MFAHAMU ANNA WA JUA KALI ALIYETAPELIWA HELA ZA HARUSI NA IZZO BIZNESS

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 1 тра 2021
  • Kutana na Mwigizaji Godliver ambaye ametamba Kwenye tamthilia mbali mbali ikiwemo tamthilia ya Jua Kali ambayo mule ndani anaitwa Anna, ambaye kapitia misuko misuko ya mapenzi. Hapa AyoTV amefunguka mengi ya kumfahamu Bonyeza PLAY kumtazama.

КОМЕНТАРІ • 211

  • @lakishagreen9996
    @lakishagreen9996 3 роки тому +66

    Sasa hii ndio interview🤝, waingizaji wajifunze kupitia huyu dada Anna. Hana bwebwe zakujishauwa nice one. Love from Germany 🇩🇪🇩🇪

  • @husnajuma845
    @husnajuma845 3 роки тому +11

    Ohooo Mayra mama Karina Mrs majid gumbo kwa kweli upo vizuri sana mungu akuzidishie zaidi ya hapo habibty.

  • @salmaissa8384
    @salmaissa8384 3 роки тому +13

    ❤️❤️❤️ nakuona kabisaa kwenye maono yangu.... naamini ipo siku kwa mapenzi ya mungu nitafika huko.

  • @richardsizya1847
    @richardsizya1847 3 роки тому +19

    Linajua Kuigiza Hili Dada Aiseee....We Amu Njooo Nikuage😂😂😂😂......Umesikia Tunalima Huku

  • @Nzinyangwa
    @Nzinyangwa 3 роки тому +14

    Most talented female actress i know,,,,,

  • @happysurvivor5980
    @happysurvivor5980 3 роки тому +6

    Yani uyu Dada nibonge la msaniiii😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍

  • @user-mv8cw2jn5n
    @user-mv8cw2jn5n Місяць тому

    Kasema muhaya imn wahayaya gonga laik

  • @josfinkruki5626
    @josfinkruki5626 3 роки тому +8

    The best actress av seen recently...she is soo real...her skills are soo good...nampenda sana jamani...amenifanya nikaipenda jua kali..coz of her

    • @iddykarumanga2157
      @iddykarumanga2157 3 роки тому

      Wanasababu ya kujifunza kitu toka kwako unajielewa sana dada Anna

  • @fatumamgeni1974
    @fatumamgeni1974 3 роки тому +12

    Kiukweli huyu dada namkubali sana kiufupi anaweza sana,mwenyezi mungu akupiganie katika kile ambacho unakipenda.

  • @withnessemanuely911
    @withnessemanuely911 3 роки тому +40

    Ambao tulikua hatumjui huyu dada gonga like

  • @siahkidolah7862
    @siahkidolah7862 3 роки тому +9

    Wooow hyu dada mamkubali mnooo so cute ❤️na anajua kuigiza hongera dada

  • @ummysalimujuma8604
    @ummysalimujuma8604 3 роки тому +5

    Daah huwez amin leo nimesililiza entaview ya mtu mpaka mwisho my sis ur star like u

  • @leticiamchomvu3623
    @leticiamchomvu3623 3 роки тому +8

    Unafanya vizuri sana keep it up Anna😘

  • @rebecajoseph8585
    @rebecajoseph8585 3 роки тому +3

    Mungu ataendelea. Kukupigania said na zaid uko vizur kwanza hana skendo mbaya hata uvaaji wake anajiheshim pia nakupenda sana mayra mrs gumbooo

  • @faridajuma7075
    @faridajuma7075 3 роки тому +6

    Mayra, mama karina, mrs majid, mrs salum ndani ya uhuru

  • @Officialshadrackjohn
    @Officialshadrackjohn 3 роки тому +8

    Huyu anatakiwa awe hollywood huko na manetflix.

  • @himnasalum2424
    @himnasalum2424 3 роки тому +10

    Kama kawaida yako unaongea htr we love u

  • @joycefelix9047
    @joycefelix9047 3 роки тому +3

    Mpenzi wake Beka, hakuna sehemu ameigiza nikaacha kupendezwa na uigizaji wake. You are a true star

    • @brazanet6916
      @brazanet6916 3 роки тому

      Sio uyu mpenz wake beka yupo kweny pazia anatumia jina LA brenda

    • @robinapatrick8479
      @robinapatrick8479 3 роки тому

      Anaongelea Beka watamthiliya ya haikufuma cyo Beka muimbaji

  • @christinemangaza6303
    @christinemangaza6303 3 роки тому

    I love u 😍 Anna from 🇺🇸❤️💯🥰

  • @julianajacksoni4275
    @julianajacksoni4275 3 роки тому +5

    Nampenda saana G.. Tangu siri ya Mtungi...Uku kwenye Haikufuma beka amekuroga mama.. Be blessed 😘😘😘

