Hapo ni sisi Kwa sisi kusaidiana...serikali ifanye yake na ikikupa msaada mwisho watakupa na masharti kipaji kinakufa...hapo ni Wana 1000 hapa Tz tunampa mwana 10000 kila mmoja kisha tunamwambia fanya kikubwa zaid😊😊😊
Cha ajabu kuna mtu sahii anasoma automotive engineering lakini hiki kitu hawezi elimu yetu ya bongo kazi sana big up sana kwa huyo kijana vijana wa veta pia wanafanya vizuri
Tanzania tuna vijana wengi sana wenye ujuzi wengi sana wangekusanywa na wakachukua na walio kaa darasani Kwa ujuzi tofauti ndani ya mwaka tungeunda gari zuri na lenye sura nzuri ...kongore sana kaka hii inaonyesha tunaweza na watu weupe wanajua sema wanapiga kichwa siku zote Kwa misaada hisiyo na tija unapewa mchele na unamchele daah Mungu aikomboe Tanzania
Ni ajabu sana walio wengi vyuoni hawawezi yeye bila vidato kafanya. Kipaji hiki kitunzwe kwa gharama yoyote na kitufae Watanzania wote. NAKUPONGEZA KIJANA asante AYO kwa kutusogezea hii.
❤❤❤❤❤❤blavo blavo kazi nzur sema tu kwa Tz umona upo kwenye Raman na sio kwa vitendo, Kama ingelikua Ni nchi za wenzetu mfano watu weupe wanabebana Sana lakin sisi watu weusi tuna loho mbaya hatupendi mafanikio ya mtu mwingine🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 we pambana ukibahatika kupata kamtaji jiendeleze wewe mwenyewe
Hapa ndipo Rais wetu wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan anatakiwa aanzie hapa kwa kijana kutupeleka kwenye Gari zetu watanzania Historia ita andikwa upya Masud kipanya Nduguyo huyo Wateja tupo tayari
Kwanza tumshukuru Mungu kwa neema ya Kipaji. Gari nzuri na ni gari ya michezo. Pongezi kwa mtoto huyu. Kisheria miaka 17 ni mtoto . Pili, nawapongeza sana traffic police waliomkamata na kumwachia akakuze Kipaji chake. Naiomba Serikali imuwezeshe kisheria asajili gari lake. Tatu nampongeza mwandishi wa habari kwa maswali makini.
In Kenya we do help such people and give them the support they need. Kuna mwenye alitengeneza ndege Kenya sasa hivi amekuwa tajiri. Mwambieni akuje Kenya serikali imchukue huyu atakuwa millionaire haraka sana Kenya. Kuna kampuni ya kuunda magari kenya inaitwa Mobius wanachukua watu kama hawa wenye akili innovative. Come to Kenya bro and you will be recognised across Africa.
He took bajaj/Chinese cargo tricycle engine, designed the chassis, he took bajaj/chanise cargo tricycle wiring and put in it, assembled everything all together..then boom l.....
Asitafute sapoti ya serikali, huwa wanapoteza vipaji vyao, watu wa namna hii waungane wafanye kitu, wanasiasa/serikali hupiga kelele kisha wanakuwa kimya milele. Sijasikia tena wala kona magari ya umeme ya Bw. Kipanya
Kijana inatakiwa utulie kwanza, tuliza akili, usiende mbio mbio sana, na Wala usikimbilie kupata mfadhiri, na usiwe mwepesi kutoa ujuzi waki hovyo Kwa kila mtu, Tz watakuchungulia Alf watakutupa hapo, fanta kazi wmenyewe binafsi, uza Moja kama tangazo Alf zinazofuata pandisha bei
Yaani kama umeishia la saba umefanya hayo ,tafadhali tafuta mtu wa pcm akupige pindi. An ukijua ma electromagnet na ma molecular physics utafanya makubwa zaidi ,usife
Tengeneza broh...na Mungu akitimilizie ndoto Yako ije 🙏 Amen 🔥♥️
Kwa ufupi waafrika ni smart sana basi tu, hatunaga support, hongera kijana
Support ni mimi na wewe wa inje sio lazima
@@muduboy726 ni kweli
Hapo ni sisi Kwa sisi kusaidiana...serikali ifanye yake na ikikupa msaada mwisho watakupa na masharti kipaji kinakufa...hapo ni Wana 1000 hapa Tz tunampa mwana 10000 kila mmoja kisha tunamwambia fanya kikubwa zaid😊😊😊
@@jifunzeleo.8610
Ukoloni mambo leo umetufanya waafrika kujiona hatuwezi kabisa.
