KUOTA UNAKULA MAHINDI AMA KUONA MAHINDI KWA NDOTO INA MANISHA NINI?
Вставка
- Опубліковано 18 вер 2024
- Join this channel to get access to perks:
/ @revpeternjihia
Katika channel hii, huwa ninakusaidia kujua nini maana ya ndoto zako nikitumia misingi ya Bibilia Takatifu. Subscribe na ubonyeze Kengele ya Notification ili uzipate video zangu pindi ninapoenda live. Pia ukitaka kuwa wa msaada kwa huduma hii kupitia matoleo unaweza nipigia simu kupitia/Whatsapp 0706945821
Ameeeeen barikiwa sana mtumishi wa Mungu aliye hai
Mimi ni muislam lakin Mchungaji nakukubali sana tafsir zako hazina mba mba mba ni ukweli mtupu ❤
Nashkuru sana pastor kwa mafundisho yako mazuri, nabarikiwa sana, be blessed pastor
Amen amen. Mtumishi wa Mungu
Amen napokea in the might name of jesus christ
Amen amen amen uparikiwe mjungaji unanijenga kiroro
In the Name of Jesus increase my seed of blessings and greatness within me.Thank you Jesus I'm great.!!
Amen
Amen I receive in Jesus name amen 🙏🙏🙏🙏
Yaani pastor unaongelea mimi tu hapa🙏ubarikiwe saana🙏🙏🥰
Pole sana mtumishi wa mungu kwa msiba mungu kupea guvu
Amina🙏,,nmejibika ndoto yangu ya mahindi na nmeelewa kiundani thank postor🎉🎉
Amen
Amen l receive
Amen amen amen
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu nimefunguka channel hii kwa mara ya kwanza lakini naona ndoto zote mbili kuvuna wakati mwingine nimeonyeshwa nakula mahindi
mwamba ukitoa chemichemi ya maji nisaidiwe mtumishi
Amen 🙏🙌🙌 muchungaji napenda mafundisho yako nadan mungu anasaba nami acha mbegu imee ndan yangu
Amen 🙏🙏🙏
Pastor Mimi nimeota navunja mahindi shambani ,lakini Hindimoja liliwekwe pesa nyingi sana
Amen 🙏🙌👏I receive in JN
Nakupata vizuri
Amen Amen Amen Amen Amen Amen mi nimeota na kula mahanadi na watoto wangu
Amina
Amiina
AMEN 🙏
Amen Amen pastor umeongea ukweli
Amen mtmish mm niliota nimepend mahindi shmbni
ua-cam.com/users/liveWQrReL6dVTs?feature=share
Mimi nimeota Jana nimeenda kupanda maindi Kwa neiba wetu natulikuwa watu wengi Hila mm nikasema siwezi nikamwaga mbolea nikaingia nikaanza kupanda maindi at the same time Kuna jirani yetu alifariki kitambo Hila nimeona tuko kwake na tuko wengi sana wamepika chai na wameweka Kwa Lita kumi Kuna msichana wake akamwaga Kwa sufuria na watu walikuwa chungu mzima sijui inamanisha nn mtumishi wa mungu
Niliota nikipima mahindi Mimi naitwa Joyce Mugide na ninashukuru sana mtumishi wa Mungu umenisaidia sana
Ameeeen
Mtumishi nimeona watu wanavuna mahindi mengi sana Nini maana take nn?
Amen,Leo pastor nmeota na mahindi mbichi yaan fresh
JE KUOTA UNAENDESHA GARI??
Twende kweny point
Kweli paster mm nimeota nko kwa shamba navuna mahindi iko rangi ya kijani mahindi yalikuwa mazuri sana
Unaenda kupata baraka kubwa kwa kazi unayoifanya
Mtumishi wa mungu Mimi niliota mahindi choma lakini ilikua unauzwa lakini mm nilipo kula sikulipa inamanisha nn
Nin maana ya kuota unga wa mahind
Mm nliota mahindi iko kwa Shamba langu na mahindi zenyewe ni nono, mrefu yaani zimeiva kweli kweli. Pia na hapo hapo nikaona migomba za ndizi pia zimeiva hadi zingine zimevunjika lakini hazikuwa zimekomaa sana, nikakata moja yenye ilikuwa karibu kukomoa nikauza.
Morning mtumishi wa mungu nisaidie hapa kwa hii ndoto niko na mara mbili nikiota na nzile insect nyeusi sijui jina nzikiwa zapepa mchwa nyingi sana nikipita juu na haziniumi mara ya pili naota nazo tena zimepepa mchwa zikitokea kwa ukuta mahari nafanya kazi hio inamaanisha nini naoba unifafanulie pastor
Mtumishi wa mungu mimi niliota my cousin mwenye hatujakuwa in good terms for a long time akinipea mahindi nipeleke kisiagi tena akanipea 100 akaniambia kama nachukua 100 siwezi chukua mahindi so sielewi inamaanishaje
ua-cam.com/users/livepQc-BsQaGfA?feature=share
ua-cam.com/users/livepQc-BsQaGfA?feature=share
Jambo papa Pasteur, leo nimeota niko na mama yangu,mama yangu ameshaga fariki,sasa nikamuota iko nashamba kubwa la maindi yenye yamesha komaa,sasa nikaona watu wanakuja kuchuma,nikawa namwambia mama kwa nini unaluusu wachume wenyewe ,nikamwambia wachumiye tatu 3 tu ili nawengine wapate,akawa ameitika,nikaona ni mechemusha maindi yakaiva nikachukuwa nikaanza kula,pakawa mama umoja alikuwa na mwanahe walikuwa wakisubili mama awape maindi,sasa saa wameona maindi yangu yameiva vizuri wakayatamani.naomba unambiye nini maana yake?