  • @nassraal-riyyami8387
    @nassraal-riyyami8387 3 роки тому +5

    Nilimpenda kwenye Uhuru una gharama zake

  • @mariamsolomon6821
    @mariamsolomon6821 3 роки тому +3

    Dada yangu mayla nakupenda Sana katika uingizaji ,wako harfu sasa napenda uingize na faridi kila sehemu mke na mme,natamani siku nikuone tu nikukbatie

  • @baimarrajahbuayan6237
    @baimarrajahbuayan6237 2 роки тому +1

    Anna anasimama na mungu Kila konaa alipo yupo, ajishaui ye a ajal Kaz zake mwenyew yupo simple

  • @yhasintakalenyula970
    @yhasintakalenyula970 3 роки тому +5

    HONGERA SANA...NAKUKUBALI SANA.NIMEKUFAHAMU KWENYE JUA KALI.

  • @leonidawilliam5525
    @leonidawilliam5525 Рік тому +1

    Mama Kalina nakupenda bure muhaya mwenzangu wa Katoma Mungu azidi kukupa afya na maisha mema🙏

    • @SamiraBhazizane
      @SamiraBhazizane Рік тому

      Hats mie nampenda saana Hana malingo na ulimbukeni Kama wasanii wengine wa kike natani afike anakotaka

  • @jamilamanariyojamila1487
    @jamilamanariyojamila1487 3 роки тому +1

    Manshallah 🧡🧡

  • @bilalbizimana980
    @bilalbizimana980 3 роки тому +1

    Umejibu vizuri saana, uhandishi ni ur real profession

  • @beatricejs2144
    @beatricejs2144 3 роки тому +5

    Nampenda sana huyu dada jamani,Mama kalina

  • @sophieponera3136
    @sophieponera3136 2 роки тому

    Kwel unafanya kitu kutoka moyoni ndio maana hukosei... kaz nzur bbygal❤️❤️...yan unavaa uhusika adi raha, kifup hauboii

  • @deborahrehema5819
    @deborahrehema5819 3 роки тому +4

    Siri ya mtungi ulikuwa my favorite actress mpaka sasa ubarikiwe sana

  • @glorykarim1570
    @glorykarim1570 3 роки тому +8

    Godliver godlian anafanya vizur Sana anaingiza saut Kama valden sultana kwenye sultan na kwenye etrugrul pia saut ya mama etrugrul anawakilisha yeye shivangi pia nagnee aliweka saut yeye na nyingine nyingi Sana Yuko vizur Sana uyu mwanamke jamani noma🔥🙌🥰

  • @amour5535
    @amour5535 3 роки тому +5

    Nimempenda hajichubuwi huyu dada nampenda kwenye uigizaji

  • @neemaibrahim679
    @neemaibrahim679 3 роки тому +3

    Hongera Sana mwaya

  • @fhvbvgkvgc8073
    @fhvbvgkvgc8073 3 роки тому +3

    Huyu dada cjaona mfano wake ako na kipaji kikubwa xaana yaani akilia kama ana cheka anachanganya yaani Mashallah, dada Anna uko powa big LOVE from Kenya.

  • @sikudhanjuma3987
    @sikudhanjuma3987 3 роки тому

    Mm nakupenda from Kenya nakuaminia htr.tena uliniumiza mbavu w na yule doctor

  • @annatariq5378
    @annatariq5378 3 роки тому

    Waooo cogratulation

  • @akinyilucy953
    @akinyilucy953 3 роки тому +1

    Muaya hongera sana dada kwakutuwakilisha

  • @patrickmwavipa3042
    @patrickmwavipa3042 3 роки тому +8

    Nilikuelewa kwenye Uhuru na gharama zake

  • @elyshaedward2528
    @elyshaedward2528 3 роки тому +4

    Nakupenda sana Dada Anna

  • @sarahhassan2857
    @sarahhassan2857 2 роки тому

    Yessss Anna nakukubali zaman tulikua tunaangalia akina wema akina jakline na Irene na kusema hawa n wasanii wakubwa lakini sasa wamepoteza ,wewee Anna ndie mtegemez wetu katika sanaa ya uigizaji kwa sasa pambana zaidi na zaidi epuka tu. Skendo chafu na umtangulize Mungu I love you anna

