MATATU BUS IN KENYA 2020 |Matwana Culture
Вставка
- Опубліковано 17 лис 2020
- 👕 Thank you for making these reaction videos possible by supporting my clothing brand, JUST GO 🌎: van-isikaka.creator-spring.com/ Riding with Big Man Bazuu / Top Dawg
• Riding with Big Man Ba...
𝙏𝙝𝙖𝙣𝙠 𝙔𝙤𝙪 𝙁𝙤𝙧 𝙒𝙖𝙩𝙘𝙝𝙞𝙣𝙜!
🚩 Remember to subscribe and hit the bell "🔔" icon, so you don't miss out of the crazy vibes reaction.
Thank you for stopping by 😎 Welcome to #Vanisikaka🔥🔥 Swahili reactions , VanVlog and good series that happen weekly 🤘🏽🤘🏽
For branding/ sponsors or any artist that want me to react to their music email me at Vanisikaka@gmail.com 🤘🏽🤘🏽
#Vanisikaka #YouKnowWhaat #SwahiliReaction #Unyamwezi
Support me on
Donate PayPal: www.paypal.com/cgi-bin/webscr...
Donate Gofundme: www.gofundme.com/manage/donat...
Join this channel to get access to perks:
/ @vanisikaka
Social media
Facebook: / van.isikaka
Instagram: vanisikaka...
Tiktok: Vanisikaka
Copyright Disclaimer Under Section 107 of the copyright Act 1976, allowance is made for “fair use” for purposes such as criticism, commenting, news, reporting, teaching, scholarship, and research. Fair use is a use permitted by copyright statue that might otherwise be infringing. Non profit, educational or personal use tips the balance in favor of fair use* ALL RIGHTS BELONG TO THEIR RESPECTIVE OWNERS
🔥🔥
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Kuna company mob who doe's the piping
254 les show this guy some love❤
Hiyo comment unasoma ni yangu ni yangu, nashukuru sana kwa kunitambua kaka. Ukitaka mengi kuhusu matatu au kitu chochote kile huku Nairobi basi usiwe na wasiwasi kunitafuta nikupe habari ya mjini
Safi saana bro , utanifollow insta bro
@@Vanisikaka freshy kabisa, kwa mpigo nitakufwata
Let's show love ❤ Kenyans this is our boy
Watu hawasimami. Kuna time nlikuja dar es salaam nkaona watu wanasmama kwa matatu lakini uku gari yaeza shikwa watu wakisimama
Wakenya wanapenda kubadilisha majina ya Kiswahili Kwa kingereza. Matatu-ma3
Magufuli_Mapadlock. Usipo pimp gari watu hawataingia.
Ukweli bro😂😂✔️
Hahaha
Check nyengine kwa hio acount ya Matwana Matatu Culture, Matatu inaitwa BOOM BOX iko na speakers mpaka za nje nyuma ya gari, mambo moto
Kwa mlango kuna makondakta wawili au zaidi na wanafanya madoido au styles za kuning'inia kwa mlango.
Mziki wa matatu inategemea moods za dereva hehhe
Huyo mshikaji amechambua fiti sana.
