Jinsi Ya Kuagiza Bidhaa Alibaba (China) Hatua Kwa Hatua Kwa Simu (App)

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 7 вер 2024
  • Jiunge nasi katika kuchunguza hatua muhimu katika ununuzi wa bidhaa China kiusahihi hadi kukufikia nchini kwako.
    Gundua kila kitu unachohitaji kujua kuhusu kununua bidhaa kutoka China na kusafirisha kuja Tanzania. PDF yetu imeorodhesha makampuni, address zao, namba za simu, bei za usafiri na mengine mengi. Jipatie nakala yako hapa: tanzanitedigit...
    Karibu Tanzanite Digital ambapo, tujifunze namna tofauti tofauti za jinsi ya kujiingizia kipato mtandaoni kwa biashara mbalimbali. Ikiwa ungependa kujifunza zaidi. Subscribe na usikae mbali na channel yetu!
    Follow Platforms Zetu Nyingine:
    ✅ WhatsApp Channel: whatsapp.com/c...
    ✅ Instagram: / tanzanitedigital
    ✅ LinkedIn: / tanzanite-agency
    Enjoy!
    #fursa #mtandaoni #biashara #matangazo #jinsiyakufanikiwa #kazizamtandaoni freelancing #tipsforfreelancing #startfreelancing #howtobecomeafreelancerforbeginnersin2023 #howtobecomeafreelance #howtobecomeafreelancerforbeginners #alibaba #china #entreprenuer #aliexpress #jinsiyakununuachina #jinsiyakununuaalibaba #biasharachina #biasharayanguo #biasharayavyombo #silentocean

КОМЕНТАРІ • 83

  • @tanzanitedigital
    @tanzanitedigital  Місяць тому

    Gundua kila kitu unachohitaji kujua kuhusu kununua bidhaa kutoka China na kusafirisha kuja Tanzania. PDF yetu imeorodhesha makampuni, address zao, namba za simu, bei za usafiri na mengine mengi. Jipatie nakala yako hapa: tanzanitedigital.com/product/china-tanzania-complete-pdf/

  • @silvaredwin2720
    @silvaredwin2720 19 годин тому

    Umenipa mwanga sana aisee

  • @musictz1805
    @musictz1805 8 місяців тому +1

    Aiii nimependa kaka maelezo yako Kila sku nilikuwa najiuliza nitawezje ila umenisanuwa chukuwa maua yako kiroh safi 🌹🌹🌹🌹

  • @UGE.9i
    @UGE.9i 8 місяців тому +1

    To be honest nimekuelewa vzr sana Boss, 💯

  • @laurenttibursius2661
    @laurenttibursius2661 4 місяці тому +1

    Boss 💯 nmekuelewa

  • @francelwehela4059
    @francelwehela4059 6 місяців тому +1

    Ubarikiwe kaka

  • @user-pt6qr3ig2i
    @user-pt6qr3ig2i 5 місяців тому +1

    Big up sana Bro ❤..

  • @runiglobe_explores
    @runiglobe_explores 7 місяців тому

    Ahsante kwa video zenu kiukweli zinasaidia wengi nikiwa mmoja naomba niulize kama mtu anaweza kutumia wakala kwenye malipo

  • @user-tt3jh1mq5y
    @user-tt3jh1mq5y 4 місяці тому

    Makini sana, hongeren san

  • @salehekisebengo8554
    @salehekisebengo8554 3 місяці тому +3

    Nmeshiba maelezo yako kiongozi,but nikipata shida nitakutafta,samahani naomba mawasiliano ya direct ,i means no za cm

  • @AdamAyoub-wq7ku
    @AdamAyoub-wq7ku 7 місяців тому

    Kaka uko vizuri sana maelezo yame nyooka Umetuzindua maan watu tuna pigwa bei balaa kumbe kuagiza ni bei chee2 sante sana mung aku bariki kaka❣️💯✔️

  • @veronicakawimbe3817
    @veronicakawimbe3817 6 місяців тому

    Nimependa mafundisho yako unaeleweka❤

  • @user-gs5ov9qx7t
    @user-gs5ov9qx7t 5 місяців тому

    Mungu akubariki na akuzidishie ulipotoa

  • @CarolinaRobert-mx6nw
    @CarolinaRobert-mx6nw 7 місяців тому

    I really appreciate it ❤❤

  • @veronicavenance5842
    @veronicavenance5842 8 місяців тому

    youre the best

  • @ElikaeliasKapaya
    @ElikaeliasKapaya 23 дні тому +1

    Mbona kuna baadhi ya bidhaa ukibonyeza unakuta nauli kwa chin imeshaandikwa na unakuta ni kubwa saaana.naomba unisaidie inakuwaje hapo

  • @swahilitherapytv3846
    @swahilitherapytv3846 Місяць тому +1

    Kwani sisi watanzania hatuwezi kuuza bidhaa , alibaba.....???

