KAZI IMEPAMBA MOTO SGR MWANZA - ISAKA, RELI YAPITISHA KIBERENGE SHINYANGA - SIMIYU

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 18 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 48

  • @explorewithbertin
    @explorewithbertin 7 місяців тому +16

    Can't wait to travel with electric train from Dar to mwanza

    • @h.alshidhani8971
      @h.alshidhani8971 7 місяців тому +1

      Why ?😂 it seems you will not be alive by next year 😂

    • @Africa_Yetu
      @Africa_Yetu 6 місяців тому +1

      @Bertin... I am eager to get there too! Thanks for your channel which help us tonget up dates...!
      Pamoja!😂

  • @noelngowitechnicalsolution
    @noelngowitechnicalsolution 4 місяці тому +1

    Hongereni sana kwa kazi nzuri

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 7 місяців тому +2

    SAF SANA N KWEL MAPUNGUFU HAYAKOS ILA MNAJITAHID GOD BLESS

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw 7 місяців тому +6

    Hakuna kusifia kwani snalipwa pesa defu haya ya kusifia ndio wanasababisha kuharibu KAZI nchi za wenzitu wanasema amefanya nyanayostahili hizi za blabla sio Kazi hao wachina wanafanya KAZI hawana maneno maneno

    • @kambamazig02024
      @kambamazig02024 7 місяців тому +1

      Siyo kama Waturuki, Dr-Morogoro mpaka sasa kila siku tunaambiwa mara asilimia 90 mara 98 mara 96 sasa tunashindwa kelewa ni nini maana yake ama ndiyo fuzzy maths?

  • @kambamazig02024
    @kambamazig02024 7 місяців тому +6

    Wangepewa mradi mzima hawa jamaa, maana Waturuki imebakia ni bla bla tuu. Dar-Moro imekuwa ni kizungumkuti!

  • @starjay3052
    @starjay3052 7 місяців тому +4

    mchina arembagi kazi kaka

  • @birianination7097
    @birianination7097 7 місяців тому +2

    Hii nikubwa sana

  • @sabinaluyego4408
    @sabinaluyego4408 3 місяці тому +1

    KAZI iendelee

  • @donaldmartin-ps2ig
    @donaldmartin-ps2ig 7 місяців тому

    Sait kwangu kabisa hapo

  • @modestwenceslaus9
    @modestwenceslaus9 7 місяців тому

    Kazi nzuri katika kipande hiki kina chonachojengwa na Wachina lakini kwa kipande no 3 na no4 vinavyojengwa na Waturuki kazi siyo nzuri kabisa na Serikali inabidi ifuatilie kwa karibu sana.

    • @michaelrweyemamu1068
      @michaelrweyemamu1068 7 місяців тому +1

      Lot 3&4 maokoto ya kulipa shida

    • @h.alshidhani8971
      @h.alshidhani8971 7 місяців тому

      Mnachuki na waturuki... tunajua sababu

    • @255kwetu8
      @255kwetu8 7 місяців тому +1

      Mturuki kampuni yake mwenyewe inashindwa kujiendesha baada ya mmiliki kuaga Dunia(Kuna mgogoro)Ila serikali inatoa fedha kama inavyofanya kwa CCECC

    • @255kwetu8
      @255kwetu8 7 місяців тому +1

      Na habari njema ni kuwa hicho kipande Cha 4 kipo mbioni kupewa mchina

  • @lucasmhagama8166
    @lucasmhagama8166 7 місяців тому +1

    Hawa Wachina wako fasta sana aisee

  • @Nedjadist
    @Nedjadist 3 місяці тому +1

    Mapungufu ya JPM sijui alikuwa na beef gani na Wachina! Angewapa mradi huu mzima Wachina, kwanza gharama ingekuwa ndogo, ubora maradufu na ungeifungulia Tanzania kuwa preferred state kwa China. Hata bwawa la Nyerere. Wachina wamewapita Wazungu mbali sana katika uhandisi. Taabu ya elimu ya Tanzania haitoi upeo wa dunia, maana hilo linataka kujua lugha.

  • @salvatorybakilana2378
    @salvatorybakilana2378 7 місяців тому +1

    Hiii reli inaisha lini mazee

    • @karimmkejina980
      @karimmkejina980 7 місяців тому +1

      Miradi mikubwa hiyo huwa aishi mapema kwa sababu kila siku inaanza tena

  • @MgasaEmanoeli
    @MgasaEmanoeli 7 місяців тому +4

    Wachina wako fasta kuliko hao waturuki

    • @elinamilyatuu7337
      @elinamilyatuu7337 5 місяців тому

      Hao waturuki kutoka moro kwenda makutopora wamejenga haraka kuliko kutoka dar kwenda moro

    • @magorymara5515
      @magorymara5515 3 місяці тому

      Ni kweli kule Moro ni milima kuchonga miamba kazi ilikuwa kubwa​@@elinamilyatuu7337

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 7 місяців тому +1

    Huyu mkandarasi ana uwezo apewe reli yote

  • @msafirisaimoni9561
    @msafirisaimoni9561 7 місяців тому

    Watz wasomi wajifunze kupitia mradi huu

  • @ProfAkili
    @ProfAkili 7 місяців тому +1

    Tuwache kuzungumza bila vitendo.... Hii reli bado haibebi abiria...kujeni kenya muone reli ya kisasa

    • @mkutamajuto1549
      @mkutamajuto1549 7 місяців тому

      Ili itusaidie Nini? Nyinyi bakini na reli yenu na sisi hii ndy yetu

    • @miltonjohn9779
      @miltonjohn9779 7 місяців тому +1

      Reli yenu ya diesel au! Pereka ushubwada wako huko

    • @abuubilal2646
      @abuubilal2646 7 місяців тому +1

      Hatuna cha kujifunza kwenye hiyo treni yenu ya zilipendwa😂

    • @marcominja8850
      @marcominja8850 7 місяців тому +1

      Sasa si bado ipo kwenye ujenzi, wanaanzaje kubeba abiria?

    • @harounzuberi8179
      @harounzuberi8179 7 місяців тому +2

      Nyie na hiyo SGR au Gari moshi halafu kumbuka urefu wa hii SGR ya Tz ni ndefu mara tano ya hicho kimstari chenu kisichotumia umeme weeee Kenge Mkenya

  • @zawadix9574
    @zawadix9574 7 місяців тому

    Hiyo treni miakia 4 Sasa kipande Cha Moro dar teyari mbona hatu pandi

    • @h.alshidhani8971
      @h.alshidhani8971 7 місяців тому

      Sehemu ni fupi mpaka pakamilike Dodoma 😂

  • @h.alshidhani8971
    @h.alshidhani8971 7 місяців тому

    MBONA ISAKA HAIPITI TENA RELI HII YA SGR????? WACHINA WAMEKATAA KUPITIA ISAKA KWA AJILI MKUNJO WA NJIA YA ISAKA.