MKASA MZIMA KIFO CHA MUME WA MENINA HUU HAPA/SABABU YA KUMFICHA/KUTEMBEA NA WAGANGA
Вставка
- Опубліковано 20 лип 2021
- Usisahau ku "SUBSCRIBE" Channel yetu kwa habari nyinginezo nyingi na nzuri
MKASA MZIMA KIFO CHA MUME WA MENINA HUU HAPA/SABABU YA KUMFICHA/KUTEMBEA NA WAGANGA
#Bonatv #Exclusive #Menina - Розваги
Kumbe Huna uhakika umesikia tu subhanallah kuna moto chungeni midomo yenu iyo kuna kufa wewe dada usione sifa kutafuta umarufu
Wanawake wanawake wanawake nimewaita mara 3 tujitahid kustiriana Sisi tutaolewa na kuhamia familia ngen unapoona mtihan wawenzio usiushike kidedea tambua na ww linaweza kukuta kama hili huo ni uwongo mtu dada na ww ipo siku yako haya ni maisha tu
Mwehu huyu atafuta umaarufu na kujichubua
Story imejaa mashemegi hakuna mawifi 😂😂😂hakuna wakwe 😂😂 hapa kuna uwongo mkubwa labda ukweli mdogo mstiri mwenzio naww ustiriwe
Mungu atusitiri na watu km hawa,,,,yaani unasema ya mwenzako, utasema wewe msafi,,,,sema na yako,,,mtu ameshakufa waacheni
Akifanyiwa ndugu yako ndio utajua Kama inauma au
Jamani huyu mwanamke mshenzi sana,hafai kuwa nae karibu au kumfanya rafiki,,,,,haya umeshasema ya mwenzako, sema na yako
Nani mwingine ajamuelewa huyu dada🙄🙄🙄
Mimi
Huyu dd chizi Mambo mengine ata hayahusu kuyaongelea
@@lulually5209 we ndio mnafiki kichizi, kama hayahusu mbona uko hapa unasikiliza
@@barikiwa22 wee msenge nini achana na Mimi kuma ww
@@barikiwa22 nisikilize nisisikilize wee pia inakuhusu kumala mamaako
Sema huyu jamaa muandishi me nimekukubali sana 💪💪💪
Menina MUNGU Anakuona😭😭 Pepo Yako Ilikuwa Kwa Mume Wako My Dear Dah😥😪😓
Sasa ww ndo mungo mtu wamezika tangu 6 da na siyo mkata
Kabisa
Una uhakika na unayo yaskia
Sio kweli
Kwani mkristo anaenda peponi????
😂ila binadam wabaya sana huu dada unaona through macho yke ni muongo anatafuta umarufu
Ni ukweli mtupu ila hakutakiwa kuzungumzia mambo ya faragha ya mwenzie maana kila mtu ana yake ya sirini .
Ww dada muogope mungu kwa kwel acha kusema mambo ya watu mstiri aib za wenzako 🙂🙂
Kabs 😔
Subhanallah 😳 Aisee dunia ipo kasi na ibris yupo kasi Allah atuhifadhi tusidhalilike
🤲🤲🤲😢
@@Lailal-bg8di 😭
Mnatumia muda mwing kuchafua watu ili mjulikane sasa umeongelea nn vitu ambayo hauna uhahika navyo mnafiki mkubwa wew mungu atakulipia ........
Dada muongo wew dah atakujibu Mungu 🙏.......uache umbea ata Kam anarogo inakuhusu nn....... Ha ha ha ha 😆 jamaniiii duniahii
Uyu mudada nimuongo sana Mwenyezi Mungu akuhurumiye kbs mwanamuke mwenzako ,,unataka kumuzalilisha kwauwongo kesho nikwako tena ww unawivu na Menina
Huyu mwanamke anatafuta umaarufu tu,anaonekana njaa tupu. Akatafute kazi afanye. Sasa kina Darleen na Iyobo imehusu nini hapo. Wigi limekakamaa kama ukoko pumbavu
Huyu dada dhahiri ni muongo kwa jinsi anavyoongea ,hii ni kiki anatafuta kupitiya mgongo wa menina na mumewe ,wa LLAHI ulivyofanya si vizuri huo ni uhasidi na fitna,yani hapo Kwenye interview unaonyesha dhahiri umetaayari haki ya mungu
Nilichogundua apa uyu alikua ndo mke mdgo wa malehem ndo mana menina akaimba nyimbo
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂😂
Wabongo mko radhi kupata dhambi. Lkn kusema uongo hamuogopi. ALLAH anakuoneni jamani. Muogopeni ALLAH. Kesho kuna magumu kwenye kuhesabiwa.