  • @andrewmbwana6336
    @andrewmbwana6336 8 місяців тому

    Namba yako Kaka

  • @boniphacejeremiah5682
    @boniphacejeremiah5682 7 місяців тому +1

    Asante Bro
    But nilizani naweza tumia hata simu card kufanya malipo mfano Mpesa and so on. But thanks for time and appreciate👏

  • @njalamayala2211
    @njalamayala2211 7 місяців тому

    Asante Kwa SoMo zuri

  • @rosemkude4804
    @rosemkude4804 27 днів тому +1

    Naomba nipatie utofauti wa "suppliers" Na "manufacturers".... Yupi ni bora kati ya hawa wawili?

    • @tanzanitedigital
      @tanzanitedigital  27 днів тому

      natumia neno supplier kama muuzaj yoyote Alibaba, na manufacturer ni muuzaji ambaye anatengeneza hiyo bidhaa mwenyewe. (sio kila supplier ni manufacturer)

  • @angelmangi6138
    @angelmangi6138 3 місяці тому

    Chukua maua yako🤝

  • @dezzypaul1227
    @dezzypaul1227 23 дні тому

    Naomba kuuliza, kuna kumtumia bidhaa afu ana kwambia Purchase on platform ndo nn

  • @irenejerome111
    @irenejerome111 6 місяців тому +2

    Ahsante Kwa SoMo zuri.. naomba kujua kunawwza kuwa na account fake yaan matapeli Alibaba?... Maana Kuna account za supplier nyingne zimeandikwa verified na zingne hazijaandikwa verified.. naomba maelezo kidogo

    • @tanzanitedigital
      @tanzanitedigital  6 місяців тому

      swali zuri, nakuandalia video wiki hii kwa uelewa zaidi boss

  • @NicksonKihombo
    @NicksonKihombo 3 місяці тому +2

    naomba namba yk

  • @aggiebarton8315
    @aggiebarton8315 8 місяців тому

    Katika tutorial zote nilizo angalia. Aloo hii nimeelewa vizuri sana.
    ✡️✡️✡️✡️✡️ Nimekupa

  • @MtumwaHassan-tb7wr
    @MtumwaHassan-tb7wr 2 місяці тому +1

    Asnt san nimepend ulivyoelekeza but mm nipo n shida moj.all processure nafanikiwa lkn shida inakuj kunako payment malipo hayakamilik afu ela ipo y kutosh kwrny account.hii inakuaje

    • @tanzanitedigital
      @tanzanitedigital  2 місяці тому

      confirm na bank yako, kama kadi/account yako ina uwezo wa kulipia online.

    • @MtumwaHassan-tb7wr
      @MtumwaHassan-tb7wr 2 місяці тому

      Naomb usaidiz zaid tafadhali coz mm kil kit kinakua saw ila kitend cha kulip tuuu ndio haifanikiwi.really sielee shiada .naomb unisaidie

    • @MtumwaHassan-tb7wr
      @MtumwaHassan-tb7wr 2 місяці тому

      Ingekua kun uwez wa kutum pich ningekutumia uwo wap nakwama.if utojal naomb no yak y whatpp nikutumie

    • @tanzanitedigital
      @tanzanitedigital  2 місяці тому

      Wasiliana na bank yako tafadhari. Eidha wamekublock kununua Alibaba. Watakusaidia. Ni changamoto ya kawaida. Itakaa sawa.

  • @JimyDaud
    @JimyDaud 20 днів тому

    Sikuwa naamin kuagiza bidhaa via hio application ss naweza pia

  • @gasanatv4077
    @gasanatv4077 5 місяців тому +1

    Mimi bado wananitatiza unakuta amount iliyoamdikwa chini ya bidhaa inakuwa tofauti when you start to make ordw inaweza hata kuwa mara mbili ya Ile ya mwanzo harafu wanakupgia total with shipping cost inakuwa kuubwa shida ni nini hapo au nakosea wapi

  • @user-gn4yb2dh4j
    @user-gn4yb2dh4j 5 місяців тому +1

    Kwasisi wa mikoani vp mzigo unafika Hadi nilipo au ndo nitafuata katika office zao

  • @NzengoPeter
    @NzengoPeter 5 місяців тому

    Bdo ujafafanua vzr anza step by step

  • @aloisngulo436
    @aloisngulo436 Місяць тому +1

    Naomba namba bwana mkubwa

  • @user-bl3un9gt2v
    @user-bl3un9gt2v 8 місяців тому +1

    Samahan tuelekeze jinsi ya kupata makampuni ya usafirishaj hasa ya ndege apo ndo pagumu sana msaada

