Це відео не доступне.
Перепрошуємо.

KIPINDI CHA RELI NA MATUKIO | ULIPOFIKIA UJENZI WA STESHENI YA SGR DODOMA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 13 гру 2023

КОМЕНТАРІ • 32

  • @omarysaid8725
    @omarysaid8725 8 місяців тому +9

    Trc mnazingua sana au sijui ni kazi na mazoea train ya Pungu ni mbovu haiendi na muda na haina muda maalumu acheni uswahili train mbovu inafika asubuhi ndio ina anza kutengenezwa halafu mna lalamika shirika linaendeshwa kwa hasara wakati hizo hasara mna zisababisha nyinyi wenyewe acheni kukaa maofisini

  • @omarysaid8725
    @omarysaid8725 8 місяців тому +8

    Majaribio ya sgr mmefanya kama siasa vile kipande cha Dar - Moro mwaka wa 3 huu imekuwa stori tu mmetufanya sisi kama watoto sijui

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 8 місяців тому +2

      Hizo zilikua vision za Magufuli alikua anamaanisha toka moyoni hawa wengine wanafanya kuzuga tu ndo maana kila kitu uswahili

  • @tobynasheimani7969
    @tobynasheimani7969 3 місяці тому

    Wow that's nice looks like Europe

  • @matheobaha773
    @matheobaha773 8 місяців тому +5

    Dada anajua kueleza vizuri

  • @ombenikichao
    @ombenikichao 8 місяців тому +2

    Hongera Sana dada engineer kwa maelezo yanayoeleweka, nime-enjoy mno

  • @JOHNKKULULINDA-pc6gy
    @JOHNKKULULINDA-pc6gy 8 місяців тому +1

    HONGERA SANA BINTI YANGU KTK UHANDI. NAONA HATA KUFUNDISHA UNAWEZA. UNA UWEZO WA KUJIBU HOJA NA KUFAFANUA KUKIDHI HAJA YA WATAZAMAJI NA WASIKILIZAJI!!! MUNGU AENDELEE KUKUTUMIA KUWATHIBITISHIA AKINA MAMA KUWA UHANDISI SI WA WANAUME TU. AMEN.

  • @mussamussa8181
    @mussamussa8181 7 місяців тому +2

    RIP JPM toka kaondoka ujenz ni maneno tu

  • @kakawamashariki8978
    @kakawamashariki8978 8 місяців тому +1

    Uhuru na kazi, Hapa kazi tu, kazi iendelee..

  • @alfinmbilinyi5985
    @alfinmbilinyi5985 4 місяці тому

    Kazi nzuri ila naona kama paa lipo chini sana na kama hewa mwanga humo ndani kama shida vile.

  • @clarencehilary5588
    @clarencehilary5588 7 місяців тому

    Hongera sana magufuri tunakukumbuka sana ndugu yetu rais mzalendo kama mwalim nyerere ila huku umetuachia uozo

  • @beaugosseadam6831
    @beaugosseadam6831 5 місяців тому

    Watu wanaopenda kusafiri ,iwe kibiashara au kutalii ukifika London Train Station, Hamburg Train Station ,Frankfurt Train Station ,Dubai Train Station ...... pilika pilika za kibiashara zinazofanyika ni zaidi ya Kariokoo. Afu kingine, kibiashara huwezi kutofuatisha usiku na mchana. Hongera TRC. Lakini tokeni kwenye maneno anzeni shughuli. Kitaalamu mradi unapochelewa kufanya kazi(kuzarisha) hupoteza value !!

  • @shabanimsakuzi9141
    @shabanimsakuzi9141 8 місяців тому

    shout out to my sister well explained.

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme 8 місяців тому +1

    wimbo mbaya kweli mpaka unatia hasira ukichanganya na maneno maneno yenu mengi ya siasa siasa yasiyotimilika ndio kabisa 😡

  • @paschazianestorymatunda6490
    @paschazianestorymatunda6490 8 місяців тому

    Mmeifanya vizuri kuweka Na Jengo la TRA

  • @Tiffany340
    @Tiffany340 8 місяців тому +1

    Sio ulemavu hata wagonjwa,tumieni neno watu wenye changamoto mbalimbali

  • @davidkiswaga4453
    @davidkiswaga4453 4 місяці тому

    Jaman ukweli MAMA ANAFANYA KAZI SIO MCHEZO KAMA NI MWENDELEZO KWELI MAMA KAZI INAENDELEA KILA LA KHERI MAMA ETU KIPENZI.

  • @michaelrweyemamu1068
    @michaelrweyemamu1068 8 місяців тому

    Great 💕🇹🇿

  • @pabliz_
    @pabliz_ 8 місяців тому +3

    Jpm

  • @felixhenerico8997
    @felixhenerico8997 8 місяців тому +2

    mama tina katika ubola wako

  • @mbaruksaid5775
    @mbaruksaid5775 5 місяців тому

    Mko vizur huku kwetu kenya hawasemi kua mje mchukue vyumba mtashukia tu vyumba vimejaa tayar

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 8 місяців тому

    Mtoto wangu unajua kujieleza

  • @rasheedabby2871
    @rasheedabby2871 8 місяців тому +2

    ISSUE SIO UJENZI ISSUE KUTUNZA MRADI,NENDA STAND YA NANE NANE NI MSIBA BOB

    • @ipyanangajilo226
      @ipyanangajilo226 8 місяців тому +1

      Nimetoka Leo huko Hadi tabu jengo la abiria wamejaa wamana wamegeuza mgawahawa tabu tupu...

    • @rasheedabby2871
      @rasheedabby2871 8 місяців тому

      @@ipyanangajilo226 Vyoo havifai kabisaaa

  • @egdldm4981
    @egdldm4981 8 місяців тому +1

    Dodoma hakutakuwa na chumba cha abiria wanaosubiri kusafiri?😮

  • @isakatogoro4697
    @isakatogoro4697 8 місяців тому

    naipenda Tanzania RIP JPM🥲🥲

  • @onekisstv8412
    @onekisstv8412 8 місяців тому

    Sasa tunaanza kupanda lini train au mpka elfu mbili na therathini

  • @vintagemusicgroup9236
    @vintagemusicgroup9236 8 місяців тому

    Safari Dar - Moro zinaanza lini?

  • @gabilugira139
    @gabilugira139 8 місяців тому

    Nna swali, Safari ya Mwanza paka Dar kwa SGR inachukua masaa ma ngapi...??

  • @user-cj1ft4mw2l
    @user-cj1ft4mw2l 8 місяців тому

    HICHO KIPANDE CHA PILI SIJUI KAMA KITAOSHA AISEE