    • @foibecharles
      @foibecharles Рік тому

      Nakupenda sana dada Anna, Yani hata ongea Yako inakutambulisha umeokoka, hongera sana

  • @simbarajabu4157
    @simbarajabu4157 3 роки тому +12

    Jamani ,mayla, au mama faridi nampenda sana huyu kwa kuigiza yaani huyu ni fundi

  • @stevezach8218
    @stevezach8218 3 роки тому +3

    Mimi nakujua kama mrs Cheche wa mtungi... hayo majina mengine baadae😂👊🏾

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 3 роки тому +3

    Dah ' kweli Sanaa mwanzo ni mgumu sana 😪🤦‍♀️uwii naijuwa sana ila hongera sana !!!! anna

  • @josephkomba64
    @josephkomba64 3 роки тому +1

    Uko vzr mumy

  • @sophiamfikwa7340
    @sophiamfikwa7340 3 роки тому +1

    Waoooh nimependa kumfahamu zaidi waooh love you Anna ( juakali)

    • @neemaipas2750
      @neemaipas2750 3 роки тому

      Nakupenda dada anna🥰🥰🥰🥰

    • @neemaipas2750
      @neemaipas2750 3 роки тому

      Nakupenda dada anna🥰🥰🥰🥰

  • @emmanuelgabagendi3169
    @emmanuelgabagendi3169 3 роки тому +1

    Hongera xan dada

  • @jessymalembeka6181
    @jessymalembeka6181 3 роки тому +4

    unajua DADA,HONGERA SANA

  • @josephphilip6108
    @josephphilip6108 Рік тому

    Nomoo

  • @zakiamseka9698
    @zakiamseka9698 3 роки тому +1

    Nakukubali sana dada

  • @jasminesebe761
    @jasminesebe761 3 роки тому

    Hongera sana Dada

  • @halima_Paulin
    @halima_Paulin 3 роки тому +2

    Unaongea vizuri mpaka nimekuonea wivu hongera

  • @aishaomary4498
    @aishaomary4498 3 роки тому +1

    Nakupenda we Dada

  • @sumayaishengoma4543
    @sumayaishengoma4543 3 роки тому

    Unajua sanaaaa lakini unaeza fanya vyote unasauti tamuuuu unaweza pia kuwa kwenye screen Yani full package na shule imo.. Matamshi Yani duh umenyoookaaa 👏👏👏👏

  • @idrissaomba8803
    @idrissaomba8803 Рік тому

    NAMPENDA SANA KUPITIA HALI ANAYOPITIA, ANAVYOISHI NA BI.ZAI KAMA MTOTO MKUBWA

  • @subiraomari5908
    @subiraomari5908 3 роки тому +4

    Nimefurahi kukufaham anna

  • @jacklinemutheu5690
    @jacklinemutheu5690 3 роки тому

    Mama Karina ... miss Majid

  • @theodosiakanimba4562
    @theodosiakanimba4562 3 роки тому

    Wao Mayila

  • @WAKYELA
    @WAKYELA 3 роки тому +1

    ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️

  • @lucianicolaus1179
    @lucianicolaus1179 3 роки тому +3

    Nimekupenda bure alafu ni kama tumefanana sura😀😀

  • @rahmatuwano5346
    @rahmatuwano5346 Рік тому

    Nakupenda sanaaa❣️❣️

  • @jasinthamchina953
    @jasinthamchina953 Рік тому

    Nampenda uyu jmn, kwanza anajua kuvaa vzr

  • @jamesnaftal2725
    @jamesnaftal2725 3 роки тому

    Anna anajua sana jua kali
    Jua kali nzuri sana😘😘

  • @aloycemasele7236
    @aloycemasele7236 3 роки тому +2

    Esther wa Beka, Mama Carina

  • @beautylicious6165
    @beautylicious6165 3 роки тому

    Anna❤❤❤

  • @bigjizee4130
    @bigjizee4130 3 роки тому +3

    Huyu anajua sana namfahamu vizuri sana

  • @mwanidulurichard7549
    @mwanidulurichard7549 3 роки тому +2

    Mimi nipo Tanzania naomba kuongea na dada anna naomba kuonana na huyu dada please mtangazaji nakuomba Sana hili unisaidie brother

