NGUVU NA UWEZA WA MUNGU KWENYE MAISHA YAKO - PASTOR SUNBELLA KYANDO
Вставка
- Опубліковано 8 вер 2024
- Shetani anapoamua kumshambulia mtu anakua amehakikisha lazima huyo mtu awe "mfalme" kwenye eneo fulani.
Adui akikuangalia rohoni anajua wewe ni nani na unakoelekea.Akikuangalia anaona nyota na anajua baada ya miaka kadhaa utakuwa FULANI, atahakikisha kuna zinaanza kuja kwako, na hizo roho hazitakuja kwa namna ya kukutisha. ( Bahali aliingia Israel kama "mke")Yezebeli alibeba roho ya bahali kutoka Sidon akaingia nayo Israel, mfalme alipomwangalia Yezebeli aliona "mke".
Watu wote ambao Mungu amewapa vitu vikubwa ndo watu ambao wanavamiwa sana.Wewe ni mfalme kwenye "engo" uliyoitiwa lakini kila mara ufalme wako unaharibiwa.Sidon ilitengenezwa kushughulika na "wafalme" haikutengenezwa kudeal na watu wa kawaida, kuna vitu Mungu amevuachia kwenye maisha yako, UNAVIJUA lakini HUVIONI.
#PastorSunbella#Nguvu#Uliyonayo
Jaman sijui nifanyje ili tu,niweze kuonana na BABA Sanbella kyando.kila nikijarbu at kuomba no.sipewi.aisee! YESU nisaidieee 🙌🙌one day wakat wa BWANA nitakuona.barikiwa Sana🙏🙏🙏
Nimebarikiwa Sana Asante pastol sanbell unazaidia wengi Mana wengi tumefungwa ila hatujui Asante kwa kutufundisha roho mtakatifu awe nawe daima
Amen barikiwa Sana pastor Sanbella kyando🙏🙏🙏🙏🙏
Amin amin pastor 🙏🙏🙏🙏
Pastor nilituma maombi kwako yakwamba nipate nyumbani ya biashara nanikapata sasa pastor stima pekee yake imekwamisha kufungua Hilo duka, niombee njia zifunguke mtumishi WA mungu,
Amen !! A'm blessed
Napenda mafundisho yako pastor..Utukufu kwa Yesu,Amen
God bless us
Namkubari sana sanmbella
Amen
Thanks Jesus..
Amen mtumushi barikiwa sana
The real power of God is in you pastor
Amen , thanks God for your servant 👏👏👏🙏🙏🙏
MUNGU AKUBARIKI SANA MTUMISHI,UWE NA UHERI
Amen mtumishi wa mungu mungu wako atufungue tukuwe huru kabisa maana vifungo ni mingi
Mcungaji mwenyezi mungu awabariki asante sana tumebarikiwa na neno ra mungu yesu azidi kuwapakaa mfuta loho mtakatifu awe nanyi 🙏
Amina 🙏 hili somo pastor umefunika nimebalikiwa sanaaa Hadi nacheka mwenyewe
ASANTE YESU kwa kunipenda zaidi ya upendo Amein
YESU AHSANTE
Deep revaltion...
GOD IS in this place
Be blessed man of God
Be blessed God's servant
Amen hallelujah
Thankx man of God
Ameni
Mtumishi Bwana Yesu asifiwe,ushauri,kama una tumia kiswahili iwe kiswahili.tusaidie na sisi wa standard 7
Asante yesu
Kila ninapoendelea kufatlia mahubir na kusikilza.ndipo moyo ❤️ wangu unataman.sana .nionane na pastor..yako mengi tu.nataman kusher n pastor..coz vifungo n vingi shetan.anateseka kwel watu wa MUNGU.... barikiwa.piya kupitia mafundisho napiga atua moja zaidi.Asante🙏🙏🙏
Yesu usinipite, nitoe kwenye vifungo mimi na familia yangu kwa neema yako Yesu
Ameen
Amina
Hili kanisa linapatikana sehemu gani??
Mafuta sorrl.
Amen
Amen