Umemjibu vizuri sana mwenezi wangu wa kitaifa hongera sana kwa ujuaji wa kiswahili fasaha kabisa kabisa unaongea nikama wewe ndiye uliye fanya hayo kaka Nikupongeze sana ..... Sina cha kukupa ila moyo wangu wa dhati nakushukuru sana kijibu majibu mepesi kwakua unayajua sana...
Global Tv huu ndiyo muundo mzuri wa kuijenga nchi yetu. Vyama vitoe upeo yakinifu wa kuipeleka nchi yetu mbali zaidi. Vilevile muwaonye watu ambao muda wote ni matusi. Mitandao itumike kuijenga nchi yetu
Ama kweli uwalimu ni kazi ya kupewa heshima kubwa sana. Hivi mtu wa aina gani usiyeweza kuelewa alicho kiongea POLEPOLE na ni mtanzania unayeishi wapi uliyeshindwa kujua serikali ya chama cha mapinduzi ilivyo tekeleza ilani yake kwa vitendo kwa zaidi ya 100%. Ama kweli sio wote wenye macho wanaweza kuona na sio wote wenye masikio wanaweza kusikia na sio wote wenye miguu wanaweza kutembea hii ni sawa na kumpigia mbuzi guitar. POLEPOLE kiatu ulicho kivaa kinakutosha kweli wewe ni mwenezi wa chama cha mapinduzi taifa. Keep it up!!
Mh. Polepole umejibu vizuri maswali ya Mh. Matiko, mimi nafikiri kwa wale wanaoona umejibu tofauti na maswali yalivyoulizwa ni mtazamo wao pengine wanajua namna moja ya kujibu lakini kimsingi Mh. Matiko ameuliza juu ya utekelezaji wa ilani ya CCM na msingi wa majibu ya Mh. Polepole ni ilani ya CCM.
Natamani tufike mahali tunasikiliza hoja na kujibu hoja kwa maslahi ya taifa bila kujali uchama, Yaani kuna muda natamani watu waache uchama tusimamie maendeleo ya taifa kwa ujumla, Naipenda serekali yangu na nampenda rais wangu, Ninapenda kukoselewa ili kunisukuma kusonga mbele, siku zote changamoto ni daraja la kutuvusha. Kipekee mimi nawachukulia wapinzani kama Kioo cha chama tawala, bila wao tunaweza tusione madhaifu yetu, Nimependa hoja zilizohojiwa zinatupa dira, hongera Esther kwa utulivu wakati wa kuhoji Upo vizuri, Changamoto zipo kwenye utekelezaji na haya yanajibiwa kwa hoja kuntu, Mheshimiwa Rais anapambana Sana na anatamani Sana tufike mbali ila utekelezaji wa watendaji wengine ni changamoto.
well done...nlfkr jamaa atayumba kwenye maswali kumbe anafuatilia utekelezaji,hongera pia Ester Matiko kwa maswali mazur ya kimkakati...yu r better than Bulaya a little
Mheshimiwa polepole elewa kuwa watanzania kwa sasa tunajielewa sana baada ya kujibu maswali straight unatueleza habari za maji sijui barabara hayo sio maswali uliyoulizwa
Mh. Polepole tunashukuru kwakutufikishia habari njema za Miradi ya Maendeleo ilio tekekelezwa sehem mbalimbali hapa Nchini na Serikali yetu ya Chama Cha Mapinduzi.
