Bwana yesu adifiwe mtumishi wa mungu Mimi niliota nachoma samaki wilikuwa wengi lakin kukatokea watu waili vijana wakachukua wakala Na walikuwapo wengne weng wamenizunguka
Pastor nimekuelewa vzr Mungu akubariki san lkn swali langu ivi samaki wakiwa ndani ya mtumbwi na watu niwengi na mimi nanunua samaki kweny baadhi ya mitubwi hii ni samaki alie kufa au niktk samaki wazuri hii imekaaje mtumishi
Mchungaji unayo ongea kuusu ndoto unaningusa sana tafsili nikweli tu nakuomba uniombee napitia wakati mgumu sana kwenye familia yetu hasa nduguzangu wa dam kabisa kuanzia mzazi mpaka nduguzana pleas maombi yako tafadhali
Mm nmeota dadangu anachoma samaki akanipa nkauze . Ila hawakunuliwa wote lakini. Wengine nkaona wamechanganyika na maji tena wakarudi vizuri. Nkawala kw afuraha
Baba mchungaji mm nmeota watu wamekuja nyumban kusali jumuiya mama akawaletea chakula wali afu mm mchana sikula nikachukua chakula nilichobakishiwa ilikua ugali samaki ila samaki alikua nusu wakat tunakula kuna mdada jirani yangu akachukua kile kipande cha samaki na kumla nkaja kuona mifupa tu ndipo mama akaniletea kipande kingine cha samaki mtamu sana.samaki Hugo alikua amepikwa mbichi/mchemsho
Mimi nimeota nimetoa samak kwenye friza nikawaeka sehem wapoe nikawafunika nikaondoka kwenda kibandani nikanunua tena walio kaagwa wa shilingi 4000 nikarudi nao nyumban ndoto hii inamaan gan?
Ubarikiwe mtumishi wa mungu.mimi niliota ndoto nimewachoma samaki wengi lakini hawako sehemu nzuri ya kibiashara. Nikamwambia mume wangu tubadilishe mazingira ili hao samaki wauzwe.Hii inamaanisha nini?
Mimi nimeota samaki wengi wamekufa wameoza na wengine wakinywa maji Kama wanaotaka kufa ila na wengine wazima kabisa ila nikaona watu wengi hospital wanakufa na wengine kutuka sehemu mbali mbali wanaletwa wamekufa nikabaki Mimi na vijana wengine Kama wanne hivi na pia hali ilikuwa mbaya Sana tukaambizana tusitoke nje
Asante baba mchungaji kwamaana ya ndoto hii maana hata Mimi nimekuwa naota samaki aliyekufa, ila pia naomba unipe maana ya kuota mtoto anakuja kwako bila kujua unamkuta ndani, au unakutana nae kazini, pia unakutana nae ukienda shopping lakini mtoto huyu anakuwa katika mazingira ya hatarishi yaani kunakuwepo nyoka. Nisaidie kujuo hii.
Shalom mutumishi wa mungu mimi niliota naona samaki wako katika safuriya samaki wameshemuswa sikunjuwa mana yake tena iyo siku naota sombe ao kisavu nataka ninjuwe mana yake
Ooooh!! Niliota kaka mmoja alikua na samaki wengi kiasi lkn kukawa na kikwazo kiserikali so ikawa hao samaki hawez kuwamili watatupwa, ko mimi na wenzangu tukamshauli asimwage hao samaki atupe sisi tukale, hivyo mimi nikachukua samaki mkubwa zaidi ya wenzangu wote na wengine wachache na hao samaki walikua wamekufa hii inamanisha Nini???🙇
Mchungaji mm naitwa Ruth mongare Kuna ndoto uanga inasumbua sana inarudia kila wakati kuhuzu maindi choma please. Maindi mbinchi ama ya kubanda Yani ndogo kwa shamba kweli inasumbua sana na ingine huyoga zile ndogondogo kila wakati naomba unitabuhuzilie please
Tena nikaota mama amenipa samaki akasema nimechoka kazi zilikuwa nyingi kule baharini nikamuliza kwani wewe ndie uliye wavua akasema tumepewa kazi ya kuwa kusanya kwenye maji lakkini pesa walotulipa nikidogo sana nini maana yake nisaidie Mchungaji
Nimeota ndoto ya samaki wengi wakiwa ndani ya gunia ila ni sato wadogo wadogo, ila ndani ya hao samaki kuna mmoja mkubwa ninamwambia mwanamke mmoja chukua hyo mpikie mumeo. Je maana yake nini, nisaidie nijue.
