Розмір відео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показувати елементи керування програвачем
Автоматичне відтворення
Автоповтор
Najiandaa insha Allah kwa kilimo hichi nnaimani kitanitoa kwa uwezo wa mungu
Amen, na mimi naamini hivyo
Naomba kitabu cha mwongozo wa kilimo cha Nyanya Bora
chanel yenu inanifanya nizidi kupenda zaidi kazi ya kililomo.soon nitaanza kwa nguvu za mungu.mungu awabariki kwa kuzidi kutuhamasisha vijana
Asante sana
Hongera mpenzi
napenda sana kilimo njooni mnitembelee
Nashauli pia watalaam wa hot culture tunaomba wanipatie namna ya kujiunga na group lao hasa TAHA
Jaman napenda niwakumbushe kuwa nyanya nizuri ila usiombe ukutane na umbo
huyu dada anaogopa Camera
Kilimo ndio Mali kwa kweli.
Nimependa darasa
kama huyo mtaalam anakuja kila wiki mara moja, mbona anamkosoa mkulima kwa matatizo ambayo yanaonekana ni ya muda mrefu kwa mfano kupunguza matawi?
Jamani na mm nataka kulima nilime nini na naanzaje kwamfano
Endelea kutazama makala zetu utapata unachopenda
Kilimo Biashara mm nataman kulima nyanya naomba mawasiliano plz
@@happyabdallah8379 0783281962
green house ghali jamani sisi wenye mitaji midogo tunafanyaje?
Nazania unaweza kutengeza mwenyewe
Madawayanyanya
mnapatika arusha tuu ndio mpo ama mpo kila sehemu nyie taha
Safi saaaan!
Nipo mwanza ila sijapata mtaalam wakunielekeza
0783281962 karibu sham agro co ltd kwa maelezo
Tanga mnapatikana?
Taha me mkulima ila masoko ndio yananiuwa
kitabu cha kilimo cha nyanya tuna kipata kwa ngapi?
Kinapatikana shiling elfu kumi na tano.... Kinaelezea stape by stape
@@petermaniche1009 mnaweza kusambaza sehem yoyote
@@silascharles2532 ndio
Nipo Iringa nakipataje
Green house bei gani jamani
0783281962
h
Hamjambo mimi naitwa morisi niko marekani nahitaji mafunzo yakirimo chanyanya nitayapataje? Naomba namba za whatsapp tuongee
Najiandaa insha Allah kwa kilimo hichi nnaimani kitanitoa kwa uwezo wa mungu
Amen, na mimi naamini hivyo
Naomba kitabu cha mwongozo wa kilimo cha Nyanya Bora
chanel yenu inanifanya nizidi kupenda zaidi kazi ya kililomo.soon nitaanza kwa nguvu za mungu.mungu awabariki kwa kuzidi kutuhamasisha vijana
Asante sana
Hongera mpenzi
napenda sana kilimo njooni mnitembelee
Nashauli pia watalaam wa hot culture tunaomba wanipatie namna ya kujiunga na group lao hasa TAHA
Jaman napenda niwakumbushe kuwa nyanya nizuri ila usiombe ukutane na umbo
huyu dada anaogopa Camera
Kilimo ndio Mali kwa kweli.
Nimependa darasa
kama huyo mtaalam anakuja kila wiki mara moja, mbona anamkosoa mkulima kwa matatizo ambayo yanaonekana ni ya muda mrefu kwa mfano kupunguza matawi?
Jamani na mm nataka kulima nilime nini na naanzaje kwamfano
Endelea kutazama makala zetu utapata unachopenda
Kilimo Biashara mm nataman kulima nyanya naomba mawasiliano plz
@@happyabdallah8379 0783281962
green house ghali jamani sisi wenye mitaji midogo tunafanyaje?
Nazania unaweza kutengeza mwenyewe
Madawayanyanya
mnapatika arusha tuu ndio mpo ama mpo kila sehemu nyie taha
Safi saaaan!
Nipo mwanza ila sijapata mtaalam wakunielekeza
0783281962 karibu sham agro co ltd kwa maelezo
Tanga mnapatikana?
Taha me mkulima ila masoko ndio yananiuwa
kitabu cha kilimo cha nyanya tuna kipata kwa ngapi?
Kinapatikana shiling elfu kumi na tano.... Kinaelezea stape by stape
@@petermaniche1009 mnaweza kusambaza sehem yoyote
@@silascharles2532 ndio
Nipo Iringa nakipataje
Green house bei gani jamani
0783281962
0783281962
h
Hamjambo mimi naitwa morisi niko marekani nahitaji mafunzo yakirimo chanyanya nitayapataje? Naomba namba za whatsapp tuongee