Yani nilicho kiona hapo Ni hili. Swali : Mhe Ester 1 + 1. Jibu : Polee Unajua bwana hauwezi kutoa hesabu ya mtoto wa darasa la kwanza Yani Kwakweli si Jambo la kunipima Yani nadhani Mimi Kama Mimi 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Jibu swali moja kwa moja acha kuzunguka zunguka 😂😂😂. Fisiemu Kama Fisiemu bana toka 1961 porojo porojo
Watangazaji wa Global Tv mimi nilitegemea wakat polepole anajibu Matiko angekua hewani ili awe anaanamuongoza kujibu maswali alio uzwa ama nyinyi ndo mngemuongoza Polepole kujibu maswali yale alio uliza Matiko kimsingi watangazaji mmepoteza radha ya kipindi maana Polepole hajajibu hata swali moja alilo uzizwa na Matiko Au nakosea jaman
WATU WAPINGE, WAKATAE AU WAKUBALI, UKWELI NI HUU: RAIS MH. J.P. MAGUFULI KAZI ILIYOFANYIKA KATIKA KIPINDI CHAKE NI KUBWA SANA; WANANCHI WAMEONA ,HAKUNA HAJA KAMPENI YEYE ANAPITA BILA KUPINGWA , AENDELEE TUU , ANAFAA SANA. RAIS WETU KWA SABABU AMETAMBUA NAFASI YA MUNGU KTK TAIFA LAKE , MUNGU ATAMUINUA NA KUMTUKUZA.
Shida ipo,viongozi wengi wanataka kila kilichoandikwa kwenye ilani kitekelezwe kama walivyoandika.kumbe kuna kuamisha matumizi ya kile ulichoandika kwenda sehemu nyingine kulingana na uhitaji wa mazingira husika.
Pozi Kwake Mzee Wa Ruksaaaa Bila Yeyeeee Mpaka Sasa Raizo, Bugaluu. Pekozi. Chachacha. Na Vingine Vingi. Mungu Hampe Afya Njema Na Uwai Mrefu na Kauri Thabiti.
Naomba nimuulize rais maswali kodi zetu ndio zinae mueka madarakan alifu leo anaongea kwamba tusipo mpa kura ata leta maendelea hata kidogo jee hizo kodi zetu sindio zinaojenga nchii au nipesa zake mfukon atuambie kuusu Ilo
Comrade kwa sehemu ambayo serikali yetu imesahau ni Serengeti kwenye barabara , barabara ya kutoka Serengeti to bundi ni vumbi , barabara ya Serengeti to Arusha ni vumbi , barabara ya Serengeti to Tarime ni vumbi , barabara ya Serengeti to musoma ni vumbi , , Watu wa Serengeti wamesahaulika sana wanadhaniwa nao ni wanyama pori , that is why Mara kuna upinzani mkali kisiasa coz wanaona kwamba wanabaguliwa
Daaaaa Polepole Noma aseeeee Nimekaa Longido Kuanzia Mwezi wa Pili mpaka wa Saba Ni Ukweli Mtupu Kwa wanalongido Bomba Linatokea West Kilimanjaro to Longido na Sasa wanataraji kuupeleka Namanga Lakini Mifugo Na wananchi wa Longido ni wanufaika DC Frank Mwaisumbe Ni Shuhuda
Mbona hakuna mkeka kutoka makutano kwenda natta, yaani barabara iliyoanza kujengwa mwaka 2013 mpaka leo hata km 20 hakuna unadanganya watu, hata hayo maji Butiama hamna.
Kwani tangu kupatikana kwa uhuru wa Tanzania mpaka kufikia saivi serikali inaongozwa na chama gani? Na wahujumu wa uchumi na wapiga dili wako chama gani? Mbona majibu yake Pole pole hayaendani na mwaswali aliyoulizwa?
Serikali ya Awamu ya 5 imefanya makubwa upinzani wamekosa hoja wabunge kama hawa wanatafuta makosa au kiki za kipuuzi CCM IMARA TUMEIAMINI TUTAZIDI KUIENZI
Pole pole Ana piga story badala ya kujibu hoja, Mariko kamuuliza ametimiza ilani yake kwa asilimia ngapi? Ajibu maswali hizo nyingine Ni blaa blaa tu. Tupe namba, hoja ya matiko haijajibiwa.
Global tv online... Hongereni sana kwa kazi nzuri ambayo mnafanya katika mazingira yote ambayo mnapitia na kutupatia taarifa sahihi na kwa wakati sahihi lakini sikosoi nashauri tu wakati wa habari au maelezo mtu kapiga simu sisi kama watu wenu tunahitaji kusikia anayoyasema bila kupata kusikia chengine ningeomba na nawaomba wakubwa wetu hizo soundtrack za chini ya maneno huwa zinatatiza sana katika kusikiliza habari hilo tu lakini hongereni kwa kazi nzur na mbarikiwe sana..
