Mh. anaongea vizuri sanaa. Mimi ningependa kuchangia kwa kusema kuwa, wananchi hali yao ya maisha ni ngumu sana. lakini pia watu wakuchangia hizi bima za afya wapo sana, maana watu wakitoa hizo hela kama kweli zitasimamiwa vizuri basi hata wale wasiokuwa na uwezo wanaweza kutibiwa kwa kutumia bima za afya hizo
Kwa nini aseme tutumie mgodi mmoja wa dhahabu kwa ajili ya bima?! Au Tanzanite yote ya Arusha mapato yake yapelekwe kwenye bima na afya?! Ni ufinyu wa fikra kufikiria kuwakamua wananchi zaidi ya sasa, badala yake rasilimali za nchi hasa madini, mafufa na gesi vitumike vizuri, tutafanikiwa kwenda mbali, badala ya kuwaongezea ugumu wananchi na kuichukia serikali
Wazi zuri, nasi tunaomba kila anayemiliki Mabasi na Malori, ktk kila route akatwe tsh elfu 10. Na wenye Madaladala wakatwe tsh elfu Tano kwa siku. Nawasilisha hoja Spika.
Mswada walihangaika nao miaka 2 unaeakebishwa hauwekwi hadharani baadae wakaupitisha sasa hayo anayoyaongea ambayo ni mambo mazuri alitakiwa ayaongee kabla muswada hawajaupitisha ili ukipitishwa kila mtu anaufarahia. Anyway, mawazo hayo yafanyiwe kazi tena haraka maana tumechelewa sana
Ilitakiwa waanze na wananchi kupata mawazo yao.ila kama kawaida wao wanajiona wana akili sana na wajuaji ndipo mambo mengi hugoma. Hata zile tozo za simu walifeli.
Hakuna lisilowezekana, kuna vitu vingi serikali inavigharamia wakati havina impact kwa wananchi mfano ni vikao vingi kujadiri issues halafu matokeo yanabakia kuwa hasi kumbe ulikua mchongo wa posho.😃😄
Mawazo yetu katika kupata mapato ya kuendesha nchi ni kuendelea kubuni kitu cha kumkata kodi mwananchi yuleyule licha ya kuwa anakatwa kodi nyingi kuliko inavyotakiwa ye anajua wafanyakazi wanalipwa mishahara mikubwa kama wao wabunge mpaka aseme wanakatwe 10,000 au zaidi?
Mhhh hospitali binafs zikidhoofishwa ujue huduma ya afya itakuwa mbaya sana kwani wafanyakazi wengi wa serikal hawana uzalendo katika kufanya kazi pia kutunza vifaa katka hospitali za seikali.
Mawazo mazuli sana mbunge wetu unayo yasema ila shabiby mkiamua kukata Kodi kwenyesim sawa ilaujue ngorongoro,bandari mbuga,mdini misitu vituo va mafuta, fainizamagali ,vitalu, viwanjava ndege mgodi, Yani haikufaa kukatakodi zasim wanyonge Yani labda mngesema hivi mishahara yenu naposhozenu nyiewabunge zamwkamzima msilipwe pelekeni huko kwenyebima ila sio kuwapa mzigo wnanch
Hayo mawazo ni sahihi kwa asilimia kubwa. Yanaonesha umhimu wa mchango wa bunge kujenga nchi. Watendaji lichukueni mlifanyie kazi haraka sana. Wananchi watafurahi hasa maskini ambao kwa kweli bima hawawezi kumudu kulipa Kila mwaka. Hata nchi zingine zitajifunza kwetu. Wapo watakaopiga kelele kwa unafiki na kwa hila kwa sababu zao za ubinafsi. Viongozi wa kitaifa msiyumbishwe kusimamia mambo ya msingi ya maendelea ya nchi kwa ubinafsi wa kutetea kura zenu.
Mnapunguza Kodi kwa wawekezaji na mnarundukia wananchi Kodi lukuku.... Mshahara wa wabunge ukatwe Kodi 20 asilimia tayari bima ya afya kwa wananchi maskini watakuwa wamelipia wote
Kwann mbunge alipe kodi wkt anapata gross salary ya karibu 12m bado dodoma anapata posho ya laki tatu kwa siku wkt watumishi wa private sector hasa migodi mikubwa tunakatwa kodi kubwa ya asilimia almost 18 kila kitu unalambwa kodi hii sio haki ata kidogo
Mheshimiwa spika Hawa wabunge wameshindwa kufikiria, sas mm nawapa wazo moja, Kwanza kwa Kila mbunge wakiti raia akichangia elfu mbili na Hawa wabunge wao wachangie milioni tano kwa mwezi ili uweze kufanya uwiano sahihi sio wakae apo na vitumbo vyao waporoje Tu. Kwa sababu juzu mumeongezw kodi kwenye makato ya Simu.
