@RevPeter Mimi nimeota mwezi umoja uliopita nakimbizwa na nyoka nikakimbia kwa nyumba then nikatoka kama Niko na kichwa cha nyoka kwa mkono na mwili wako naubeba kwa mabega. Ila mwaka jana nilipitia mambo mengi sana adi nikaama place nilikua naishi na nilikua naota nyoka sana ikinikimbiza na watu wengi kunikimbiza. Naomba usaidizi ya maana
Bwana YESU asifiwe mtumishi wa MUNGU Leo mm nimeota ndoto ya nyoka alikua anatembea kwa room ya mum mkubwa....nyoka huyo sijaona nyoka mkubwa Kama huyo
Week iliyopita niliota niko kwa room kubwa na wenzangu tukawa tunatadika tadiko tulale nilipomaliza kutadika nikawa natafuta pillow yangu siioni ngafla nikajiona niko nnje kwenye pako kama ni shamba kuna miti lakini hakuna nyasi kulikuwa nikama pameshafishwa bado tu mti mmoja mmoja nikaona nyoka anakuja kwa mbali wa rangi ya green alipokuawa karibu nikaona fimbo nikawa nataka nichukea lakini nikachukua jiwe nikawa nataka kumpura akapanda kwenye mti akaanza kuongea huyo nyoka anasema ni mwanamke nilikuwa nimebeba mtoto mgogoni nikakazana mpka wa nyumba kulikuwa na watu inje nikawauluza kuna watoto wangu hapa wakanyamaza nikafungua mlango nikaona kitanda nika mlaza yule mtoto
Kuamkia Leo nimeota nyoka wakiniguata nikiwa na mamangu lakini mamangu akaangusha simu akabaki nyuma so mm nikatoroka nyoka zikanifuata zikinirukia rukia
Asante sana pastor
Bwana yesu Asifiwe mchungaji nimeota nyoka wa kijani pia kenge wa kijani naomba kujua inamanisha nini
Naombo unifafanurie ndoto ya kuona unapambana na watu wenye silaha aina ya pistor,nitafurahi sana mkinisaidia pastor
Ubarikiwe,baba nimefunguliwa
Mungu akubariki mchungaji. Mimi kwa hii mwezi wa pili niliota chatu nusu ikipita Mbele yangu. Tafadhali, naomba unitasfusirie.
Napenda sana mafundisho yako mtumishi wa mungu
Mimi Erasto from Dar es salam
Amen
miguu yaku iwe kama ya kurungu amina 🙏🙏🙏🙏
Mm nimeota nyoka shambani kwetu mweusi mkubwa akaanza kunikimbiza akaning,Ata mdomoni akaingia mwilini mwangu
Ipo good saut
Ameen
Ameni mtumishiii minimeota nimeumwa na nyoka mguu wa kulia nini maana yakeee
Adui ana shambulia mafanikio yako
Nimeota nimeuwa nyoka tano nabaadaye nikawachoma nanikawala sijui inamaanisha nini?
Shalom Mtumishi
Jana nimeota rafiki yangu laleta nyoka na nyoka akaingia mwilini kwangu. Nini maana yake.
Naomba namba ya simu
@RevPeter Mimi nimeota mwezi umoja uliopita nakimbizwa na nyoka nikakimbia kwa nyumba then nikatoka kama Niko na kichwa cha nyoka kwa mkono na mwili wako naubeba kwa mabega.
Ila mwaka jana nilipitia mambo mengi sana adi nikaama place nilikua naishi na nilikua naota nyoka sana ikinikimbiza na watu wengi kunikimbiza.
Naomba usaidizi ya maana
Mchungaji nimeota nimemshija nyoka kichwa chake na mkia nimemtoa ndani nikamakusha njee sijui inmaana gani
Bwana YESU asifiwe mtumishi wa MUNGU Leo mm nimeota ndoto ya nyoka alikua anatembea kwa room ya mum mkubwa....nyoka huyo sijaona nyoka mkubwa Kama huyo
Mm nmeota nyoka anatuchimbia sehemu ya kujificha na alikua ni nyoka wa kuogofya ajabu
Mimi naotaga nyoka chatu ananiambia mwilini,mara nimemeza nyoka namtapika
Shalom mtumishi
samahan mm nimeota npo sehem ya pori kubwa na lilikuwa na nyoka wengi mnoo lkn hawakunidhuru hapo sielewi inamaan gani
Nimeona nyoka katoka kwenye kiduka change kdg kwenye Kona kwa ndani nimkubwa maana yake nn mtumishi
Week iliyopita niliota niko kwa room kubwa na wenzangu tukawa tunatadika tadiko tulale nilipomaliza kutadika nikawa natafuta pillow yangu siioni ngafla nikajiona niko nnje kwenye pako kama ni shamba kuna miti lakini hakuna nyasi kulikuwa nikama pameshafishwa bado tu mti mmoja mmoja nikaona nyoka anakuja kwa mbali wa rangi ya green alipokuawa karibu nikaona fimbo nikawa nataka nichukea lakini nikachukua jiwe nikawa nataka kumpura akapanda kwenye mti akaanza kuongea huyo nyoka anasema ni mwanamke nilikuwa nimebeba mtoto mgogoni nikakazana mpka wa nyumba kulikuwa na watu inje nikawauluza kuna watoto wangu hapa wakanyamaza nikafungua mlango nikaona kitanda nika mlaza yule mtoto
Nimetoa nimepigwa jiwe la kichwa na mwanamke mnene,kwenye barabara kuelelea kijijini ,naomba msaada mana hamna kitu kinaenda tena.
Amen Mimi niliota
Nliota nayo usiku
Paster nimeota nikiwa na mpea nyoka mkubwa chakula na mlisha poster niambie inamaanisha nini na ninaomba uniambie
Zasubuhi mchungaji nataka unitafusiliye nime ota niko na wa cungaji wa kiuwa nyoka I namaana gani
Kuamkia Leo nimeota nyoka wakiniguata nikiwa na mamangu lakini mamangu akaangusha simu akabaki nyuma so mm nikatoroka nyoka zikanifuata zikinirukia rukia
@Hellen nafula Simiyi uko kwenye vita ya kichawi, mama kuangusha simu atapoteza kitu cha maana kutokana na nguvu za uchawi omba sana ushinde hii vita.
Mm niliota tunakimwizwa na nyoka ila mdogo wangu ndio alibanwa na huyo nyoka
Mimi niliota nikiabia mtu hauwe nyoka but niliona Kaa ni mwanaume na
Niliota nikiona nyoka kubwa nini maana yake
Ameen