Nime ota nimevua samaki wengine nikawa namugawanyia rafiki lakini akasema amepata wake wengine pia nikabeba samaki wangu wengine nikaenda,je inamaanisha nini
Mchungaji Mimi nipo mwanza ila hua naota samaki Mara kwa mara Sana Leo nimeota samaki WA bichi sangara tuna wa andaa mimi na Mama yangu(aisha kufa) yani tuna watengeneza kwa ajili Ya kuapika tena ndoto ikanipeleka nipo sehemu kuna vijana wawili wanabanika samaki wengi Sana wakubwa tena nikaota kati Ya vijana hao mumoja wapo yupo ana parua SAMAKI Mkubwa Aina ya sato je Mchungaji hiyo ndoto ina maana gani
Asnte sn baba mchungaji mm nimeota navua samaki Niko na watt wadogo wakike kwa wanaume lkn samaki mmoja tumboni mwake kukawa na mwanaume amebeba taulo.kama anaenda kuoga.nn maana yake
@Ndayambaje Fikirini , karibu Sana na ujiunge nami saa mbili kamili, masaa mawili kutoka sasa nitakuwa live na nitakupa jibu nikiwa live . Na kumbuka ku subscribe Kwa hii channel
Apostle utabiri wako Ni kweli kabisa Mungu akubariki
Amen 🙏 God bless you from Kenya.
Bwana yesu adifiwe mtumishi wa mungu Mimi niliota nachoma samaki wilikuwa wengi lakin kukatokea watu waili vijana wakachukua wakala Na walikuwapo wengne weng wamenizunguka
Amina! Jibu lako Liko hapa
ua-cam.com/video/uuDyWprUK88/v-deo.html
Amen Mungu akubariki sana mtumishi
Pastor nimekuelewa vzr Mungu akubariki san lkn swali langu ivi samaki wakiwa ndani ya mtumbwi na watu niwengi na mimi nanunua samaki kweny baadhi ya mitubwi hii ni samaki alie kufa au niktk samaki wazuri hii imekaaje mtumishi
Amen
Nimeota nimetega samaki kwa ndoano samaki alivyo nasa kwenye kumtoa ndani ya maji watoka samaki wengi wakubwa wakubwa walio nasa kwenye ndoano moja
Amina asante sana kwa tafsiri ya ndoto
Mchungaji unayo ongea kuusu ndoto unaningusa sana tafsili nikweli tu nakuomba uniombee napitia wakati mgumu sana kwenye familia yetu hasa nduguzangu wa dam kabisa kuanzia mzazi mpaka nduguzana pleas maombi yako tafadhali
Nimekula kipande samaki kibichi nilipoamka nilikosa raha mpaka Leo nakumbuka sikuelewa
Mm nmeota dadangu anachoma samaki akanipa nkauze . Ila hawakunuliwa wote lakini. Wengine nkaona wamechanganyika na maji tena wakarudi vizuri. Nkawala kw afuraha
Mungu akubariki snaaa
Amen amen 🙏🙏🙏
Amina mungu nisaidiye niyaishi
Mm nimeiota nalowa samaki kisha nikawpika nawalikua wengi sana
Ameeen
Bwana asifuwe pastor mimi niliota hii do to mara mbli nilikwa nachota samaki nikipeleks church na zilikuwa wengi sana nisaidiye pastor
Niliota navua samaki.mara nahuza samaki
Ndoto viongoz wamekuja kusafisha uwanja wangu na wanataka kujenga shule
Ameeeeeeeeen Baba
Good
Baba mchungaji mm nmeota watu wamekuja nyumban kusali jumuiya mama akawaletea chakula wali afu mm mchana sikula nikachukua chakula nilichobakishiwa ilikua ugali samaki ila samaki alikua nusu wakat tunakula kuna mdada jirani yangu akachukua kile kipande cha samaki na kumla nkaja kuona mifupa tu ndipo mama akaniletea kipande kingine cha samaki mtamu sana.samaki Hugo alikua amepikwa mbichi/mchemsho
Mimi nimeota nimetoa samak kwenye friza nikawaeka sehem wapoe nikawafunika nikaondoka kwenda kibandani nikanunua tena walio kaagwa wa shilingi 4000 nikarudi nao nyumban ndoto hii inamaan gan?