Mtavutana na kukamuana lkn yote haya ni kukosa usimamizi wenye ufanisi kwenye rasilimali zetu! Hatuna maadili ktk hilo! Ni ufisadi mtupu. Ripoti za CAG ukisikiliza jinsi pesa zinavyopigwa utalia!
Kweli Mbunge wangu umekomaa kisiasa , hongera Sana kwa mawazo mazuri bima ya afya Ni pasua kichwa Hali ya maisha Ni mbaya hakuna mtu anaependa kufa kwa kukosa bima. Mungu akubariki kwa kupeleka kilio chetu bungeni tutakuchagua Hadi useme po. Huo ndio utetezi wa wananchi siyo kupigapiga mameza Hadi mikono inakuwa na sugu kwa hoja za wenzio.
Ukiacha kumtoza mwananyi pesa taskinu alafu ukamtoza kwenye simu c umebadilisha njia ya utozaji ila utozagi upon pale pale.minashauri hela itozwe kwa gesi madini utali nakazalika
Wabunge na mawaziri nyie mnakatwa kiasi gani cha kodi ya maendeleo tafadhali, maana Tanzania ni ya ajabu sana. Watu wanapambana kuingia bungeni maana huko ndiko kwenye green pastures. Mngekuwa mnapewa mishahara kama wafanyakazi wengine hii nchi isingekuwa na matrilion ya maden, inauma sana napambana kijijini kulipa kodi kwa kila ninachonunua halafu anaenda kufaidi mbunge.
Napesa hz wakitukata kwenye simu tutashukuru sana, kwasababu tutapata huduma za afya, sio hizi zilizokuwa zikikatwa kwenye miamala wanatunisha matumbo yao tu. Ikiwa tu, watafuata maono na ushauri wa shabib akili kubwa ktk biashara
Wallah mbunge una maono Bima ya Afya ni muhimu sana na Afya ni uchumi Tafuteni vyanzo kama tozo simu mafuta vinywaji nk Asante baba
Bima ya afya imekuwa mateso kwa wananchi, hongera sana mheshimiwa shabiby kujuwa changamoto watu hali ya chini ni mtihani mkubwa
Wabunge anzeni kulipa kodi, tutapata Trillion 1.2 kwa mwaka
Kumbeee 😂
Hivi halipi kodi ? Kama ni hivyo itakuwa niuonevu mkubwa
Pamoja na mabalozi
Mheshimiwa SHABIBY Mungu akubariki kwa hekima na uzalendo wako wa kweli. Inasikitisha kuwa na wizara isiyo na ufahamu wa hali halisi ya wananchi wetu
Hongera Kwa kusema ukweli kuhusu pesa za NHIF zinavyoibiwa na hospitali binafsi.
Akili ndogo
Hongera sana mbunge shabibu uko sawa hicho serikari itafute chanzo Cha pesa ilikuwasaidia wananchi wake bima
Mbunge shabby Yuko sahihi mawazo yake yafanyiwe kazi hongera sana
Tatizo uwo mfuko wabima serikali inaukopa mbaya zaidi hailipi na je tukianza kata 2000 kwa kila raia tunauhakika gani zitakuwa salama
@@TuntufyeMwakalukani namna fulani ya kuufisadi mfuko.
Asante Mh. Ubalikiwe.
Shabby shabby shabby mungu akubaliki sana Kwa michango wako mzuli tunaitaji wabunge km wewe hongera sana ilitakiwa uwe wazili kbs
Well said mbunge Shabib I am admiring you.
Mwarabu wa Gailo huwa nakukubali Sana
Hongera Sana mbunge kwa maono yako itakuwa mkombozi kwa wa Tanzania
Safi mwenyewe nimemuelewa, changamoto kwetu sisi ni kupinga Kila kitu tukisikia pesa tu.
Safi sana kamanda,karibu mbarali utete anyone,pia bima ni nzuri ila tatizo ni dawa hazipo!