    • @TamuzaKale
      @TamuzaKale 3 роки тому

      Nenda Instagram, tafuta: @godliver_gordian

  • @magrethkessy9013
    @magrethkessy9013 3 роки тому

    Nampendaaa

  • @azizaedina8088
    @azizaedina8088 Рік тому

    ❤️❤️❤️❤️❤️

  • @baruthmussamuslim3434
    @baruthmussamuslim3434 3 роки тому +4

    Yan uyu dada kwenye jua kali ananitia hurua et nusu nilie

  • @hidayachanga4774
    @hidayachanga4774 3 роки тому +2

    Daah nampenda huyu dada

  • @farajalucas2742
    @farajalucas2742 3 роки тому

    Love dad anna

  • @jemmyduke4438
    @jemmyduke4438 2 роки тому

    Nice

  • @roviykamage5423
    @roviykamage5423 2 роки тому

    Dada anajua sana hasa pale beka anapomwambia akaagwe aaaaah dada fundi

  • @witnessmsokwe9241
    @witnessmsokwe9241 3 роки тому +1

    Uhuru nakuelewaga sana pale ulivo track cm ya mmeo

  • @abdulkheri7322
    @abdulkheri7322 3 роки тому +2

    Huyu Dada ukimuona kwenye siri ya myungi ndio utajuwa anakipaji cha kipekee

  • @asmatabdallah1368
    @asmatabdallah1368 3 роки тому

    Yan Kwenye falamu ya Aisha tulikuwa wote jaman UZIKWASA moja dah 🙏🙏🙏

  • @mmadiausiy9810
    @mmadiausiy9810 3 роки тому

    She is good!

  • @zainabugawaza1042
    @zainabugawaza1042 3 роки тому

    Safiii ni wakujiamini🥰🥰🥰

  • @leahsamwel1931
    @leahsamwel1931 Рік тому

    Itoshe kusema tunakupenda sana

  • @joycechaz2840
    @joycechaz2840 3 роки тому

    Yani huyu dada jaman tangu nimemjua hanaga ujingaujinga na skendo za 💩💩 kama wenzake, love u G😍

  • @msaysha5886
    @msaysha5886 3 роки тому

    yaani ww dada na kupenda sana 💕💕 wajuwa ma sha Allah 🇴🇲 from 🇹🇿

  • @siasamweli372
    @siasamweli372 3 роки тому

    Uhuru

  • @heshamagaga7299
    @heshamagaga7299 3 роки тому

    Nakupenda saaana

  • @martinnsunza7288
    @martinnsunza7288 2 роки тому +1

    Kweli dear Kama Mimi kunavitu matukio yako yananiliza sana jamani

  • @pettyjongera1295
    @pettyjongera1295 3 роки тому

    Anna wallah nakupenda mno

  • @user-pt5xf6gc9u
    @user-pt5xf6gc9u Рік тому

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @stellah3844
    @stellah3844 3 роки тому +1

    Anajua sana huyu dada

  • @sarahmcharo1548
    @sarahmcharo1548 3 роки тому +4

    hongeraa saaan mmy hata ongea yako tuu ni kwamba unajua unachokifanya.

  • @petrojoseph8480
    @petrojoseph8480 3 роки тому

    Hongera sana Dada napenda uigizaji wako

  • @gracemalashi8358
    @gracemalashi8358 3 роки тому

    😘😘😘😘

  • @fadhilkasongo3129
    @fadhilkasongo3129 3 роки тому

    Nakupenda sanaaaa Anna

  • @kingmtz5740
    @kingmtz5740 3 роки тому +1

    Nimei pause video nijue kama,ametaperiwa kwenye filamu au maisha halisi?

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 3 роки тому +1

    Ana unajua sana

  • @nurathsaidy4379
    @nurathsaidy4379 3 роки тому +1

    Ester unanikera na beka wako ,ila nakupenda sanaaa

  • @fadraj6899
    @fadraj6899 3 роки тому +2

    I love you❤

    • @fadraj6899
      @fadraj6899 3 роки тому +1

      Unanivutia sana dada kwa sanaa yako

  • @chunaally1735
    @chunaally1735 3 роки тому

    Estar wa aikufuma mchumba ake beka😍

  • @user-ju6nl6qt1y
    @user-ju6nl6qt1y 11 місяців тому

    Beka nakuja ila usinichelewesh 😢 kwan unaenda kulima 😂

  • @PaulinaEdward-zb6li
    @PaulinaEdward-zb6li 10 місяців тому

    Kiukwel dada Yuko vizur

  • @aminaabdalla9949
    @aminaabdalla9949 2 роки тому

    KidogoufananenaAntyEzekiel

  • @himnasalum2424
    @himnasalum2424 3 роки тому +3

    Anna mapenzi hhhhh tunakupenda mno