Kiri Records Presents MAGAZIJUTO Feat Stamina,Kontawa,Tannah,Maarifa &Bando Mc(Official Video)

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 7 лют 2025
  • #KiriRecordstz #NgommaTanzaniamusic
    Song: MAGAZIJUTO
    Performed by TANNAH,BANDO,STAMINA,MAARIFA &KONTAWA
    Video directed by DeoAbel
    Audio production: Kiri Records
    For booking: kirirecordstz@gmail.com
    Contact: +255716397048
    Magazijuto" available on all digital platforms song.link/6P0S...
    Follow Kiri Records on socialmedia ...
    @2021 Channel Administered by Ngomma Vas.

КОМЕНТАРІ • 419

  • @mustafamohd9066
    @mustafamohd9066 Рік тому +2

    Hahahahahhaha😅 mlevi atakunywa bapa zote ila si bapa la panga more 🔥🔥🔥🔥🔥🔥 fire.

  • @sangaboy1835
    @sangaboy1835 4 роки тому +4

    Hoya noma sama.mwafrika umekosa kwa kulala mpaka unalalamika

  • @Hamzasenior_
    @Hamzasenior_ 4 роки тому +12

    Wanafunzi walevi wanatembea na kaunta😀😀😀

  • @HappyBurger-bc5ee
    @HappyBurger-bc5ee 8 місяців тому +10

    Kama unaikubali hii collabo ebu gonga like hapa japo Ifike hata 1k

  • @chrissjoel7752
    @chrissjoel7752 4 роки тому +13

    Angekaa na yule mhuni wa kahama *NACHA* ngoma ingekaa kizazi zaidi ila haimaanishi kuwa haijasimama ni ngoma na nusu 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @omarkagembe7047
    @omarkagembe7047 4 роки тому +6

    Bando ni hatar yni uwezekaniki brooo we unajua xana

  • @yohanamollel988
    @yohanamollel988 4 роки тому +14

    Hahahha stamina na kontawa wameuwa so kazi nzuri ila Bando appriciate you my brothee

  • @husseindatto8359
    @husseindatto8359 4 роки тому +1

    Dah bhando

  • @husseindatto8359
    @husseindatto8359 4 роки тому +3

    Yupi aliye kula funda kati ya whozu na adamu

  • @brembotravel8465
    @brembotravel8465 4 роки тому +6

    Hahahahahaahaa baalaaaaaaaaaaaaaaa acha niendelee kurudia rudia x8

  • @alvinbelhasa7812
    @alvinbelhasa7812 4 роки тому +5

    Unamjua Kontawa Ww Nakubal Mkubwa Wao

  • @geoffreycalvin2288
    @geoffreycalvin2288 4 роки тому +23

    Moja kati ya ngoma kalii na nusu mjini muda huu iko on replay kweny mitaa💥💎

  • @samsoncharlesndalahwa6016
    @samsoncharlesndalahwa6016 4 роки тому +35

    Hakuna mzima humu 😅😅😅😅😅😅🙌🙌🙌 yaaan tangia asubuhi naisikiliza alafu sijui n saa ngap nita press next

  • @josephmonteiro5677
    @josephmonteiro5677 Рік тому +2

    Respect kutoka 🇲🇿🇲🇿💚 nakubali sana hip hop from Tanzania

  • @reganmmasi1246
    @reganmmasi1246 4 роки тому +24

    Uchawi wa mapenzi ni kuona mate matamu kushinda soda....😅😅🔥🔥🔥

  • @abdulmohd6880
    @abdulmohd6880 4 роки тому +17

    Hata uwe simba damu ukifa utazikwa na mbao😄😄 Stamina ku****mako iyi ngoma ww nd umeifunika..

  • @adolphmwangoje2887
    @adolphmwangoje2887 4 роки тому +5

    Yes yes huyo mwana mwenye nywele nyeupe nywele htl Sana STAMINA unaonea watoto 🤸🤸

  • @denandmc1871
    @denandmc1871 4 роки тому +4

    wote vichwa mmetishaaa sn

  • @ramseyrmsy3366
    @ramseyrmsy3366 Рік тому +1

    mpangaji kamdai kodi mwenye nyumba

  • @countrywizzkid6129
    @countrywizzkid6129 4 роки тому +7

    Stamina ✊✊✊ umewaongoza wadogo zako vzr like zao hapa.⏩⏩⏩

  • @gpromotz
    @gpromotz 4 роки тому +21

    Ngoma kali Ila kamic nacha humu🔥🔥🔥🔥

  • @alfredbizimana7814
    @alfredbizimana7814 Рік тому +11

    Bando: complicated verses
    Tannah: burned the song with her voice💥💥
    Maarifa: beat changer with listenable verses
    Stamina: the G.OA.T