Toka nimezaliwa mwaka 1976 wilaya ya newala kwa mzee mkuchika ni shida ya maji tu tunakunywa maji ya kuchacha ambayo hayana uhakika na usalama ya kutuamisha visimani ya mvua ya mjomba hadisi tokahenzi za mzee mwinyi maji newala ni hadisi
Kwa kiwango gan huo utekelezaji umefanyika kulingana na ahadi zilizoko kwenye ilani ya chama Cha mapinduzi Hilo ndio swali la msingi. Hamjafikia hata 35 asilimia ndio hoja ya msingi
Ester umeuliza swala kama siyo mbunge. Nimeamini bungeni munatoroka kwa hiyo hamuelewi kinachoendelea. Yaani umesihindwa kujua maeeneo ambayo yalikuwa hifadhi wamerudishiwa wanaanchi kwa ajili ya wakulima na wafugaji
Mwenye akili huwezi kuacha nyumba yako ikiteketea kwa Moto ,, ukasaidie kuzima moshi unaofuka kwa jirani.. eti leo matiko unauliza utekelezaji wa ilani ya chama Cha mapinduzi,! Nyie mnalipwa rudhuku miaka mitano hata ofisi yenu ya chama yenye hadhi tu inawashinda..🤣🤣🤣 akili ni nywele
@@nelsonkazaura6954 heri umejuwa kuwa CCM inabendera ya kupeperuka na tukaifata, chadema sikumbuki mbendera ilichanikiaga wapi..🤣🤣🤣 mtanyooka mwaka huu 💚
Polepole kashindwa kujibu maswali alioulizwa badala yake anaongelea mambo mengine ambayo hajaulizwa, na yale aliojaribu kuyaongelea bado kachemka kwakweli hana la kujitetea
Huyu dads alikuwa anajishughurisha na uvamizi wa magereza kwa muda mwingi hiyo ilikuwa kwa manufaa yake 2 alichukuwa wiki mbili wanavyo jipenda chadema eti wanajifungia karantini usisahau hapo kila mbunge alichukua mamillion ya pesa wakaenda nyumba za kulala wageni huko ndiko walikuwa wanatanua.sasa anachukua agenda zake kwa pole pole hilo nikosa alikuwa na wakati mwingi aliutumia kufanya vurugu zilizo mshushia umashuhuri sana. Pole pole siyo bunge.
Kwanini wanaocoment wanatukana badala ya kujenga hoja, tujifunze kupingana bila ktukanana
Hilo ndio tatizo la uteam wa vyama maslahi ya nchi hatujal ndio linalocost
Kwel kabisa
watanzania wengi tumekuwa wajinga sana, wamezoea ndioooo
WaTz wengi hawajui wanachoongea, wanategemea mwanasiaa wawatafsirie...
Tangu lini Watanzania tukajibu hoja kwa hoja....Tumelelewa hivyo ukihoji unachapwa makonde au unatiwa korokoroni
Hongera sana Ester Matiko! Kumbe unasoma ilani ya chama cha mapinduzi!!
Asante sana mbunge wangu Matiko
Polepole ni katibu mwenezi wa ccm anayejua kazi yake the best ever
Umemjibu vizuri sana mwenezi wangu wa kitaifa hongera sana kwa ujuaji wa kiswahili fasaha kabisa kabisa unaongea nikama wewe ndiye uliye fanya hayo kaka
Nikupongeze sana ..... Sina cha kukupa ila moyo wangu wa dhati nakushukuru sana kijibu majibu mepesi kwakua unayajua sana...
Big up da ester real to educate a woman is to educate the whole society
Mbona anajibu maswali mengine sio yaliyoulizwa?
Global Tv huu ndiyo muundo mzuri wa kuijenga nchi yetu.
Vyama vitoe upeo yakinifu wa kuipeleka nchi yetu mbali zaidi.
Vilevile muwaonye watu ambao muda wote ni matusi.
