kanisa
Вставка
- Опубліковано 15 вер 2024
- 2012
Africa
African
akongamimi
akongamimi
albino fulani
Alex & Mary Ominde
Ali kiba
ali kiba 2012
ali kiba cinderella
ali kiba dushelele
ali kiba far away
ali kiba hadithi
ali kiba mac muga
ali kiba mali yangu
ali kiba mapenzi
ali kiba mapenzi yana run dunia
ali kiba new songs
ali kiba usiniseme
Ambassadors of Christ
Angela Chibalonza
AT
Atu Dave
AY
bahati bakuku,
baheburawilly
banana zoro
Belle 9
Ben Bahati
Ben Githae
Berry Black
bethel choir
Bongo flava
bongo flava 2012
bongo flava bongo
bongo flava new
bongo song
BONGOTRACK
Bonny Mwaitege
Burka sda
burund movies
Burundi
burundi black
Burundi bujumbura
burundi choir
burundi dance
burundi drummers
burundi gospel music
burundi gospel music 2012
burundi movies
burundi music
burundi music 2012
burundi songs
Carson
Carson / Mercy Wairegi
Cheusidawa
chidi benz
chidy benz
Choir SOUTH DAKOTA
Christ Ambassadors of Chris
Christian Music
Christina Shusho
Church songs Kilutheri
Clinton Jeffa
comedy,
congo
congo bongo
congo dance
congo movie
congo movie part 1
congo music
congo natty
congo natty get ready
congo natty junglist
congo natty police in helicopter
congo trailer
cultrure music club
Daddy Owen ,
Dar Es Salaam Modern Taarab
David Prince
Denis Lison
Denis Lison Burundi bujumbura
Diamond
Dj choka
Dr David Owuor
Dr. Paul Hamisi Hussein
dully sykes
East africa gospel
East Africa Music
Emmy Kosgei,
Esther Wahome,
Ev. Joshua
Evaline Muthoka
Faith Kithele
Ferooz,
Fid Q
flava new songs 2011
Furaha London Nyimbo za dini
GEITA CENTRAL SDA CHOIR
Geuka Indirimbo
Godwin Shayo
gospel choir
gospel choir 2012
Gospel Choir Tanzania 2012
gospel music 2012,
Gospel Song 2012
greatlakesmix(GLM)
hadija yusuf
hege temba "mad Ice
Helena ken
Hussein Machozi
injili
Isaac Kahurah,
Izzo bizness
Jaffarai
jahazi
jay dee
joan wairimu
Joh Makini
Justina Nzomo,
kamba song
kanisa
Kanumba movies
Karen Men's Chorale
kenyan comedy
kenyan comedy 2011
kenyan comedy 2012
kenyan gospel
kenyan gospel choir
kenyan gospel music
kenyan gospel music 2011
kenyan gospel music 2012
kenyan kenyan movies
kenyan music
kenyan music 2011
kenyan music 2012
kenyan songs
kenyan,
khadija kopa
Kikuyu
Kilahiro
kipindi cha nyota zenu
KURASINI SDA CHURCH CHOIR
Kwaya
Lady jay dee
Lamyia
langa
London Swahili Furaha Choir
Makamua
malindi
Marlaw
Martha Mwaipaja
Martha Ramadhani
mary Ngugi,
masanja
masanja aokoka
Masanja Aokoka!
