MBUNGE KIJANA KULIKO WOTE BUNGENI AMSANUA DKT. MWIGULU, AKATAA TAARIFA YA GETERE "NI ZA KITAKWIMU"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 27 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 35

  • @sebmalunde5945
    @sebmalunde5945 3 місяці тому +1

    Mhe. Ng'wasi kamani umeongea sahihi kabisa. Big Up sana

  • @ahimidiwenanyaro5249
    @ahimidiwenanyaro5249 3 місяці тому +1

    Safi Sana mwakilishi wa vijana mkoa wa mwanza una contents

  • @BarakaThoas
    @BarakaThoas 3 місяці тому +2

    Waoooooooh! Uyo binti ni lulu ya taifa hili kabisa mungu amsimamie asije akanunuliwa

  • @drallan6879
    @drallan6879 3 місяці тому

    our education status does match with Usa

  • @mukhtarnasser6837
    @mukhtarnasser6837 3 місяці тому +1

    Parliament should make , as one Following Parliament with You tube , there is LACK OF SOUND , and sometime it is not CLEAR , blurring

  • @DeusDaud-cs7ed
    @DeusDaud-cs7ed 3 місяці тому +2

    Huyu mbunge apewe uwaziri

  • @hamismwangwale563
    @hamismwangwale563 3 місяці тому

    Hongera Sana maadam damas kaman

  • @victorkisenha5933
    @victorkisenha5933 3 місяці тому

    Ww unafaa kuwa waziri wa fedha. Nakuombea sana uwe wazir wa FEDHA.

  • @ahimidiwenanyaro5249
    @ahimidiwenanyaro5249 3 місяці тому +2

    unaitendea haki Masters yako ya Economic law

  • @zengomikomangwa9264
    @zengomikomangwa9264 3 місяці тому +1

    Safiii sana Binti. Tunapenda michango kama hii. Kuliko kusifia tu tu bila kushauri namna ya uboreshaji.

  • @kadokemarco9966
    @kadokemarco9966 3 місяці тому +1

    Comfort gani wakati sheria ni mbovu kuanzia upatikanaji wa pasport tuu ni shida. Mtu anapata scholarship wanataka uambatanishe passport number ndiyo wakupe na huna ukienda uhamiaji wanakudai barua ya scholarship kwanza

  • @mndambokilavo2502
    @mndambokilavo2502 3 місяці тому +1

    Subutu niko pale pembeni mifumo tu kuonana sijui ni mwaka wa ngapi tuonaongea hamna kitu, ila mchango mzuri kuliko lakini????😢😢😢

  • @dominickrukokelwa1284
    @dominickrukokelwa1284 3 місяці тому +1

    Hivi ninyi wabunge, CCM na serikali-CCM mnajua vizuri SIDO ni nini???

  • @josephmathayo5139
    @josephmathayo5139 3 місяці тому +1

    Binti ni kweli una Madini kichwani. Tatizo ni je Serikali IPO tayari kuufanyia kazi ushauri?

  • @victorkisenha5933
    @victorkisenha5933 3 місяці тому

    Dada upo sahihi, pokea 100%

  • @shamtenyambega2944
    @shamtenyambega2944 3 місяці тому

    SEREKALI ifanye connection ya sisi raia kufanya kazi nje ya nchi
    au dada afungue agent ya kututafutia kazi nje ya nch

  • @alfredfaustin4441
    @alfredfaustin4441 3 місяці тому

    Huyu mbunge ni tunu ya taifa anabeba moono ya rais samia

  • @mayrfrimi4759
    @mayrfrimi4759 3 місяці тому +1

    Huyo dogo sijamuelewa, yaani mwenyekiti, eti serekali iwape uwezo wa kwenda kupambana nche, wadaiu nielewesheni hapa anamaanisha nini

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 3 місяці тому +1

    Halafu we binti sasa nakuomba uolewe usije ukaitwa singo Maza.

  • @mayrfrimi4759
    @mayrfrimi4759 3 місяці тому

    Kazi ile ile ya wizi au?

  • @eliabbanyikwa8716
    @eliabbanyikwa8716 3 місяці тому +1

    Maua yako mbunge kija

  • @FrederickThadeo
    @FrederickThadeo 3 місяці тому

    Wewe upigaji wa wabongo utauwawa

  • @moseskita
    @moseskita 3 місяці тому

    Badala ya kumuongezea dk hata tatu amemkata watanzania sijui tuna nn

  • @mamalange2277
    @mamalange2277 3 місяці тому

    Kuondoa fedha za makaratasi matokeo yake serekali ikiwa haikupendi utaamka asubui uta kuta 0. ndio utaelewa dhumuni la huo mfumo

  • @FrederickThadeo
    @FrederickThadeo 3 місяці тому

    Dada bajeti ipi?

  • @FrederickThadeo
    @FrederickThadeo 3 місяці тому

    Hamuna uchumi wewe mtoto sela ya ccm nikuzalisha machinga Kwa sela zenu bado waze Wana sinzia kazini

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im 3 місяці тому

    Watanzania hawapgopo kodi, lakini wanataka kuona kodi zawo zimefanya kazi gani.

  • @huldamichael4445
    @huldamichael4445 3 місяці тому

    Binti Una madini mno ila unarusha Sana mikono!yaani kama vile unapigana

  • @BarakaThoas
    @BarakaThoas 3 місяці тому +1

    Waoooooooh! Uyu binti ni lulu ya taifa

  • @GodfredAlfredNgarama
    @GodfredAlfredNgarama 3 місяці тому +1

    Shida ya nchi yetu ni kusifiana sifiana, Mambo ya kusifiana ndo yametufikisha hapa.

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im 3 місяці тому

    Tupunguze sifa kwa Rais. Mambo hayako sawa, ufisadi umezidi. Kodi za watanzania zinaibiwa na wachache. Wanaoiba hawafungwi. Mała ya mwisho kusikia mtu mwenye fedha anafungwa ni wakati wa JPM, kwa Sasa kila mtu anakula kwa uregu wa kamba yake bila wasi wasi, bora tunamusifue Rais. Wanyonge wanakoma Watanzania wanateseka lakini hawalalamki kwa sauti, wananong’ongo’na.

  • @FrederickThadeo
    @FrederickThadeo 3 місяці тому

    Mapato tozo wizi mtupu ngoja mungu yupo

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 3 місяці тому

    Hizo pikipiki ni wizi tu madam

  • @brightontibenda2346
    @brightontibenda2346 3 місяці тому

    Good and logic speech! Congratulate Hon .kaman😢

  • @felcRaphael
    @felcRaphael 3 місяці тому +1

    Dada unaakili kutambua hilo