GENIUS ATENGENEZA GARI, LINA KILA KITU, SPIDI HATARI, ANATAKA KUTENGENEZA BOTI NA NDEGE

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 28 бер 2024

КОМЕНТАРІ • 271

  • @Keyjop
    @Keyjop 3 місяці тому +11

    Tengeneza broh...na Mungu akitimilizie ndoto Yako ije 🙏 Amen 🔥♥️

  • @Fabulousmom509
    @Fabulousmom509 3 місяці тому +39

    Kwa ufupi waafrika ni smart sana basi tu, hatunaga support, hongera kijana

    • @muduboy726
      @muduboy726 3 місяці тому +5

      Support ni mimi na wewe wa inje sio lazima

    • @Fabulousmom509
      @Fabulousmom509 3 місяці тому +2

      @@muduboy726 ni kweli

    • @jifunzeleo.8610
      @jifunzeleo.8610 2 місяці тому

      Hapo ni sisi Kwa sisi kusaidiana...serikali ifanye yake na ikikupa msaada mwisho watakupa na masharti kipaji kinakufa...hapo ni Wana 1000 hapa Tz tunampa mwana 10000 kila mmoja kisha tunamwambia fanya kikubwa zaid😊😊😊

    • @RamadanPaul
      @RamadanPaul 2 місяці тому

      ​@@jifunzeleo.8610
      Ukoloni mambo leo umetufanya waafrika kujiona hatuwezi kabisa.

  • @dennisdeogratius6558
    @dennisdeogratius6558 3 місяці тому +11

    Cha ajabu kuna mtu sahii anasoma automotive engineering lakini hiki kitu hawezi elimu yetu ya bongo kazi sana big up sana kwa huyo kijana vijana wa veta pia wanafanya vizuri

  • @recenttechnologiestanzania2703
    @recenttechnologiestanzania2703 3 місяці тому +35

    Tunaomba makampuni ya kitanzqnia yaingie kwenye uwekezaji wa technologia vijana wa hivi wako wengi

  • @RamadhaniLukambuzi
    @RamadhaniLukambuzi 3 місяці тому +7

    Safi sana kijana simamia ndoto zako Mwenyezi Mungu atakufikisha mbali sana!

  • @shalomchaula4420
    @shalomchaula4420 3 місяці тому +9

    Tanzania tuna vijana wengi sana wenye ujuzi wengi sana wangekusanywa na wakachukua na walio kaa darasani Kwa ujuzi tofauti ndani ya mwaka tungeunda gari zuri na lenye sura nzuri ...kongore sana kaka hii inaonyesha tunaweza na watu weupe wanajua sema wanapiga kichwa siku zote Kwa misaada hisiyo na tija unapewa mchele na unamchele daah Mungu aikomboe Tanzania

  • @amielraphael2927
    @amielraphael2927 3 місяці тому +4

    Hongera sana Bwana mdogo, umeupiga mwingi

  • @ALONMWAMPAMBA
    @ALONMWAMPAMBA 3 місяці тому +10

    Duu mungu akufungulie njia utengeneze mengi.Tutumie Hata sisi wa vijijini

  • @farijalamhanga5097
    @farijalamhanga5097 3 місяці тому +24

    Huyu angekuwa kwa wenzet ninkama dhahab kwao,serikal yetu imuone kwa jicho la tofaut🎉🎉🎉🎉🎉

  • @nsajimwasege68
    @nsajimwasege68 3 місяці тому +15

    Vipaji hivi vinapuuzwa,Mungu tufungue macho waafrika, tufumbue macho tuone uwezo wetu uliotupa,utajiri uliotupa katika ardhi na vichwa vyetu!!!

    • @Ommyjr-en9fc
      @Ommyjr-en9fc 2 місяці тому

      Kweli kabs kk waafrika tumefumbwa sjui WP unaweza shangaa mtu Kama uyu anachukuliwa at sheria

  • @ezrajohn6444
    @ezrajohn6444 3 місяці тому +10

    Ni ajabu sana walio wengi vyuoni hawawezi yeye bila vidato kafanya. Kipaji hiki kitunzwe kwa gharama yoyote na kitufae Watanzania wote. NAKUPONGEZA KIJANA asante AYO kwa kutusogezea hii.