masanja mkandamizaji 2012
Mercy Wairegi
mr blue
mrjohnkitus
muchacho
muhamed ilyas
muziki
mwambao
mwana FA
mwanahawa juma
mzee yusuf
mzee Yusuph
Nduta's Choir
Nesta Sanga
new bongo flava 2012
New kenya
neywa wa matego
nigerian movies 2011 latest
nigerian movies 2012
nonini
nonini
NxT LvL Music Christian
off side trick"
omba sala nyimbo
onga mbele Choir
Orijino
Orijino Komedi
Pacific ft Nathalie & Adelaro
paul mwai
Paul Mwai
Professor Jay"
Ray C"
Reuben Kigame & Sifa Voices
rose muhando,
rukia ramadhan
rusha roho harusi
RUTH WAMUYU,
rwanda
rwanda genocide
rwanda genocide documentary
rwanda genocide footage
rwanda gospel music
rwanda gospel music 2011
rwanda gospel music 2012
rwanda movie
rwanda movie
rwanda music
rwanda music 2011
rwanda song
rwanda song
sabah salum
SAIMON MAENGO,
SALOMON MUKUBWA
Sanga
Sarah Mbogo,
Sautizabongo
seif sali
sharobaro
sheikh yahya utabiri wa nyota
shirko
solo thang
Songambele Choir
Sporah Show
Stara
Steven Kanumba
suma lee
swahili choir
swahili comedy
swahili gospel
swahili gospel songs
swahili language
Swahili movie
swahili movies
swahili music
swahili nation
swahili rap
swahili songs
swahili songs kenya
Swahili worship latest
t.i.d top band
taarab zanzibar"
Taarab zanzibar
Tabata New Life Choir
tanzania
tanzania comedy
Tanzania gospel choir 2012
tanzania gospel music
tanzania gospel music 2011
tanzania gospel music 2012
tanzania movies
tanzania movies swahili
tanzania music
tanzania music 2011
tanzania music 2012
tanzania national anthem
tanzania songs
tanzania vs algeria
tanzanian music
Tanzanian Singer
The Seven Stevens
TMK wanaume FAMILY"
Tumaini sda choir
Tumaini sda Kizota
Ubatizo wa kweli
uganda gays poo poo
uganda gospel music
uganda gospel music 2011
uganda gospel music 2012
uganda movies
uganda movies 2011
uganda movies 2012
uganda music
uganda music 2011
uganda music 2011 new
uganda music 2012
uganda music 2012 new
uganda poo poo
ugandan
Upendo Amon
Uryankulu Choir
Vaeni silaha
Vicent Kigosi
Vijana Choir
wahapahapa
wahili gospel,
wanaume halisi
Winnie Julius
Yesu
Zabo Zose
ze comedy new
ze komedi
ze utamu
ze uwazi
zilipendwa
Zippy Muoso
Mazinge na huyu msomaji niwachinga tu wanataka kupotosha watu,
I'm proud to be muslim Alhamdulillah 🙏🙏
Naima Munishi me too
hole wako ukifa muislamu
Mazinge hana lolote,haielewi Biblia Huyo na mbwembe nyingiiii
Nenda na ww kabishe mbele yake
Elizabeth Given. Ninakukaribisha Katika UISLAMU. Tena Unaonyesha Kabisa We Uko Tayari Kuingia Katika Dini Hii Iliyosahihi Kwani Umekaa Kiislamu Islam Sana. Karibu Sana.
Mazinge Tumia Na Fimbo Hapo. Maana Hao Wanavichwa Vigumu Kuliko Mawe.
Hahahahaha!
Kweli Kabixa!
PEKO MISEGESE Mutumegani hunae mjua ww mwingine alikua anawake wanne.kwnza uyo Muhammad wnu kwa bi khadija alifata Mali alizo achiwa na marehemu mume wake bi khadija mtume alikua kama dume la mbwa ndio mana alioa mtu alie mzidi umli
@@elizabethgiven8363 ww nani kasema ukristo ni ni dini Na ni neno gani linalosema kanisa ni mke wa Yesu nyie vipi kuweni waelewa
@@elizabethgiven8363 ww mpumbavu kafiri mkubwa
Mashaallah wisilam maustdh mungu awape kheri mazinge tunakuombea mungu akufanyie wepes insha'Allah 🙏❤️🤝
Wanapotosha neno la Mungu hawa, eti linamaanisha kuwa kama umeacha mwanamke utapata mara mia moja huko. Swali ni kwamba, Je mwanamke ambaye ameviacha hivi vyote atapata nini? atapata wanaume mia moja? Tena wanasahau kuwa kule mbinguni hakuna kuoa au kuolewa, watu watakuwa kama malaika wa mbinguni(Matayo 22:30)
Ungeenda kwenye mjadala km hujakimbia ukaachà viatu
Una mke Lesamis
Kuna utoto mwingi sana humu, yaani mifano unaifanya ndiyo maana! Ni tatizo kubwa sana!
Waislam kwanini msipambane tu kwenda ahera jamani kimpango wenu?
Mtakufuru sana! Na yatawakuta
Kumbe Ndio Maana Wakristo Wanasilimu Kwa Wingi Sana Kwa Kuwa Wanamuelewa Mazinge Kuliko Wachungaji Wao.