Mh. anaongea vizuri sanaa. Mimi ningependa kuchangia kwa kusema kuwa, wananchi hali yao ya maisha ni ngumu sana. lakini pia watu wakuchangia hizi bima za afya wapo sana, maana watu wakitoa hizo hela kama kweli zitasimamiwa vizuri basi hata wale wasiokuwa na uwezo wanaweza kutibiwa kwa kutumia bima za afya hizo
wenye laini zaidi ya moja mtakoma, watumishi wa serikali pia watakatwa mara mbili au tatu na zaidi
Kwa nini aseme tutumie mgodi mmoja wa dhahabu kwa ajili ya bima?! Au Tanzanite yote ya Arusha mapato yake yapelekwe kwenye bima na afya?! Ni ufinyu wa fikra kufikiria kuwakamua wananchi zaidi ya sasa, badala yake rasilimali za nchi hasa madini, mafufa na gesi vitumike vizuri, tutafanikiwa kwenda mbali, badala ya kuwaongezea ugumu wananchi na kuichukia serikali
Nice
Wazi zuri, nasi tunaomba kila anayemiliki Mabasi na Malori, ktk kila route akatwe tsh elfu 10. Na wenye Madaladala wakatwe tsh elfu Tano kwa siku. Nawasilisha hoja Spika.
Mswada walihangaika nao miaka 2 unaeakebishwa hauwekwi hadharani baadae wakaupitisha sasa hayo anayoyaongea ambayo ni mambo mazuri alitakiwa ayaongee kabla muswada hawajaupitisha ili ukipitishwa kila mtu anaufarahia. Anyway, mawazo hayo yafanyiwe kazi tena haraka maana tumechelewa sana
Ilitakiwa waanze na wananchi kupata mawazo yao.ila kama kawaida wao wanajiona wana akili sana na wajuaji ndipo mambo mengi hugoma.
Hata zile tozo za simu walifeli.
Bima hizi hizi ambazo wanazichukia wahudumu wa afya au Kuna zingine
Hongera mshimuwa shabiby
Safi sana baba mngu akuone
Uko sawa
Hakuna lisilowezekana, kuna vitu vingi serikali inavigharamia wakati havina impact kwa wananchi mfano ni vikao vingi kujadiri issues halafu matokeo yanabakia kuwa hasi kumbe ulikua mchongo wa posho.😃😄
Huyo ni muheshimiwa kama muheshimiwa Shabiby
Hawez akavaa kandambili kwasababu uwakika wakuishi kwagharama ya serikali mpaka anazeeka upo namsharahara juu
Mm nilijua atashaur matajir wote wa Mabas wakatwe lak Kwa Kila mwez na wabunge walipe kodi Tena wawe mfano wakatwe asilimia 25 ingesaidia bima vzr
Tunaitaji wabunge kamahawa wanaishauli selikali vituvya maana wengi bungeni wanarara tu nimzingo kwa selikali
Nakupongeza SHABIB UKO VIZURI
Bip up bunge
huyu mbunge anasema ukweli mtupu isipingwe kitu yoyote !!!
Ni yaleyale ya mzigo wa tozo nchi itajengwa na walala hoi italiwa na wenye meno
Tunateseka saana
Kwahiyo mheshimiwa unashauri tuongezewe gharama za line za simu sh 2,000? ..au sijakuelwwa vizuri?
Ila ninanakukubali sana nd shabiby 6:47
Bima ni mpango wa kuwaibia wanachi ukweli bima haina nafuu kwa wagonjwa waulizeni wananchi waliopatwa na shida na wana bima. Kweli mbunge .
Mawazo yetu katika kupata mapato ya kuendesha nchi ni kuendelea kubuni kitu cha kumkata kodi mwananchi yuleyule licha ya kuwa anakatwa kodi nyingi kuliko inavyotakiwa ye anajua wafanyakazi wanalipwa mishahara mikubwa kama wao wabunge mpaka aseme wanakatwe 10,000 au zaidi?
jamani watu wanatezeka sana kijijini madaktari wanaringa utadhani hospitali ni yao na madaktari hawana ukarimu na watu kabisa!
Mhhh hospitali binafs zikidhoofishwa ujue huduma ya afya itakuwa mbaya sana kwani wafanyakazi wengi wa serikal hawana uzalendo katika kufanya kazi pia kutunza vifaa katka hospitali za seikali.