Mitandao itumike kuijenga nchi yetu
Ama kweli uwalimu ni kazi ya kupewa heshima kubwa sana. Hivi mtu wa aina gani usiyeweza kuelewa alicho kiongea POLEPOLE
na ni mtanzania unayeishi wapi uliyeshindwa kujua serikali ya chama cha mapinduzi ilivyo tekeleza ilani yake kwa vitendo kwa zaidi ya 100%. Ama kweli sio wote wenye macho wanaweza kuona na sio wote wenye masikio wanaweza kusikia na sio wote wenye miguu wanaweza kutembea hii ni sawa na kumpigia mbuzi guitar. POLEPOLE kiatu ulicho kivaa kinakutosha kweli wewe ni mwenezi wa chama cha mapinduzi taifa. Keep it up!!
Duh hayo majibu yapo tofauti na maswali aliyoulizwa
Well done kumbe lami hadi inataka kufika mugumu kazi nzuri
Asante san kiongozi wangu porepore kwa maerezo wako mazuri mwenyezi MUNGU azidi kukuongoza vyema
Kweli polepole Kashindwa kujibu hoja za Matiku
Weoooooo mungu awabaliki ccm oyeeeeeeee
Kamuwaoo mume wako
Mh. Polepole umejibu vizuri maswali ya Mh. Matiko, mimi nafikiri kwa wale wanaoona umejibu tofauti na maswali yalivyoulizwa ni mtazamo wao pengine wanajua namna moja ya kujibu lakini kimsingi Mh. Matiko ameuliza juu ya utekelezaji wa ilani ya CCM na msingi wa majibu ya Mh. Polepole ni ilani ya CCM.
Ester matiko: humpherey una miaka mingapi?
Humphrey: Unajua mtoto wang ana miaka tisa na mke wang ana miaka 30 😂😂😂.
Daaaah......! Ni kheri nizime nisimalize bando langu maana swali lingine majibu mengine anajibu vingine 🤣🤣
Chadema hawajui kinacho endelea humu TZ in maskini was akili hawaoni,hawasikii jamani mbunge naelimu yako unauliza maswali ya kitoto! Du!! Poleni
Natamani tufike mahali tunasikiliza hoja na kujibu hoja kwa maslahi ya taifa bila kujali uchama, Yaani kuna muda natamani watu waache uchama tusimamie maendeleo ya taifa kwa ujumla,
Naipenda serekali yangu na nampenda rais wangu,
Ninapenda kukoselewa ili kunisukuma kusonga mbele, siku zote changamoto ni daraja la kutuvusha.
Kipekee mimi nawachukulia wapinzani kama Kioo cha chama tawala, bila wao tunaweza tusione madhaifu yetu,
Nimependa hoja zilizohojiwa zinatupa dira, hongera Esther kwa utulivu wakati wa kuhoji Upo vizuri,
Changamoto zipo kwenye utekelezaji na haya yanajibiwa kwa hoja kuntu, Mheshimiwa Rais anapambana Sana na anatamani Sana tufike mbali ila utekelezaji wa watendaji wengine ni changamoto.
Aaa bwana we ukosowaji gani huu wakinafiki hembu tujuzane yani hiyo tabia haina tofauti na vipofu tisa Waliyopo yew alafu kumshukuru bure wesjindwa
Kuna wengine wakisoma ulivyompongeza Esta roho zitawauma sanaaa!!
Ukiacha uchama ccm inatoka madarakani
well done...nlfkr jamaa atayumba kwenye maswali kumbe anafuatilia utekelezaji,hongera pia Ester Matiko kwa maswali mazur ya kimkakati...yu r better than Bulaya a little
Pua
Polepole uko vizuri..... CCM Oyeeeee
Polepole upo vizuri aiseeee! Much respect
Mheshimiwa polepole elewa kuwa watanzania kwa sasa tunajielewa sana baada ya kujibu maswali straight unatueleza habari za maji sijui barabara hayo sio maswali uliyoulizwa
Kwani miaka hiyo ya nyuma kulikuwa na chama kingine kilichoshika dora kabla ya ccm?
