MISULI YA IMANI BY AMBWENE MWASONGWE (Official Music Video)

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 1 жов 2024
  • Ambwene Mwasongwe presents the Official Music Video for "Misuli ya Imani"
    Watch All Music Videos by Ambwene Mwasongwe: • Ambwene Mwasongwe All ...
    Follow Ambwene Mwasongwe
    Instagram: / ambwenemwasongwe_
    Subscribe to Ambwene Mwasongwe: / @ambweneobadiamwasongwe
    Digital Branding & Marketing By:
    Black Ozen Entertainment Limited: / blackozenentertainment...
    #AmbweneMwasongwe #MisuliYaImani

КОМЕНТАРІ • 638

  • @Christopher-xj5fz
    @Christopher-xj5fz Рік тому +174

    Wanaoangalia wimbo huu kwa mwaka 2023 weka like hapa na mungu atakubarik🙏

  • @YouzeImanueli
    @YouzeImanueli Місяць тому +19

    Wimbo huu unatoa machoz kila unapouckiliza haijalish una mda gani leo tareh 17.08.2024 unanitoa choz

    • @NeemaDamian-xo8hf
      @NeemaDamian-xo8hf Місяць тому

      20.8.2024 nikiwa napitia jaribu landoa lakini naamini Mingu atanivusha

  • @shazminefeysal6951
    @shazminefeysal6951 Місяць тому +20

    Kama na ww Hadi Leo unausikiliza huu wimbo kama mm nipe like

  • @aminamgimba295
    @aminamgimba295 6 місяців тому +27

    2024 weka laik hapa

  • @LaurentKatongo-v5t
    @LaurentKatongo-v5t Місяць тому +10

    Wangap tunausikiliza huu wimbo leo j5 talee 13/08/2024

  • @hannesasmalling7128
    @hannesasmalling7128 10 місяців тому +20

    Sitasahau huu Wimbo uliniokoa nikiwa nataka kujiua na vidonge mwaka 2014 nilipokuwa nikiishi na mama wa kambo,niliusikiliza kabla ya kutaka kujiua nikaona mimi sina matatizo mazito kuna watu wamefikwa na mitihani zaidi yangu

    • @joyjilien
      @joyjilien 9 місяців тому +1

      Tumshkuru mungu kila dakika,wapo wenye matatizo mpaka unasema Afadhali mimi 😢

    • @edwinpolkinabo
      @edwinpolkinabo 7 місяців тому +1

      Uendelee kuwa na misuli ya imani

    • @oluocholuanda
      @oluocholuanda 7 місяців тому +1

      Hautakufa utaishi kulitangaza utukufu Mungu.

  • @josemitimingi8048
    @josemitimingi8048 Рік тому +11

    Nimerudi tena hapa 3/02/2023 ajali iliyoua watu 14 family Moja hapo Tanga. Mungu ni mwema amina

  • @fadhilimbilinyi274
    @fadhilimbilinyi274 Рік тому +12

    Sasa huu wimbo umempata mwingine wa uhakika 2023, 02 August
    Mungu ampe faraja ya kweli huyu mama

  • @AngelPeter-b7s
    @AngelPeter-b7s Місяць тому +11

    Hii nyimbo huwa inaniumiza sana moyoni huwa nikiangalia machozi huwa yanatoka yenyewe nyimbo inagusa sana moyoni

  • @bahatimdetelenyembe6930
    @bahatimdetelenyembe6930 Рік тому +11

    Nipo hapa August 7,2023...Mungu awape nguvu na faraja familia ya MSUYA

  • @TumainiKivelia
    @TumainiKivelia Рік тому +16

    Wimbo huu hakika una namna ambayo ukiusikiliza unaleta faraja na funzo. Kamwe unaesikiliza huu wimbo usije mwacha MUNGU kwenye dunia hii iliyosonga mambo mengi ya Shetani.

  • @enockjoseph1947
    @enockjoseph1947 3 роки тому +179

    Nimeona msiba huko Mwanza,Mama mmoja kafiwa na watoto kumi kwenye ajali moja wakiwa wanakwenda harusini! Dah! Nilivyoona Mama yao amezimia nikajikuta naukumbuka huu wimbo!!! Dah! Kweli Mungu amefanya siri siku ya kifo ili tumuheshimu kila dakika! Eeh Mungu tujalie mwisho mwema.