PEKO MISEGESE Mnasema ngurue najis hila hanaluhusiwa kula hukiwa jangwan ule kidogo hil usife uhalamu wa ngurue huko wp
Wakristo Someni Jamani. Vitu Viko Wazi Kabisa Lakini Bado Hamuelewi!!!?? Mazinge Anajipigia Tu Wakristo. Kila Mada Mazinge Anashinda Mwenye Mada Ambayo Mazinge Alizidiwa Na Wakristo Anijuze Maana Mi Sijaiona.
Elizabeth Given. Ujuwe Waislamu Ndio Waalimu Wenu. Ili Ukubali Ninachokwambia Mimi, Fuatilia Hii Mijadala Waliofanya Waislamu Na Ninyi Wakristo Utapata Majibu Fasta.
Kitabu chenu kimeandikwa na walevi Mohammed mpaka amekufa ajui kusoma wala kuandika sasa ww unaongea nn apa?
yan waklisto wamepotea kabisaaa kama mnafuata yesu mbn hamsujd kama alivyo sujudu yesu
Kusujudu ndo uislam? Acha uongo
@@bidafumbuka855 wakristo wamepotezwa na wachungaji wao
Yesu ni mwana wa mungu aliyefanyika mwili kwaajiri yakukomboa watu wa baba yake halafu kusujudu sio uislam acheni uongo.
CHUNGA MANENO YAKO.HUKULAZIMISHWA USIKIZE
😂😂😂😂 eti soma iyoo
Usitumiyi hakili zakoko kwenye neno lamungu
Iyombingu sikupata wanawake wengi yipi hayiwagi kwakweli
Kama yipo njohiyi dunia njo mbingu yeni
Kwani wanawake wazuli woko
Wewe mwenye hujui usemacho, mungu hakai mbinguni, kumbuka hapo mwanzo mungu aliumba mbingu na arthi, je kabla hajaumba mbingu alikua anaishi wapi na kulikua hakuna mbingu?
Jamani Mwenye Mada Wakristo Waliomshinda Mazinge Mi Naitaka. Maana Mazinge Katawala UA-cam Humu.
PEKO MISEGESE nkuhulize swali hivi mutumea ametailiwa aya gn hiliyo andika kua mtume ametailiwa naomba jibu
PEKO MISEGESE vitabu vya dini vmekataza kumtaman mke wmtu hila mtume wenu Muhammad alimtaman bi khadija akiwa kwnye ndoa yake bi khadij alipo fiwa na mumewe ndio mtume wnu alipo muoa bi khadija ndio mana kamuoa akiwa mzee
Ahahahah maa shaa llah
huyu bana Biligoni Moshi ni mkristo kamilifu.lakini sababu mwesilamu wabishi sanaaaaaaaaaaaaaaa.nakujintiya kujua sanaaaaaaaaaa.kwanini mwesilamu ,kila mara wakisema mpaka waseme jina layesu?aoo hawana vitabu vyakwaho.mbona wakristo wakiwa kanisani mbona yaseme jina la muhamadi?, ao mwessilamu?
MB zangu kwa mazing nihalali ziishe napata mafunzo Bora sana kwake mungu akubariki sana
Awa waislam wanaropoka na awajuwi wanasema nini biblia kuihelewa inahitaje adi roho mtakatifu akufunuliye auwezi kusoma biblia kama ngaziye YESU ndiye njiya ya ukweli na uzima
@@sogehamisi8423 tusomee basi wee mwenye roho mtakatifu utufahamishe
Waislamu wako sawasawa na Freemason kazi yao nikufikiri mnyanyuanyo tu.
@Juma Nente hahaaaaa utapigwa na butwaa ukikutana na Mohammad jehanam
Hatuwasemei vibaya wakrist0 tunawaeIimisha mufaham maandik0 yanatafsiriwa vp!pia tukiwa msikitin tunamzungumzia issa mbaye ni yesu kwasababu ni mtume km mitume wengine hvy0 basi tunamwamin na tunafata mafundish0 yake km mtume na si0 mungu!
Sababu wakristo hawamjuiii muhammed ndio maana hawamtajiii lkiniiii sisi waislamu twamjua yesu ndio maana twamtaja kama nabii wamungu
mbona hujabatiswa
andiko gani yesu kabatiza
usisahau binadam wanapenda penye Pana uhongo .don't be proud of yourself because you don't know it's not good to judge others because you don't k ow who will judge you mmm.i can see you are so proud.be careful .but siwezi kukulaumu juu yesu na shetan wanafanya kampein so Usha jishindia shetan kwa taharifa zako
mwesilamu hajeni jina layesu kwamjandala wenu kila mara.wa kristo wakisema kila mara jina lamtume wenu,mutauwana .sababu mwajua mambo haya sana tu.