Van8 nipo kenya ila natoka Burundi nakwambia hizo ghari za matatu unazoona zina unyamwezi mwingi xn maana zimepamba njee na ndani kuna ngoma ile balaa we acha tu ukija huku utaona mwenyewe kuta tivi kweny kila siti huku kenya razima ushangae poa Burundi tunakupenda🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Matatu za mtaa wetu hata hazina milango -zimechapa sana 😅😅😅
Kangemi
Afro beat na bongo flavor ni matatu za Mombasa
Zina hadi socket ndani na wifi
Matatu za Mombasa na Nairobi ni mambo mbaya
ni post refu -- to elaborate more on your questions bro....saka moha grafix ,,,,uyo msee ndo most established and he is the founder of these grafiti kwa mat....tickets unalipa ukishaingia,,, it will depend na penye umetoka na unapoenda pia yategemea na wakati,,, wakati wa rush nauli hupanda ata ikafika double, rush hua hasa asubui watu wakienda kazini na jioni watu wakitoka kazini,,,mchana hasa bei huteremka sana lakini kwa izi nganya bei si rahisi ishuke so kama mwezi imfika kati kati na umeishiwa unaenda kwa izi mat zimechapa apo bei hua imeshuka utaenda ata na mbao which is 20bob,,pia, wakati wa mvua bei hupanda zaidi kisa ni kua jam yazidi kisha mat huchukua mda mwingi barabarani, kitu chengine, ukipeana hela kubwa wekaga kwa akili umepea conductor hela kubwa ywafaa akurudishie change ukusahau basi ndo ivo change yako imeenda ka sadaka msee. i used to live in kayole kisha nkahamia umo(umoja estate) basically time ya rush bei from kayole to tao(town) ni mia,,, pia umo. about the pimping(kurembesha ,kueka screen izo zote) yaeza fika millioni moja ya kenya, tafuta documentary fulani ambayo citizen tv wakihoji moha grafix. alisema kua client akija hua anamwuliza theme anayo taka, kisha akasema kua interior making hadi mziki na flat screen hadi viti kurembesha yote yaeza fika milioni moja ya kenya kwa mathree kubwa kama io banzuu,,,kwa 14 seater mathree izi ndogo ni nusu ya io hela .wakati wa rush ni ukweli watu husmama kama hakuna polisi barabarani,, na ndio mana kuna flat screen kila kona ndio kukijaa utaweza kutazama screen ilio kando yako,, pia kuna matatu zengine ambazo kila seat ya nyuma yake kuna screen..hua kuna mixtapes za ma dj .. djs wanatengeneza mamix kisha wanazisambaza kwa mamathree kila route,, by the way izi mathree zimepromote mziki sana,, dere(dereva) ndo hua anaremote apo mbele shida ni mpate dere ako veve yaani miraa mtakulishwa reggea ajab the whole route hadi destination arrival haha... kushawai kua na mat iko na ac,,, i dont remember the name,,, but madirisha hua mtu ywaeza fungua akifunguka hiari yake bora uchunge simu isivushwe dirishani ikaja pata mteja mgeni haha.. basically kuna car power supply specifically for the music system, the speakers, the lightngs ,, hua kuna car battery ya io kazi haswaa yategemea na watts zake,,, yaweza enda direct kutegemea na abiria ,, kama kuna abiria wa njiani basi itakua yaenda ikisimama ikiokota aboria wengine. kampuni ni nyingi kayole kuna base moja,, south b iko , githurai iko, dandora ipo,,, ronga iko , lakini moha grafixx ndo mwenyeji.. conductor huvaa red dereva huvaa shirt la blue government protocal.. kenya io mambo ya card itachukua mda kiasi maana ujue izi bara bara izi mathree ni a ma cartels fulani so wanapata kutokana na io biashara transport industry ina pesa uku kenya so mambo ya card kenya zii si ka sa hii, nairobi hasa vijanaa wapenda sana hip hop trapp ndo ngoma huchezwa sana kwa mathree sipendi pia haha.. kuhung kwenye mlango wa mathree ni kawaida ni ibada ni mila kwa izi nganya, ni hatari lakini hua wanawashwa ,, hua kuna wenye hubembea haswaaaaa,, yea true nairobi wanapenda reggea , gengetone zippo,, tuseme kila wakati una ngoma zake asubui ngoma relaxing kama rnb , mchana reggea hasa,, jioni ndo izo gengetone tuseme ama kitu kama icho, yes wi fi ipo kwa ma mathree sai,, kuna mat inatokea nganya mpya ,,, itakua route 125 ronga ,, inaitwa boom box,, ni ngori sana,, ni kali sana,,ebu tafta fb page ya matwana culture fb ,, utacheki progress ya ma mathree za nairobi vyenye zipo,,
nganya mingi zinapigwa spray work but kuna zile zinatumia pia stickers.