  • @jeremiesinamenye614
    @jeremiesinamenye614 3 роки тому +23

    Huu wimbo umenifariji baada ya kumpoteza mtoto wangu 8 years old..but God still been God.

  • @Deedlr4767
    @Deedlr4767 3 роки тому +64

    Nani anaskiliz 2021 kwenye ichi kipind kigumu watanzania😭cha msiba

  • @aishamwerevu3427
    @aishamwerevu3427 3 роки тому +52

    Japo mi nimuislam lakini mmh hii nyimbo huwa naipenda sana sana🙏

  • @lenathawamala1780
    @lenathawamala1780 4 роки тому +26

    Hata nikipatwa na jaribu kiasi gani sitafikiria kumuacha mungu🙏

  • @TwendeTvTanzania
    @TwendeTvTanzania Рік тому +10

    Jamani naomba tukiwa katika kipindi iki kigumu Cha msiba wa kutokana na Ndege basi weka wimbo huu utapata faraja jamani na kama unasikiliza basi weka Like kwenye comment hii🤝

  • @blasidafussy1364
    @blasidafussy1364 Рік тому +12

    Huu wimbo nimeukumbuka kwa ajili ya huyu mama ambaye wanawe wanne wamekufa kwa ajali yaan imeniuma mno huu wimbo una funzo ndan yke Mungu yupo wapendwa😭😭

  • @YumnahQuity
    @YumnahQuity 2 місяці тому +11

    Amen naummwa mkono mwaka wa 4 leo naimani ipo siku nitakuwa swa kwa uwezo wa mungu

  • @MbukeChangu
    @MbukeChangu 2 місяці тому +10

    Nimewakumbuka wazazi wangu na bib zangu wote Leo nipo mwenyewe tu Dunian kana kwamba sikuzaliwa Sina wakumwambia shida zangu Leo mme wangu nimeanza nae kutafuta tulipo yafikia mafanikio akanifukiza na kunisimanga ntaenda wapi Sina kwetu lakin namtukuza mungu Leo kwa wimbo huu maana kanipa mtiani huu kwa sababu anajua nauweza Amina mungu wangu

  • @stewartnairo4897
    @stewartnairo4897 5 місяців тому +17

    May 2024 anybody?

  • @raphaeldamian4178
    @raphaeldamian4178 Рік тому +10

    Huu wimbo nimekuja kuuusikikiza Leo baadae ya kuona Ile familia ya Mzee msuya iliyopoteza watoto wanne ,mungu awape uvumilivu na hao ndo watu mungu huwatumia kumsimangia shetan

  • @rosemaina8524
    @rosemaina8524 Рік тому +8

    Hakuna litakalo tutenganisha na upendo wa Mungu. Ndiye mfariji wetu

  • @FlorenceDDR
    @FlorenceDDR 4 роки тому +31

    Wimbo umenibariki katika ya the storm l am going through, thank you Lord for intervening 🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾💌🙏🏾🙏🏾

  • @motivationhub5287
    @motivationhub5287 Місяць тому +9

    22-08-2024 nwanangu wa miaka miwili amepatikana na saratani nimweka hii nyimbo iniliwaze nimelia sana... Naamini Mungu ana mpango wake kwa mwanangu😭😭😭😭

    • @ruthshango4791
      @ruthshango4791 Місяць тому

      Pole sana Mungu akufanyie wepesi

    • @maryabbas5739
      @maryabbas5739 Місяць тому

      Pole sana, Mungu atafanya njia ktk hili

    • @evarinekanyama4704
      @evarinekanyama4704 Місяць тому

      Pole sana😢

    • @tausiramadhan7927
      @tausiramadhan7927 Місяць тому

      Allah atamponya saratani inatibika akiwahi matibabu na kama gharama zitakua juu tafadhali fata process tuchangie yaan toa namba vielelezo picha na majibu ya daktari ili kiwaaminisha na wote wataoguswa pole sana ndg yangu

    • @NanaGirl-bm7yo
      @NanaGirl-bm7yo Місяць тому

      Pole Mungu ni muaminifu kila wakati na hutenda kwa wakati sahihi

  • @yazis2586
    @yazis2586 11 місяців тому +10

    Wangapi wakisiliza wimbo huu hupata picha ya kile kinachoimbwa kwa fikra tu?
    Mtumishi umefanya kitu kikubwa kwa wimbo huu,ubarikiwe sana.

