KIJANA ALIEDANGANYWA NA MKEWE KUWA AJAZAA SIRI YAFICHUKA YALIYOJIRI KIJIJINI KWA MAMAAKE PART-1
Вставка
- Опубліковано 4 жов 2024
- KIJANA ALIEDANGANYWA NA MKEWE KUWA AJAZAA SIRI YAFICHUKA YALIYOJIRI KIJIJINI KWA MAMAAKE PART-1
#church #jesus #god #bible #christian #love #faith #worship #jesuschrist #gospel #prayer #christ #architecture #christianity #pray #photography #holyspirit #godisgood #travel #hope #blessed #bibleverse #art #catholic #grace #truth #amen #believe #religion #ig
Kutakuwa na dhiki kubwa siku za mwisho manabii wa uwongo watakuwepo halo ndipo naamini masiha yupo karibu kurdi mungu tusamehe 😢😢😢😢😢😢😢😢
Watu wanaangamia Kwa kukosa maarifa,mtu anateseka hapo na madrip watu wapo bussy kusikiliza umbeya kama anavosema mwenyewe,mungu si mwepesii wa kutulipiza mabaya tunayofanya,ndo maana ukitubu Kwa kumaanisha anasamehe na kusahau,mungu Bado nalitumain jina lako,hapo mwishoni umesema sahihi usihukum usije ukahukum
Alhamdilillah kwa neema ya uislamu
Yesu kristo anarudi tubuni na kuiamini injili bila Yesu hakuna mbingu WA Islam wote motoni
Ugumu wa maisha unawafanya watu wengi wahangaike Sana kwenye Imani potofu
Eee bwana yesu naomba uumsaidie huyu kijana wangu aache pombe apate kazi kwa jina la yesu amen
Dady nakukubali,papaaa, niguse ktk nahitaji yangu, nimefukuzwa mkataba Lisa nimekutaja wewe, my dady
Bwana yesu asifiwe,mimi ninashida naomba unisaidiye,uniondoleye mshawi anaye angaisha maisha yangu,heri ningekuwa dar ningelifika hapo shida niko Kenya.ubarikiwe
Ameen mungu azidi kukubariki mtumishi wa mungu
Bwana asifiwe sana ❤ Ila uandishi kwa mfano hajazaa huku imeandikwa ajazaa mwandishi angalia sana
AMEN nabii Kiboko ya Wachawi Mungu akubariki
Najiungamanisha na madhabahu hii ya kiboko ya wachawi nisaidie niongezewe mshahala wangu mwez huu wa sita npokee ela ya kuzid amen
Naomba unisaidie anayeniroga mimi na familia yangu aonekane kwa jina la yesu amen
Amen mtumishi
Bwana yesu asifiwe mtumishi na bii ,mim naitwa rebeka msuya nasikiza mahubiri yako naomba unisaidie uzao wangu na mume wangu apate kipato kikubwa ,na mimi biashara yangu haiendelei naomba nisaidie asant sana baba
Piga KAZI mzee NEEMA ya Mungu ni kubwa
neema ya mungu au neema ya ushetanii😂😂😂😂
Mungu ananusuru watu wake na siyo kuhuwa
Mtumish wa mungu naomba unitolee maradh yaliyopo mwilin mwangu nimesumbuka miaka ming sana
Ni mtumishi wa Mungu namkubali tuponye baba.
Ameen mtumishi wa mungu nafuatilia huduma zako nikiwa mwanga Kilimanjaro nimefungwa kimaisha na hata kuzaa naomba unisaidie past
Amina afu nyie mnaokaa nakusema watu wanadanganywa kwann nyny mnalazimishwa kusikiliza kama unaona kinacho hubiliwa wewe hakikufai unaweza kuacha kufatiria au nyie ndowale wachawi moto wamungu unawachoma mnaishia kutoa lgha chafu
Naitwa Eufransia ng'ombo baba naomba uniombee familia yangu kiafya watoto 2 wafaulu mitihani yao pia tumeshuka kiuchumi na mume wangu biashara haindelei vizuri naomba unisaidie baba asante
baba nimesumbuliwa na malaz kwa mda najisikia kufunguliwa maisha yangu na familia yangu tuondokane na Magonjwa pamoja na ugumu wa maisha yetu mungu akupe nguvu utusaidie Amen,
Glory be to God for this man of God
Aminaa mtumish wakomeshe wachaw tena wauwe wametutesa sanaaa
Mungu akubariki sana, naomba namm nipate nafasi ya utabiri mana nimejaribu Kwa simu mara kazaa bila mafanikio
Nipo Moshi naitwa Adili nakufatilia mtumishi sijapata chance kuongea na wewe. Barikiwa sana
Inaumiza sana. Mungu azidi kukubariki Baba.
