakubwa lakini sasa wamepoteza ,wewee Anna ndie mtegemez wetu katika sanaa ya uigizaji kwa sasa pambana zaidi na zaidi epuka tu. Skendo chafu na umtangulize Mungu I love you anna
Nakupenda sana dada Anna, Yani hata ongea Yako inakutambulisha umeokoka, hongera sana
Jamani ,mayla, au mama faridi nampenda sana huyu kwa kuigiza yaani huyu ni fundi
Sanaaa yaani alikuwa ananifurahisha Tena Ile ya uzeeni
Kiukweli Yuko vizuri
Sanaaa anajua uyu dada jmn🤗
Mimi nakujua kama mrs Cheche wa mtungi... hayo majina mengine baadae😂👊🏾
Dah ' kweli Sanaa mwanzo ni mgumu sana 😪🤦♀️uwii naijuwa sana ila hongera sana !!!! anna
Uko vzr mumy
Waoooh nimependa kumfahamu zaidi waooh love you Anna ( juakali)
Nakupenda dada anna🥰🥰🥰🥰
Nakupenda dada anna🥰🥰🥰🥰
Hongera xan dada
unajua DADA,HONGERA SANA
Nomoo
Nakukubali sana dada
Hongera sana Dada
Unaongea vizuri mpaka nimekuonea wivu hongera
Nakupenda we Dada
Unajua sanaaaa lakini unaeza fanya vyote unasauti tamuuuu unaweza pia kuwa kwenye screen Yani full package na shule imo.. Matamshi Yani duh umenyoookaaa 👏👏👏👏
NAMPENDA SANA KUPITIA HALI ANAYOPITIA, ANAVYOISHI NA BI.ZAI KAMA MTOTO MKUBWA
Nimefurahi kukufaham anna
Mama Karina ... miss Majid
Wao Mayila
❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Nimekupenda bure alafu ni kama tumefanana sura😀😀
Nakupenda sanaaa❣️❣️
Nampenda uyu jmn, kwanza anajua kuvaa vzr
Anna anajua sana jua kali
Jua kali nzuri sana😘😘
Esther wa Beka, Mama Carina
Hahaha ninunue jaman albat
Anna❤❤❤
Huyu anajua sana namfahamu vizuri sana
Mimi nipo Tanzania naomba kuongea na dada anna naomba kuonana na huyu dada please mtangazaji nakuomba Sana hili unisaidie brother
Nenda Instagram, tafuta: @godliver_gordian
Nampendaaa
❤️❤️❤️❤️❤️
Yan uyu dada kwenye jua kali ananitia hurua et nusu nilie
Daah nampenda huyu dada
Love dad anna
Nice
Dada anajua sana hasa pale beka anapomwambia akaagwe aaaaah dada fundi
Uhuru nakuelewaga sana pale ulivo track cm ya mmeo
Huyu Dada ukimuona kwenye siri ya myungi ndio utajuwa anakipaji cha kipekee
Yan Kwenye falamu ya Aisha tulikuwa wote jaman UZIKWASA moja dah 🙏🙏🙏
She is good!
Safiii ni wakujiamini🥰🥰🥰
Itoshe kusema tunakupenda sana
Yani huyu dada jaman tangu nimemjua hanaga ujingaujinga na skendo za 💩💩 kama wenzake, love u G😍
yaani ww dada na kupenda sana 💕💕 wajuwa ma sha Allah 🇴🇲 from 🇹🇿
Uhuru
Nakupenda saaana
Kweli dear Kama Mimi kunavitu matukio yako yananiliza sana jamani
Anna wallah nakupenda mno
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Anajua sana huyu dada
hongeraa saaan mmy hata ongea yako tuu ni kwamba unajua unachokifanya.
Hongera sana Dada napenda uigizaji wako
Nakupenda xan
😘😘😘😘
Nakupenda sanaaaa Anna
Nimei pause video nijue kama,ametaperiwa kwenye filamu au maisha halisi?
Ana unajua sana
Ester unanikera na beka wako ,ila nakupenda sanaaa
I love you❤
Unanivutia sana dada kwa sanaa yako
Estar wa aikufuma mchumba ake beka😍
Beka nakuja ila usinichelewesh 😢 kwan unaenda kulima 😂
Kiukwel dada Yuko vizur
KidogoufananenaAntyEzekiel
Anna mapenzi hhhhh tunakupenda mno