  • @EmmyMshana
    @EmmyMshana Рік тому +7

    6/8/2023 Ajali ya Chalinze rah 😢😢😢😢😢😢😢

  • @YulithaYoram
    @YulithaYoram 4 місяці тому +44

    Mwngne Nani anaitazam video hii may 2024 agonge like

  • @rachelroosevelt5407
    @rachelroosevelt5407 2 роки тому +5

    Leo tarehe 11/10/2022 ndo nime elewa huu wimbo nime poteza ndugu zangu watano kwa ajali ya gari

  • @bundallachaba3120
    @bundallachaba3120 Рік тому +12

    Till 2023 still it's blessing

  • @laurentgregory2074
    @laurentgregory2074 3 роки тому +12

    Wakati unauelezea huu wimbo leo TBC nikabaki najiuliza maswali na kupata jibu kwamba Mungu anaruhusu jaribu ambalo mtu analiweza.

  • @angelmbwilo9608
    @angelmbwilo9608 6 місяців тому +10

    Huu wimbo huwa unanibariki Sana hasa pale ninapo kuwa kwenye magumu MUNGU atutie nguvu peke yetu hatuwezi

  • @vickalexander4944
    @vickalexander4944 4 роки тому +37

    Nyimbo hii huwa inanifaliji sana ubalikiwe sana ambwene

  • @rosemwazighe4340
    @rosemwazighe4340 5 місяців тому +14

    2024 and I'm here

  • @sadah-m2n
    @sadah-m2n Рік тому +9

    Me ni muislam ila hii nyimbo inanigusa sanaa💔

  • @VickyMikaela
    @VickyMikaela 26 днів тому +9

    September 2024

  • @mkilimamoses2311
    @mkilimamoses2311 Рік тому +5

    Hata iweje wimbo huu hautapoteza nguvu hata siku moja.Wimbo una nguvu ya ajabu kwelikweli.Mungu akubariki kwa maono yako yakutunga huu wimbo Ambwene🙏🏻

  • @Emiliana97
    @Emiliana97 Рік тому +10

    I’m watching this today
    I’m heartbroken 💔
    Nimefikiria Hata kufa but this song changed my whole mindset
    Najua nitavuka tuu katika hili
    Thank you Lord 🙏

  • @irakozeshakiru1131
    @irakozeshakiru1131 Рік тому +6

    Le23_3_2018 💔💔😭😭😭 Mume wangu alifaliki wimbo unanitia nguvu Mungu niMungu tuu

  • @valerialolinga362
    @valerialolinga362 Місяць тому +5

    Mungu anishindie hata nipitapo kwenye magumu

  • @roseasimwe827
    @roseasimwe827 Рік тому +6

    Mwenyezi Mungu kupitia huu wimbo wape faraja familia ya Msuya bwana wape amani ya moyo wape watu wazuri wa kuwatunza wazazi na watoto bwana

  • @aidadismas
    @aidadismas Рік тому +11

    Watching in 2023

    • @mlekwamlula4387
      @mlekwamlula4387 Рік тому

      Mungu ndo anaejua maumivu niliyopitia ya kuondokewa na dada angu kipenzi ester mungu akupe pumziko la milele huko uliko mdogo wako nakumbuka sana

  • @SyliviaKutaga-pm9rr
    @SyliviaKutaga-pm9rr Рік тому +10

    Yaani huu wimbo nimeusikiliza nikajikuta natokwa machozi nikawakumbuka wazazi wangu waliofariki kwa kupishana mwezi mmoja kwakweli nilipata wakati mgumu sana

  • @rosewakio2184
    @rosewakio2184 2 роки тому +10

    Powerful Song, this song deserves a 100 million views, wakristo muko wapi jamani mubarikiwe na huu wimbo

  • @lucyokoth8743
    @lucyokoth8743 4 роки тому +16

    Huu wimbo unaniinua sana wakati huu mgumu katika maisha yangu,mtumishi Ambwene Mungu akubariki sana

    • @mariumjeremiah1247
      @mariumjeremiah1247 3 роки тому

      Nafarijiwa na wimbo huu wakati ninapohisi mateso ambwene MUNGU akubariki

  • @sizyamigila7385
    @sizyamigila7385 Рік тому +7

    Huu wimbo umekuwa faraja yangu niliposhiriki ibada ya mazishi ya familia ya msuya majeneza yamepangana hapo wazazi wako hapo nimelia sana sana.Lakini nikakumbuka mtetezi wetu yu hai.Katika kupita kwenye magumu wazazi waone mkono wa neema.