Kulipa ni baada ya nganya kujaa na iko njiani imeondoka.
Ndio, wanatumia pesa nyingi kurembesha kama vile body kit, mziki, wifi na mengine.
dirisha waeza kufungua lakini unafaa kuchunga ju kuna wezi so waeza poteza simu ama begi yako😂
Matatu ikiondoka njiani inawashukisha watu kulingana na pale mtu anataka kushukia kwenye route inayopitia.
mtu anayejulikana kupimp manganya mingi Nairobi ni Moha grafix.
Conductor ama konda in sheng huwa na uniform ya maroon.
Daah wana invest pesaa nyingi saaana
@@Vanisikaka yes they do
kulingana na sheria mpya zakenya matatu ni kama radio station, ukitaka kucheza mziki wa humu lazima ulipie license
Unapenya sasa
Ha ha🤣🤣
Kuna matatu siku hizi zinwekeza kwenye kupata live Djs wanamix live kwa matatu 🤩😋
Huyu jama na commentary 😂😂😂😂😂 ka furahisha sana 🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽 good job sana. Keep it up.
Muziki utalingana saa zingine utapanda nganya upate ngoma unapenda saa zingine upande ingine dereva ameeka ingine imeboeka sana
Dooh kumbe hivyoo
Kuna Jamaa anaitwa MOHA he is the king of Graphic hapa 254
Moha ako juu 2 xana
Ukweli Mohammed n oby
Faida mingi gharama mingi msee wakenya wanajua ,,,,wajanja xana
Van umecheki kaka bweha???...the interior is on another level, kwanza the floor🙌🙊
Big up brother that's why I love you
Hicho cha juu bro kimeua kaka...
Maze hizi nganya hukua na loud 😂😂🔥
Siku hizi kuna shengi ya nauli. Wauliza mangapi! Wakati wa kale waambiwa matatu. Leo waambiwa matano, masoo, marwabe (50, 100, 200). Representing 111. The baddest route!!! Tafuta hao matwana culture. Utashangaa mshkaji. 😁😂
Akuna wasee wa MAMBA NI MOJA JU WANAKUANGA KILA MAHALI
None stop sio kazi ,,,kkazi ya matatu ni mbemba shukisha ndoo fainda
Hapo kila k2 inafanyiwa hapa Nairobi na watu na kampuni tofauti...very talented guys around
Saa zengne matatu kama Mombasa tunaita kitatu
We love our matatu culture and that's why kenya we lead others follow and I norm think kenya we were made out of Africa
Conductors na drivers lazima wavae uniforms
Unyamwez kama wote🔥🔥
Naaam kuna kampuni mingi za vijana wanao fanya hii kazi ya kupiga graffiti kwa mat but mmoja legend anayetesa sana legend sana anaitwa Moha graffix mnyamwezi mwingi sana
Kweli mnyamwezi nimekubali
Hakuna kusimama..zina cheza video za muziki hawachezi movie
Ha ha ha poa saana
Kuna betri kama tatu au mbili mahali pake na socket zake za kuweka umeme. Kuna makampuni mengi ya kuunda matatu na kondakta na dereva ni lazima wavalie magwanda yao. Huku kuna mabasi yanafwanana na yale ya Tz ya mwenzo kazi.
