Kuingiza mizigo kutoka nje? Tizama hapa kujua taratibu na kodi husika

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 2 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 75

  • @RaphaelJohn-qb7fo
    @RaphaelJohn-qb7fo 11 місяців тому +1

    Samahani ndugu kuna mzigo nimetumiwa kutoka London kwenye kampuni ya NAPAREX COURIER COMPANY unashukia East Africa unaweza ukaletwa hadi huku Tanzania msaada kwako ndugu

  • @islamaal-khuzeir2589
    @islamaal-khuzeir2589 4 роки тому +3

    Very well described

  • @islamaal-khuzeir2589
    @islamaal-khuzeir2589 4 роки тому +2

    Thankyou 👌🏽

  • @JamesYassin-b4n
    @JamesYassin-b4n 4 місяці тому

    How

  • @OtienoAdigo-jg8iw
    @OtienoAdigo-jg8iw Рік тому

    Okey if I buy thing with value of 1800000tsh from china how much sh will you charge as total value of tra?

  • @AgiripinaNisiphory
    @AgiripinaNisiphory 24 дні тому

    Mambo vipi hivi kwa mfano nimeenda Zanzibar nikanunua labda tv yakumia mimi moja na laptop moja nikapanda boti kurudi dar nikifika nalipia hiyo tv na laptop au

  • @MarianaGiraita-zn8un
    @MarianaGiraita-zn8un Рік тому

    Hongera kwa kz nzuri. Naomba kujua utaratibu wa kunioetea Laptop yangu niliisahau Rwanda nataka itumwe kwangu Tanzania Dar es salaam. Je nifanyeje? Ahsante

  • @YassinMohamed-g8c
    @YassinMohamed-g8c 5 місяців тому

    Naomba mnisaidie Nimepewa zawad ya simu Toka uingereza ili inifikie

  • @mahengeBenson
    @mahengeBenson 11 місяців тому

    Nmetumiwa parcel kutoka London kuja Tanzania na mzigo umetua Kenya na nmeabiwa nilipe nauli ,clerence, na permit number sasa naambiwa permit namba za mwaka zmeisha na znasubiriwa vp n kwer iyo

  • @fatmaseif3357
    @fatmaseif3357 2 роки тому +2

    Hizi kodi kodi nyingi zinaumiza kichwa. Mtu wa kawaida shughuli kujua.

  • @ShukuruSureyman
    @ShukuruSureyman Рік тому

    Mimi nimeagiziwa mzigo kutoka Canada na ufikia Kenya wamenambiya nilipie tiketi mpka Tanzania nikalipa , ushuru nikalipa mwisho wananiamby nilipie kibali cha kupokelea je ni sahihi?

  • @teddyleonard9237
    @teddyleonard9237 2 роки тому

    Kma umetumiwa nzawadi ya cmu Ili kupata mzigo wako prose's zipoje?

    • @techwho2116
      @techwho2116  2 роки тому

      Habari yako Teddy, tutaweka video hive karibuni juu ya jambo hili, usikae mbali

  • @jeniphayusto7048
    @jeniphayusto7048 3 роки тому +1

    Asante yan mm kuna tapeli anataka laki tatu na nusu na ni mzigo binafsi sio biashara ni zawad. Ya mikoba. Miwili tu nimewaachia

  • @esthermwaka6922
    @esthermwaka6922 Рік тому

    Na mbona wengne wanaitisha pesa ya security

  • @OtienoAdigo-jg8iw
    @OtienoAdigo-jg8iw Рік тому

    Is a walking machine some one is rewarding me tell me the total vat

  • @RamadhaniKibonge-y9e
    @RamadhaniKibonge-y9e Рік тому

    Nahitaji namba ya muhusika

  • @swahibuomary
    @swahibuomary Рік тому

    Mm kuna mtu anataka anitumie mzigo yupo senegal..mm nipo arusha ameniambie nitume..naomba mnisaidie napataje derivery address ..