Na pia acheni kua na imani za kushirina. Na kumbe wengi mnaenda kwa waganga. Hamsemi, mnamsema Hamisa tuu.
Nikosa kutoa taarifa za wengne wakiwa kwenye Mambo Kama hayo... Huyu dada anatafuta kiki tu...
Kabisa anatowa shutuma na yeye hana ata ushahidi laaa dunia hiii sio vizuri kabisa tena watu wapo kilioni makosa Sana Sana 😏
Mjinga mno.like zanhu kuzarau huu utopolo pls
Unajua anaweza akashtakiwa kama Menina kama akiamua
Sana
Innalillah wainna illah Rajiun baki Allah, Yaa Rabb L, husni Hatema tujiombee mwisho mwema, huu Ni msiba juu ya Msiba Tufe tupate kuongelewa kwa Vizuri sio kama hivyo mtihani mtupu, huyo mine kafa ila nimsibaa mkubwa wa maneno,Dah!Sabra aliteseka sanaa ila huwa nasema mwisho wa ubaya Aibu, gueen haya yote nimalipo hapa hapa Duniani ujifunze kuwa karibu na Allah sio kukimbilia kwenye ushirikina
Kama kafariki ni mganga wa kiyenyeji( mfumu) finari jahanamu khalidina fiha.... Inna lillahi wa inna ilahi raji'uun
Allah atupe mwisho mwema
Allah ndy mjuzi Zaid usihukumu
Mtangazaji upo vizur Sana... Hongera na mungu akubariki... Umejuwa kumsuta bidada kiustaarabu...
Kakosa haya bidada uyu
We mdada umejijenga uadui kwa hao waganga 2 na pinina.... Da fitna ni mbaya sana...
Yani madhumuni ya Huyu dada anataka kudhalilisha wenziye kwa Mambo ya uwongo na fitna,hasbiyyah llahu wanaemaal wakeel
Inaonwsha huyo Mume wa Menina alikuwa na Ugonjwa kitambo unamla kdgkdg kw vile ni familia ya waganga wakaamini ni Marohani mkiwa washirikina mtu akiumwa mnasingizia shetani
Muu alikuwa mganga apo kaongopa Muu mganga kabisa Sema alikuwa ataki uganga kwa mambo za ujana
No alikuwa anafanya mikazi ya vumbi alfu alikuwa anakula ugoro tb ya mifupa
True
Ww Dada nimuongo kwasababu huumwezi kitukikaeleweka
Wawache kutafuta umarufu mtu kasha kufa mbona hawa kusema akiwa mzima.
Haswaaa anataka kujulika tu
mpumbavu sana uyuu kuma ana taka kiki msenge moja sura mbovu yakwako yana kushinda mbwa ww shetani nyoo fanya yako wcha kufata maisha yawatu mkundu ww una sema vitu ambavo una uaika kuma ww subili mbwa ww uoo mdomo uta kupoza una mchafua mwenzio shetani ww
Uyo dada yuko sawa na anachokisema ni kweli kabis jaman msichokijua mcpend kutukan bule ndug ndo wanajua ukuweli lait kam mngekuwepo au mngemuona ndo mgejua jamn wasanii cio watu jamn kuwen makin sana
Kila unaloliongea juu ya mwenzio Allah atakulipa ni muda tu
Hakika Ni kweli mungu ana mihifadhia maneno yake
Shemeji, Shemeji imekua nyingi...
Weewee najuwa utapitia hii comment yangu , lidada limbeya mnafiki mtafuta kiki kwa nn hujaenda ww kumuuguza huyo muh kachambishe hicho kinyeo chako unatafuta kiki fyuuuu
Sijamuelewa huyu mwanamama!