  • @SamwelMisungwi
    @SamwelMisungwi 24 дні тому

    Nahitaji unisaidie jinsi ya kuagizia vitu Amazon kk

  • @tanzanitedigital
    @tanzanitedigital  8 місяців тому +2

    Bei Za Kusafirisha Bidhaa Kutoka China Hadi Tanzania 👉🏼👉🏼ua-cam.com/video/V-9AbEURPZA/v-deo.html
    Siku Ngapi Mzigo Unakufikia Kutoka Alibaba (China) 👉🏼👉🏼 ua-cam.com/video/DrYVhHdqtnc/v-deo.html

  • @gsmtz5808
    @gsmtz5808 6 місяців тому +1

    Kaka habar vipi utaweza kupata agent. address

  • @StephanoShambogo
    @StephanoShambogo 3 місяці тому +1

    Vp natak nifany manunuz na sina agent ntapataj agent

  • @ndamo2653
    @ndamo2653 Місяць тому +1

    Braza tuachie namba yako ya simu

  • @suleimansherou7315
    @suleimansherou7315 20 днів тому

    kaka mbona cost ya kusafirisha ni kubwa sana hapa au nivile mi sijaelewa?
    naona me nimehitaji kusafirisha naona shipping cost ni 257k

  • @user-sh8nr3gw1c
    @user-sh8nr3gw1c 2 місяці тому

    Mkuu me nahitaj msaada zaidi jinsi ya kupokea mzigo ukifika dar kwa wale tulioko mikoan

  • @jovingeniuss1711
    @jovingeniuss1711 7 місяців тому

    🧠🙏🏼

  • @christasyliviajosephat2003
    @christasyliviajosephat2003 7 місяців тому

    Naomba process za malipo au unatakiwa kuwa na visa au uwe na nn haswa ili kukamilisha malipo

  • @zuhuraommary-ld2dn
    @zuhuraommary-ld2dn 21 день тому +1

    Naomba namba yako kaka

  • @user-wo4xi9qr9p
    @user-wo4xi9qr9p 7 місяців тому

    Vipi kuhusu ukitaka kuchagua company ya kitu unacho kitaka sana san mwenye spare

  • @berthagama3787
    @berthagama3787 28 днів тому +1

    Bank gani kwa Tanzania zinakubali?

  • @Mgutehekima.
    @Mgutehekima. 8 місяців тому

    Vipi quality ya computer ukiagiza china?

  • @qamalimisanya39
    @qamalimisanya39 3 місяці тому

    Kaka Naomba hiyo address ya kampuni

  • @aloisngulo436
    @aloisngulo436 Місяць тому

    Naomba namba mkuu

  • @irenejerome111
    @irenejerome111 6 місяців тому

    Hello my frnd.. nafanyaje kuweka card yangu kuweza kupay paypal

  • @majidsalum1141
    @majidsalum1141 2 місяці тому

    Kaka naomb namba yako ya whsp

  • @yustakipenya6231
    @yustakipenya6231 8 місяців тому

    Kwanini nimechelewa kuifaham hii

  • @AhmedKhalid-vr2bh
    @AhmedKhalid-vr2bh 4 місяці тому +2

    brother umeagiza pikipiki kupitia njia ya meli umetumia ajent kuna ushuru labda utatoa mzigo ukifika

    • @Jaykifurushi
      @Jaykifurushi 2 місяці тому

      Kupitia ndege huwez ukaagiza pik pik😂😂

  • @user-ld6bq4sb6b
    @user-ld6bq4sb6b 7 місяців тому

    swal lang n ,agent akshafika inchin mzgo anakufkishia mahal unapokua(mf.mkoa nje ya dar)!?au mteja ndo inabd afate kwa ofs zao may be!. maelekezo tafadhar

  • @aloisngulo436
    @aloisngulo436 Місяць тому

    Naomba namba

  • @user-gq5wt1dk8u
    @user-gq5wt1dk8u 7 місяців тому

    Kaka naomba namba yako

  • @hunchotv2011
    @hunchotv2011 6 місяців тому

    naweza pata namba yako bro

  • @mazikumathew8873
    @mazikumathew8873 4 місяці тому

    Huo mzigo ulishaulipia unauchukulia daressalam au hata mikoano unafikishwa maana Mimi Niko mkoani shinyanga nisaidie

    • @LindaSalumu-yw9hq
      @LindaSalumu-yw9hq 4 місяці тому

      Ukiagia unalipia cargo yako uliotumia then utatumiwa mkoani then unalipia kwa gar ulotumia kusafirisha

  • @motivationinlife345
    @motivationinlife345 8 місяців тому +1

    🫡🫡🫡

  • @agnessmadale6498
    @agnessmadale6498 Місяць тому +1

    Naomba namba yako kaka