  • @FrankAlphonse-e6z
    @FrankAlphonse-e6z Рік тому

    Kuna mzigo wangu upo Kenyatta airport lakini nimelipia air ticket na bado process haziishi kila process na ela yake ni iphone laptop na dollar kazaa lakin mpaka niupate bora nijichange ninunue tu

  • @CosmeticPetro
    @CosmeticPetro Рік тому

    Mimi nimetumiwa package na lafiki angu sas akakosea akatuma Kenya nikapigiwa sim na wakala wa kenya ananiambia nitumie nahuli na ushuru je ni kweli nastaili kutoka ushuru

  • @EdithGeorge-cb3eu
    @EdithGeorge-cb3eu 9 місяців тому

    Nahitaji kuagiza mtumba Nairobi,sijui utaratibu wa kuingiza mzigo mpakani

  • @thabityusuph2428
    @thabityusuph2428 2 роки тому +1

    nipe namba zako

    • @techwho2116
      @techwho2116  2 роки тому

      Shukraan sana Thabit! naomba wasiliana nasi kupitia message twitter : @techwho01 au instagram: tech who_. Shukraan Tena kwa kuelewa.

  • @ShukuruSureyman
    @ShukuruSureyman Рік тому

    So ni sahihi?

  • @reginacristopha7786
    @reginacristopha7786 2 роки тому

    Kwa mfano mtu kakuagizia mzigo kutoka njee kias tu kunichukua airport inaweza galim kias gan?

    • @techwho2116
      @techwho2116  2 роки тому

      Vipi hali Regina! shukraan sana kwa swali lako, tutatoa video hivi karibuni juu ya hilo swali lako. Shukraan

    • @msamgunda7684
      @msamgunda7684 2 роки тому

      Habar. Nina mzigo wangu nimenunua aliexpress. Umezuiliwa bandarin mpaka niulipie. Lakin sijui wap naweza kuulipia.jee,unaweza nifahamisha?

    • @techwho2116
      @techwho2116  2 роки тому

      Vipi hali Msa! salama! fuatilia kwa watt walokwambia ulipe, au wasiliana na TRA/ bandarini watakufahamisha haute zinazofuata.

  • @mariamcharumba1711
    @mariamcharumba1711 2 роки тому +1

    Naomba mnisaidi nimetumiwa zawadi toka Canada nikaambiwa nitume million nizawadi tu hiyo.

    • @techwho2116
      @techwho2116  2 роки тому

      Vipi hali Mariam. shukraan kwa kuuliza swali. Mimi nakushauri fuata hatua hizi;
      - Muulize mtu alietuma mzigo thamani yake ni ipi?
      - Muulize ametuma kupitia DHL au UPS au yoyote, ikisha akwambie malipo ya kusafirisha mzigo aliofanya
      - Baada ya hapo waulize hao watu waliokwambia ulipe Milioni, waambie unataka uone hesabu za hizo gharama.
      Kwa kawaida unachotakikana kulipa ni ushuru wa forodha, na gharama kidogo. Lakini Anza kufuatilia hayo hapo juu kwanza ikisha tutaendelea.
      Shukraan

  • @allyfarijalla6593
    @allyfarijalla6593 Рік тому

    Mimi ni mjasilia mali mdogo kuanzia million 2 had 3 je naweza kuagza mzigo njee ya nchii?

  • @Rasheed-j2t
    @Rasheed-j2t 3 місяці тому

    Je mizigo inadumu kwz muda gani

  • @jasminally2628
    @jasminally2628 2 роки тому

    Asante kaka na mimi nahitaji kuagiza mzigo wa biashara napataje MAWASILIANO ili niweze kuagiza bidhaa

    • @techwho2116
      @techwho2116  2 роки тому

      Vipi hali Jasmin! shukran san kwa swali lako. Lakini naomba ufafanue zaidi mawasiliano ya nani unahitaji. Shukraan

    • @jasminally2628
      @jasminally2628 2 роки тому +1

      Asante naomba wewe unipe utaratibu kama labda kuagiza mzigo China nafanya MAWASILIANO na agent ama nafanya MAWASILIANO na mtu wa nje? Kama ni agent naomba namna ya kumpata na MAWASILIANO pia

    • @techwho2116
      @techwho2116  2 роки тому

      Vipi hali Jasmin! shukraan sana kwa swali lako tutatoa video juu ya hili swala hivi karibuni. Shukraan

    • @tarafacion1996
      @tarafacion1996 2 роки тому +2

      tunangoja video

    • @techwho2116
      @techwho2116  2 роки тому +1

      Vipi hali Tara! video iki kwenye maandalizi na itatoka karibuni. Shukraan sana kwa kusubiri.