Mh. Polepole tunashukuru kwakutufikishia habari njema za Miradi ya Maendeleo ilio tekekelezwa sehem mbalimbali hapa Nchini na Serikali yetu ya Chama Cha Mapinduzi.
story balanced. good 👍👍
Dada nimekupenda Sana katika kuuliza maswali bt huwezi sema imetekelezwa 30 % hapana talk of 80 %
Ukiwasikiliza wanaCCM wanapojieleza utafikiri kwamba kuna chama fulani kilikuweko madarakani halafu kikatolewa ndio sasa CCM ikaingia.
unakili sana
Ni kweli kabisa
Paka anakimbizana na mkia wake,siku akiukamata atakuwa kajikamata!
Ndio propaganda za ccm kuwadanganya wa baazi ya Tz wasiojitambua, chama kimechoka ndio sababu kimepata Rais wazim kama alivyosema kikwete.
Kweli aisee
Upo vizuri Pole pole uchambuzi wako nakumbuka enzi zile unachambua soka na Musiba.
Yuko vizuri jinsi ulivyo wewe hoja anaacha majibu as nakimbilia yasiokueepo kwenye mada
Mheshimiwe Pole pele Jisikilize some times for improvements to respond questions ?
Vizuri sana vijana ,kulikoko kuingia mitandaoni-kilakitu wazi sauti picha hukweli wazi
Yani nilicho kiona hapo Ni hili.
Swali : Mhe Ester 1 + 1.
Jibu : Polee Unajua bwana hauwezi kutoa hesabu ya mtoto wa darasa la kwanza Yani Kwakweli si Jambo la kunipima Yani nadhani Mimi Kama Mimi 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Jibu swali moja kwa moja acha kuzunguka zunguka 😂😂😂. Fisiemu Kama Fisiemu bana toka 1961 porojo porojo
Watangazaji wa Global Tv mimi nilitegemea wakat polepole anajibu Matiko angekua hewani ili awe anaanamuongoza kujibu maswali alio uzwa ama nyinyi ndo mngemuongoza Polepole kujibu maswali yale alio uliza Matiko kimsingi watangazaji mmepoteza radha ya kipindi maana Polepole hajajibu hata swali moja alilo uzizwa na Matiko
Au nakosea jaman
Global TV behaves as a mouth piece. Very unprofessional
Wanaogopa kumuongoza,utasikia wafutwa kwenye air.
Ndgu watangazaji mbona mweshimiwa hendi kujibu maswali ya mwingi,hapo ndyo unapata siasa na kazi kazini pamoja
Ester Matiko ni mwanasiasa mzuri sana
Mbona Watu hamna shukrani!
Yaani anasema vitu ambavyo bado havijatimizwa na Ana conclude kuwa ni asilimia 30tu muongo. Ester
ajajibu hoja hata moja ii ndy ccm mpya hata katibu mwenezi ajui hat kujibu maswali mepes jibu hoja kwa takwim
Safi sana ndugu pole pole awamu hii hawana hoja . hapa kazi tu
Me cjamuelew polepole alichongea km na ww hujanielew naomb like
WATU WAPINGE, WAKATAE AU WAKUBALI,
UKWELI NI HUU: RAIS MH. J.P. MAGUFULI KAZI ILIYOFANYIKA KATIKA KIPINDI CHAKE NI KUBWA SANA; WANANCHI WAMEONA ,HAKUNA HAJA KAMPENI YEYE ANAPITA BILA KUPINGWA , AENDELEE TUU , ANAFAA SANA. RAIS WETU KWA SABABU AMETAMBUA NAFASI YA MUNGU KTK TAIFA LAKE , MUNGU ATAMUINUA NA KUMTUKUZA.
Huwezi kumuelewa Kwa sababu tayari ushapanga usimuelewe
Shida ipo,viongozi wengi wanataka kila kilichoandikwa kwenye ilani kitekelezwe kama walivyoandika.kumbe kuna kuamisha matumizi ya kile ulichoandika kwenda sehemu nyingine kulingana na uhitaji wa mazingira husika.
Kila kitu kitaanza itakapo fikaa december, na pesa ishatengwaa🤣🤣🤣Hapo tunaenda mitano minginee hivyooo
Pozi Kwake Mzee Wa Ruksaaaa Bila Yeyeeee Mpaka Sasa Raizo, Bugaluu. Pekozi. Chachacha. Na Vingine Vingi. Mungu Hampe Afya Njema Na Uwai Mrefu na Kauri Thabiti.