  • @mtukufusafari5535
    @mtukufusafari5535 4 роки тому +6

    Nimesikiliza mwanzo mwisho lkn niliposikiliza Zaidi ni kwa Huyu BANDO MC & STAMINA Uongo dhambi Hawa watu wameibeba hiyo ngoma

  • @thelivingwelltv6399
    @thelivingwelltv6399 4 роки тому +5

    hip hop still exist,asante sana Stamina kwa kuwapa moyo na kuwashika mkono wadogo zako,Mungu akubariki

  • @amedeuslyimo2315
    @amedeuslyimo2315 4 роки тому +5

    Oyaa wananngu ngoma Kali wauni wametufokea Sanaa🤣🤣

  • @AbdulMethod
    @AbdulMethod 5 місяців тому

    Nipo poa sanaaaa😅😅😅😅😅

  • @jelomeleonard3561
    @jelomeleonard3561 3 роки тому +1

    Kontawaa kauwaa anafuatiwa na maarifah✅

  • @erickswai
    @erickswai 5 місяців тому

    Kumamae hii ngoma ni moto et pesa bila mapenz hyo ni 4-4-2 Ila mapenz bila pesa hyo ni 4-4- u

  • @officialmsafi_tz8312
    @officialmsafi_tz8312 4 роки тому +3

    Ngoma kalii kama hii utaipata wapi bongo

  • @kungfukiim8641
    @kungfukiim8641 3 роки тому +1

    hii nyimbo ilitakiwa iwe na video kali sana....haijatendewa haki

  • @hansrahim
    @hansrahim 4 роки тому +6

    KONTAWA KATISHA.
    UNATAKA KUNIPIMA AKILI
    MI SINA AKILI TIMAMU

  • @AbuuTz
    @AbuuTz 5 місяців тому

    Mmmh sister tannah umewakilisha hiphop kwa magirls

  • @husseinseif7438
    @husseinseif7438 4 роки тому +15

    Remix plzzz naomba fidq,p mawenge,one incredible, nikk wapili,roma na hao balaaaaaa

    • @thabitisimba1143
      @thabitisimba1143 4 роки тому +1

      Broo hao wote uliotaja ni levo zingine na Moto mwingine

  • @montanablaww1664
    @montanablaww1664 4 роки тому +1

    mamaaaeeee haaaa🙌🙌🔥🔥 nimeirudia mara mbili lakini bado sijaona nani aliewaficha wenzako woote wameumiza .....ivi vichwaaa sio poa

  • @maishacenter-eastafricatv3976
    @maishacenter-eastafricatv3976 4 роки тому +2

    Love from Bantu Bwoy+257🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @tegezito.steve.146
    @tegezito.steve.146 4 роки тому

    Jamani Stamina Anajuaaaaa!!!!Utakunywa Bapa ila sio bapa LA Panga!!!! Oi!!!

  • @khamismahmud3771
    @khamismahmud3771 3 роки тому

    Ile goma bana😂😂🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @husseindatto8359
    @husseindatto8359 4 роки тому +1

    Juzi mlikuwa dili leo mmekuwa dilisha

  • @guccij3549
    @guccij3549 4 роки тому +4

    Mapenzi kama uyoga leo mboga kesho sumu

  • @ashirafhamza5788
    @ashirafhamza5788 4 роки тому

    Dah maarifa umeuwa mno mwanangu

  • @fadhilikangusi
    @fadhilikangusi 4 роки тому +7

    Haji Manara naomba uwaambie wanao/
    Hata kama simba damu ukifa utazikwa na mbao/ 😂😂😂

  • @edomkali3378
    @edomkali3378 4 роки тому +2

    Dah mmeuwaaaa wanangu wa kiliiii

  • @theeokorah8320
    @theeokorah8320 4 роки тому +11

    Stamina 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪👍👍 more love from Kenya Broh...

