OMBI LANGU BY AMBWENE MWASONGWE (OFFICIAL MUSIC VIDEO)
Вставка
- Опубліковано 5 жов 2024
- Ambwene Mwasongwe presents the Official Music for "Ombi Langu"
Watch All Music Videos by Ambwene Mwasongwe: • Ambwene Mwasongwe All ...
Follow Ambwene Mwasongwe
Instagram: / ambwenemwasongwe_
Subscribe to Ambwene Mwasongwe: / @ambweneobadiamwasongwe
Digital Branding & Marketing By:
Black Ozen Entertainment Limited: / blackozenentertainment...
#AmbweneMwasongwe #OmbiLangu
February 20 ,2024 kama umerudi kusikiliza na wewe ufanywe kama yusuph .njoo hapa
19th of August 2024
Ameeni
Wangapi wanautazama mwimbo huu mwaka huu.. naomba like apo chini
Cn
@@AlphonsinaInnocentmungu ni mkuu ndug
Kila saa
Sio mwakama huu yaani Kila siku nilazima niuutazame maana ni wimbo wa historia yangu🙏🙏
Tar 16 /3/ 2024 Bado huu wimbo uko kwenye list ya nyimbo zangu pendwa, I love you ambwene mwasongwe tunakuombea maisha marefu sana
Mwezi mmoja baadae pia niko huku...
Ambao tuna usikiliza tena 2024👋
2024 kama Bwana bado haja acha mguu wako usogezwe kwenye mitego yao; sema Amina
Ameen
Amina!
I listened to this song continuously a month prior to my marriage breaking up, didn't know why. After the incident that's when I keenly listened to the words, I realised that GOD was preparing me, to be strong, to forgive and let go of those who wronged me. It's one year since and honestly God has been faithful, He has kept me, He has restored more than I lost. And the day I forgave them heavens opened floods of blessings over my life, And I know he has soo much in store for me, God let my life glorify your name, AMEN
Amina.
June 11 2024 kama umetembelea kuskiliza ombi langu Basi ubarikiwe sana
Tuko wangapi 2024?
Tupo
Wengi
Nikiwa namatatizo nakuja hapa naskia this song,nalia for one hour then nasonga mbele😢😢😢😢😢❤❤❤❤❤
Niliota nikiimba na nimeshida Kuusikiza
"Usiruhusu hasira ikae kwako''
Listening to this song today😢2024❤️God remember me
🫂🫂🫂
Kaka hapa ulikuwa karibu na MUNGU kakupa hekima kuimba wimbo unaamsha mioyo mpaka leo 2023 mwezi 8 tar 27, naomba like wanaoguswa maisha yetu yote
1.6.2024 yaaani huu wimbo acha Mungu aitwe Mungu
23/09/2023. 1:30am l got to hear this song and l can't get enough of it it's 3am and am still listen.God bless your servant for this uplifting sound
Amen...late night but you stuck to it...never forget God in your life my sister...lets meet in paradise someday.
Kama Yusufu,hili ni ombi langu unikumbuke Mungu mwenye nahema na rehema,Amen
Niliifiwa na mwanangu nilikua nawaza kidogo nichanganyikiwe,nyimbo hii imenifariji sana barikiwa sana
Wimbo umenibadilisha maisha yangu.
Habar
Jaman huu wimbo leo umemaliza mb za elf mbili umenipa nguvu sana
Mungu nipe moyo wa kuachilia watu walionikosea 😢
Huu wimbo urudiwe tena ni bonge la message.
13/07/2024 still trending to the glory of the name of JESUS.❤
Hekima iliyo katika nyimbo za huduma yako ni baraka tele. Ubarikiwe Mtumishi wa Mungu.
Hii ndio nyimbo yangu Bora kwa Ambwene!! Hii ni sala Muhimu sana!!
Hili ni ombi langu ubarikiwe Ambwene nice song the song is real ni baraka
Eeee mungu napokuwa na huzini ndiyo nyimbo yangu pedwa..talehe 6 mwezi wa 5 nasikiliza
Mungu nipigianie kila tatizo nalopitia wakati huu najua upo na mimi naamini nitashida yote haya 🙏🙏🙏🙏
Asante
Jamani kweli mungu ni wa ajabu
01/06/2024 its an inspiration song 💫💫💫
Wimbo unanibariki huu! Hav to watch every day Namii nifanye kama Yusuf (waziri mkuu)
6/8/2024,Naomba ukapigane nao baba🙏
🇷🇼Kaskazini mwa Jamhuri ya Rwanda tunakupendeni tu!
