NDOTO UNAONA MIGUU YAKO AU YA MWINGINE INA MAANISHA NINI?
Вставка
- Опубліковано 15 вер 2024
- Katika channel hii, huwa ninakusaidia kujua nini maana ya ndoto zako nikitumia misingi ya Bibilia Takatifu. Subscribe na ubonyeze Kengele ya Notification ili uzipate video zangu pindi ninapoenda live. Pia ukitaka kuwa wa msaada kwa huduma hii kupitia matoleo unaweza nipigia simu kupitia/Whatsapp 0706945821
Kweli inasikitisha, Yesu hujawahi kushindwa,Yesu tenda muujizaaaaa.
Amen
Amina ubalikiwe nakufatilia sana baba
Long time mtumishi 👋 peace be upon you 🙏
Nimeota mguu ila sio wangu
Aunt yangu ana kidonda kwa mguu,,amefuliza 1k aende hos, amefika hos wanaitaji 4 k.so hakutibiwa
Asante mtumishi umenisaidia, mi nilikua naosha kichwa na minguu
Asante mtumishi wa Mungu
Ubarikiwe sanaa
Asante mtumishi nimeota naosha uso,mikono,na miguu nikapaka mafuta nikabadili na nguo
Amen Father .Mungu akatende🙏nimeota namsugua mtu miiguu.
ua-cam.com/users/livemS387K8O5Wo?feature=share
Asante Mungu nashukuru kuwa tuko na afya ni kwa neema tu
Bwana yesu asifiwe mtumishi mimi nimeota mguu wangu umepigwa shoti na mwanaume ambae sijui baadae akakimbia nini maana yake
AMINA
Mimi nimeota mguu wangu moja umevunjika natembelea bandia
Nilitoa visigino vyangu vime0asuka sehemu tatu kila Mguu inamaa Gani mtumishi
Amina
Unatusaidi
Mchungaji mimi nimeota mguu wangu wa Kalia umevunjika na nimefungwa bandeji
bwana yesu asifiwe Mimi nimeota niguu yangu haina nguvu kusimama hadi mtuanishike mkono ndo nitembee
Omba sana utakuwa na wakati mgumu kusimama kiuchumi
Asante mtumishi
Niliota sister yangu ameketi kati kati ya miguu ya mtu mwingine
pia nimeona katika ndoto, nazima gari letu ila baba mkwe akanicheka na kuondoka nalo
Omba sana kuna jambo una onyeshwa litatokea baya sana na ukataye maisha ya shida na kejeli maishani
Leo nimeota natangezwa miguu yani natengezwa kucha kusafishwa
Mimi nimeona miguu lakini sijaona mwili nasiyangu
Ukiota unakatwa magamba na kisu
Niliota miguu yangu imeshindwa kutembea kwa kasi baada yabinti mmoja kunishika mkono ili aniongoze twende sehemu nyingine haikuweza ata kupiga hatua😢nilijiforce lalkn sikuweza kusogeza kabsa miguu yangu maana nigafura tu ilikuwa mizito haimove maana ake nini
ukiota umesimama afu unageuka unaona kama mtu anaucora unyayo wako ina maana gani pastor
Asante sana mtumishi wa Mungu, ubarikiwe sanaaa
BWANA yesu asifiwe mtumishi wa MUNGU,nimeota nimekuwa mrefu pia ni mevaa viatu virefu nilikuwa naongea na mtu lakini alikuwa mfupi maana yake Nini?
Nimeota naona nyayo za mtu yaan alipopita nn maana yake
Je ukiona kumbi kumbi wengi iyo inamahana ngani?
Aposto mimi nimeota nimepigana na mwanamke kisha nikampiga hadi alishidwa kuamka nika chukua nguo yake nikaikatakata na mkasi but na yeye alinichanja kwenye kisikuno cha unyayo nini maana yakee please
Niliota sio mara moja naosha miguu yangu
Hiyo ni mamlaka na utawala maishani, unaenda kubarikiwa
Je ukiota umemwangiwa damu munguuni Alafu mtu mwengine akakuosha na mate yake na iyo mate ikawa kama sabuni namaji iyo inamahanisha nini?
Kuna mtu mungu atamleta akusaidie maishani hila usidharau namna atatumia kuwa wa baraka kwako
Yohana 13:1
Dady naomba nitafute NAHITAJI unisaidie
+254706945821
pastor, nimeota naenda kuteka maji na mama yangu
Maji ni baraka
Kuota miguu imekanyaga damu
Nimeota nasuuza miguu bombani
NA UKIOTA UKIONA MTU AMEFUJIKIA MGUU KWA SHAMBA LAKO
Hawezi fanikiwa adui amelemaza mafanikio yake
Na ukiota miguu yako iko na crakes
Niliota miguu yangu ikiwa na mawhite
Kuna hatua utachukwa maishani na kile utafanya kitabarikiwa
Niliota nanawa miguu na maji bombani
@@revpeternjihia baba nimeota mguu wa mwanangu amevaa kobe yan mguu wake umebadillika umekua kobe pia anavidole vingi lakin haogop ila mm nahofu sn hapo hapo natoka njee naona kuna msiba jiran ila wanalazimisha walete kwetu bas police wakawa wanawarudisha wakae sehem husika nimekua nikiota misiba mfurulizo kwa jiran zangu ila sion jenez naogopa
𝑀𝑚 𝑛𝑖𝑚𝑒𝑜𝑡𝑎 𝑦𝑎 𝑚𝑤𝑒𝑛𝑔𝑛𝑒 ℎ𝑎𝑤𝑎 𝑤𝑒𝑧𝑖 𝑘𝑢𝑡𝑒𝑚𝑏𝑒𝑎 𝑤𝑒𝑛𝑔 𝑠𝑎𝑎𝑎𝑛𝑎 𝑙𝑎𝑘𝑖𝑛 𝑚𝑚 𝑛𝑎 𝑟𝑎𝑓𝑖𝑘𝑖 𝑦𝑎𝑛𝑔𝑢 𝑡𝑢𝑘𝑎𝑤𝑎 𝑡𝑢𝑛𝑎 𝑡𝑒𝑚𝑏𝑒𝑎 𝑖𝑙𝑎𝑎 𝑤𝑎𝑛𝑎𝑓𝑢𝑛𝑧𝑖 𝑤𝑒𝑛𝑔𝑖 𝑤𝑎𝑛𝑎 𝑡𝑎𝑚𝑏𝑎𝑎 ℎ𝑎𝑤𝑎𝑤𝑒𝑧 𝑘𝑢𝑡𝑒𝑚𝑏𝑒𝑎 𝑚𝑎𝑎𝑛𝑎 𝑦𝑎𝑘𝑒 𝑛𝑛
Amen amen
Amina