Hiyo pesa da neema kazana kuhudumia Linda sana kantangaze na chorachora pia weka bajeti nzuri ya mbolea utafurahia wa kumi na moja unaingia sokoni rasmi watakutafuta kama mwizi hapo ww utakua ni mwendo wa kupiga hela tuu
Hongera Umeeleza mambo mengi Vizuri ila presentation yako haina numbers. Story kama hii watu wanataka kusikia numbers ..Numbers don't lie ..ungeweka graph moja iwe na miezi na ingine Bei ungeelewaka kwa urahisi then ndio uje na sababu sasa ulizosema kwa nn unafikiri hizo numbers zitakua hivyo...hiyo ndio ingekua analysis nzuri..
Mungu aendelee kukutunza Kaka angu. Nimelima heka moja na nusu, nilipandikiza 06/08/024. Nategemea kuanzia 20/10/ kuanza kuvuna. Naomba unitie moyo Kaka.
Hiyo pesa da neema kazana kuhudumia Linda sana kantangaze na chorachora pia weka bajeti nzuri ya mbolea utafurahia wa kumi na moja unaingia sokoni rasmi watakutafuta kama mwizi hapo ww utakua ni mwendo wa kupiga hela tuu
Okay
🙏🙏
Sana kaka nakubali
💪💪
Nakupata vzr ndugu yangu nikiwa dodoma
Pamoja sana kiongozi endelea kubarikiwa
Hongera Umeeleza mambo mengi Vizuri ila presentation yako haina numbers. Story kama hii watu wanataka kusikia numbers ..Numbers don't lie ..ungeweka graph moja iwe na miezi na ingine Bei ungeelewaka kwa urahisi then ndio uje na sababu sasa ulizosema kwa nn unafikiri hizo numbers zitakua hivyo...hiyo ndio ingekua analysis nzuri..
Nashukuru kwa ushauri tutaboresha zaidi wakati ujao
Nam a Yako naihitaji bro tuwasiliane Nia mengi ya kuzungumza na wewe kuhusu kilimo hiki.
0784013400 karibu
Asante
❤❤❤asant kwa darasa kilimo ni ajira❤❤❤❤
Kilimo ni maisha tukutane shambani😂😂💪
Uzid kubalikiwa
🙏🙏
Bei sas Iv imfkje shamba
Kwa dodoma box ni kati ya 10 mpaka 15k lakini wateja ni wachache sana