  • @kammunisi2296
    @kammunisi2296 3 місяці тому +11

    kwa kunsapot kijana nitamuoda gari2 kama hizo aniuzie cha kuomba 2serikali itoe vibali vya uyu kijana kwa haraka ili aweze kufanya biashara

  • @jameskajenge3109
    @jameskajenge3109 3 місяці тому +2

    Very talented, hongera sana kwa kuthubutu kuonyesha uwezo wako

  • @KijukuuMtemi
    @KijukuuMtemi 3 місяці тому +6

    Ingekua nchi za ulaya ungepata ajira apo apo lakin kwetu tz utabaki kusifiwa tu ila kaza usivunjike moyo utatoka

  • @kimwerimwerondo708
    @kimwerimwerondo708 3 місяці тому +7

    KWENYE FINISHING DOGO ANATISHA NI YA KIJANJA SANA

  • @allybobsaith
    @allybobsaith 3 місяці тому +2

    Kachukue leseni kaka😂😂dahhhh balaaa wewe ni nona mungu akubarikie ameen

  • @chidi_don
    @chidi_don 3 місяці тому +6

    Dah kwa kweli dogo anajua sana yani Tanzania tunaweza sana 😢

  • @user-ex6vo5wu2x
    @user-ex6vo5wu2x 3 місяці тому +6

    Good idea Big up bro
    hapa kilicho baki ni serikali kutoa support

  • @Mshuta
    @Mshuta 3 місяці тому +31

    Tengeneza mengi boss utuuzie

    • @hellenmawere9284
      @hellenmawere9284 3 місяці тому +1

      Kwakweli hata Mimi nalihitaji

    • @justinbara6783
      @justinbara6783 3 місяці тому +1

      Ishu siyo kutengeneza ishu jamaa Hana mtaji labda Mtu ajitokeze awekeze

    • @bukharysaid
      @bukharysaid 3 місяці тому +2

      Hata akiwezeshwa utaambiwa halijakidhi vigezo vya usalama. Yale ya masoud kipanya yako wapi mpaka leo

    • @jifunzeleo.8610
      @jifunzeleo.8610 3 місяці тому +1

      Serikali ikimpinga hatukubali tutaandmana kumtetea

    • @shaviercharvinho18
      @shaviercharvinho18 2 місяці тому

      Umenifurahisha sana

  • @mwana-unique
    @mwana-unique 2 місяці тому

    Hongera sana kijana serikali ikusaidie kulinda carrier yako

  • @brainyieldschools
    @brainyieldschools 3 місяці тому +2

    Mama Samia please look at this boy @ikulu

  • @alexmathias6620
    @alexmathias6620 2 місяці тому

    ❤❤❤❤❤❤blavo blavo kazi nzur sema tu kwa Tz umona upo kwenye Raman na sio kwa vitendo, Kama ingelikua Ni nchi za wenzetu mfano watu weupe wanabebana Sana lakin sisi watu weusi tuna loho mbaya hatupendi mafanikio ya mtu mwingine🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 we pambana ukibahatika kupata kamtaji jiendeleze wewe mwenyewe

  • @SamsonBupamba-oh3yl
    @SamsonBupamba-oh3yl 3 місяці тому +1

    Wajapani na Wachina wamefika mwisho, Mungu atusaidie sana, tuna vipaji Vingi, hunger sana Mungu akulinde

  • @user-ku4xq4nd9v
    @user-ku4xq4nd9v 3 місяці тому +3

    Hapa ndipo Rais wetu wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan anatakiwa aanzie hapa kwa kijana kutupeleka kwenye Gari zetu watanzania Historia ita andikwa upya Masud kipanya Nduguyo huyo Wateja tupo tayari

  • @user-ps1ph9iv5b
    @user-ps1ph9iv5b 3 місяці тому +4

    Ni mbunifu mzuri na wabunifu kama hawa tunao wengi sana hapa nchni, kwasasa tunahitaji zaidi waundaji

  • @fundimagariDSM
    @fundimagariDSM 3 місяці тому +2

    ❤🇹🇿 tutatoka2 bongo apa apa tunaweza

  • @achouraachoura5763
    @achouraachoura5763 3 місяці тому +1

    Masha'allah MNGU atamuinua zaidi

  • @chidiomari.65
    @chidiomari.65 3 місяці тому +34

    Masoud kipanya anabidi amuone uyo kijana waunganishe mawazo Kwa pamoja

    • @Shokolokobango9385
      @Shokolokobango9385 3 місяці тому

      Duh kumbe kuna masudi kipanya pia huku kuna jamaa anaitwa masudi kipaka au ndo amecopy

    • @deniccgabriel6153
      @deniccgabriel6153 3 місяці тому +5

      Kweli halloo wakae pamoja mbona hakuna linaloshindikana

    • @wilsonnzowa3620
      @wilsonnzowa3620 3 місяці тому +1

      Uwakika

  • @bina2557
    @bina2557 3 місяці тому +3

    Tulioishia darasa la saba tuna kitu tutafika mbali 😊😊😊

  • @user-bp2qu2ir7i
    @user-bp2qu2ir7i 2 місяці тому

    good creativity, big up sana kijana.