  • @pendoraphael5596
    @pendoraphael5596 4 роки тому +92

    Twende sawa 2020 nahuu ugonjwa wa Corona mungu wetu aturehemu

    • @deborahrehema5819
      @deborahrehema5819 4 роки тому +3

      Pendo Raphael Amen Mungu yupo hakika

    • @nazaelimathayo1628
      @nazaelimathayo1628 4 роки тому +2

      Amen

    • @janethanderson1587
      @janethanderson1587 4 роки тому +1

      Kabsa

    • @10xtradingkenya49
      @10xtradingkenya49 4 роки тому +3

      Dadangu alikua na corona...amepona sasa.
      Baba yangu aligongwa na anachuma mguuni na mkononi..mungu nani Kama wewe sasa hivi anatembea.❤❤😢😭😭Mungu mkuu...
      Shukrani zangu zifike kkkt kariako. Dar es salaam. Na pia Kwa Mchungaji Mshihiri (Mongo LA Ndege)
      Nipo Kenya nitarudi...
      Jina Langu Herman ,Miaka 20! Nimeokoka nampenda Yesu!

    • @deborahrehema5819
      @deborahrehema5819 4 роки тому

      @@10xtradingkenya49 ooh wow Mungu ni yote tena mzuri sana kwa wale wamtumainio

  • @subirandimbwa2201
    @subirandimbwa2201 3 роки тому +6

    Twende pamoja 2021

  • @NaomiIkenda
    @NaomiIkenda 7 місяців тому +7

    Kaka Ambwene Mungu akubariki sana, nimefiwa sana, lkn richa ya kufiwa nikipita kwenye magum nakumbuka huu wimbo naanza kuusikiliza unanitia Moyo sana, na kujua Mungu anakusudi NAMI tunaweza pitia magum lkn kumbe Mungu anajivunia sisi na tupitapo kwenye jaribu Mungu anatupa jaribu akiju tunaweza

  • @erick1863
    @erick1863 3 роки тому +16

    A very powerful song with words of encouragement to heal the soul when your are in difficult situations....
    Mungu ni mwema kila siku tumtafute yeye kila siku

  • @JuliusNdume
    @JuliusNdume Рік тому +7

    Mungu awafanyie wepesi katika magumu mnayopitia 🙏

  • @shedrackjohnmkami4736
    @shedrackjohnmkami4736 Рік тому +7

    Kama una bwana ndani yak naukaskiliza wimbo huu nilazima utasisimuka kutoka moyoni.

  • @joycechuma2292
    @joycechuma2292 Рік тому +6

    Ambwene Mimi nilipita kwenye kipindi kigumu sana nashukuru sana nyimbo zako zote zimenibariki sana

  • @Ryn872
    @Ryn872 10 місяців тому +6

    Kwakweli ambwene you are a gift to the body of Christ. 1st Dec 2023 still here. Mungu akuinue juu na juu na ibada yako ya miaka 20 ikawe ya mafanikio katika jina la Yesu

  • @mwamvitaitendele5674
    @mwamvitaitendele5674 27 днів тому +6

    September 2024

  • @AnnieShio-n3x
    @AnnieShio-n3x Місяць тому +4

    Mungu ni mkubwa san tuendeleeee kukiaminiii jina lakee

  • @OliviaMushi-uh3mv
    @OliviaMushi-uh3mv 10 місяців тому +7

    Wangap wamekuja hapa baada ya majanga yaliyotokea katesh manyara

  • @elisaprosper6095
    @elisaprosper6095 2 місяці тому +5

    Nakumbuka 2014 nilipata changamoto ya Kodi Mungu akaniinulia msaada mkubwa. Nilikuwa nasikiliza sana nyimbo za mtumishi katika kujenga Imani yangu. Siku ya mwisho wa Kodi yangu Bwana akaniinulia msaada masaa machche kabla ya deadline.