Huwa nabarikiwa sana na wimbo huu,Uishi sana Ambwene, Amen!
Kila siku huu wimbo unapanda chat❤❤❤❤
Kaka unaimba vyema mnoo BWANA Akuzidishie ROHO MTAKATIFU.
Bado siachi kusikiza na kuimba mwibo huu, Mungu wangu fanya jambo maishani mwangu na jina lako liinuliwe.
Suis là 2024🇨🇩🇨🇩
September 2024 bado nipo hapa
Mwaka huu 2023 ukawe wa baraka kwa wote wanaomtegemea MUNGU baba wa mbinguni kwa kupitia Yesu Kristo pekee yake
Amen 🙏🏾♥️
My all the time favorite song ❤God Bless u Man of God Ambwene
Yaani Haya muda huu nipo hapa nauangalia
Hauko pekee yako
ubalikiwe sanaaa ,nakupenda sanaa
My friend PJ make me feel this the song …your blessed Ambwene
Huu wimbo umenileta hapa leo all the way from instagram
Huyu Ambwene nyimbo zake huponya magonjwa sugu na ufariji.
Mwaka wa 5 huu bado nasikiliza
Hakika napata tena nguvu , katika heka heka za maisha,, Mungu Ani kumbuke na mimi ,, wimbo huu una ni tiya tumaini kabisa
MUNGU Akubariki kwa huu wimbo ndio silaha yangu katika wokovu huu wenye kila aina ya misuko suko
Husiruhusu maneno yakuvuruge, husiruhusu hasira ikae kwako, hili ni ombi langu kwako, MUNGU akukumbuke. Yamenipa nguvu mno. 🙏
Powerful song full of wisdom. Nimesaidika kutoka kwa huu wimbo. Mungu na azidishe chemichemi ya maji ya uzima kwa mwimbaji/waimbaji huo/hao. Asante.
duuu...nilichelewaje kuufaham huu wimbo mapemaa
Pole
@@NeemaKmussa 😁😁asante mpendwa
Mkaribie YESU KRISTO ili akuokoe
Nyimbo zuri 24,6,2024 nasikiliza ❤❤❤❤❤
Mume wangu amenitumia huu wimbo, hakika una mafundisho mazuri nimebarikiwa sana
Annarose Godfrey Murro shimboni dada
Daaaah munguu azidiii kukupiganiaaa
Powa sana
He is good for you.
Mungu yupo kila wakati ndie atupinganiae sisi sote. Amen 🙏🙏🙏🙏
Hupaswi kuwa na ubaguzi wa kimadhehebu,bali kubali ujumbe uusikiao.🎉
This song is nice 🎉🎉wow. ❤❤❤ I am playing on repeat yet I just discovered it today
Ninapo sikiliza huyu wimbo najivuniya kuwa Na Yesu ndani yangu😊🙌🙏
Amen sikia moyo wangu nmebalikiwa sana nakupenda kutoka Rwanda
Wewe ni bwana wangu
Wewe ni fahari yangu
Wewe ni mwaminifu kwangu
Wewe ni kisima
Wewe dawa ya moyo wangu
Asante Mungu Baba kwa yote mema, mbarikiwe nanyi wote.
Napenda Sana nyimbo zako mwanagu Ambwene ujumbe unagusa moyo wangu Mungu akubariki Kwa kuitumia vizuri sauti aliyo kupa
2024 ❤❤if you are here ..show some love🙏🏽
Nyimbo yangu ninavyopenda OMBI LANGU ❤❤ barikiwa kaka ambwene❤❤
Nabarikiwa sana sana na huu wimbo sana Ubarikiwe sana kaka 💓😭😭😭😭😭🔥🔥🔥
Niliona huu Wimborne kwa album yake bukuku I love it
5 years ago very touching
Leo 3/8/2024 huu niwimbo unanifanya nisikate tamaa wimbo unaishi ktk moyo wangu 🎉ambwene napenda nyimbo zako mungu akulinde
Ndugu Obadiah Mungu akukirimie upako kwa nyimbo nyingine Zamu kulijenga kanisa lake. Kivyangu nimebarikiwa kwa wimbo huu na ule mwingine wa kinyakyusa Gwe mbilika hata ijapo sielewi maneno ya wimbo!