  • @breezy9ine
    @breezy9ine 4 роки тому +4

    Angekuwepo na Rapcha ingekuwa ni fire🔥🔥🔥🔥 zaidi

  • @abdalahmohamedi1806
    @abdalahmohamedi1806 4 роки тому +1

    Kiri Record mpo vzr sn kwenye bit za hip hop

  • @alvinsafi2733
    @alvinsafi2733 4 роки тому +4

    Nice...The girl is Hot she drops verses ile kinoma kaua...ila mwana Stamina Kills it at the end .. Beat imeenda shule im 100% hiphop still alive in Tanzania

  • @ezekielevarest9215
    @ezekielevarest9215 4 роки тому

    Hakuna aliye mfunika mwenzie wte wana wameua hataaaaaaar

  • @godwin-daudmusika2697
    @godwin-daudmusika2697 4 роки тому +3

    Hii ngoma unapigia kula kumchagua raisi

  • @hanzurunikazunarichilyenga9150
    @hanzurunikazunarichilyenga9150 4 роки тому

    Duuuuh!!! Weka mbali na watoto🤔🤔🙌

  • @digala7088
    @digala7088 4 роки тому +3

    Kuna Wachanaji Halafu Kuna Maarifa 🔥🔥🔥🔥

  • @zuberysaugga3605
    @zuberysaugga3605 4 роки тому +1

    Nakubali wanangu nyimbo naikiliza wiki zima cjaichoka🙌🙌🙌

  • @kassimulugajo6512
    @kassimulugajo6512 4 роки тому +6

    hapa kakosekana NACHA goma lingebamba kinoma

  • @rashdysalim5118
    @rashdysalim5118 4 роки тому

    Hata uwe simba vp lkn utazikwa na mbao🙌🙌🙌🙌🙌

  • @saulstephen4924
    @saulstephen4924 4 роки тому +3

    ww Tannah kwn huu Mverse uliahidiwa gar

  • @DullaMwiru
    @DullaMwiru 5 місяців тому

    hiii wasanii wote wahua vikari sana

  • @capital_98e
    @capital_98e 4 роки тому +4

    Hii ngoma ni munoma sana vichwa vilioko humu ni hatar kupitiliza shout kwa home boy #maarifa you kill it buddah kibaha king of rap🤴🤴🤴

  • @yayaboy9489
    @yayaboy9489 3 роки тому

    Tonaitajizingi bro

  • @goodluckymartin334
    @goodluckymartin334 Рік тому

    Ngoma kaliiii cna brooohhh

  • @davido-scooper9471
    @davido-scooper9471 3 роки тому

    Mumeua wotee bando shy1

  • @chilohimself5431
    @chilohimself5431 4 роки тому +1

    ,,Mpangaji kamdai kodi mwenye nyumba 😂😂😂😂👍

  • @mgangarichard3742
    @mgangarichard3742 4 роки тому

    Unaweza ukaishi Tanzania alafu ukala viazi ulaya. Kontawa nyoko wew

  • @husseindatto8359
    @husseindatto8359 4 роки тому +3

    Hivi mnao taka kufika lileleni mmekosa pakufika naombeni like dah

  • @nathandouglas9517
    @nathandouglas9517 Місяць тому

    Uyu mtoto tannah 🎉

  • @jumasudi1565
    @jumasudi1565 4 роки тому

    Tannah umewakalisha vidume. Nakufatilia sana michano yako

  • @masudimasudi6628
    @masudimasudi6628 4 роки тому +1

    Uyu mwenye brich ndo katisha sana nan anabisha

  • @impanothegames1007
    @impanothegames1007 3 роки тому

    Kali Sana hii kbs

  • @emmanueldastan5705
    @emmanueldastan5705 4 роки тому

    Dahh......ngoma kali joint ya maana,,,,,unaambiwa+++ mwenye kiti kabeba na meza

  • @amonijajila1218
    @amonijajila1218 10 місяців тому

    Dada Tanna katisha sanaa❤❤❤❤

  • @alextanzania
    @alextanzania 4 роки тому +1

    Wimbo unaanzia 1:43 huyo Tanna amewakalisha wote humo. Beat iko poa sana inabadilika na bado inatembea fresh tu.

  • @DickinsonFmgamia
    @DickinsonFmgamia 4 місяці тому

    Kweli munaweza

  • @djb2kzer0
    @djb2kzer0 4 роки тому +3

    Wimbo Na nusu 🔥✊🏾

  • @babusbabu3699
    @babusbabu3699 2 роки тому

    nimekubali mashairii ngoma itaishi milele

  • @adammuyinga8735
    @adammuyinga8735 4 роки тому

    Duuuh hii michano ya humuu nomaaa asee mlev utakunywa bapa zote ila sio bapa la panga 😂😂😂

  • @inearclassictz1233
    @inearclassictz1233 4 роки тому

    Anaitwaa Bea uyuu jamaaa Hataree sana Producer hatare

  • @stevenatusi6179
    @stevenatusi6179 4 роки тому +1

    bando hakika unakipaji nakuomba kaka usije jisahau Kama wengine utapotea mwambie mungu akupo moyo wa uvumilivu 💖💖💖💖💖 By machera msoma town