  • @annyminja8353
    @annyminja8353 2 роки тому +5

    2022 Nazidi kujengwa na hii nyimbo ,Uzao wangu hii nyimbo ikawe ya baraka kwao pia ikawe fimbo ya kumchapia shetani🙏🙏

  • @upendoamani8164
    @upendoamani8164 4 роки тому +14

    Huu wimbo umekuwa faraja yangu mchana na usiku.

  • @patricktegea1430
    @patricktegea1430 Рік тому +6

    Mie huu wimbo sitokuja kuuchoka💐💐💐💐💐💐💐❤️❤️❤️❤️

  • @lelomellowtz
    @lelomellowtz 10 місяців тому +6

    November,2023.
    Mungu bado ni mwema sana.🙏🏽❤️

    • @leaherasto929
      @leaherasto929 10 місяців тому +1

      Sana Kila wakati Mungu nimwema

  • @PugulessTz
    @PugulessTz 3 місяці тому +9

    Huu wimbo umenibariki sana 2024

  • @allyomary2271
    @allyomary2271 Рік тому +7

    Mzee msuya na familia yake utazani ambwene mwasongwe aliwaimbia wao hii nyimbo inaumiza sana kupoteza watoto wote Kwa wakati mmoja 😂

  • @neemakayala4604
    @neemakayala4604 Рік тому +11

    2023❤❤❤

    • @mussaismail-o2f
      @mussaismail-o2f 11 місяців тому +1

      Nikoapa wimbo Umekaa kiloho kabisa❤

  • @modestajamada3496
    @modestajamada3496 Рік тому +11

    2023

    • @rugaziabaisi6199
      @rugaziabaisi6199 Рік тому +1

      Nimempoteza mtu niliyekuwa nampenda sana....
      Lakini bado mungu ni mwema kwangu.....🙏

  • @SashaRamadhani-uu1wv
    @SashaRamadhani-uu1wv 10 місяців тому +7

    Asante sana kaka ambwene napitia kipindi kigumu cha kumsindikiza nimpendae nina imani na ili litapita

  • @leahchacha1945
    @leahchacha1945 Рік тому +9

    This song touches my heart forever. I am currently facing a lot in life, but I pray to God that everything will be well, and that I will get to God with a strong heart😭😭🙏🙏🙏

  • @NeemaSimezakayo
    @NeemaSimezakayo Місяць тому +4

    Kiatu cha mamangu mkubwa watoto watatu wa kiume kwa siku moja na mjuukuu wake alijikuta alii ila amechanganyikiwa aelew nn kimetokea mpaka leo ayuko sawa kuna muda unaweza kuwaza vibaya ila tunamuchia mungu mana yeye ndio anaju kwann ilikua vile

    • @israelkisaila8401
      @israelkisaila8401 Місяць тому

      MUNGU amtie NGUVU, KIBINADAMU NI ngumu ninyi😢😢

  • @MarcelaMwegama-qr2fg
    @MarcelaMwegama-qr2fg 2 місяці тому +6

    😭😭Mungu baba wapokee watawa mapadre wetu

  • @scholasticabitala5794
    @scholasticabitala5794 Рік тому +10

    Baada ya Ile ajali nimekuja kusikiliza huu wimbo

    • @MerYEdga
      @MerYEdga Рік тому

      Nifalaja kubwa sana ninapo sikia huu wimbo

  • @leahkaneza1731
    @leahkaneza1731 4 місяці тому +6

    Nikiona hiyi video basi huwa natokwa na machozi😢😢😢😢

  • @KibibiMtuhi-xg8ju
    @KibibiMtuhi-xg8ju Рік тому +5

    2023 October ,Yesu ni mwema wimbo unaendelea kunifunza .

  • @banzamukalay5396
    @banzamukalay5396 Рік тому +4

    Nitaitizama mara na mara hata mpaka 2025.