  • @allythabiti8150
    @allythabiti8150 3 місяці тому +1

    Allah amjaalie hakika ana kipaji wallah

  • @jerrywilhelm
    @jerrywilhelm 2 місяці тому

    Keep it up

  • @user-mm1qe7zx8c
    @user-mm1qe7zx8c 3 місяці тому

    Amen kijana Bwana akuinue ufikie maono yako

  • @Avith-lj2sp
    @Avith-lj2sp 3 місяці тому +2

    brother bigup kumbe tunaweza...soon magar yatakua manufactured bongo

  • @wazirijunior3343
    @wazirijunior3343 2 місяці тому

    Mwanangu god huyo🙌🙌🙌

  • @spency2371
    @spency2371 3 місяці тому +1

    Woow! Wooow! Wooow!!❤

  • @user-bp2qu2ir7i
    @user-bp2qu2ir7i 2 місяці тому

    nimeipendaaa

  • @stevenchawala5316
    @stevenchawala5316 3 місяці тому +1

    Tengeneza ving hivyo utuuzie funika juu mvua isitunyeshee bro safi sana Mungu akubarik sasa WAJAPAN awataniona

    • @atutweve4160
      @atutweve4160 3 місяці тому

      La summer manake sio matumizi ya kipindi cha mvua,

  • @mzikiplustz
    @mzikiplustz 3 місяці тому +2

    Tokea 2022 serikali haijamuona tu ,Ama kweli serikali yetu ya Tanzania ni ya hovyo sana 😠😠😠

  • @kevinkatima4975
    @kevinkatima4975 3 місяці тому

    Mwenyezimungu akusaidie kipaji chako kisififie hata uwe na kampuni yako🙏

  • @durangobasics6195
    @durangobasics6195 3 місяці тому +1

    "Amelitengeneza gari hili yeye mwenyewe; kuanzia mwanzo, mpaka mwisho". Labda tuseme "ameliunda"
    Hongera sana kwa kitu ulichokifanya. Tunaweza!

  • @midundotechtz6843
    @midundotechtz6843 3 місяці тому

    Kazi nzuri kijana ila kwa muda mwingine unda bajaj za abilia na mizigo itakisaidia sana

  • @user-cs9jj4ds9u
    @user-cs9jj4ds9u 3 місяці тому

    Naamini kwa watanzania wa Sasa naamini utasaidiwa mungu ni mwema aendelee kukupa uwezo wa kufanya zaidi ya

  • @paulinacharles8969
    @paulinacharles8969 3 місяці тому +2

    Hata baadhi ya watu wakibeza, huu ni usafiri ukizingatia ni gari ya kwanza. Gari ya kumi na kuendelea itakuwa na maboresho makubwa.

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 3 місяці тому

    Mungu ambariki sanaaaa huyu kijana

  • @willsonjohn-nl1om
    @willsonjohn-nl1om 3 місяці тому +1

    Ni muhimu sana kuendeleza hicho kipaji!!

  • @AlenKinyina
    @AlenKinyina 3 місяці тому

    Hongera sana kijana

  • @suzanbegas4139
    @suzanbegas4139 2 місяці тому

    👏Congrats 🎉👍

  • @jumahassan273
    @jumahassan273 3 місяці тому +1

    Safiiiiiiiii sanaaaaaaaa

  • @israelmunuo7938
    @israelmunuo7938 3 місяці тому

    Safi sana mtanzania🇹🇿 mwenzetu

  • @willsonjohn-nl1om
    @willsonjohn-nl1om 3 місяці тому +2

    Big up sana, kijana yupo Vizuri, Tunawezaje kupata mawasiliano yake??

  • @damasmassawe3601
    @damasmassawe3601 3 місяці тому +1

    mambo kama haya hayapewi airtime ,ila mambo yakijinga ndio yamapewa muda , tz inashida kubwa sana kwa watu kama hawa

  • @Mapenzi2635
    @Mapenzi2635 2 місяці тому

    Kwanza tumshukuru Mungu kwa neema ya Kipaji. Gari nzuri na ni gari ya michezo. Pongezi kwa mtoto huyu. Kisheria miaka 17 ni mtoto . Pili, nawapongeza sana traffic police waliomkamata na kumwachia akakuze Kipaji chake. Naiomba Serikali imuwezeshe kisheria asajili gari lake. Tatu nampongeza mwandishi wa habari kwa maswali makini.