Vaniskaka mbosso kashafnya mambo yake fanya unyamwezi
Unywamez Mwingi sanaa😂😂😂
Aaargh gengetone ndo inapigwa sana kwa nganya mingi
Ooh babu kubwaaaa
Mattatu si nairobi tu kupakizwa it's alvoer d biggest city in kenya
Kahawa sukari😂😂😂 iyo imekubamba... mombasa kuna mtaa unaitwa dunga unuse, mtaa wa mbuz na kadhalika
wanachora bro gari kufanyiwa pimp itachukua hadi mwezi juu ni taratibu usikosee juu kurudia itakua noma tu sana
Nauli ukitaka una lipa ata kwa mpesa hahhahaha namiss nairobi
Karibu sana nairobery raha sana
Mob love from kenyaa
❤❤❤
Mimi nachinja kuku bro! Nichapie reaction!!!!!! Rrrrrrrrrreaction
wanachora hao ni magrafffiti masters na pia hizo gari huana wifi socket flat screen tv hd
ni kama uko kwa ndege
Ni kariako bro , kiriobangi ,kangemi pale nakotoka Mimi ,kaka twende mbele
Ni kuchora na spray paint
Noma, naona ushatoa reaction
Ha ha 🤣🤣
Nakubali mwana kwa Ku promote matwana huko bongo ,,
MCSK walikataza matatu kucheza local songs bila license ama watakula bonge la fine 😄
Ebu angazia mamba,,,the master mind
18:25 LOL, "kaa pale pumbavu".
Ha ha 🤣🤣
Wanachora bro hamna sticker hapo,tafuta jamaa anaitwa Moha Grafix utaona akichora kinyamwezi sana
Kila genre ya nyimbo ina wakati wake wakuchezwa😂... sio kila saa gengetone!
Ha ha ha🤣🤣
You love Kenya very much br you ,ve welcome
Van, gari bonge lenye ubabe hivi sasa Nairobi laitwa MAMBA
Ha ha poa nitaicheck hiyooo
Van Isikaka reaction zake ni za kinyama,Unyamwezi kupitilizia mzee endelea ivo morio
Am sure hujaona apo kwa first stop wamepita traffic police, the one in shouting green colour jacket 😂😂uku ni kenya
Kuna zenye zikona screens Hadi nyuma ya viti🔥🔥
Tafuta moha Graffiti....yeye ndo mkali wao nai
Nganya
Wakenya wanajiundia hizi matatu na wanafanya graffiti wenyewe...inaitwa talent my friend but we're happy soon hizi matatu hazitakua zaingia jiji😁
Safi saaana
Kariobangi code ya kwetu 14/28/26
Unyamaz mwingi haha
matatu pia sisi huita ma-three
Moha grafix ndio anaziprint 😁
Van isikaka.... What's popping
Bongo apana haha
matatu zina jina kibao bro kuna mat kuna nganya kuna manyanga majina kibao bro
Nyingi zimechorua
Moto sana✅✅😎😎
Rush hour magari huwa mingi hakuna kusimama kwenye basi mabasi Nairobi ni mingi sanaa
Pimping za hizi mabasi hufanya na jamaa anaitwa Moha
Tafuta jamaa anaitwa Moha Graffiti Kenya 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥ametisha sana
Nitamcheck jamaaa
Nauli to and from ranges between 50 and 70
true
Policia ,Big chief nganya
pesa unlipia gari likisha toka stegi,,,nganya pia iko na free wifi nani mwake,,hakuna kusimama kama imejaa unachukua ingine ,
Hapo kwa Kahawa Chungu, huyo msee alikupiga kiswahili 🤣🤣🤣
Hakuna mtaa Kanairo unaitwa hivoo. Yeyote anayekaa Nairobbery, anaweza niunga mkono🤣🤣🤣
Unalipa ukiwa ndani
Walipia ndani😹🇰🇪
kenya atutabui sticker .kuchora ndo kwenyewe💯
Bei ya ticket ni sawa tu na zengne
+254 on top 👍💪👆👌😱
*Kenya kama kenya unyamwezi mwingi*
Eastleigh namba 9 na 6 little mogadisho!!
Kuprint kak
MAMBA NI MOJAA 🐊🐊
Mastermind aka Mamba
Kuna zile zinachorwa na kuna zile zmepigwa spray
Alfajiri utapata sana ni gospel fulani hivi..... ama inspiration music...
Lakini mara nyingi italigana na mood ya dereva... na management.
Ticket iko available unalipa ukiwa ndani
Tulikuwa tukiziita many anga kitambo sana miaka elfu moja mia tisa tisini hivi.
