Asante kaka Joel nilikua na madeni mpaka napata depression. Tanguy nianze kukufatilia nikajua jinsi ya kuepuka madeni.kwa sasa niko free nashukulu sana.
Naitwa cosmas niko arusha nilifatili mafuzo yako 2019 mpaka leo nilikuwa Kwa mwenz naweka akiba 200000 na mpaka 100000 ila Kupitia mafunzo yako niliaza kuweka 600000 na leo hiii sitaki kuajiliwa niko kwenye prosess na kujiajili mwenyewe na ninasoma kitabu cha Timiza malengo Chenye Mbinu 60
1.bajet ya mwez ~ ainisha kwa vipengele 2.Epuka kuishi maisha ya madeni 3.kuwa na mkakati maalum wa kifedha 4. Mpango thabiti wa kupata uhuru wa kifedha ( kipato kinachotokana na uwekezaji kikidhi mahitaji Yako yote Barikiwa bro
Makosa ya kuepuka ktk kutafuta uhuru wa kifedha 1. Kutokua na bajeti ya matumizi yako ya kila mwezi 2. Kuishi maisha ya mikopo au madeni 3. Kutokua na mkakati wa kubadilisha active kuwa passive income ...kutokua na mkakati wa kutengeneza pesa ukiwa umelala 4. Kutokua na mpango wa kuingia kwenye uhuru wa kifedha (financial freedom) ...Kutoa kua na clear plan of financial freedom
Habari kaka samahan xana kwanza mungu akubar xana na akupe maisha maref nawesa sema umechangia xana me kua hapo nilipo kwa mawazo yako pia naomba kuwasiliana nawe kama hutojali make Nina mamb mengi xana naitaj ushaur wako kaka
Kaka joel mm nmejiajili mwenyew ila napata kipato ambacho kina mudu mahitaj yangu binafsi na watu wangu wa karibu na akiba inabak ambayo naweza kufanya uwekezaji mwingne ila cjui nianzie wap kila wazo nalowaza naliona halifai naomba kujua ni kitabu chako gan nikisome ili niweze kuvuka kwenye ukuta huu.Ahsante.
Nathubutu kusema Dk Joel Mimi Nina shida amabapo nashindwa nifanye nn maana nilikua na Duka kubwa na nimekufuatilia Kwa muda na nimejijenga sana kupitia wewe lakini nimevunjiwa kama mara 3 Sasa nashindwa kuweka malengo ya kudumu ☝️☝️
toka nianze kukusikiliza nilichukua hatua kwa kufanya matumizi kwa kupanga. Na akiba yangu inaongezeka, ila kwavile nimeacha kutoa hovyo pesa naambiwa siku hizi bahili.
hapa bhana point ya kwanza mi siwezi kuitumia, mi natumia pesa sana na nikikuta mtu hana bora nimpe yeye mi nikose na nimefanya sana kifupi hizi kanuni mimi hazinifai na madeni yanasababishwa na kutokumtolea MUNGU finishi................................
Powerful stuff, a very useful lesson my good brother Joel
Ahsante sana kaka mkubwa
Nafulahiya visomo
Nyie watu mnanifundisha mengi. Nimefrahi kuona mnakutana hapa
Asante joel nakufatilia kw..umakinanu... n... Alex..kutoka.... Kenya... mungu azidi kukubariki..xana.....
Asante sana kaka Joel nanauka Kwa mafundisho yako mazur hakika nmejinza kitu
Toka nianze kukusikiliza nimekuwa na Nidhamu ya kifedha sana na nipo napiga hatua najiona maisha marefu kaka💗
Hongera sana sana endelea hivyohivyo
Yan mm Kila nikipata Hela hata sijui inaenda wap pengine ningepat muda unipe ushauli Zaid ningefulahi mno
Asante kaka Joel nilikua na madeni mpaka napata depression. Tanguy nianze kukufatilia nikajua jinsi ya kuepuka madeni.kwa sasa niko free nashukulu sana.