Mungu akubariki sana nimebarikiwa na maeleezo yako mungu azid kukupa maono
@Happiness Marato Barikiwa Sana pia na usisahau kuelezea wengine kuhusu hii channel.
Ubarikiwe mtumishi wa mungu.mimi niliota ndoto nimewachoma samaki wengi lakini hawako sehemu nzuri ya kibiashara. Nikamwambia mume wangu tubadilishe mazingira ili hao samaki wauzwe.Hii inamaanisha nini?
Baba nimeota samaki wengi wamevulia wako nje ya maji na samaki mkubwa kutoka kwenye maji akaja akanipiga kiunoni
Mimi nimeota samaki wengi wamekufa wameoza na wengine wakinywa maji Kama wanaotaka kufa ila na wengine wazima kabisa ila nikaona watu wengi hospital wanakufa na wengine kutuka sehemu mbali mbali wanaletwa wamekufa nikabaki Mimi na vijana wengine Kama wanne hivi na pia hali ilikuwa mbaya Sana tukaambizana tusitoke nje
Mimi nlilala nikiwa na majonzi sana nlilia sana kabla ya kulala, then nkaota samaki wengi sana waliokaangwa
Ni nini maana yake
Nimeota naonyeshwa viatu vya bouti vyeupe nikaonyeshwa na mtu ambae kishakufa ,alivijinasibisha mwenyew kwakuniambia kua niviatu vyake alikua ameviwekesha kwarafiki,nisaidie ndoto mchunaj
Nini Mana ya samaki ukiwaona wakoo sokoni niwabichi
Bwana yesu asifiwe mimi nimeota nimekula fried fish inamanisha nini
Kama umeota Kuna mtu anakuvulia samaki mbele yangu ila Mimi muhusika naogopa kuvua kwa mikono yangu je inamaana gani
Asante baba mchungaji kwamaana ya ndoto hii maana hata Mimi nimekuwa naota samaki aliyekufa, ila pia naomba unipe maana ya kuota mtoto anakuja kwako bila kujua unamkuta ndani, au unakutana nae kazini, pia unakutana nae ukienda shopping lakini mtoto huyu anakuwa katika mazingira ya hatarishi yaani kunakuwepo nyoka. Nisaidie kujuo hii.
Nikweli kabisa
Nimeota na nunua samaki wadogo wadogo wamepangwa mafungu nikanunua mafungu mawili wakukaanga nini maana yake
Mm nimeota Niki tupiwa mfupa ya samaki na mzazai mama Ina maana gani tena waki cheka wakiwa na ndugu zangu
Tafadhali n jibu tu aki nijue 😩😭
Tafadhali n jibu tu aki nijue 😩😭
Shalom mutumishi wa mungu mimi niliota naona samaki wako katika safuriya samaki wameshemuswa sikunjuwa mana yake tena iyo siku naota sombe ao kisavu nataka ninjuwe mana yake
Terry Naomba nikiwa live uniandikie kwa comment nitakujibu . Kila siku saa tano kamili na saa mbili usiku.