Point ❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Goloko kulafa ushauri muswanusi Shabiby kwa mkweli sana Blai
Mhmm kumbe umeongeea unamaliza kwa kutudanganya yani spika tembelee kandambili kachumbali apo mimi ntakua natembea uchi sasa😮
Sio kweli hospitali binafsi mil 2 ni laki 7 muhimbili laki 5
Daaaa maoni mazuri sana mbunge
Mawazo mazuli sana mbunge wetu unayo yasema ila shabiby mkiamua kukata Kodi kwenyesim sawa ilaujue ngorongoro,bandari mbuga,mdini misitu vituo va mafuta, fainizamagali ,vitalu, viwanjava ndege mgodi, Yani haikufaa kukatakodi zasim wanyonge Yani labda mngesema hivi mishahara yenu naposhozenu nyiewabunge zamwkamzima msilipwe pelekeni huko kwenyebima ila sio kuwapa mzigo wnanch
pesa ziibiwe halafu uendelee kutuchangisha. mnaelewa mnachookisema au kwa sababu ni mchango??? kwahiyo tuchange mkaibe tena?
Lipeni nyie mnojiongezea maposho kila mara- bac hata sie pangu pakavu mtukomoe. Mnachukua pesa kwenye vocha kisha mnatak kuongeza. Hy bn
Hayo mawazo ni sahihi kwa asilimia kubwa. Yanaonesha umhimu wa mchango wa bunge kujenga nchi. Watendaji lichukueni mlifanyie kazi haraka sana. Wananchi watafurahi hasa maskini ambao kwa kweli bima hawawezi kumudu kulipa Kila mwaka. Hata nchi zingine zitajifunza kwetu. Wapo watakaopiga kelele kwa unafiki na kwa hila kwa sababu zao za ubinafsi. Viongozi wa kitaifa msiyumbishwe kusimamia mambo ya msingi ya maendelea ya nchi kwa ubinafsi wa kutetea kura zenu.
What's problem
Mnapunguza Kodi kwa wawekezaji na mnarundukia wananchi Kodi lukuku.... Mshahara wa wabunge ukatwe Kodi 20 asilimia tayari bima ya afya kwa wananchi maskini watakuwa wamelipia wote
Kwann mbunge alipe kodi wkt anapata gross salary ya karibu 12m bado dodoma anapata posho ya laki tatu kwa siku wkt watumishi wa private sector hasa migodi mikubwa tunakatwa kodi kubwa ya asilimia almost 18 kila kitu unalambwa kodi hii sio haki ata kidogo
Hii nchi inatumia pesa hovyo huko bungeni afu kila siku wanawaza kukamua wananchi in a different way
Wabunge mkikatwa milioni moja kwa mwezi je
Mheshimiwa spika Hawa wabunge wameshindwa kufikiria, sas mm nawapa wazo moja, Kwanza kwa Kila mbunge wakiti raia akichangia elfu mbili na Hawa wabunge wao wachangie milioni tano kwa mwezi ili uweze kufanya uwiano sahihi sio wakae apo na vitumbo vyao waporoje Tu. Kwa sababu juzu mumeongezw kodi kwenye makato ya Simu.
Baba ongera kwa wazo nzuri
Hawa ndo watu wanafaaa kuwa Marais wa nchi hiiii point z uhakika
Mtavutana na kukamuana lkn yote haya ni kukosa usimamizi wenye ufanisi kwenye rasilimali zetu! Hatuna maadili ktk hilo! Ni ufisadi mtupu.
Ripoti za CAG ukisikiliza jinsi pesa zinavyopigwa utalia!
Linaweza kuwa wazo nzuri tatzo pesa zikichangwatu tayari zinaingia kwenye makoti yenu
Uko sahihi serikali itulipie wananchi wake, mbona mafisadi wanapoteza nyingi ?
Maskini wa kutupwa!
Madini yalipe bima mbuga maziwa
Hata ijadiluwe vipi hiyo imeshapitaaa..!! Ni lini mjadala humo ndani ukabadili maamuzi ya Serikali ?!
Sawa nyie ongei tu; wala hammjui mwanachi anavoteseka sijui kwanini mnajisahau, ipo siku itasema.
Kweliìiiiiìi
Wazonlako n jema lakn mnaipeleka sehemu isyosahihi..na kuangukia kwenye mifuko ya wengne ...na pia ni veep kuhusu report ya CIG???
Anzeni kwa kupunguza posho za wabunge.
wazo ni zuri cn hilo
10,000/= CHF imewashinda hiyo 2000 ya simu ataweza
Nchi hii viongozi wanalalamika na wananchi wanalalamika
Wabunge watakatwa kodi kiasi gani kwa mwaka
Si zitapigwa au kukopwa kama KAWAIDA😅😅
Hizo tirion zinaendana wp??
Huyu shabiby umeeleweka
NHIF imekufa, sasa hivi huduma nyingi zimetolewa kwenye matibabu kwenye bima ya NHIF. Semeni na hilo.
