KIPINDI CHA RELI NA MATUKIO | ULIPOFIKIA UJENZI WA STESHENI YA SGR DODOMA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 1 лют 2025

КОМЕНТАРІ •

  • @omarysaid8725
    @omarysaid8725 Рік тому +9

    Trc mnazingua sana au sijui ni kazi na mazoea train ya Pungu ni mbovu haiendi na muda na haina muda maalumu acheni uswahili train mbovu inafika asubuhi ndio ina anza kutengenezwa halafu mna lalamika shirika linaendeshwa kwa hasara wakati hizo hasara mna zisababisha nyinyi wenyewe acheni kukaa maofisini

  • @ombenikichao
    @ombenikichao Рік тому +2

    Hongera Sana dada engineer kwa maelezo yanayoeleweka, nime-enjoy mno

  • @tobynasheimani7969
    @tobynasheimani7969 9 місяців тому

    Wow that's nice looks like Europe

  • @alfinmbilinyi5985
    @alfinmbilinyi5985 9 місяців тому

    Kazi nzuri ila naona kama paa lipo chini sana na kama hewa mwanga humo ndani kama shida vile.

  • @kakawamashariki8978
    @kakawamashariki8978 Рік тому +1

    Uhuru na kazi, Hapa kazi tu, kazi iendelee..

  • @beaugosseadam6831
    @beaugosseadam6831 11 місяців тому

    Watu wanaopenda kusafiri ,iwe kibiashara au kutalii ukifika London Train Station, Hamburg Train Station ,Frankfurt Train Station ,Dubai Train Station ...... pilika pilika za kibiashara zinazofanyika ni zaidi ya Kariokoo. Afu kingine, kibiashara huwezi kutofuatisha usiku na mchana. Hongera TRC. Lakini tokeni kwenye maneno anzeni shughuli. Kitaalamu mradi unapochelewa kufanya kazi(kuzarisha) hupoteza value !!

  • @matheobaha773
    @matheobaha773 Рік тому +5

    Dada anajua kueleza vizuri

  • @JOHNKKULULINDA-pc6gy
    @JOHNKKULULINDA-pc6gy Рік тому +1

    HONGERA SANA BINTI YANGU KTK UHANDI. NAONA HATA KUFUNDISHA UNAWEZA. UNA UWEZO WA KUJIBU HOJA NA KUFAFANUA KUKIDHI HAJA YA WATAZAMAJI NA WASIKILIZAJI!!! MUNGU AENDELEE KUKUTUMIA KUWATHIBITISHIA AKINA MAMA KUWA UHANDISI SI WA WANAUME TU. AMEN.

  • @clarencehilary5588
    @clarencehilary5588 Рік тому

    Hongera sana magufuri tunakukumbuka sana ndugu yetu rais mzalendo kama mwalim nyerere ila huku umetuachia uozo

  • @mussamussa8181
    @mussamussa8181 Рік тому +2

    RIP JPM toka kaondoka ujenz ni maneno tu

  • @omarysaid8725
    @omarysaid8725 Рік тому +8

    Majaribio ya sgr mmefanya kama siasa vile kipande cha Dar - Moro mwaka wa 3 huu imekuwa stori tu mmetufanya sisi kama watoto sijui

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 Рік тому +2

      Hizo zilikua vision za Magufuli alikua anamaanisha toka moyoni hawa wengine wanafanya kuzuga tu ndo maana kila kitu uswahili

  • @shabanimsakuzi9141
    @shabanimsakuzi9141 Рік тому

    shout out to my sister well explained.

  • @michaelrweyemamu1068
    @michaelrweyemamu1068 Рік тому

    Great 💕🇹🇿

  • @HAPPYTADEI
    @HAPPYTADEI 28 днів тому

    Design ya station ya Dodoma mbaya

  • @paschazianestorymatunda6490

    Mmeifanya vizuri kuweka Na Jengo la TRA

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme Рік тому +1

    wimbo mbaya kweli mpaka unatia hasira ukichanganya na maneno maneno yenu mengi ya siasa siasa yasiyotimilika ndio kabisa 😡

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 Рік тому

    Mtoto wangu unajua kujieleza

  • @davidkiswaga4453
    @davidkiswaga4453 10 місяців тому

    Jaman ukweli MAMA ANAFANYA KAZI SIO MCHEZO KAMA NI MWENDELEZO KWELI MAMA KAZI INAENDELEA KILA LA KHERI MAMA ETU KIPENZI.

  • @mbaruksaid5775
    @mbaruksaid5775 11 місяців тому

    Mko vizur huku kwetu kenya hawasemi kua mje mchukue vyumba mtashukia tu vyumba vimejaa tayar

  • @Tiffany2-Jr
    @Tiffany2-Jr Рік тому +1

    Sio ulemavu hata wagonjwa,tumieni neno watu wenye changamoto mbalimbali

  • @isakatogoro4697
    @isakatogoro4697 Рік тому

    naipenda Tanzania RIP JPM🥲🥲

  • @felixhenerico8997
    @felixhenerico8997 Рік тому +2

    mama tina katika ubola wako

  • @pabliz_
    @pabliz_ Рік тому +3

    Jpm

  • @egdldm4981
    @egdldm4981 Рік тому +1

    Dodoma hakutakuwa na chumba cha abiria wanaosubiri kusafiri?😮

  • @onekisstv8412
    @onekisstv8412 Рік тому

    Sasa tunaanza kupanda lini train au mpka elfu mbili na therathini

  • @vintagemusicgroup9236
    @vintagemusicgroup9236 Рік тому

    Safari Dar - Moro zinaanza lini?

  • @rasheedabby2871
    @rasheedabby2871 Рік тому +2

    ISSUE SIO UJENZI ISSUE KUTUNZA MRADI,NENDA STAND YA NANE NANE NI MSIBA BOB

    • @ipyanangajilo226
      @ipyanangajilo226 Рік тому +1

      Nimetoka Leo huko Hadi tabu jengo la abiria wamejaa wamana wamegeuza mgawahawa tabu tupu...

    • @rasheedabby2871
      @rasheedabby2871 Рік тому

      @@ipyanangajilo226 Vyoo havifai kabisaaa

  • @gabilugira139
    @gabilugira139 Рік тому

    Nna swali, Safari ya Mwanza paka Dar kwa SGR inachukua masaa ma ngapi...??

  • @CrissManda
    @CrissManda Рік тому

    HICHO KIPANDE CHA PILI SIJUI KAMA KITAOSHA AISEE