Cha ajabu kuna mtu sahii anasoma automotive engineering lakini hiki kitu hawezi elimu yetu ya bongo kazi sana big up sana kwa huyo kijana vijana wa veta pia wanafanya vizuri
Tunaomba makampuni ya kitanzqnia yaingie kwenye uwekezaji wa technologia vijana wa hivi wako wengi
inaumiza san
Safi sana kijana simamia ndoto zako Mwenyezi Mungu atakufikisha mbali sana!
Tanzania tuna vijana wengi sana wenye ujuzi wengi sana wangekusanywa na wakachukua na walio kaa darasani Kwa ujuzi tofauti ndani ya mwaka tungeunda gari zuri na lenye sura nzuri ...kongore sana kaka hii inaonyesha tunaweza na watu weupe wanajua sema wanapiga kichwa siku zote Kwa misaada hisiyo na tija unapewa mchele na unamchele daah Mungu aikomboe Tanzania
Hongera sana Bwana mdogo, umeupiga mwingi
Duu mungu akufungulie njia utengeneze mengi.Tutumie Hata sisi wa vijijini
Huyu angekuwa kwa wenzet ninkama dhahab kwao,serikal yetu imuone kwa jicho la tofaut🎉🎉🎉🎉🎉
Serikali ipi sasa😮😢😂
Vipaji hivi vinapuuzwa,Mungu tufungue macho waafrika, tufumbue macho tuone uwezo wetu uliotupa,utajiri uliotupa katika ardhi na vichwa vyetu!!!
Kweli kabs kk waafrika tumefumbwa sjui WP unaweza shangaa mtu Kama uyu anachukuliwa at sheria
Ni ajabu sana walio wengi vyuoni hawawezi yeye bila vidato kafanya. Kipaji hiki kitunzwe kwa gharama yoyote na kitufae Watanzania wote. NAKUPONGEZA KIJANA asante AYO kwa kutusogezea hii.
kwa kunsapot kijana nitamuoda gari2 kama hizo aniuzie cha kuomba 2serikali itoe vibali vya uyu kijana kwa haraka ili aweze kufanya biashara
Very talented, hongera sana kwa kuthubutu kuonyesha uwezo wako
Ingekua nchi za ulaya ungepata ajira apo apo lakin kwetu tz utabaki kusifiwa tu ila kaza usivunjike moyo utatoka
KWENYE FINISHING DOGO ANATISHA NI YA KIJANJA SANA
Kachukue leseni kaka😂😂dahhhh balaaa wewe ni nona mungu akubarikie ameen
Dah kwa kweli dogo anajua sana yani Tanzania tunaweza sana 😢
Good idea Big up bro
hapa kilicho baki ni serikali kutoa support
Tengeneza mengi boss utuuzie
Kwakweli hata Mimi nalihitaji
Ishu siyo kutengeneza ishu jamaa Hana mtaji labda Mtu ajitokeze awekeze
Hata akiwezeshwa utaambiwa halijakidhi vigezo vya usalama. Yale ya masoud kipanya yako wapi mpaka leo
Serikali ikimpinga hatukubali tutaandmana kumtetea
Umenifurahisha sana
Hongera sana kijana serikali ikusaidie kulinda carrier yako
Mama Samia please look at this boy @ikulu
❤❤❤❤❤❤blavo blavo kazi nzur sema tu kwa Tz umona upo kwenye Raman na sio kwa vitendo, Kama ingelikua Ni nchi za wenzetu mfano watu weupe wanabebana Sana lakin sisi watu weusi tuna loho mbaya hatupendi mafanikio ya mtu mwingine🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 we pambana ukibahatika kupata kamtaji jiendeleze wewe mwenyewe
Wajapani na Wachina wamefika mwisho, Mungu atusaidie sana, tuna vipaji Vingi, hunger sana Mungu akulinde
Hapa ndipo Rais wetu wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan anatakiwa aanzie hapa kwa kijana kutupeleka kwenye Gari zetu watanzania Historia ita andikwa upya Masud kipanya Nduguyo huyo Wateja tupo tayari
Ni mbunifu mzuri na wabunifu kama hawa tunao wengi sana hapa nchni, kwasasa tunahitaji zaidi waundaji
❤🇹🇿 tutatoka2 bongo apa apa tunaweza
Masha'allah MNGU atamuinua zaidi
Masoud kipanya anabidi amuone uyo kijana waunganishe mawazo Kwa pamoja
Duh kumbe kuna masudi kipanya pia huku kuna jamaa anaitwa masudi kipaka au ndo amecopy
Kweli halloo wakae pamoja mbona hakuna linaloshindikana
Uwakika
Tulioishia darasa la saba tuna kitu tutafika mbali 😊😊😊
good creativity, big up sana kijana.
