RELI NA MATUKIO| PPRA WASAFIRI KWA SGR | UJENZI STESHENI KUBWA KULIKO ZOTE KAZI INAENDELEA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 24 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 22

  • @prince5291
    @prince5291 Рік тому +1

    wonderful project african giant

  • @oklahommy9838
    @oklahommy9838 Рік тому +1

    Na nyinyi nanyi watu wamechoka na hekaya zenu kila kipindi mnachokirusha ni ziara tu kwenda mbele....hamtwambii reli kuingia bandarini imefikia wapi au mmesahau kuwa reli hailipwi na abiria bali mizigo hayo mabehewa ya mizigo sijui vipi kwa kweli mmeboa sana nyote jitathmini vizuri

  • @osoromageta3381
    @osoromageta3381 Рік тому +4

    Maneno mengi kila siku ukaguzi anzeni safari basi mlisema mwezi wa nne mpaka leo

    • @davidcurtis175
      @davidcurtis175 Рік тому

      Magufuli alikuwa akisema mwezi wa tano haupiti ng’o na ukipita ujue mwekezaji anachajiwa faini😅 kuanzia muda tajwa kwenyemakubaliano ya kumilisha kitu husika, na kukiwa na sababu nje ya uwezo

  • @oklahommy9838
    @oklahommy9838 Рік тому +2

    "Kwakitaalam wanaita stairs" sema kwa kiingereza wanaita stairs nani asiyejua ngazi za kwenye majengo zinaitwa stairs kwa kiingereza😅😅

  • @zawadix9574
    @zawadix9574 Рік тому +2

    Yani trc hamna aibu hizi ziara Kila saa za Nini mbona hizo treni hazipo !!!!! Mli vo Jenga reli mli sahawu ku agiza treni!!!! Semeni ukweli 😅

  • @DafiMohamed-dz8xk
    @DafiMohamed-dz8xk Рік тому

    Akili ya Africa bado kutukuza wazungu tu sema kama Africa sio kila kitu wazungu

  • @conradolomi9580
    @conradolomi9580 10 місяців тому

    Ziara za kisiasa kutengeneza "posho",ufanisi sifuri.

  • @vakhwawevakhwawe9776
    @vakhwawevakhwawe9776 Рік тому +1

    nashukuru kwa maelzo mazuri ya mkandalasi lakini sijafurahi na matumizi ya lugha yaani kingereza ndio lugha ya kitaalam

    • @josephatn5040
      @josephatn5040 Рік тому +2

      Yaani umeniwahi. Nashangaa tangu lini Kiingereza kimekuwa lugha ya kitaalam, aibu sana. Kwa mfano, mtu anashindwa kusema " maegesho" mpaka aseme " parking"!!!!. Najua Kiingereza ni lugha rasmi Tanzania, lakini hii sasa inavuka mpaka. Ukimwambia ajieleze hapo kwa Kiingereza hicho anachochanganya kwenye Kiswahili, atajikanyaga.

  • @Ramadhaniamiri-g2j
    @Ramadhaniamiri-g2j 9 місяців тому

    Lazima ushuke morogoro au hata kibaha unaweza shuka

  • @abdulyabdunuru1476
    @abdulyabdunuru1476 Рік тому

    Mnakera sana yaan hii kitu huu mwaka wa 3 Sasa ni miezi tu ndo inapgwa tarehe daaah 😢

  • @mathiasmichael9915
    @mathiasmichael9915 Рік тому

    Punguzeni ushamba lugha ya kingereza siyo lugha ya kitaalamu ni lugha kama zilivyonyingine..... Mimi najua kuongea kingereza ila hafadhali kuongea kiswahili..... Hebu toeni akili zenu katika afya za kikoloni Rudi nyumbani kumeshanoga mpaka kwa MAJIRANi

  • @cidewashington670
    @cidewashington670 Рік тому

    Hio mayo atapewa muwekezaji toka Yemen 😂😂

  • @kambamazig02024
    @kambamazig02024 Рік тому

    Tutapata vichwa mwishoni mwa mwezi wa saba na leo ni mwezi wa nane! How do you account for the delay? delays costs the nation!

  • @brother_majesty
    @brother_majesty Рік тому

    😢

  • @vitarismujuni6889
    @vitarismujuni6889 Рік тому

    Hii treni imeshageuzwa ya wanasiasa tu(a.k.a wajaza matumbo) utaskia ziara Hadi ikielekea mwaka wa uchaguzi

    • @severinmbanza4950
      @severinmbanza4950 Рік тому

      Kabisa, na ndo itakua agenda yao,unaeeza kuta inafunguliwa 2025 kwenye kampeni

  • @Ramadhaniamiri-g2j
    @Ramadhaniamiri-g2j 9 місяців тому

    Unaweza kushuka kibaha kutoka dar

  • @EliasNestory-de7ne
    @EliasNestory-de7ne Рік тому

    Stesheni ya tabora mtaweka muundo wa nyuki kama sio tumbaku.

  • @mmarandu2417
    @mmarandu2417 Рік тому

    Utalii au ukaguzi? Utalii ni endelevu. Ukaguzi je?