Yaan hiki ndo nakifkiria mda wote huyu Dada nmeshangaa kumjua chief godlove yaaan mtu wa chato kamfaham vp mtu wa mbeya yaan hapa huyu Dada tamaa ya pesa imemponza moyo wangu unaamini hivi kabsa....
Tukumbuke...duniani wivu upo. Usijionyeshe ulichonacho. Kuna wale hawana watakutamani..... na hata kimaombi tu anaweza kuomba kikutoke ulichonacho.... dini zinafunza ivyo. Soma utaona. Usianike ulichonacho.
Jmn hopo kwa mfanya biashara mkubwa Tz ila ni mkubwa dodoma sio tz nzima kwanz tumemjua kupitia tukio la mtoto wak vingnevyo alijuan na chf gd lv bas au nawa tz mlimjua huyo jojo mm namjua wakwenye misseon iposbo
Wametoa kafara wenyewe. Kamchezo kao wenyewe hako. Watu wanatoa kafara watoto wa viuno vyao. Nilishangaa kuona musa chesa online tv akisema mwamposa anatoa kafara kwa kuchukua mwanamke anamtia mimba halafu anamtoa hiyo mimba basi kafara ya viuono vyake imekamilika. Hao walitika ili kuondoa ushahidi kaffara ikishatolewa
Sio Tanzania, duniani wivu upo. Usijionyeshe ulichonacho. Kuna wale hawana wanatamani... hata kimaombi tu anaweza kukutoa ulichonacho.... dini zinafunza ivyo. Soma utaona
Nabii na mtumishi wa Mungu upo vizuri Sanaa hapo lazima uwe na maadui watu wanafikili tofauti
Nabii na mtumishi wa mungu upovlizuri sana.
Sijui kisa wala chanzo lakini haki ya huyu mtoto kuishi imepokonywa... wahusika hawawezi kuwa salama.... Mungu aipumzishe roho yake mahali pema.
Mungu yupo Yesu yupo Malaika wote wa Mbinguni wapo huyo Mtoto kwa msaada na NGUVU za MUNGU ALIYETUUMBA ATAMUADHIRI ALIYEMUUA
Upo vzr kiongozi
Dah!!! Dunia IPO Kasi sana
Huyu mchungaji anahekima Sana ameongea vzr Sana kwaakili
Ni kweli mtumishi awe na kiasi kaka godlove usipende kuonesha vitu vyako sio wote wema kwako sio kila mtu anakupenda fanya mambo yako kimya kimya
Pole saña mungu amlaze Mali pepon tutamkuta
Swala la kusema iwe mfano kwa watu wengine. Umeisha wahi kuona watu wameacha? Na huyo mama wa mtoto anajua Kila kitu waachieni hawo mliowakamatwa
Kweliiiiiiiii
MUSITAKE KUWAONEA WATU KUWAKAMATA HUYO DADA KAJUA MWANAE MTAPOTEA DUNIANI SIKU SAA KILA KITU KWA TAMAA YA PESA CHEFF NA MAMA MTOTO WANAJUA YOTE ☝️🤲😭
😢😢
Damu ya watoto Ndio inatumika saana kwenye huo mchezo 😭
Yaan hiki ndo nakifkiria mda wote huyu Dada nmeshangaa kumjua chief godlove yaaan mtu wa chato kamfaham vp mtu wa mbeya yaan hapa huyu Dada tamaa ya pesa imemponza moyo wangu unaamini hivi kabsa....
6:11
😢
Wameua wenyewe ni mikataba ya kuzimu. Kweni Godlive kakakamikiwa mara ngapi kuwa nimtumishi wa shetani?
Hata yeye chifu apunguze maneno kauli mbaya mitandaon na kuita masikin takataka
Tukumbuke...duniani wivu upo. Usijionyeshe ulichonacho. Kuna wale hawana watakutamani..... na hata kimaombi tu anaweza kuomba kikutoke ulichonacho.... dini zinafunza ivyo. Soma utaona. Usianike ulichonacho.
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Jmn hopo kwa mfanya biashara mkubwa Tz ila ni mkubwa dodoma sio tz nzima kwanz tumemjua kupitia tukio la mtoto wak vingnevyo alijuan na chf gd lv bas au nawa tz mlimjua huyo jojo mm namjua wakwenye misseon iposbo
Ivi hiyo boda angekuwa ametemda jaman angeludi nyumbani bila hofu
Pole chief y dunia hayo
Wametoa kafara wenyewe. Kamchezo kao wenyewe hako. Watu wanatoa kafara watoto wa viuno vyao. Nilishangaa kuona musa chesa online tv akisema mwamposa anatoa kafara kwa kuchukua mwanamke anamtia mimba halafu anamtoa hiyo mimba basi kafara ya viuono vyake imekamilika. Hao walitika ili kuondoa ushahidi kaffara ikishatolewa
Imenisikitisha saaana kila nafsi itaonja umauti na kila nafsi itavuna ilichopanda Dunia mapito tu ata wao watakufa tu
km anaakili chf huo ndo mwanzo wa kujifunza na majivuno yake
Ongea vizur mtoto wakiume unalemba sauti kama mtoto wakike
Ndosauti yake ilivyo
Yaani wewe una maono kweli usemayo Lakini..majuto mjukuu
Akuna anajua kinacho kuja rabda angekufa mamayake
Duu uyo bodaboda namjua aisee siamini kama ni yeye
Ww. Acha upumbavu
Shida Tanzania watu wengi wamejaa wivu watuwanaotaka kusaidiwa watajurikana vip. Baresa nachifu kiumri. Mkubwa nani?
Na wewe ni member of 👁️🔺
Sio Tanzania, duniani wivu upo. Usijionyeshe ulichonacho. Kuna wale hawana wanatamani... hata kimaombi tu anaweza kukutoa ulichonacho.... dini zinafunza ivyo. Soma utaona
Pumbavu...sio mkewake
😂😂😂😂😂😂kabisa pumbavu. Fyuuuuuuu
Mbn mwana habar nimlamba lips
Akamatwe huyo mama wa mtoto
Nabii na mtumishi wa mungu upovlizuri sana.