Kanisa ni mke wa Yesu😁😁😁😁😁😁😁😁
@Dolvine Kwamboka Kwan aliyejibu hapo Kanisa ni mke wa Yesu ni mkristo au mwislam wee vipi ww poteeni tuuu huko makanisani
Bibi Arusi ni kanisa
Mke wa Yesu kanisa 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Said Hamad wewe uji chochote bana unajua kanisa nini kwanza
Elizabeth Given. Mtume Muhammad Rehema Na Amani Iwe Juu Yake, Hakumuuoa Bi Hadija Akiwa Kwenye Ndoa Yake. Angemuoaje Haliyakuwa MTU Yupo Kwenye Ndoa Yake??????? Vitu Vingine Wala Havina Haja Ya Kuuliza Au Kwenda Shule Kwa Akili Ya Kuzaliwa Tu Unapata Jibu.
Kanisa ndilo bibi arusi:
Ufunuo 19:7
Tufurahi, tushangilie
na kumpa utukufu!
Kwa maana arusi ya Mwana-Kondoo
Imewadia,
na bibi arusi wake amejiweka tayari.
8
Akapewa kitani safi, nyeupe inayong'aa
ili avae.’’
(Hiyo kitani safi inawakilisha matendo ya haki ya
watakatifu)
Waefeso 5:31
Kwa sababu hii mwanaume atamwacha baba yake na mama
yake, naye ataambatana na mkewe na hawa
wawili watakuwa mwili mmoja.”
32
Siri hii ni
kubwa, bali mimi nanena kuhusu Kristo na
Kanisa.
Mashaa ullah .Allah akupe heir inshaallah.
Aiseee kufuru hizi... waislamu
Andiko !
mtablloooooo christian
mkubali mkatae shauri yenu sisi tuna juwa yesu ni bwana
Mhhh!
Bwana wa nani sasa au bwana wa yuda
Mashallah
Kanisa ni mke wa yesu ahahahahahaha
Mashaallah
Bibiliya niyamazinge mwalimu walakafiri🤣🤣🤣🤣alete andiko
Someni mandiko poa ati yesu ata owa
Dini ya majini hiyooooo
Aujielewi wewe Kaa usubili moto
Mazinge mwogo kweli kanisa ni mwanamke.
Wakristo nivichwa maji
Nimecheka jamn huu mjadala
ABAS LEGERA umekesea usi itukane din ya mwenzanko
And Love ISLAM ❤
Kama ujui mandiko waislamu wata kupoteza
Wakolon wametuletea iman zao ili kutupumbaza ili tuwaabudu
sikio la kufa halisikii dawa mtu ukiwa muovu hata ambiwe vp hutokubali hao wakristo hata Yesu akirudi watampinga
ww lilian wanga uko kuvaa mini sketi na kuimba ndio kwenda peponi nyoooo mnadanganya na mapaster kwa kupewa pesa za madovol washipar
Ukweli unauma? Hapa ni kufundishana so chaajabu hakuna anayewasema vibaya ila kitabu chenu kinasuta.Hamjui mfanyalo mnabeba vitabu na hamjui vimeandikwa nini.SOMENI NA MJUE
Shekhe mazinge ulikuwa utumie na fimbo hapo.!
IBRAHIM ABDUL
hhhhhh
nihatarii nimepitwa muda tena
Hahaha
Ibrahim Kenya
nbibi arusi ni kanisa
Mnaoa manyumba sasa. Wachristo mmepotea.
haki weslam nawaonea uruma sana mungelijuwa kwenye mnaelekea mmefumbwa macho na shetan lakini hamjui ukieza kufa tu ndio utajuwa kweli wakirsito wanawaambia ukweli mbarikiwe
ukweli gani upo kwenye ukiristo zaidi ya upotevu na hapo wao nao waliolala katika kristo wamepotea
wanatafuta tu sifa ya dunia"ukweli ni kwamba yesu ni jibu
Lilian Wanga mjinga weye. unaabudu kiumbe alioumbwa na mungu. nasi tunamuabudu mungu aliyeumba viumbe vote. nani ataenda peponi? fikiria kijana. mnadanganywa tu.