Nashukuru Sana mungu akuweke nipo hapo ktk kuweka pesa Kwa baadae nashukuru Kwa hatua niliyopo mungu ni mwema
Naitwa cosmas niko arusha nilifatili mafuzo yako 2019 mpaka leo nilikuwa Kwa mwenz naweka akiba 200000 na mpaka 100000 ila Kupitia mafunzo yako niliaza kuweka 600000 na leo hiii sitaki kuajiliwa niko kwenye prosess na kujiajili mwenyewe na ninasoma kitabu cha Timiza malengo Chenye Mbinu 60
Nikihitaji kitabu hicho nawezafanya vipi ili nipate mwongozo pia!?
Mimi pia nahitaji hicho kitabu
Uishi miak mingi Mungu akujalie afya utatupa ulichopewa na Mungu asante
Ameen Ameen
Wewe ni chaguo langu pekee la mwlmu wa elimu ambayo ckufundishwa God bless u much
Wooow Asante sana MUNGU ATUTUNZIE wewe Life coach wetu🙏🙏🙏🙏
changamoto yangu MM. KAKA. nikuto kuwa nizamu. yakile ninacho kipatA
akili yangu ililala kwasasa najitambua kwa masomo yako Joel nanauka asante mungu akubariki
1.bajet ya mwez ~ ainisha kwa vipengele
2.Epuka kuishi maisha ya madeni
3.kuwa na mkakati maalum wa kifedha
4. Mpango thabiti wa kupata uhuru wa kifedha ( kipato kinachotokana na uwekezaji kikidhi mahitaji Yako yote
Barikiwa bro
Be blessed kaka JOEL NANAUKA nakukubali sanaaa umekuwa chanzo Cha mabadiliko kwangu🙏🙏
Najikuta kweny mabadiliko makubwa zaid pale ninapo sikiliza masomo yako na zaidi kweny kusomaaa najifunz mengi saaan kaka joel
Nimekuelewa sana mkuu dah
Nashukur san ...una mbinu nzuri sana kwa vijan waelewa kufika malengo yao
Asnt sn mwamba wang muhenga wang mungu akubariki sn na sn
Makosa ya kuepuka ktk kutafuta uhuru wa kifedha
1. Kutokua na bajeti ya matumizi yako ya kila mwezi
2. Kuishi maisha ya mikopo au madeni
3. Kutokua na mkakati wa kubadilisha active kuwa passive income ...kutokua na mkakati wa kutengeneza pesa ukiwa umelala
4. Kutokua na mpango wa kuingia kwenye uhuru wa kifedha (financial freedom) ...Kutoa kua na clear plan of financial freedom
Shukurani sana mkuu napitia haya yote ila nitajifunza kupitia haya wenda nitabadili maisha yangu
Habari kaka samahan xana kwanza mungu akubar xana na akupe maisha maref nawesa sema umechangia xana me kua hapo nilipo kwa mawazo yako pia naomba kuwasiliana nawe kama hutojali make Nina mamb mengi xana naitaj ushaur wako kaka
Ni kweli ndeni si poa ju ata uwezi kaa na amani
Kaka masomo yako yamenisaidia na kunifumbua akili kaka 😊😊 aksante,,,,san
Uko sawa kabisa
Barikiwa saana nafuatilia hatua kwa hatua
Kaka joel mm nmejiajili mwenyew ila napata kipato ambacho kina mudu mahitaj yangu binafsi na watu wangu wa karibu na akiba inabak ambayo naweza kufanya uwekezaji mwingne ila cjui nianzie wap kila wazo nalowaza naliona halifai naomba kujua ni kitabu chako gan nikisome ili niweze kuvuka kwenye ukuta huu.Ahsante.
Naomba unifundish jisi yakuanza biashiala ukiwa na mtaji mdogo
Joel big up sana brother ♥️🤝
Barikiwa SoMo zur sana
Good message stay blessed our mentor
uishi maisha marefu bro joel
Iko poa sana kamanda!
Ahsantee sana, ubarikiwe
Aksante sana kaka kwa kunipa elimu bora sana
Hakika nilishakuelewa sana Joel
Asantee uko vizuri nimeioenda mafundisho Yako ubarikiwe
Hakika umekua mbaraka kwa wengi Mungu azidi kukubariki zaidi kaka @Joel
Ahsante kwa Elimu nzur sana Bos Mkubwa.