  • @benjaminsanare-ug6ge
    @benjaminsanare-ug6ge 3 місяці тому +1

    Finishing ya kijanja sana

  • @kennar012
    @kennar012 2 місяці тому

    In Kenya we do help such people and give them the support they need. Kuna mwenye alitengeneza ndege Kenya sasa hivi amekuwa tajiri. Mwambieni akuje Kenya serikali imchukue huyu atakuwa millionaire haraka sana Kenya. Kuna kampuni ya kuunda magari kenya inaitwa Mobius wanachukua watu kama hawa wenye akili innovative. Come to Kenya bro and you will be recognised across Africa.

  • @rpynoel566
    @rpynoel566 3 місяці тому +2

    Millard ayo Kwa hii taarifa umechelewa sana kuigundua

    • @heavenlywords8511
      @heavenlywords8511 3 місяці тому

      Nakuunga mkono pia nimeiona mda sana alifanyiwa interview na watu wa nje mpaka nikajiuliza mbona kwa millard sion kitu na huyu ni mbongo mwenzetu.

  • @kombojuma2873
    @kombojuma2873 2 місяці тому

    😂😂😂 hongera sn sn🤝

  • @faharimovies
    @faharimovies 2 місяці тому

    Nimekipenda hicho kigari

  • @talentshow2024
    @talentshow2024 2 місяці тому +1

    Tunaomba asije akakubali kuuza ugunduzi wake kwa wezi wa technology za wa Africa na kwenda kusema wao ndio wamegundua

  • @user-od8tg1yt3g
    @user-od8tg1yt3g 3 місяці тому +1

    wapo wengi sana mtaani ila serikali yetu wapo kimagumashi sana

  • @davidsamwel11
    @davidsamwel11 3 місяці тому

    Big up brother ❤

  • @jossporahmsw8420
    @jossporahmsw8420 3 місяці тому

    Endelea kuwekeza kwenye utengenezaji, hongera

  • @giftprosper2355
    @giftprosper2355 2 місяці тому

    Tatizo wawekezaji na support hamn

  • @henrychacha5592
    @henrychacha5592 3 місяці тому +2

    Hongera sana, ila ongeza umakini kwenye finishing

  • @user-zr5rg5ul3q
    @user-zr5rg5ul3q 3 місяці тому +2

    Tanzania watu kama Hawa hawazeee kupata sapoti niamini mm

  • @eliasluchanganya1522
    @eliasluchanganya1522 3 місяці тому

    Mungu atusimamie waafrika

  • @plotagonworld-sc4ln
    @plotagonworld-sc4ln 3 місяці тому

    Bigup bro💪💪👍👍👏👏

  • @Faustine_Charles
    @Faustine_Charles 3 місяці тому +1

    naiona nuru

  • @tanzaniacarschannel6975
    @tanzaniacarschannel6975 3 місяці тому +2

    He took bajaj/Chinese cargo tricycle engine, designed the chassis, he took bajaj/chanise cargo tricycle wiring and put in it, assembled everything all together..then boom l.....

    • @jumamkoka2267
      @jumamkoka2267 3 місяці тому

      Unajaribu kusema nn??

    • @tanzaniacarschannel6975
      @tanzaniacarschannel6975 3 місяці тому

      @@jumamkoka2267 sorry i was in hurry at times when i was writing my comment... probably now you can understand what i wanted to address sir.

    • @jumamkoka2267
      @jumamkoka2267 3 місяці тому

      Oh, ok

  • @user-ul2rw4bg8s
    @user-ul2rw4bg8s 3 місяці тому +1

    Genius

  • @victorcephas3618
    @victorcephas3618 3 місяці тому +1

    Atengeneze mengi ayauze ntanunua moja

  • @enezajohn6168
    @enezajohn6168 3 місяці тому

    Safi sana👏

  • @nchembaa
    @nchembaa 3 місяці тому

    Blessed

  • @Avith-lj2sp
    @Avith-lj2sp 3 місяці тому +2

    Kumbe formula1 one inaweza fanyika bongo hii lewis Hamilton atakuja bongo siku moja

  • @user-xv9nl6sn3q
    @user-xv9nl6sn3q 3 місяці тому +1

    Mtu wa maana kabisaaaaa

  • @nolexkanyittahsuit
    @nolexkanyittahsuit 2 місяці тому +1

    Tengeneza mengi mkuu tujekununua

  • @gilbertngemela6752
    @gilbertngemela6752 3 місяці тому +1

    Mbona kama formula one 😂😂,

  • @kennethipapo9552
    @kennethipapo9552 2 місяці тому

    Tunavipaji vingi Sana Watanzania lakini kuwezeshwa bado tupo nyuma sana. Hii itapunguza utegemezi kutoka nje.