Mokha King sikiza wewe mungu alisema msikilizeni huyu ndiye mwanangu mpendwa niliye mchaguwa,,,Quran sura 22-75 ina sema mwenyezi mungu alichaguwa miongoni mwa malaika na miongoni mwa binadamu(haya ipi Muhammad alichaguliwa ???)nipe jibu
PRINCESS YVETTE EVE DOLLY ismael lol. 😂😂😂 muhammad alikuwa mtume na wala hakua mwana wa mungu. mungu hana mtoto. hakuzaa wala hakuzaliwa.nashukuru nimezaliwa muislamu na si kama nyie munae abudu viumbe.
Ndio tatizo la kua na kiongozi mbumbu yan waislam mnavyo itafsili bible ni tofauti aiseeee poleni sana mazinge anaangamiza watu kwaiyo mnazani Yesu ataoa?😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂kanisa ni bibi harusi sio ndoa iyo mnayo isema nyinyi yan waislam mnawaza kutombana tuuu maana ata Mohammed wenu alitomba kitoto cha miaka 9 apo amna aibu
Unapoishiwa na hoja unabakiwa na matusi na ndio maana wakristo wengi mnawatukana manabii wa mungu ,kama vile nabii Ibrahimu mnasema alizini na Hajiri ambae alikua house gerl wake hivyo hata Ismaili mtoto waliempata ni mtoto wa zinaa,pia mnasema nabii Lutwi alilewa na akazini na binti zake.n,k.kwa hiyo hatuoni ajabu kwa huku kumtukana kwenu nabii Muhammadi kwa kumuoa bi Aisha akiwa mdogo n,k
This people are mad
Mhhh!
Aya ongea lkn waisilam wote mmepotea mnahoja zakijinga kwel kwel
Wewe ndo umepotea kwamaana matendo yote aliyo yafanya yesu nabii wa mwenyez mungu wewe hufanyi alimnyenyekea mungu wewe unamyenyekea yeye alimsujudia mung wewe husujudu alimtangaza mungu wewe unamtangaza yeye aliingia msikitin wewe huingii sasa si umepotea?
Wewe upepotea kabisa Mazinge anasoma biblia.wazi.namsndiko.yenu.unayakataa.pore
uislamu ndio dini ya pekee
mwakoi abdalla
First hata hamjui biblia kusema bi harusi na bwana harusi inamaanisa nini. Biblia sio Qur'an ya kimwili Biblia ni Roho
Bible ya Kiroho?
Yaani hata vile Paulo kuwaambia kua mungu wa wakristo ni mpumbavu kisha dhaifu nayo ya roho?
walio lala katika yesu nifaida coz wako pamoja na yeye coz alipokuwa anapaa mbinguni alituaidi anaenda kutuandalia makao natena atarudi kutuchukuwa tuwe nayeye uko aliko coz alikuwa nauwakika nakwenye anaenda lakini waislam aliwambia anauwakika nakwenye anaenda ndio maana uwa mnamwombea dua lakini yesu alituakikishia kuwa yeye ndie njia nauzima nayeyote amwaminie atapotea kamwe bali atapata uzima na akatuambia tumuite nae atatuitikia ndio maana tukimuita wakati wowote anakuja
Lilian Wanga andiko linasema waliolala ktk kristo wamepotea
Uongo mkubwa mke ni kanisa usiwe mjinga wewe.
wewe mazinge wewe sura yako inadhihirisha kabisa unaelewa mchezo unaoufanya...zamani ilikua vigumu sana kuvielewa vitabu vya dini ila sasa vyoote vipo wazi na havitafsiliwi kwa namna hiyo ya kibinaadamu ili upate hesabu yako..ila vitabu hujitafsiri vyenyewe unapo pata hoja ichimbe kwa umakini jamani sio kwa kukurupuka ili kusifiwa na watu kwa ustadi wa kutumia vinywa vyetu...
na n ;;( mm
JJ b
nbb nnklkh
hvb max ñ
b
🐐🐐🐐🐐⛄
Boniface Robert 😂😂😂 kijana hauna la kusema weye. unakasirika tu kwa kua mazinge ndo kiboko ya wakiristo.
Boniface Robert acha ubishi kinasemwa ni kweli
Huyu natazamanga vidio zake ni kiburi tu ili asifiwe
Kumbuka alikuw alopak na alikuw na padre wenu,km angelopoka mbn padre kapgw chali na ametumia kitabu chenu cha bible