I have played this song more than excess, indeed God is faithful,it's my testimony
Nampenda sana huyu kaka yangu, Mungu akupatie umri mrefu Ambwene you are real a blessings
Ka wimbo katamu sana
Hili ni ombi langu, Mungu anikumbuke even through this tough season am going through 🙏
ambwene ulizaliwa mbinguni huku duniani ulikuja tuh kuukamilisha ukuu WAMUNGU
Amen may God bless you
Mm nafarijika Sana na nyimbo za huyu kaka narudia mala mbili mbili
Yanii kwel kabisaa, yanii anaimba katika Roho, sio kwa umaarufu bali kwa utukufu wa Mungu
"Na Mimi niinuwe Kama Yusufu eeh Mungu" ,hili Ni ombi langu!!
Hili ni jembe nabarkiwaga sana na nyimbo zake
Amina🙏🙏🙏
❤
This man is soo deep🥹🥹🙏🙏🙏God bless us all
😭😭😭kinachowafanya wasinizuru bado hawajapata sababu ahsante Mungu 1.1.2021😭😭😭💖💖💖💖💖
Nimeurudia sana huu wimbo. Una melody nzuri. Nasikia aman moyon mwangu bora hata nimeingia hapa na kusikia huu wimbo. Mungu atukumbuke tutembee na Mungu kila wakati.Asante
AMEEN
Amen
Amen
Lots of love dada Namsifu nakupenda
@@glorymanase2118 shalooom,,,,Naomba unitumie wimbo huu wa Ambwene Mpendwa WhatsApp 0753938466 Ubarikiwe
Nashukuru Mungu kwa wimbo huu Bwana asifiwe saana
Mwanamziki bora kwangu wa muda wote
The prayer of David psalms 35
Joel lwaga nimemuona hapa, kweli watu tunatoka mbali tusikate tamaa
Hatar
Umemwona mwanetu eeh
Hakuna kukata tamaa
Kweli broo
Kila siku lazma niskilize huu wimbo unanibariki sana ubarikiwe mtumishi wa Mungu🙏
I used to play this song again and again in 2019, 2024 and it is still a light in my life. 🙏🙏🙏
This song has been my ringtone for three years now....gives me hope....thanks
Nikiusikiliza yote huwa yanaisha hapo, hongera sana kaka
My song 2024
Jamani 2023 nipo hapa bado nauangalia Huwa nabarikiwa Sana
Hakika wimbo huu unanibariki mno 🔥🔥🔥🔥🔨
Wangapi wamemwona Joel Lwaga humu ndani🎉🎉🎉
Mungu uwakumbuke wanangu wawapo gizani shuleni na kote uwalinde
Wew ni Bwana wangu fahari yangu Uaminifu wangu
wimbo mzuri saaaaaaana hooo mungu wangu aksanti bariki mtumishi wako tena😭😭 rho zangu na ina pataka ufariji kupitiya wimbo hu mina liya furahha
Mungu akubariki mtumishi ninapenda sana kusikiliza nyimbo hizi zinanipa faraja ❤
“Asiuache mguu wako usogezwe; Asisinzie akulindaye”🙏🏿 #2021
🙏🙏🙏amen amen 🙏 mungu ni mkubwa kweliii mpaka nimefika siku ya leo 2021 ahsante mungu wangu
Nifanye,kama,yusufu,yure,mwana,mwota,ndoto
Nabarikiwa zaidi ya baraka nisikiapo huu wimbo
Waoooo what a powerful Song🙏Asante Yesu Kristo.
My first time to hear the song but I can't really tell its sweetness, Amen dear Lord let thy will be done in my life, problems are not permanent let thy Hand lead me to success 🙏🙏 I'll come again to confirm.
Amen nabarikiwa Sana. Mungu azindi kukutunza
Huu wimbo hauishi utamu.Asante sana mtumishi was Mungu
Hakika na barikiwa sana🙏
Huu wimbo naupenda sana.
Mimi naomba mungu anisaidie kuwaombea maadui zangu mema..
Kwa Tanzania hii mumebaki wawili tu Abiud Misholi na wewe Abwene mwenzenu Fanuel Sedekia katangulia Mungu baba naomba utuinulie watu wengi katika taifa letu la Tanzania ili tukusifu na kukuabudu.May God protect you against all evils in Jesus name Amen.
Good prayer be blessed too
Ni kweli kabisa wengine Mungu ndiye ajue
Ameen nitie nguvu baba 🙏🙏🙏🙏
Wimbo nzuli. ASANTE SANA
27.05.2024