Subhanaallah Allah atusuru na tusamehe
Watanzania hawana siri hapo utakutA NISHOSTII HUYO
Watoto wadogo wanakutana kwenye ushirikina na pia wanatembea na hao Waganga feki, ushenzi mtupu, acheni ushirikina , fanyeni kazi hakuna pesa ya burr .. disgusting 🤮
Kweli waganga ndivyo walivyo wanatembea na wanawake sanaaaaa
Subhanaallah mungu wangu binadamu tunapenda kulaumu wenzetu sana 💔💔💔💔💔💔
Mbona siku zote alivo kua anaumwa ndugu yao hawakumsaidia wenyewe mpaka mnakuja kuongea leo hii kwelii jmn
Siku nyingine usikurupuke kuongea ktk mitandao nimesema hivyo kwasababu uko mbele ya camera sasa na hakuna cha maana unachoongea au ulitaka kk tu kupitia kifo cha mume wa menina?tupishe huko 😏 sijui kwanini wanawake hatupendani mtihani kweli 😔😡
Wanawake tulio wengi hatujielewi kwakweli
Mbona wakati anaumwa, sijui kafungiwa ndani mbona hamkuwa mnasema, mtu kashafariki ndio mnaanza kuleta vimidomo vyenuu mwacheni apumzike kwa amani kaka wa watu khaaaai😏
Mambo win
Upo mpa uku 😂
@@raiabujimu8993 popote kambi ndugu yangu
Wew dada ni mwongo Sana km unataka kumdharirisha menina umeshindwa mwenzio ni staah uoni km unaongopa uy shemeji yako asikualike chiz we unataka utwend tu mav ww
Ww kila kitu unaskia tu lkn huoni kwanza yahakikishe ndio uyafikishe,mfichie mwenzako na ALLAH nae akufichie mjinga ww
Wanawake km hawa walijitokeza kipindi cha kifo cha Reginald Mengi kwahy hatushangai wanawake tunaroho mbaya sana tena chuki za roho zimetujaa tumuogope Mungu
Duuuuu mjin ushakuwa mzito jmn eheeee mungu ondosha hii ibris jmn pole menina
Hivi mwanamke unapata ujasiri gani kumsema mwanamke mwenzako hadharan unajua wewe utaingia kwenye familia gan Mungu tunusuru
Una msem mwenzk wakt mwenyew ulikuw hu end kumuon
Wanawake WA bongo utamkuta ana shida zake kuzitatua hawez lkn mambo ya wenzie anaweza kuongea kumbe hata no yake huna unasema Una ushahid Acha umbea
Mmmh wanazengo huyu dada mnamuelewa kweli Wenda alikuwa nae anamtaka muuh kwaiyo amekufa now anamshtumu menina ili kumchafulia fanya yako unasema alikuwa shemeji lakin ujashiliki chochote mnafki tu we Una jipya Malaya ww unatafuta Kiki ili utrend mitandaoni
Sawa ww dada umeeleza ila jua Kuna kesho na nirafiki yako
ww ni mshamba tofautisha dua na uganga
Niseme tu ukweli nachokiona hapa huyu dem alikuw nyumba ndgo ndo maan menina akamwanga nyimbo ya bi mkubwa hahaha
Sabasi wa dunia ww mbona ulikua husemi siku zote mbea mkubwa
Ajabu,leo hii ndo wanajitokeza.
We dada uko kizabi saana mama lizima hovyo
Shemeji shemej shemej shemej shemej khaaaaaaaaaa😅😅😅😅😅
Sad..
MMEKALIA KULOGA TU HATA KWENDA KUMWONA MGONJWA UMESHINDWA AIBU KWELI.
We mwanamke ni muongo sana unafiki unakusumbua leo hii unamtangaza mwenzio mungu atakulipa malipo ni hapa hapa duniani
Menina is super woman so be care full bibie uctafute kiki na umaarufu wakati ata ayo mazungumzo yako hayana ata mantiki ww ni muongo mpaka macho yanaonesha menina ni mtu mzm anajielewa acha uongo
Shemeji ivi na ivi, mambo vipi, ulipita halafu eti ndo unamtolea mtu ushahidi kwa mambo mengi ivo 😏😏😏 ina maana kila akienda kwa mganga lazima uwepo 🙄🙄
Majina ya gift viherehereeee
Dada ana mashemeji wengi huyu,, hii story tuipe Jina gani jamani,,
Washirikina wakutana kwa mganga🏃🏃🏃
Huyu nae mnafki mgonjwa hajawah hata kumuona msiban hajakanyaga na bado analaumu mwenzie
Ww dada ni mtako kweli msiba wa mmewe asiende we ni chiz unabatish tumwone menina mbaya chiz we yule staah sijui we danga km mm
Kumbe mzuri
Mmmh huyu dada haeleweki kbsa hata maisha ya menina na mmewe haya jui
We dada mbona kama huna uwakika unasema mpaka watu wengine
Anasema ni Shemeji iweje hajaalikwa harusini na 40 ya mtoto huyu dada muongo sana
Huyu interviewer hasikilizi vizuri ndio maana anarudia hovyo maswali
Mungu ndiyo anaejua ukweli na ndiyo anaehukumu
Huyu dada mnafki.. hana akijuacho kwa menina. Anatafuta kiki tu
Ukute hawana hata undugu na menina wals huyo mwanaume.......umbea tuu na unafkii kumbe naww ushaachika nyooo kweeendaa
Sio vizur
Sasa kuwaon kweny dhikr ndio kwend kwamgang?je km walimsindikiz mwenzao kusomew? We dada mnafik umbea wahtaj kituo dada
Ajielewi muongo sana
Kumbe na wew hukwenda kazi umbeatuuu huna maana unamsemea mtu ambae hujaenda kumwona hujui anaumwa nini alafu unasema unamjua acha unafk .mnafk mkubwa mume wamwenzako hujui lolote msibani hujaenda kamwombe Menina msamaa.yamekushuuukaaaaaaaa
Waganga washenz
Sasa huyu dada bona amekosa kazi ya kufanya.