Allah amjaalie hakika ana kipaji wallah
Keep it up
Amen kijana Bwana akuinue ufikie maono yako
brother bigup kumbe tunaweza...soon magar yatakua manufactured bongo
Mwanangu god huyo🙌🙌🙌
Woow! Wooow! Wooow!!❤
nimeipendaaa
Tengeneza ving hivyo utuuzie funika juu mvua isitunyeshee bro safi sana Mungu akubarik sasa WAJAPAN awataniona
La summer manake sio matumizi ya kipindi cha mvua,
Tokea 2022 serikali haijamuona tu ,Ama kweli serikali yetu ya Tanzania ni ya hovyo sana 😠😠😠
Mwenyezimungu akusaidie kipaji chako kisififie hata uwe na kampuni yako🙏
"Amelitengeneza gari hili yeye mwenyewe; kuanzia mwanzo, mpaka mwisho". Labda tuseme "ameliunda"
Hongera sana kwa kitu ulichokifanya. Tunaweza!
Kazi nzuri kijana ila kwa muda mwingine unda bajaj za abilia na mizigo itakisaidia sana
Naamini kwa watanzania wa Sasa naamini utasaidiwa mungu ni mwema aendelee kukupa uwezo wa kufanya zaidi ya
Hata baadhi ya watu wakibeza, huu ni usafiri ukizingatia ni gari ya kwanza. Gari ya kumi na kuendelea itakuwa na maboresho makubwa.
Mungu ambariki sanaaaa huyu kijana
Ni muhimu sana kuendeleza hicho kipaji!!
Hongera sana kijana
👏Congrats 🎉👍
Safiiiiiiiii sanaaaaaaaa
Safi sana mtanzania🇹🇿 mwenzetu
Big up sana, kijana yupo Vizuri, Tunawezaje kupata mawasiliano yake??
mambo kama haya hayapewi airtime ,ila mambo yakijinga ndio yamapewa muda , tz inashida kubwa sana kwa watu kama hawa
Kwanza tumshukuru Mungu kwa neema ya Kipaji. Gari nzuri na ni gari ya michezo. Pongezi kwa mtoto huyu. Kisheria miaka 17 ni mtoto . Pili, nawapongeza sana traffic police waliomkamata na kumwachia akakuze Kipaji chake. Naiomba Serikali imuwezeshe kisheria asajili gari lake. Tatu nampongeza mwandishi wa habari kwa maswali makini.
Finishing ya kijanja sana
In Kenya we do help such people and give them the support they need. Kuna mwenye alitengeneza ndege Kenya sasa hivi amekuwa tajiri. Mwambieni akuje Kenya serikali imchukue huyu atakuwa millionaire haraka sana Kenya. Kuna kampuni ya kuunda magari kenya inaitwa Mobius wanachukua watu kama hawa wenye akili innovative. Come to Kenya bro and you will be recognised across Africa.
Millard ayo Kwa hii taarifa umechelewa sana kuigundua
Nakuunga mkono pia nimeiona mda sana alifanyiwa interview na watu wa nje mpaka nikajiuliza mbona kwa millard sion kitu na huyu ni mbongo mwenzetu.