Pia mm kaka naota sana navua marangi ila sijui mahana
Ooooh!! Niliota kaka mmoja alikua na samaki wengi kiasi lkn kukawa na kikwazo kiserikali so ikawa hao samaki hawez kuwamili watatupwa, ko mimi na wenzangu tukamshauli asimwage hao samaki atupe sisi tukale, hivyo mimi nikachukua samaki mkubwa zaidi ya wenzangu wote na wengine wachache na hao samaki walikua wamekufa hii inamanisha Nini???🙇
Me naota nanunua samak
Mchungaji,mineota samakiwengi wamekaangwa,wazuri mafungu mawili nnimaansyake
Bwana asifiwe mchungaji mm nishawai ota nko chini ya maji na samaki wako juu yangu,nko chini nawatazama samaki wakiwa juu.ina maana gani.
Mimi nimeota naletewa samaki wengi sana wa aina tofauttifauti je inamaana GANI kuletewa samaki?
Mchungaji mm naitwa Ruth mongare Kuna ndoto uanga inasumbua sana inarudia kila wakati kuhuzu maindi choma please. Maindi mbinchi ama ya kubanda Yani ndogo kwa shamba kweli inasumbua sana na ingine huyoga zile ndogondogo kila wakati naomba unitabuhuzilie please
Tena nikaota mama amenipa samaki akasema nimechoka kazi zilikuwa nyingi kule baharini nikamuliza kwani wewe ndie uliye wavua akasema tumepewa kazi ya kuwa kusanya kwenye maji lakkini pesa walotulipa nikidogo sana nini maana yake nisaidie Mchungaji
Naukiota unakula samaki kukaangwa naupo kundi la watu wengi na mnakula pamoja na wengine kaondoka,unakuta kati yao unajua moja wao?
Naota nakula samaki kambale, maona samaki kambale kwenye tope, naona samaki kambale, napewa samaki kambale nini maana yake
Muchungaji mim niliwaota samaki nikiwanunuwa sokoni walikuwa wengi napia kulikuwa nawatu wengi
Yani samaki alikuwa wangu sana kwakuwa na watoto ila kwenye kapur kubwaa
Nimeota na omena mangunia mingi Sana Kwa ngumba
Ni baraka mungu ana enda kubariki kazi ya mikono yako. Weka bidii
Mm nimeota nimeletewa Tenga ila anamimina akaniambia wameisha
Nimeota ndoto ya samaki wengi wakiwa ndani ya gunia ila ni sato wadogo wadogo, ila ndani ya hao samaki kuna mmoja mkubwa ninamwambia mwanamke mmoja chukua hyo mpikie mumeo.
Je maana yake nini, nisaidie nijue.
Nimeiota pia hii ndoto leo Mungu tenda muujiza juu yangu
@hoja Mathias ndoto ya samaki ni baraka , utabarikiwa Hadi use baraka Kwa wengine.
Naaamulu hizo pesa nizipate wakati ni sasa wa kupata 2 million pound
Ubarikiwe pastor sasa huyu mtu anatokaje kwenye vita hi isio isha?
@Pamela ndumu Kwa maombi ukiharibu kila roho Ina pigana nawe, tumia mathayo 18:18-19 Kwa maombi , nautashinda.
Mimi Kuna mama ypo kwenye familia ni mke wa mjomba Mara nyingi na mwota Mara anamtupa mtoto wngu Mara naota nampiga nini maanake
Nime ota nimevua samaki wengine nikawa namugawanyia rafiki lakini akasema amepata wake wengine pia nikabeba samaki wangu wengine nikaenda,je inamaanisha nini
Nimeota nakimbizwa na samaki
Muchungaji bwana yesu asifiwe sasa mm mchungaji niliota watu wanauza samaki nn maana yake
Naomba namba unayo tumia wasap
Mtumish je ukiota mko wawili halafu mwenzio akawa ana wavuatu wew unakosa je hii imekaaje?