Naomba nimuulize rais maswali kodi zetu ndio zinae mueka madarakan alifu leo anaongea kwamba tusipo mpa kura ata leta maendelea hata kidogo jee hizo kodi zetu sindio zinaojenga nchii au nipesa zake mfukon atuambie kuusu Ilo
Mimi shahidi nimepitia njia
Ya Serengeti. Najua Nata
Na Mugumu togea nina
1972. Haikuwa na lami.
Majubu ypo vizuriii😘
Mhe polepole umemjibu vizuri sana mhe matiko.
Mqzuzu wenzio
Haya
Amemjibu kisomi kabisa,asiemuelewa Polepole hawezi kuelewa hata jina lake milele
Maswali alioulizwa hajayajibu
Nami nimewambiyaa a watu ivyo ivyo
Safi dadangu. Huo ndio upinzani Mzuri. Jazakallahu khair
Unaulizwa vingine unajibu vingine
Maswali uliyoulizwa hakuna hata moja umejibu
Duuuuh!! Huyu jamaa anajibu ambacho hajaulizwa. Kweli akili ni nywele na jamaa ana upara
This is my Tanzania
Ester safi kwa maswali pili polepole safi kwa kujibu tunaomba media zetu zifanyee hizi challenge za maswali
Umeulizwa kuwa irani yenu mmeitimiza kwa asilimia ngapi ? Punguza uongo mkuu.
Comrade kwa sehemu ambayo serikali yetu imesahau ni Serengeti kwenye barabara , barabara ya kutoka Serengeti to bundi ni vumbi , barabara ya Serengeti to Arusha ni vumbi , barabara ya Serengeti to Tarime ni vumbi , barabara ya Serengeti to musoma ni vumbi , ,
Watu wa Serengeti wamesahaulika sana wanadhaniwa nao ni wanyama pori , that is why Mara kuna upinzani mkali kisiasa coz wanaona kwamba wanabaguliwa
Hongera sana Polepole umeeleza vizuri.
Majibu hayajajitosheleza
Polepole unajua kujieleza sana,hongera
Daaaaa Polepole Noma aseeeee Nimekaa Longido Kuanzia Mwezi wa Pili mpaka wa Saba Ni Ukweli Mtupu Kwa wanalongido Bomba Linatokea West Kilimanjaro to Longido na Sasa wanataraji kuupeleka Namanga Lakini Mifugo Na wananchi wa Longido ni wanufaika DC Frank Mwaisumbe Ni Shuhuda
Pole pole nakukubali, unajibu vizuri
Unamkubali kwa lipi anajibu vitu ambavyohajaulizwa
Yote haya ni mazao ya upinzani japo wengi hawajui kama wapinzani wasingepaza sauti hata haya tunayaona tusingeyaona so bg up sana wapinzani
Umejibu vizuri sanaa, mzee polepole
Mbona hakuna mkeka kutoka makutano kwenda natta, yaani barabara iliyoanza kujengwa mwaka 2013 mpaka leo hata km 20 hakuna unadanganya watu, hata hayo maji Butiama hamna.
Kama hakuna mtu aliyeelewa majibu ya ndugu Pole pole akajifungie mpaka 2021
Hiyo ni story nyingine hajibu hoja. Mnabahati sana wananchi wengi upeo mdogo.
@@faustinluambano2958 Wananchi hatuhitaji kuelewa tunahitaji kuona nn kinafanyika na aliyosema polepole yote yanafanyika.
Wewe kama umemwelewa basi unatafuta cheo
akili ni nywele wewe unakipara du
Bahat hayo sio maswl kama alivyoulizwa
Kwani tangu kupatikana kwa uhuru wa Tanzania mpaka kufikia saivi serikali inaongozwa na chama gani? Na wahujumu wa uchumi na wapiga dili wako chama gani? Mbona majibu yake Pole pole hayaendani na mwaswali aliyoulizwa?
Chama cha Ccm lkn viongozi tofauti, hvyo punguzeni midomo mushukuru kwa mnayoyaona na siyo kulaumu tu kwa kila kitu wakati macho yenu yanaona.