😂😂😂 hongera sn sn🤝
Nimekipenda hicho kigari
Tunaomba asije akakubali kuuza ugunduzi wake kwa wezi wa technology za wa Africa na kwenda kusema wao ndio wamegundua
wapo wengi sana mtaani ila serikali yetu wapo kimagumashi sana
Big up brother ❤
Endelea kuwekeza kwenye utengenezaji, hongera
Tatizo wawekezaji na support hamn
Hongera sana, ila ongeza umakini kwenye finishing
Finishing iko safi ww ujui kitu
Tanzania watu kama Hawa hawazeee kupata sapoti niamini mm
Mungu atusimamie waafrika
Bigup bro💪💪👍👍👏👏
naiona nuru
He took bajaj/Chinese cargo tricycle engine, designed the chassis, he took bajaj/chanise cargo tricycle wiring and put in it, assembled everything all together..then boom l.....
Unajaribu kusema nn??
@@jumamkoka2267 sorry i was in hurry at times when i was writing my comment... probably now you can understand what i wanted to address sir.
Oh, ok
Genius
Atengeneze mengi ayauze ntanunua moja
Safi sana👏
Blessed
Kumbe formula1 one inaweza fanyika bongo hii lewis Hamilton atakuja bongo siku moja
Ametisha sana
Mtu wa maana kabisaaaaa
Tengeneza mengi mkuu tujekununua
Mbona kama formula one 😂😂,
Tunavipaji vingi Sana Watanzania lakini kuwezeshwa bado tupo nyuma sana. Hii itapunguza utegemezi kutoka nje.
Namkumbuka 20 percent.kwa wenye hela zitaongea hela ila wenye vipaji wengi mafukara. Naficha na na naficha naficha yale ninayoyaona.
Usijaribu kutoa siri yeyote vile umetengeneza hilo ndo wazo langu.
Focus kwenye magari, fikiria improvement za zaidi
Asitafute sapoti ya serikali, huwa wanapoteza vipaji vyao, watu wa namna hii waungane wafanye kitu, wanasiasa/serikali hupiga kelele kisha wanakuwa kimya milele. Sijasikia tena wala kona magari ya umeme ya Bw. Kipanya
Dah uyu mwamba ni noma San pita humo humo kijan mungu atasaidia
Kijana inatakiwa utulie kwanza, tuliza akili, usiende mbio mbio sana, na Wala usikimbilie kupata mfadhiri, na usiwe mwepesi kutoa ujuzi waki hovyo Kwa kila mtu, Tz watakuchungulia Alf watakutupa hapo, fanta kazi wmenyewe binafsi, uza Moja kama tangazo Alf zinazofuata pandisha bei
Anichek tufanye mambo
Mkiwa mnamsaidia mtu mnaandika namba yake au mitandao yake yakijamii ili tunaopenda kusupport hatuwezi kumaccess
Naomba kulinunua
Kweli 'engine' ina nguvu 🎉🎉🎉
Dogo ungefanya kimya kimya tu. Hapa ukishatangazwa tu basi, badala ya kunyanyuliwa unashushwa.
Kwanza tunamkamata anawekwa ndani Hana kibali,anaendesha vipi gari?......(Serikali yetu! KP motors iko wapi hadi Leo?)
Ingekua kwa wenzetu daaaah ingekua ni dhahabu kbs serikali wamuangalie kwa jicho lingine
Millard naomba mawasiliano yake anitengenezee/aniuzie moja
Daah gari la ghalama nafuu sana..
Kama wew so fundi hauwezi kumuelewa uyo mkali . unajua man umemjibu kiufundi zaid apo mwisho aise nakubali sana
President ya Tanzania mama samia ange mchurulikia ule kijana
Serekali na sekta mbalimbali Supports zenu kwa Kijana uyo mwenye uwezo
Yaani kama umeishia la saba umefanya hayo ,tafadhali tafuta mtu wa pcm akupige pindi. An ukijua ma electromagnet na ma molecular physics utafanya makubwa zaidi ,usife
Anapatikana wapi huyu jamaa
Viongoz wa Tanzania wanazingua sna, uwaambie kutuma askali police kukamata Boda Boda, hapo wanaweza xna,,
Na Mimi nataka naniuzie Moja Kwa kweli