  • @abdalahmohamedi1806
    @abdalahmohamedi1806 4 роки тому +3

    Oih oih oih oih hatari na nusu ni noma halafu utasikia mlevi mmoja hip hop imekufa

  • @Everything-series.
    @Everything-series. 4 роки тому +2

    Let's subscriber to kiri records 🤜🤛🤛

  • @yahayaakbar8900
    @yahayaakbar8900 3 роки тому

    Bando '' ukitapasa fungua bank usifungue zipuu '' ...😁😁😁

  • @bujiiclassic1964
    @bujiiclassic1964 4 роки тому

    Ha ha ha. Duuuu mapenz km uyoga Leo mboga kesho sumu

  • @eliudwasike5010
    @eliudwasike5010 3 роки тому +1

    Hii ni Elimu.. Sio tu wimbo.. Love from Kenya

  • @lucyjems2686
    @lucyjems2686 4 роки тому +6

    Mlevi utakunywa bapa zote lakini sio bapa la panga

  • @edomc966
    @edomc966 9 місяців тому +1

    Tana na kontawa wameuwa kuliko mwenye nyimbo

  • @eddytzonlinetvTallMan
    @eddytzonlinetvTallMan 4 роки тому +1

    MAGAZIJUTOOO WOTE WAMEUWAA ILA MASKIA MAARIFA NDO KAWAFUMIKA

  • @KhaligraphDieuestla-nx6lv
    @KhaligraphDieuestla-nx6lv 7 місяців тому

    Noma sana

  • @tariqkideu7368
    @tariqkideu7368 4 роки тому +2

    Namba 6 kideu mmoja apa

  • @Mlaybonny
    @Mlaybonny 4 роки тому

    Wamemchokozaa meyaaaa@aaaaa

  • @frankgaspar9688
    @frankgaspar9688 4 роки тому

    Hili jitu lenye mvi kichaa sana,bonge la ngoma mjini

  • @YohanaMagoha-e3i
    @YohanaMagoha-e3i 4 місяці тому

    Tanah anajua Sanaa

  • @deodassah
    @deodassah 4 роки тому +6

    🔥☄🔥🇹🇿🇰🇪 kazi nzuri sana mad Respek for Bongo Rap.

  • @youngmeekmilly3511
    @youngmeekmilly3511 2 роки тому +1

    Ngoma hii itadumu miaka na miaka 🙌🏽🙌🏽🔥🔥🔥

  • @defighterz5464
    @defighterz5464 4 роки тому

    Mmmmmh wanasema red iz first ye kawekwa kt,
    Ngoma na ½

  • @mpembarino1917
    @mpembarino1917 Рік тому

    Itikadi kali sana ngoma ya moto

  • @selemantambulegeni3225
    @selemantambulegeni3225 4 роки тому

    Kumbe ni KIRI sio KILI.

  • @goldline9873
    @goldline9873 4 роки тому +2

    Kama unaamini kontawa kauwaaaa like apo

  • @husseinseif7438
    @husseinseif7438 4 роки тому

    Ebwanaa balaaa zito bonge la ngoma mjini

  • @ramatyga2289
    @ramatyga2289 4 роки тому

    Hiikopoa kabisa wakali

  • @FadyFs
    @FadyFs 4 роки тому

    Aliliaaa wembe atoe Kucha juzi
    Leo analilia analilia wembe atoe.......

  • @mcdadedady9225
    @mcdadedady9225 4 роки тому +1

    Kama kawaida yetu @SHY TOWN Bando ameuwaaaa

  • @thomasamon3793
    @thomasamon3793 4 роки тому +20

    🔥🔥😁😂😂 oya nyote ni vichaa hata Tannah akili hana eti umekosa pa kulala mpaka unalalamika, hili jingine kontawa nalo jinga eti wanafunzi walevi ndo wanatembea na kaunta😂

    • @aseefmohd3168
      @aseefmohd3168 4 роки тому

      😂😂😂😂

    • @dopnap4855
      @dopnap4855 4 роки тому

      😂😂😂😂😂😂🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿hatar sana

    • @ralphaelcharles6051
      @ralphaelcharles6051 4 роки тому

      ushawachek kudadekk zao👊🏻

  • @alphaabdallah1406
    @alphaabdallah1406 4 роки тому +2

    Tannah killed it..🔥🔥🔥,
    Mmekoss pakulala ndo mana mnalalamika