Mh jee wilaya ya nayo ina lami ? au haiko Tanzania ?
Serikali ya Awamu ya 5 imefanya makubwa upinzani wamekosa hoja wabunge kama hawa wanatafuta makosa au kiki za kipuuzi CCM IMARA TUMEIAMINI TUTAZIDI KUIENZI
Kwani chadema wametawala lini tuiseme ccm toka 64 mpaka Leo hayo maendeleo yawapi
Tumekuwelewa bablai
Lakini bablai kwanini ndege zetu zisibebe minofu?
@@abdhihariabdhallah760 maendeleo ya tz Kwan we unataka ya wapi
Pole pole Ana piga story badala ya kujibu hoja, Mariko kamuuliza ametimiza ilani yake kwa asilimia ngapi? Ajibu maswali hizo nyingine Ni blaa blaa tu. Tupe namba, hoja ya matiko haijajibiwa.
Kuna tofauti KUBWA sana kati ya Esther matiko na mh polepole....
Sasa kuchelewa kooote huko ni kwa sababu CCM ndiyo imechelewesha maana ndiyo imenadi ilani yake kipindi chote hicho
Majibu ni tofauti na maswali jamani
Mradi wa maji wilaya ya Mwanga(Lembeni,Mgagao,kisangara,ishinde etc)-Kilimanjaro umeishia wapi? Muheshimiwa @Polepole
Global tv online...
Hongereni sana kwa kazi nzuri ambayo mnafanya katika mazingira yote ambayo mnapitia na kutupatia taarifa sahihi na kwa wakati sahihi lakini sikosoi nashauri tu wakati wa habari au maelezo mtu kapiga simu sisi kama watu wenu tunahitaji kusikia anayoyasema bila kupata kusikia chengine ningeomba na nawaomba wakubwa wetu hizo soundtrack za chini ya maneno huwa zinatatiza sana katika kusikiliza habari hilo tu lakini hongereni kwa kazi nzur na mbarikiwe sana..
Hivi Polepole unalikumbuka swali uliloulizwa?
Mim ni mwalimu wa sayansi kimu shule ya msingi kinegamgosi naulizia laptop zetu lini??
Nilipewa mimi mwanafunzi badala yako
@@rehemaomary3267 basi kwa muktadha huo kidumu chama
Toka nimezaliwa mwaka 1976 wilaya ya newala kwa mzee mkuchika ni shida ya maji tu tunakunywa maji ya kuchacha ambayo hayana uhakika na usalama ya kutuamisha visimani ya mvua ya mjomba hadisi tokahenzi za mzee mwinyi maji newala ni hadisi
Watanzania hebu tumuache Magufuli amepiga kazi awamu hii tena kwa speed sana, mi niko Arusha sioni kitu Lema amefanya huku kazi ni majungu tu
Una mavi nini lema anakusanya kodi ? Unamlinganishaje na mh rais
Atoe pesa yake ya mfukoni?
Kwa kiwango gan huo utekelezaji umefanyika kulingana na ahadi zilizoko kwenye ilani ya chama Cha mapinduzi Hilo ndio swali la msingi. Hamjafikia hata 35 asilimia ndio hoja ya msingi
Aiseee majibu tofauti na maswali et
Huna akili mbwa ww
Ester umeuliza swala kama siyo mbunge. Nimeamini bungeni munatoroka kwa hiyo hamuelewi kinachoendelea. Yaani umesihindwa kujua maeeneo ambayo yalikuwa hifadhi wamerudishiwa wanaanchi kwa ajili ya wakulima na wafugaji
Jibu maswali uliyoulizwa wananchi sasa tunajitambua sana hizo siasa tumezichoka
Mwenye akili huwezi kuacha nyumba yako ikiteketea kwa Moto ,, ukasaidie kuzima moshi unaofuka kwa jirani.. eti leo matiko unauliza utekelezaji wa ilani ya chama Cha mapinduzi,! Nyie mnalipwa rudhuku miaka mitano hata ofisi yenu ya chama yenye hadhi tu inawashinda..🤣🤣🤣 akili ni nywele
Unaijua ilan ya ccm au ww unaipenda ccm. Acha kukoment kama hujuw coz anachoongea nichakisomi. Je ww unayajua
Uko nje kabisa hiyo sio Sera
Inayo jadiliwa hapo ,acha majungu
Uwe na akili sio kinachasemwa na CCM wewe kazi ni kupongeza tu, chambua hoja kwa kufuatilia yaliyonenwa awali.wewe ni bendeta hufuata upepo tu!