  • @user-kx4wd5vb4j
    @user-kx4wd5vb4j 2 місяці тому

    Namkumbuka 20 percent.kwa wenye hela zitaongea hela ila wenye vipaji wengi mafukara. Naficha na na naficha naficha yale ninayoyaona.

  • @TheTickingAges
    @TheTickingAges 3 місяці тому +1

    Usijaribu kutoa siri yeyote vile umetengeneza hilo ndo wazo langu.

  • @herbethchogga361
    @herbethchogga361 2 місяці тому

    Focus kwenye magari, fikiria improvement za zaidi

  • @godsonkyara4896
    @godsonkyara4896 2 місяці тому

    Asitafute sapoti ya serikali, huwa wanapoteza vipaji vyao, watu wa namna hii waungane wafanye kitu, wanasiasa/serikali hupiga kelele kisha wanakuwa kimya milele. Sijasikia tena wala kona magari ya umeme ya Bw. Kipanya

  • @patisondidas6720
    @patisondidas6720 3 місяці тому

    Dah uyu mwamba ni noma San pita humo humo kijan mungu atasaidia

  • @fortidaskashaigili7496
    @fortidaskashaigili7496 3 місяці тому +1

    Kijana inatakiwa utulie kwanza, tuliza akili, usiende mbio mbio sana, na Wala usikimbilie kupata mfadhiri, na usiwe mwepesi kutoa ujuzi waki hovyo Kwa kila mtu, Tz watakuchungulia Alf watakutupa hapo, fanta kazi wmenyewe binafsi, uza Moja kama tangazo Alf zinazofuata pandisha bei

  • @goldmansun5859
    @goldmansun5859 2 місяці тому

    Anichek tufanye mambo

  • @SAMISAI.
    @SAMISAI. 3 місяці тому +1

    Mkiwa mnamsaidia mtu mnaandika namba yake au mitandao yake yakijamii ili tunaopenda kusupport hatuwezi kumaccess

  • @user-gy5en6cy8o
    @user-gy5en6cy8o 3 місяці тому +1

    Naomba kulinunua

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe 3 місяці тому

    Kweli 'engine' ina nguvu 🎉🎉🎉

  • @USACAUDIOVISUALMATERIALS
    @USACAUDIOVISUALMATERIALS 2 місяці тому

    Dogo ungefanya kimya kimya tu. Hapa ukishatangazwa tu basi, badala ya kunyanyuliwa unashushwa.

  • @mejakimaro2773
    @mejakimaro2773 3 місяці тому +1

    Kwanza tunamkamata anawekwa ndani Hana kibali,anaendesha vipi gari?......(Serikali yetu! KP motors iko wapi hadi Leo?)

  • @mochrissbyser2470
    @mochrissbyser2470 3 місяці тому

    Ingekua kwa wenzetu daaaah ingekua ni dhahabu kbs serikali wamuangalie kwa jicho lingine

  • @maroahkissiry4863
    @maroahkissiry4863 Місяць тому

    Millard naomba mawasiliano yake anitengenezee/aniuzie moja

  • @user-il5pk2dr5n
    @user-il5pk2dr5n 3 місяці тому

    Daah gari la ghalama nafuu sana..

  • @JuliusMtaita-gt9bs
    @JuliusMtaita-gt9bs 2 місяці тому

    Kama wew so fundi hauwezi kumuelewa uyo mkali . unajua man umemjibu kiufundi zaid apo mwisho aise nakubali sana

  • @user-ew1qn3fc1x
    @user-ew1qn3fc1x 2 місяці тому

    President ya Tanzania mama samia ange mchurulikia ule kijana

  • @BJOHNMAUSA
    @BJOHNMAUSA 2 місяці тому

    Serekali na sekta mbalimbali Supports zenu kwa Kijana uyo mwenye uwezo

  • @kevinkatima4975
    @kevinkatima4975 3 місяці тому

    Yaani kama umeishia la saba umefanya hayo ,tafadhali tafuta mtu wa pcm akupige pindi. An ukijua ma electromagnet na ma molecular physics utafanya makubwa zaidi ,usife

  • @miraclemiraji4428
    @miraclemiraji4428 3 місяці тому

    Anapatikana wapi huyu jamaa

  • @makongoronyerere1564
    @makongoronyerere1564 2 місяці тому

    Viongoz wa Tanzania wanazingua sna, uwaambie kutuma askali police kukamata Boda Boda, hapo wanaweza xna,,

  • @elibarickjoseph3005
    @elibarickjoseph3005 2 місяці тому

    Na Mimi nataka naniuzie Moja Kwa kweli