  • @otavinamsigala7004
    @otavinamsigala7004 4 роки тому +7

    Misuli ya imani in ujumbe mzito Sana ambao wakati wote nikipita kwenye jaribu lolote huwa naona hili linanikusha kuamini

  • @irenekaput3408
    @irenekaput3408 Рік тому +7

    2023 like zenu

  • @joybituro4042
    @joybituro4042 4 роки тому +37

    Mungu anasababu ya kukupa jaribu

    • @sofiaarianaayeba491
      @sofiaarianaayeba491 4 роки тому

      MUNGU pekeyake ndiye atakaye kufariji

    • @joybituro4042
      @joybituro4042 4 роки тому

      @@sofiaarianaayeba491 kweli hakuna mwanadam atoaye faraja ya kweli zaidi ya Mungu

  • @nyamunarunyamboneka4156
    @nyamunarunyamboneka4156 4 роки тому +22

    When I listen to this song always be strong

  • @LIFEOFMRX
    @LIFEOFMRX Місяць тому +4

    Wimbo unanigusa rohoni. Mungu ndio anajua🙏

  • @gorgonusshayo920
    @gorgonusshayo920 4 роки тому +6

    Najkutaga nalia na ndev zangu napousikiliza . 1 love ambwene . umeimba kwa uhalisia wa maisha yetu

  • @sanekwilabya4453
    @sanekwilabya4453 Рік тому +9

    2023 hii

  • @dashingstv8177
    @dashingstv8177 Рік тому +4

    Nakumbuka kipind nimefilisika😢😢😢😢😢

  • @upendowilliam8088
    @upendowilliam8088 4 роки тому +8

    Barikiwa sana kaka wimbo unagusa sanaaaaaaa 2020 bado ipo motoooo

  • @rahmahamis4493
    @rahmahamis4493 Рік тому +5

    forever song 2023

  • @PeterMabalwe-bf6zh
    @PeterMabalwe-bf6zh Рік тому +4

    Ambwene nyimbo zako nimezikubali huwa unanigusa sana ubarikiwe sana

  • @Delvick-rh7gv
    @Delvick-rh7gv 4 місяці тому +9

    2024 nipo apa

  • @KayaPipi-n3s
    @KayaPipi-n3s Рік тому +5

    Mungu awasaide kwenye magumu awabarik ❤ 2023

  • @GiftMissian
    @GiftMissian 5 місяців тому +6

    Leo nimelia sana baada ya kusikia huu wimbo nimekumbuka mengi sn😢

  • @georginaopati9587
    @georginaopati9587 Рік тому +4

    Wimbo wenye mafunzo makubwa kwangu asante Mungu kwa hali yangu

  • @esterpaschal6080
    @esterpaschal6080 3 місяці тому +5

    Huu wimbo nmeukumbuka leo familia imeungua ndan baba na watt3 wamefalik amebak mama na mtt1, mungu amtie nguvu mama aliebak

  • @kitumainikubatu3182
    @kitumainikubatu3182 5 місяців тому +8

    Nyimbo Kama hizi zinasisimua maisha ya kiroho.

  • @wannaproducts
    @wannaproducts Рік тому +8

    2023 still 🔥

  • @salhatunimande720
    @salhatunimande720 3 роки тому +8

    Who is here 2021🙏🏻💙 Glory to GOD..

  • @mercynnko3416
    @mercynnko3416 Рік тому +4

    Mashujaa wa imani siku zote hurudisha utukufu kwa Mungu

  • @jasminnyoni7005
    @jasminnyoni7005 5 місяців тому +10

    2024

  • @eliumbanambowe722
    @eliumbanambowe722 Рік тому +4

    2023 mshukuru Mungu kwan yeye atabaki kuwa Mungu

  • @babrightonmusoma1812
    @babrightonmusoma1812 3 роки тому +5

    "Hawa ndio Mungu huwatumia,kumsimangia shetani,maana kujaribiwa kwa imani zao uleta utukufu kwa Bwana" A good song for only Good time of being challenged

  • @evajovialemma5633
    @evajovialemma5633 9 місяців тому +5

    Mungu ni mkuu kweli kweli jinalake litukuzwe maana matendo yake ni makuu na hatuachi kabisa

  • @frankmanga3721
    @frankmanga3721 Місяць тому +5

    2024

  • @belegeselestin9319
    @belegeselestin9319 4 місяці тому +5

    June 2024 hakika Mungu mwema