Asante Sana Kaka. Napambana Sana bado kupata mpango madhibuti wa kuelekea kwenye Uhuru wa kifedha
We don't have financial money and you teaching us 🙏✔️
Namepata Kitu Kutoka Kwenye Hii Mada Kifupi Nmekuelewa💯💯
Hongera sana sana
Shukrani Sana rafiki yangu MUNGU akubariki Sana
Bro j we ni nowma sanaaa right personal kwa hii motivation upo njema mung akupe umei mrefu tuzidi kufaidika na uwepo wako maisha marefuuuu tunakuombea
Asante.kwa.somo.zuli.nimejifunza.sana.kaka
Ahsante kwakuiona ufaulu was kifedha.
Kweli kabisa, kunapesa ya leo, na kesho Hilo ni jambo muhimu sana
Ahsante sana, umenijenga,
Dah kwanza nashukuru kwa kaka changamoto yangu ata nikiwa na pesa natafuta niwekeze kwenye kazi gan
Nakubariiii mkuu endelea kutukomboaaa
Kupata uhuru wa kifedha.
Asante sana nimejifunza kaka Joel
Genius 💥
Asante kaka nimejifunz kitu kwako
Mi naona nakosa vyote😭😭😭😭. Let me start bro.
Joel nakukubali sana
Barikiwa sana. Hakika Mungu ametupa zawadi kubwa sana wanzaninia.
Kaka mungu akupe umri mrefu uweze wapa elimu wengi.najiona kwenye pessa mingi sana.nilianguka namka nasonga mbele
Songa mbele 👏🏼👏🏼
Thanks brother Joel.
Allah akuongonze
Thank you joel nanao niko nyuma yako
Nimeelewa sana
Hakika upo vizuri
nzur sana hii nimejifunza
Asante san kaka Joel kwa somo lako je nawezaje kuekeza kweny makampuni yakiserekali au makampuni ya kibinafsi
Hujawahi kutuangusha toka uanze
Nathubutu kusema Dk Joel Mimi Nina shida amabapo nashindwa nifanye nn maana nilikua na Duka kubwa na nimekufuatilia Kwa muda na nimejijenga sana kupitia wewe lakini nimevunjiwa kama mara 3 Sasa nashindwa kuweka malengo ya kudumu ☝️☝️
All-hamdullilah 🤲 we must move bro
Mungu akubariki Sanaa azidi kukupa maarifa zaidi
Ameen Ameen
Watu hawa wa muhim jaman tuwaombee mung afya njema na umri mrefu .haya masomo yanatufanya tuwe matajiri jmn .
toka nianze kukusikiliza nilichukua hatua kwa kufanya matumizi kwa kupanga. Na akiba yangu inaongezeka, ila kwavile nimeacha kutoa hovyo pesa naambiwa siku hizi bahili.
mungu akubarik xan kaka
Mungu akubaliki
Ushauri mzuri sana, nahisi ndicho chanzo cha kutofanikiwa kwa wengi.
Sawa sawa
MUNGU AKUBARIKI
This guy is a genius
Asante kwa SoMo limenitoa mahali Fulani kaka.
Ahsante kaka 👏
NtaZa Leo kaka
mtaji wangu ni mdog saana nashindwa kupata faida
Good job brother
Nakushuku kaka
Ubarikiwe sana mafunzo mazuri
Dar ofisi yako inapatikana wap
nimeelawa sana
Bro ubarikiwe sana.....
Asante sana naku soma vizuli kaka
Ubarikiwe sana kaka tangia nianze kufatilia video zako nimepata uimara sana Asante
Hongera sana sana
Good message, brother be blessed
Upo vizuri mungu akubariki
Basic facts with big results!!. Thanks a lot Bro..
Karibu sana
God bless you Br Joel
Nakubali kk
Asante sana kwa kutupatia shule nzuri
Karibu sana, tuendelee Kushare na wengine
good teacher
Be blessed🙏🙏
hapa bhana point ya kwanza mi siwezi kuitumia, mi natumia pesa sana na nikikuta mtu hana bora nimpe yeye mi nikose
na nimefanya sana kifupi hizi kanuni mimi hazinifai na madeni yanasababishwa na kutokumtolea MUNGU finishi................................
Barikiwa
Perfect timing...thanks brother, stay blessed
Video muhimu saana. Asante
Share na wengine
asante studios
Nikupata vyemaa sana
Thank broo uko uzur