Kio ukitaka unafungua
Vipi kaka??natumai uko salama.....enda ukacheki kitu linaitwa "nganya awards 2016.....utapata kujua mengi kuhusu matatu🔥
Wanachora, wanabandika, wanafanya chochote kile ili kile wanataka kikamilike na gari lionekane. Tiketi unalipa gari likianza kuondoka au mkiwa kwenye safari. Kuna yule anatembea kwanzia mbele hadi nyuma akichukua nauli na kuwaregeshea haki yao. Kwenye Matatu ndani kuna runinga kila mahali ili kila mtu apate picha au video. Kuna speaker kila mahali alafu zenyewe zina base kali sana, ikiwa unajua masikio yako sio mazuri basi tafuta mabasi ya serikali, yale yamezeeka au yale ya wadosi pia ukiwa na gari lako heri ulitumie kwa sababu kwenye Matatu kuna kelele na sio tafadhali. Ukipanda matatu na ukose nauli basi unaweza kushukishwa kwa njia. Kuna WiFi humo ndani, vitu ni vya ngozi, kuna feni, mengine yana fridge, VIP, kuna Cctv, kuna screen ya kuonesha mtu ni wapi umefika pia unapata kujua njia ikoje labda kuna msongamano. Ukiwa jijini unaweka simu yako vizuri kwa sababu kuna wezi nje na ni kama wamesomea kufungua dirisha na kunyakua simu au ata pesa kisha kutimua mbio kama Kipchoge Keino. Matatu yana raha fulani na watu wa umri mdogo ndio wanayapenda sana, kisha wale wa umri wa juu wanapenda yale mabasi refu ya serikali. Haya matatu yako kwenye Sacco tofauti, Sacco ni muungano fulani ambao umesimamia matafu fulani. Area code au kwa mfano Kayole, utapata wana Sacco zaidi ya moja. Kayole au Oyole kuna sacco inaitwa forward travellers, prime pia Rongai, Umoja, Pangani na maeneo mengine yana Sacco zake. Nimefurahi sana kuona hii video kwanza umesoma comment yangu. Kuna matatu mengi ya kutisha sana, alafu gari jipya likiingia kwa root lazima lifanyiwe sherehe kwa kuzunguka vijana wakiwa wamening'inia kando kama mbonga zikiwa kwa fuso zinapelekwa sokoni. Pia kuna viwanda ambavyo vinaunda haya matatu huku Nairobi, Mombasa, Nakuru, Kakamega, Kisumu na Eldoret lakini Nairobi ndio mambo yote kwa ubunifu. Area codes ambazo zina matatu kali ni Rongai, Kasarani, Buruburu, Juja, Kiambu, Dandora (hiphop city), Umoja, Komarock, Pipeline, Kitengela, Uhuru na maeneo mengine. Katikakati ya jiji, kila matatu na area code yake ina pale inastahili iwe kwa mfano sehemu ya matatu ya Karioko ni makosa kuegesha yale ya area code nyingine.
Umetishaa saana bro ,nitaitumia comment yako tena hiii
@@Vanisikaka Asante sana kaka, twambie Tz mambo yako vipi kwa upande wa matatu
@@Vanisikaka Tafuta video nyingi za matatu kisha uunde yako kali sana na pia kuna nyimbo kadha za kumpa mtu taswira ya Nairobi. Mfano wimbo wake Jua kali (karibu Nairobi), Ray c (kijana wa Nairobi), Jua kali (bidii yangu) na wengine wengi.
mamba ni moja
Niaje Kaka tufanyie analysis ya nyimbo Bado by KAKAZ047 all the way from 254. Unyamwezi mwingi i say.
Watch out the new kid in town (Boombox KDA ) this matt is lit💣💉🚃🎶 🚨.. No stickers, this is pure art ( artwork by Lithuim) body build by Isuzu,Free WiFi ,DJ on board. Travel in style 💎💎
Bus Kama elo hununuliwa Kama lory thn likabadilishwa so kununuliwa tu laeza cost 4m ksh na kupakizwa inaeza kucost eo 4m pia