Mimi adija niliota samaki akiwa hai nayuko ndani akizunguka kwenye ukuta wa nyumba ndani ilikuwa na maana Gani mtumishi
Mchungaji Mimi nipo mwanza ila hua naota samaki Mara kwa mara Sana Leo nimeota samaki WA bichi sangara tuna wa andaa mimi na Mama yangu(aisha kufa) yani tuna watengeneza kwa ajili Ya kuapika tena ndoto ikanipeleka nipo sehemu kuna vijana wawili wanabanika samaki wengi Sana wakubwa tena nikaota kati Ya vijana hao mumoja wapo yupo ana parua SAMAKI Mkubwa Aina ya sato je Mchungaji hiyo ndoto ina maana gani
Ukiotaa una cheza gitaa ina manisha nini
Asnte sn baba mchungaji mm nimeota navua samaki Niko na watt wadogo wakike kwa wanaume lkn samaki mmoja tumboni mwake kukawa na mwanaume amebeba taulo.kama anaenda kuoga.nn maana yake
Nimeota samaki ambepikqa nawaza jins ya kumpakua
Nn maana ya Kuona samaki mkubwa akimeza nyoka mkubwa katika ndoto
Baba mimi nimeota nakula dagaa na Ugal na Shangazi yangu na watoto wake tulikua kwenye mkusanyiko wawatu
Niliota Niko sokoni na Uko Kila mtu anauza omena na samaki inamaana gani
Nakuomba unisaidie nimeota kachomwa vizuri na akamwagiwa tuwi halafu mtu akanyofua akanilisha pls na nikala na alikua mtam
Mi nimeota nanunua samaki wanene aina ya Sato, walikuwa wazuri mpaka rafiki yangu akawatamani kuliko wa kwake
Ndoto when selling samaki
Nimeota nawatoa Samaki sehem za siri mithiri ya kama papa hv wakubwa wakubwa wa 4 nini maana yake
ua-cam.com/users/livepQc-BsQaGfA?feature=share
Mchungaji mimi nimeota kuna mtu kaangusha samaki nikamuuita aloangusha aje kuchukua hakuja yeye wakaja watoto nikawapa wakapike na mimi nikachukua
Mchungaji maana yake nini
Kuota kuna mtu amekaanga samaki anafanya biashara anachukua samaki mkubwa anakugawia nusu yake
Nimeota natoa samaki wengi kwenye shimo wengi sana
Mtumishi mimi nimeota nimepewa samaki nitengeneze ili niwakahange nini maana yake
Nakuomba tafsiri hizi:shemeji yangu kaota ananywolewa ndevu na nywele zakichwa,pia alikua na mtoto akanyolewa nywele.
@Ndayambaje Fikirini , karibu Sana na ujiunge nami saa mbili kamili, masaa mawili kutoka sasa nitakuwa live na nitakupa jibu nikiwa live . Na kumbuka ku subscribe Kwa hii channel
Shukran
Uchawi huo
Na Nilikuwa kiwanili watu wanisaidie tuwabanike kweny moto
Mimi nimeota samaki mkumwa akitabika samaki wadogo
Mimi nimeota samaki wengi sana wakiwa kwenye bwawa
Nimeota nikokwenye bwao kubwa nakamata kambare
Nimeota mtu kanipa samaki wawili
Nimeotea dagaa mingi
Nime.ota.wazimu.akiwa.amefungwa.kambo
Mimi huwa naota nirudishwa kwenye kazi yangu ya zamani na hii ndoto imejirudia mara nyingi sana hii inamaanisha nini
Angalia maana yake hapa nimetafsiriua-cam.com/users/live0q7ieLLmqms?feature=share
Amen
Amen
Amen