MAU MPEMBA NA NDOTO ZAKE ZA AJABU
Вставка
- Опубліковано 13 жов 2024
- #MauMpemba #MakameNuhusi #ZmotionStudios
MAU MPEMBA NA NDOTO ZAKE ZA AJABU
Kila wiki Zmotion Studios imaweza video mpya za kila aina zinazohusiana na wachekeshaji maarufu Zanzibar na Tanzania kwa ujumla wanapendwa na kukubalika kila kona kutokana na kutengeneza video nzuri na zilizojawa na maadili na mafunzo.
Ili kutoa maoni yako na kujua video gani ipo katika maandalizi kwa sasa, usikose kufutailia ukurasa wetu wa facebook link hapo chini
KUTANA WA WASANII WANAOKUJA KWA KASI KATIKA VICHEKESHO
-Mau Mpemba
-Makame Nuhusi
KUTANGAZA NASI TUPIGIE: 255774001600
/ zmotionstudios
/ zmotionstudios
/ zmotionstudios
Pemba muko vizur sanaa kwenye kisiwa cha marashi
Mau mpemba ticket 🎫 italiwa na panya😊😊😂😂😂
Nakukubali sana
Welldone
Pemba na Zanzibar vp ww mtangazi .sema Pemba na Unguja bhana
Nassor Nasser bora uwaeleweshe mana hawajui kama Zanzibar ni unguja na pemba
Saw c mbay
Ama MAU leo umenichekeshaa da yn najikuta natoa sauti hasa wapemba mnaweza kazeni kamba
😃😃😃😃mau
Mau super actor.
Duh, aisee umetisha mau
Tangazo limetulia sana
hahah hii kali
Hahahaha "Tuseme nishapendwa na mfanyakazi wa ndege?"
Tudy the best way for
Hhh mau
Zmotion muk vizur xn
Mauwa bwana
😃😃😃Heee Mau Nakupenda buree
Ni iweke ndan iliwe mpanyaaa 😂😂😂😂😂😂
Eti pemba na zanzibar... pemba si ni zanzibar pia. Hata hamjielewi
Ety Zanzibar na Pemba
Pemba wanakudharau xna
Acheni ujinga Pemba ni wapi na Zanzibar ni wapi?
Jamaa ni kumbe Pemba sio Zanzibar
Safari dar es salaam .Arusha .pemba na unguja ndo vizur sio Zanzibar wakati Zanzibar Ni muunganiko wa wisiwa vya unguja na pemba na visiwa vidog vilivyozunguka. Huo Ni ushaur maan tunakuwa tunakosea Sana apo kwenye Zanzibar unguja na pemba
Mbarouk Habib assante kwa kuelimisha hilo maana wanatuharibia kiswahili
Achane ujinga nyinyi sasa Zanzibar na Pemba ndio nn sasa
Safari za Unguja na Pemba mnazifanya ghali sana ukilinganisha na za Bara . Masafa ya Unguja na Pemba ni madogo sana na hailingani kabisa na bei yake kwa ukilinganisha na masafa ya Mikoa ya bara kwa ongezeko dogo tu la bei .
Fikiria ticket ya Dar -Arusha itofautiane na ticket ya Unguja Pemba kwa 10-15% !
Niwieni radhi kama nimekosea
😂🤣 @Jamal icho kikoba kina nn? Ulipo kipo 😆😆😆😆
🤣🤣😂😂😂
😆😆😆😆👍
😄😄😄
😂😂😂
😆😆😆😆😆
Hahahaha