Mtumishi wa mungu napenda sana maombi yako I receive i receive
Bado una receive????😂😂😂
Nahitaji Nimalize nyumba yangu kwa kina la yesu na nipate biashara kubwa sana mwaka huu
eti mm nimkorofi aisee 😢Mungu nisaidie mm walai tena sio Tanzania wala kenya wala ulaya sijawahi kuwaamini hawa manabii wala mitume na sijawah kuwapenda wala kuwaelewa jmn au mm ndo natatzo ila siku za mwisho ndo hizi, mambo yanaenda kiganga gang tu
Magumu hayakupata my dear ukiona mtu kaenda pale,huyo amepitia mapito sasa hana budi kufanya hivyo,Mungu atupe neema tu
Kweli
kiboko ya wachawi. naombaunisaidie nasumbuliwa na magonjwa nina ngoli, bawa siri na mashine. yangu Iko lege lege sana
Yaaani
Nabii naomba uniombee baba mungu anibariki nifanikiwe haliyamasha yangu imekuwa ngumu baba nikipata pesa haikai nabii kilajambo nikifanya haliendi kabisa baba nashindwa kuelewa hata nimejenga nyumba yakuku nimehindwa kumaliza mtumishi naomba unisaidie baba
Mungu atusaidie Sana
Mungu akubariki uwa ponye watu kwa jina la mwenyesi mungu
Mungu akazane kukupa uwezo zaidi ulliyonawo God bless you 1🥰 💯 🙏
Amen Amen Mtumishi wa Mungu naitwa Hellen John Mushi
😂😂😂😂😂😂
Hellen John Mushi naomba kukufahamu zaidi Kwa kuwa nahisi kuwa wewe ni ndugu yangu!!! Coz na Mimi naitwa Selemani Thomasi Ringia Mushi! Je wewe ni Mushi wa wapi? Coz Mimi natokea kishumundu mtaa wa mararo matemboni!??
Mungu Ni mwema kila wkt...nipo Moshi
Kwenye familia yetu tunateseka sna baba tufungueee
Urogwi wew acha ujinga fanya kaz
Bwana yesu asifiwe naitwa JUMA SAlDI KIONDO mtumishi nisaidie maisha yangu siyaelewi kila nnachofanya matokeo ni ziro afu siko dar Niko ARUSHA nisaidie baba
Yesu atakusaidia
Pasta dominic kiboko ya uchawi unisaidie watoto wangu wakike nawakiume wako wawili na wakike mmoja aolewe na Hawa wengine mguu apone mdogo haoni dalasani haoni
Ndugu waume wenyewe wako wapi we mshauri tuu apate kazi ajijenge mwanaume atakuja mwenyewe
Mungu naomba nianze uduma ndani ya week huu kama kuna nguvu ya giza ndani yake imeshindwa na nainuka kwa kazi ya mungu
Yes huyu ni mtumishi wa mungu na siyo Mungu
Ni kweli kbs hujakosea
Mkasome biblia mathayo 24 meeleza wazi kwa habari ya manabii wa uongo, Mwenyezi Mungu akatusamehe na atusaidie Sana
Amen Amen
Nabii wa Mungu alieumba mbingu na nchi, mnaopinga hii huduma mnamapepo na ni makristo wa uongo
Kwanini mnapinga huduma ya mungu wote mnaompinga huyu nabii mtakufa kama sisimizi wachawi wakubwa na mtakufa
😂😂😂😂😂😂@@AjayKorea-lf6wq
Sema bhana unatumaliziaa mb zetu
Hahahahahaha
Amina
Amen mtumishi wa Mungu naomba uniombee napitia mapito magumu kimaisha kila kazi ya mikono yangu haistawi
Kwasababu bado hujamjua Mungu ukimjua Mungu kazi za mikono yako zitastawi muombe Mungu akupe Neema yakumjua yeye
Mungu turehemu seriously auwe watoto wote serikali ilikua wpi MUNGU turehemu jmani MUNGU wetu ni wa huruma na anatupenda kweli hizi ni siku zamwisho
Ubarikiwe mtumishi wa bwana🙏🙏🙏
Baba Mimi Nina shida . Kwanza wazazi wangu wamenitenga nanimeolewa na wanaume watatu nakila mwanaume ninamtoto naye nawote wameniacha nimebaki na watoto maisha yamekuwa na msukosuko tu nausiku naota nakula nyama au nanyonyesha mtoto
Nenda kanisani atakusaidia
Mungu niinulie mtu sahii, unipe kazi amen
Kauwa watoto kisa mwanaumeeeee mungu anatuhukumuuuu
Amin baba
Amina baba
Bwana Yesu asifiwe naomba msaada wa maombi mamaangu ni mgonjwa wa kukohoa na kutapika damu
Mmmmmmmmmh!!!!!!!!!! Basi tu mungu ajueeeeeee
Naomba unisaidie nateseka sana mwanaume kanizalisha bado mtt hamtunzi nakuna dada alichukua pesa za watu kupitia mm kaniachia mm kesi nasumbuliwa nateseka sana mtumishi.