Imekufa kwa ugonjwa wa moyo au🤔
Na Kwenye Kila Basi Moja Tuchukuwe Elf 3000
Uyu jamaa hua namkubal sana amenyooka
Utani mara nyingi una unga undugu
Amezungumza kituchamsingi sana mbunge, kama 5000 imetushinda 300,000 ndo tutaimudu sisi wananchi wa hali yachini?
Unazingua, kwa mafaoo yote ya spika hilo haliwezekani
huyu mbunge nimpumbavu
shabiby akili nyingi sana Wana gailo mna jembe hapo mjengoni wengine kazi zao kusinzia
Angesema wabunge waanze kulipza Kodi ndyo tutapata pesa za maana
Yaan bima ya afyaa imekuwa n mateso mateso Kwa wananch ..Kwa utajir wa Mali zet watanzania bima ingelkuwa bure Kwa Kila mwananchi😢
Kweli Mbunge wangu umekomaa kisiasa , hongera Sana kwa mawazo mazuri bima ya afya Ni pasua kichwa Hali ya maisha Ni mbaya hakuna mtu anaependa kufa kwa kukosa bima. Mungu akubariki kwa kupeleka kilio chetu bungeni tutakuchagua Hadi useme po. Huo ndio utetezi wa wananchi siyo kupigapiga mameza Hadi mikono inakuwa na sugu kwa hoja za wenzio.
Upumbavu mtupu.Wataiba pesa zetu
SHABBY upo sahihi sana umetoa wazo zuri sana ambalo serikali walifanyie kazi itapatikana pesa nyingi sana.
Wewe mbungenimzalendowakwelikweli unajaliwatanzaniawenzako kama familiayako mwe nywewe.
Mh..umeongea point sana lakin litatendewa kazi???😢
Na biashara za watu binafsi zifutwe,mabasi imiliki serikali,maduka n.k.Hoja haijakaa vzr,vituo binafsi vinasaidia Sana.Serikali haiwezi pekee yake.
Ukiacha kumtoza mwananyi pesa taskinu alafu ukamtoza kwenye simu c umebadilisha njia ya utozaji ila utozagi upon pale pale.minashauri hela itozwe kwa gesi madini utali nakazalika
Si rahisi kuvaa kanda bili hata kama akitoka kwenye kiti kwani wako na stahiki nyingi baada ya kustaafu.
Msiseme 'WanaNchi wetu',:semeni 'WanaNchi wenzetu'!
Huyu mzee yuko vzr.hzr point kwa wenye roho mbaya huwez kusikia makofi yake
Huyu mbunge anaelewa kwamba karibu nusu ya huduma ya afya tz ni vituo binafsi???
NI wazo zuri ila .Huyo maskini nae kaesabika katika hizo line .2000 anapita wapi simu simu yenyewe Hana anamiliki line
Wabunge na mawaziri nyie mnakatwa kiasi gani cha kodi ya maendeleo tafadhali, maana Tanzania ni ya ajabu sana. Watu wanapambana kuingia bungeni maana huko ndiko kwenye green pastures.
Mngekuwa mnapewa mishahara kama wafanyakazi wengine hii nchi isingekuwa na matrilion ya maden, inauma sana napambana kijijini kulipa kodi kwa kila ninachonunua halafu anaenda kufaidi mbunge.
Napesa hz wakitukata kwenye simu tutashukuru sana, kwasababu tutapata huduma za afya, sio hizi zilizokuwa zikikatwa kwenye miamala wanatunisha matumbo yao tu. Ikiwa tu, watafuata maono na ushauri wa shabib akili kubwa ktk biashara
Punguzeni ubadhirifu na matumizi yasiyo yalazima
ZIBAKI ZA RUFAA TU KWASABUBU NDIKO MNAKO KWENDA.
Hapo nimekuelewa Shabby 👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏
Akika imekaa vizur ifanyiwe tu kazi nafikri fraha itakuwa kwa hawa watu
Hi bima ya afya anaye taka naakate asiye na uwezo aendelee kama kawaida akalipe cash anapo kwenda kutibiwa
Ukweli usemwe akili nyingi mbunge makini
Mlaikiji komenti🤗
Upo vizuri MH. Shabibi Bima kwa wote, isiwe njia ya kupruni Watanzania.
Inatakiwa kilamtuu atoe mchango
Shabib umewatetea sana wananchi. Hongera kwa ushauri wa kina juu ya chanzo cha kudumu cha chanzo cha bima ya afya kwa wote