Amen pastor maana leo nimeota nmepewa maindi yakuchoma na rafki yangu nile
Amen mtumishi
Mungu anisaidie,nimekosa mimi,nimekosa sana
Kuota nataka kupewa mahindi mabichi Yako shambani ila mke wake anakataxa anasema hayajakomaa ila mume anasema yamekomaa anachuma ila nikashituka naona binyonga jian watatu
Na ukiota uko kishiagi
❤ashate Mitumishi nimepata akajibu ya doto zangu about nduma
Amen mm nimbegu ya mungu
Pastor mimi nilota niko kwa shamba kubwa ya Mahindi na imekauka so natafuta Ile ya kuchoma
Amen paster
Pastor naukiota ukikula mihongo yaani eating cassava for 3times inamaanisha aje
Mchungaji nimeota ndoto nimejinyea mbele zawatu
mimi naitwa alice chemtai,niliota ndoto rafiki wa mumewangu akinipea mahindi mchamsho viwili lakini sikukula
Mm nimeota panya ninataka kumcho akakimbia
Pasta nimeonta nime kata naindi shambani nika mpa mke wangu Achome Nini maana yake
Nilikuwa job nikaputwa,niliota kama nimeenda kwa boma yao,nikapata kuna matanga,mama akasema anisipitie kwa njia ile watu upiitia akanionyesha njia nyingine,,
Mi nliota napea mtu mahindi mbichi
Kuota mtu anaanika mahindi
Mtumishi Mimi nimeota nanyeshea mahindi inamaana gani?
Je ukiota na mahindi yaliopikwa
Mimi nimeota nime mumuwa mahidi ya kuchoma
ukiota unanunua bt uko na pesa 1000 huyo mwenye anausa ana cheje bt unaenda na mahindi dio utamuriba badaye nini
Niliota Na mahidi ikiwa kwamangunia mengi sana nanilikua kwa soko
Kuota huna nguo upo uchi afu unaomba nguo
Jana niliota nilikua kwa shamba ya mahindi na napenda kuota hii ndoto sana
Ukiota unakula mahindi n maharage huamanisha nn
Kuota binyonga barabarani 3
Asante
Number uako ya WhatsApp Pastor
Ireceive
Niliota nachoma mahindi
Bwana asifiwe mmi nishabiki mgeni ukiota wapepeta mahindi fresh lakini upate yote nipolofu tembe tatu tuu nduo ni nzima yamanisha nni na nyengine nikaona watu waponda mahindi wakiyamwaga juwani nawengine wanapepeta alafu wananiuliza mimi wayatie wapi yale ambayo wameyapepeta mimi nikawaambia wayatie katika kikapu cha mtoto wangu hii nato yamanisha nni
Ata unaongea na mm
Na ukiota na ndizi mbichi shambani hadi zingine zimevunjika alafu nikamjuma Mmoja nikauza ina maana gani Pastor?
Niliota Jana usiku nikipeleka mahindi kusaga lakini sikuwa na pesa ya kulipa kwa kisiagi ndugu mdogo wa mama yangu(uncle) akanipa shiringi ishirini nikasagie
Nimetoa nimebeba mahindi kwa ungo nimeendakupukuchulia kanisani ili nitoe mchango sjui nn maana yake
Nimeota nachoma mahindi na marafiki yangu
Amen
Amen Amen 🙏🙏🙏🙏
Amen Amen
Amen🙏
Amiin 🙏🙏
Ameen 🙏
Mm nliota mahindi iko kwa Shamba langu na mahindi zenyewe ni nono, mrefu yaani zimeiva kweli kweli. Pia na hapo hapo nikaona migomba za ndizi pia zimeiva hadi zingine zimevunjika lakini hazikuwa zimekomaa sana, nikakata moja yenye ilikuwa karibu kukomoa nikauza.
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen 🙏🙏🙏
Amen
Amen
Amen 🙏
Amen
Amen 🙏🙏🙏
Mm nliota mahindi iko kwa Shamba langu na mahindi zenyewe ni nono, mrefu yaani zimeiva kweli kweli. Pia na hapo hapo nikaona migomba za ndizi pia zimeiva hadi zingine zimevunjika lakini hazikuwa zimekomaa sana, nikakata moja yenye ilikuwa karibu kukomoa nikauza.
Amen 🙏
Mm nliota mahindi iko kwa Shamba langu na mahindi zenyewe ni nono, mrefu yaani zimeiva kweli kweli. Pia na hapo hapo nikaona migomba za ndizi pia zimeiva hadi zingine zimevunjika lakini hazikuwa zimekomaa sana, nikakata moja yenye ilikuwa karibu kukomoa nikauza.