Huyu Dada nimnafiki sana hana analolijua mpuuzi mmoja huyu
Wa TZ mmezidi kusema sana ssa nawe alikua rafiki wa mumeo kwann ufatilie life yake ama ulikua wampenda ww mmmh hongeren wenzetu sio kwa kufatiliana uko
Dada ulikuwa unakaa kwenye mlango wa mganga?
Mbea mkubwa nimefurah mtangazaj anamuuliza masaa had kujibu anamung'unya maneno mnafik mkubwa 😏
Kwahiyo unamashemeji wangapi jamani maana kunashemeji yako mwingine mala achana na shemeji huyu mwingine tena aiseee😂🙌
Huyo n mpumbavu mmoja ...na atafute pesa kwa njia yake lkn sio kwa jina la mtu..alikua anawataka mpka huyo mganga..
Hapo kwa queen darling kidogo imefanya nikuamini sababu masha ashawai sema iyo kitu
Hahaha
Huyo dada ni Malaya hapo yupo sokoni. Mwanamke mwenzio yupo kwenye msiba mzito. Wewe upo mitandaoni kumuongelea ujinga Malaya ulielaniwa nyoooooo.
Nyoooo yako yakushinda unamtangaza mwenzio basi tuambie na yako
Mm nangoja yake
Mmmh uyu dada mbona simuelewi zaidi mambo fitna tu
Huyu dada nilimbea hatarii
Dua gani ya hivo
Wanawake hatupendani jamani!!sio vizuri kumsema mwenzio wakati wa matatizo
mnafiki wewe,,acha kumchafua mwenzio..kama huyo musa alikuwa anakujua kwa nini asikuarifu harusi yake?mnafiki wewe bwana .usitake kujulikana kwa kutumia jina la mtu ...muacheni menina wa watu sasa
Uchawi wenu unawarudia, nawewe SEMA yako, wewe mwenyewe ndiyo Zaidi kuliko huyo mwenzako
Wee mashemeji zako wote ni waganga tu ? Huyu mama anatafuta kiki kupitia msiba Jamani ? Hata hawajuwani na Menina Jamani. Astakiwe na Menina apate adabu hana akili jitu zima anangea mavi tu .
Jamani jamani
Yani familia ya ushurikina na utapeli ukiwa mjinga lzima uolewe na waganga kwanza Marohani yanawaingia watu maalum sifa ya Marohani ni Wachamungu wanapenda Ibada sio uchafu huo
Mhmmmmmmmmm🤔
Huyu dem hajielewi nae yuwataka kiki wabongo nyinyi
Yani ni kweli huyo mganga wa kwanza anawararua tu wadada wote walotajwa ni mganga wao hadi kaka yetu anaejishauwa na mindinga alikuwa mganga wake mganga wa kwanza,ndio mwalimu wa,kina muu
Kanaonekana kaongo kaongo
Tabia mbaya we dada jmn kumchafua mwenzio hvyo
Mbona mkubwa ila akili hana alafu nawataja watu ambao hawahusiki kwenye hayo mambo umbea tu 😏😏😏😏
Yaani, jinga kweli hili mwanamke
@@NR-ll4sr Haha mambo wangeongea wanafamilia haya yye hayamuhusukibaya zaidi nawataja na wengine sasa je Menina akimshitaki atamuona mbaya na hao waganga wakimkataa maana hii ni kesi tuwe tunaangalia na memento ya kuzungumza hata kama ni kweli zuia usije pata matatizo mmmmmmh haya mdomo uliponza kichwa
Uyu wivu unamsumbua ana atah uwakika,, yani anajifanya anajua kushinda familia ya musa
Yani ameropoka utasema anamjua vizri uyo menina,, sura nzito ka kibibi,, sipendi viherehere mm japo sina udugu na uyo menina
Cjaelewa hata ki1
We mshenzi bhnaa
Menina hawez fanya huo uchizi mjinga wewe
Shemeji shemeji shemeji shemeji mxiiiiiew
Kumbe Musa wamemloga ao waganga wengine na sio.menina
Uy dada unataka utwend lakin ndo ukishatoka Apo hatukujui tn uoni km unaongop mengine yakupite na uwez kuolewa nyoko ww