My dear poleee
Amen 🙏
Jmn ,si mnajua Mimi nilivutaga bangii kweli huu ni utmishi aina gani
shangaa naww
😂
Nione na mim mtumishi ameeni
Afi mtu hapo Mungu YUKO upande wetu na unabii huo ugeuze kwa mke wako uchonganishi ugomvi baba yao ni shetani
Naitwa Hamza hamadi hongera Sana nabii wetu naomba nisaidie uondoe Matatzo yangu yote
Mungu tuhurumie ss bnadamu mungu hatujui apacho 2nafanya
Hata maneno yako siyo ya mungu
Watching from kenya God bless you pray for my ministry
Mungu atuhurumie sisi nadunia nzima
Nakata chuma ullete nabi naomba nisaidie maisha yangu mimi na familia yetu ayaelweki
Naitwa Mary KISAKA, niombee kwa mungu mume wàngu apone kisukari kinamsumbua karibu miaka kumi
Kwa Mwamposa hujujui??
Mpeleke kule Kawe.
Naomba barraca kubwa kwajina la jesu amém amém amém amém 🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Baba piya naomba uombeye family yangu piya uzao wangu piya mume wangu apate kazi nzuri kushinda aliyo nayo.asante
Amina pastor
Hallelujah
Ameeen baba Siri zifichiliwe
Mungu akubarki mtumish
Katika ulimwengu wa kiroho uyu si mtumishi wa mungu kabiza No No No you're not man of God
AMA KWELI MTUMISHI WA MUNGU ANAONGEA PUMBA IVO
Wewe watu wa kiroho unawajua aje??? Uko nao wangipi?
KWANINI UNASEMA HIVYO?
Is not a man of god, but it's man of you
natamani.kusema.kitu.ila hawa wana.nguvu sana
Naitwa Aneth Richard naomba niombee baba nipate support kwa mzazi mwenzangu.
Yooooo aliwaua jaman
Ubarikiwe Sana babaa ,naomba unifungue mume wangu ananificha Kila kitu Mwema Justine wa kimara
Mbona inaonekana we ndo mume?😂
Ubaarikiwe
Mungu akuinuliye nuru nabii
nnasumbuliwa na u.t.i. mara kwa mara nimetumia dawa nimechoka naomba nisaidie na watoto wangu 🙏🙏
Njoo in box nikusaidie kadri ntakavyo jaaliwa
Naomba mungu anisaidie nimalizie jengo langu na biashara zangu zsimame
Mektidis mkapa changamoto yangu mtoto wangu mchawi mumombee haache naali iyo nakwaupande wauchumi wangu zio kabisa
2:54
Amen
Emwenyezi mungu naomba unsaidie nifaulu Gp 3 ya mitihani yangu
Na Mimi naomba nipate kazl
Ameni mtumishi wa mungu
Mungu wangu naomba nisaidie nipate mume sahihi naomba nipate biashara yangu mwaka huu
Nicheki
Mungu ni mwema utapata mwamini pia uwe na matendo mema yatakayoufanya ulimwengu wa roho ukupe mtu anayeendana na mwenendo wako ulimwengu wa roho huwa haukosei
Amina bab
Amejichubua Tapeli muongo shetani
Naomb uniombee Kwa wale waliyoniombea mabaya na alivoniambia vibaya yawarudie Kwa jina la yesu? Nifungulie biashara zangu ameen
Amina🙏 mtumshi
munguakubaliki
mtumishi
naombauniombee
fmiliamagonjwa
nakazizamikonoyanguzikabalikiwe
Mjinga wewe soma maandiko umjue huyu mtu kuwa si mtumishi wa mungu mwakilishi wa shetani jamsni
❤❤❤
Yesu aka sema mimi ndimi njia. bila jina la Yesu ni munguyup?
Huyo mwanamke acha Mungu amwadhibu Bora angebakia kulea watoto nyumbani kwao hataree sana huyo mwanamke hata uhakika wa mwanaume kuishi vizuri anaweza kumwua
Sawa nendini mtajuta baadae aujawa kuiwona muijisa ya Mungu sio ya Mungu hii wanapotesa watu Mungu ila ngoja tu saa itafika mtafahamu ukweli niupi
Naomba kufunguliwa Baba 🙏
Ee Mungu muhurumie nabii huyu ajui alitendalo🙌🙌
Anaongea utumbo
Kabisaa hajui maokoto yanamtuma
Amen Amen 🇰🇪
AJENTI WA KUZIMU anatumia jina la yesu.