@@nelsonkazaura6954 heri umejuwa kuwa CCM inabendera ya kupeperuka na tukaifata, chadema sikumbuki mbendera ilichanikiaga wapi..🤣🤣🤣 mtanyooka mwaka huu 💚
Kwahiyo ruzuku unataka upewe wewe
Xaxa mngekuwa ninyie chadema mngefanya??? Acheni kutuchanganya bwana
Hapo umezunguka sana umepoteza muda
Barabara mpaka leo ina mahanda hivi hamuoni aibu ?
Huhuhuhuhuhu katibu unakwama sana. Hayo mliyoyafanya ni kwa asilimia hata 80
Hivi nyie watangazaji mnafanyakazi gani hapo? yani mtu anaulizwa maswali mengine yeye anaongea yakwake. mnatumika!!
Hayo siyo maswali uliyo ulizwa
Hata roma haikujengwa kwa ck moja wapinzani tulieni mambo ni polepole mwisho tutafika
Mtake msitake mstari ni mmoja tu kijaniii.....full stop
Full stop
Hongera CCM
Aaaah pole pole bhana jibu maswali iliyoulizwa mbona we vip bwana
Hii Tv nimeipenda iko sawa kila pande safi sana
Hayo ndio maswali mnayosema Esther amembana Polepole? Mbona yamejibiwa kiufasaha?
Hiyo barabara ya makutano to Mugumu imejengwa kwa miaka nane na hazifiki 120km Polepole umetaja suguti roho imeniuma namna shida ya maji ilivyo.
Polepole nakupenda bure unajibu hoja kw mpangilio
Ccm no one
Huyu ametunga mtihani wake NA kujibu halafu anajisifu amefaulu. Specific questions need specific answers. Hii ni ilani YA CCM anababaisha.
Puuuuumbaaaa kabsaaa.
Ahahaaa siasa banaaaa.... Ingekuwa hata maswali Darasani ukiona magumu unatoa majibu unayokumbuka tuuu, haki ningesoma sanaaaaaaaaaa, polepole usiende Nje ya swali, mwana Ccm Mwenzangu
Mh polepole ile wilaya ya Pangani mbona mmeitelekeza ? Au hii wilaya haipo Tanzania ?
Dada nimekuelewa sana
Maji ni mengi sana huwezi kujenga mabwawa
Hongera polepole umenena point tupu
Out of my marking scheme lol
😃😃😃
Polepole bhana usituvuruge tunataka ujibu maswali
Umeulizwa mengne unajibu mengne nyny globo mnamsikiliza badala ya kumhoji
Hongera polpole
Polepole kashindwa kujibu maswali alioulizwa badala yake anaongelea mambo mengine ambayo hajaulizwa, na yale aliojaribu kuyaongelea bado kachemka kwakweli hana la kujitetea
Huyu dads alikuwa anajishughurisha na uvamizi wa magereza kwa muda mwingi hiyo ilikuwa kwa manufaa yake 2 alichukuwa wiki mbili wanavyo jipenda chadema eti wanajifungia karantini usisahau hapo kila mbunge alichukua mamillion ya pesa wakaenda nyumba za kulala wageni huko ndiko walikuwa wanatanua.sasa anachukua agenda zake kwa pole pole hilo nikosa alikuwa na wakati mwingi aliutumia kufanya vurugu zilizo mshushia umashuhuri sana. Pole pole siyo bunge.
Pole pole mjinga sana unchoulizwa cyo unachojibu!
ayo ndo maswali uliyoulizwa?
Kuna vikubwa zaidi ya malambo ndege moja ya 787 dreamliner inaweza kutengeneza malambo elfu