  • @RajabuQaasim-cr8cw
    @RajabuQaasim-cr8cw Рік тому

    Ni document gani Natalie kuwa nazo

  • @saidimgawe6548
    @saidimgawe6548 2 роки тому

    Hi

  • @reginacristopha7786
    @reginacristopha7786 2 роки тому +2

    Mim Kuna zawad ambayo nimzigo binafis imefika leo anadai nitume laki tatu na nusu ndio nipate mzigo wangu nimewaachia tu na ilitakikana nipokelee mkoan tabora Ila imefika dar napgiwa sim Kuna mzigo wangu Ila mpaka nitume laki tatu na nusu ndio niagiziwe unipate

    • @hqueen7599
      @hqueen7599 2 роки тому

      Hili tatizo kabisa

    • @techwho2116
      @techwho2116  2 роки тому

      Vipi hali Regina! pole sana kwa tatizo hilo. Tutatoa video hizi karibuni juu ya hili jambo! shukraan

  • @zaitunimohamed224
    @zaitunimohamed224 3 роки тому +1

    Habari na vipi mtu ukitoa mzgo wa biashara kutoka tanga kwenda zanzibar unalipia wapi

    • @techwho2116
      @techwho2116  2 роки тому

      Vipi hali Zaituni! shukraan sana kwa sali lako tutatoa video juu ya swell lako! shukraan

  • @rehemakweka1277
    @rehemakweka1277 2 роки тому

    Naomba kujuwa wanatoza sh ngapi kupokea kutoka nje

    • @techwho2116
      @techwho2116  2 роки тому

      Vipi hali Rehema! inategemea mambo mengi, wapi mzigo unatoka, aina ya mzigo, kiasi na pia kodi husika juu ya huo mzigo. Shukraan

  • @AbdalahShekiogha
    @AbdalahShekiogha Рік тому

    kuna jambo naitaji unisaidie

  • @salharajab7969
    @salharajab7969 2 роки тому

    Naomba nambaaa yako tafadhaly

    • @techwho2116
      @techwho2116  2 роки тому

      Vipi hali Salha! salama? naomba wasiliana nasi kupitia e-mail ama weka nambari yako ikishatutakutafuta. Shukraan

  • @NassirYahya-w1h
    @NassirYahya-w1h 10 місяців тому

    Naomba kuja huyu wakala nampata vp?

  • @emanuelzebedayo8495
    @emanuelzebedayo8495 2 роки тому

    Kuna mzigo unatoka Senegal unatumwa kama zawadi laptop 2 simu 2 na camera kodizake zipoje

    • @techwho2116
      @techwho2116  2 роки тому

      Vipi hali Emanuel! shukran sana kwa sali lako, kuna video tutatoa hifi karibuni kuhusiana na hili jambo. Shukraan

    • @issabakari1916
      @issabakari1916 Рік тому

      Email Nami ninailo tatzo vp umepata ufumbuzi

  • @janethlyamuya4189
    @janethlyamuya4189 2 роки тому

    Hellow

  • @mosestoyi2009
    @mosestoyi2009 2 роки тому

    Mimi naomba kuuliza mzigo kama zawdi kutoka Senegal ni bei gani

    • @techwho2116
      @techwho2116  2 роки тому

      Vipi hali Moses! shukraan kwa swali lako, hivi karibuni tutatoa video juu ya hili swali

  • @OtienoAdigo-jg8iw
    @OtienoAdigo-jg8iw Рік тому

    Sorry walking tractor

  • @husseinmtali8063
    @husseinmtali8063 2 роки тому

    kama mtu kakutumia zawadi

    • @techwho2116
      @techwho2116  2 роки тому

      Habari Hussein! shukran sana kwa sali lako na hifi karibuni tutaweka video inayo husiana na swali hilo. Shukraan

  • @officialhasboy
    @officialhasboy Рік тому

    Nipe namba zako