Dah nikifikiria jinsi mwili unavyofanyiwa uchunguzi 🤔 aisee ni zaidi ya maumivu kwa marehem, ndugu bora mushukuru tu chukueni ndugu mkamstiri haki ataitoa Mungu ndo mwenye kuona ya sirini
Haya mambo zanzibar yapo sana tu kunawatu wameuliwa na hakuna hatuwa yoyote ilochukuliwa kama kafa panya tu hii zanzibar inatisha kwa uhalifu na zaidi wanaofanya hayo ndohaohao wanaojiona wana madaraka
Hii ni michongo ya kuuza viungo vya binadam. Kwa kuuza figo moyo nk. Ndiomaa hawataki kuonyesha mwili wake. Washampasua tumbo na kutoa kila kitu. Watu washapewa mamilion yao..
Poleni sana kwa kuondokewa .kama ingekua anatabia hio ripoti japo moja au zaidi ingekuepo kituo cha polisi bila ya kuepo haiaminiki ila wachunguze zaidi .hata hivo haipendezi mtu kuchuku hatua mkononi mwake kumzuru wela kumuua raia
Hii ndo shida ya mpumbavu kumpa fimbo, vikosi vya SMZ havina nidhamu.Ushauri wngu Kwa serekali kwenye kuajir wajitahid kuwaajiri watu waliosoma sio kuchukua watu maskani,Elimu inamzuia mtu kufanya upuuzi. Jengine naweza kusema ulevi Zanzibar umekua mama wa maasi, mungu kaharamisha nyinyi mumehalalisha, then munajipa sifa ya uislaam, ipo siku Utajuta Kwa nn ulizaliwa.
@@staanstaan8722Hao viongozi wenyewe nao hupigwa, wakati ukifika nao hupigwa barabara haswa, wakafichwa kusikojulikana, muulize Jusa na Mazrui, na Duni wana majibu. Tena wawe na ubavu gani kuzuiya maovu ya kauli mbiu yajayo yametimia.
Siku chache tu kule Arusha kwenye kikao cha Tume ya Raisi ya uchunguzi wa mambo ya haki jinai, Zanzibar na vikosi vyake ilitajwa. Matukio mabaya ya watu kutekwa na kupigwa yamekithiri. Tukimbilie wapi!? Serikali hii ya watu isimame imara kutulinda. Mungu atusaidie.
Kwani Rais kawatuma hao askali vituvingine mtukabla hujafungua mdomo unatakiwa utumie kichwa kifikilia kwanza maana huu niujinga unao zungumza kwani kipindi cha Marais wakiume watu hawajauwawa au ukichaguliwa wewe uwe Rais watu hawatauwawa???
@@lakasid3860 wewe wakaa wapi au mwisho wa reli ? Njoo uone kariakoo,,,ilala na miji mengine magorofa yanavo mwagika. Kipindi cha magu kaua kila kitu mpaka leo nchi haijakaa sawa. Yeye tunaona ndege na barabara za juu tu. Ndege atapanda muuza nyanya ? Xi bora nchi ikijengeka atabeba japo zege mambo yaendelee. Magu alikuwa na vita na wafanya biashara tu bc.
Wanalaana hao Askar wameshazowea kuuwa kwahio dam inawachemka laanatu llahi
Dah yani imeniuma kama kaka yangu namjua vizur said shine mungu akuifazi maharishi pema ishallah
Askari wa Zanzibar wanapenda sana kuua washasnza mazoezi ya uchaguzi ujao 25
Inallillhi wainaillhi rojouni saidi shineni 😢
Dah nikifikiria jinsi mwili unavyofanyiwa uchunguzi 🤔 aisee ni zaidi ya maumivu kwa marehem, ndugu bora mushukuru tu chukueni ndugu mkamstiri haki ataitoa Mungu ndo mwenye kuona ya sirini
Unafanywaje?
@@Official83640 huwa wanapaupasua ili kuona vitu vya ndani wanakata na fuvu la kichwa kwa msumeno ule mdogo
SubhanaAllah@@CalmGlassRose-oy3qv
@@CalmGlassRose-oy3qvsubhanaallah bora wakachukua t nakumzika jmn
@@busnaoman9981 yaan ni simanzi kwakweli
Namshukuru ALLAH xkupata kazi za kishenzi hakika kumuuwa muumini mmojani xawa kuuwa watu wote mtihani
Inaalillaahi wainaailayhi raajiuun mungu amlaze mahala pema peponi amin
Haya mambo zanzibar yapo sana tu kunawatu wameuliwa na hakuna hatuwa yoyote ilochukuliwa kama kafa panya tu hii zanzibar inatisha kwa uhalifu na zaidi wanaofanya hayo ndohaohao wanaojiona wana madaraka
Tz hakuna haki si bara wara Zanzibar ni shida tu
Kwel kabisaa ila Allah yupo tumshitakie yeye peke yakee ndo mfalme wa wafalme .
Ni kwwli
Hii ni michongo ya kuuza viungo vya binadam. Kwa kuuza figo moyo nk. Ndiomaa hawataki kuonyesha mwili wake. Washampasua tumbo na kutoa kila kitu. Watu washapewa mamilion yao..
Zambi kubwa 3.Allah amsamehi mja wake.1.SHIRKI 2.KUUA 3.ZINAA.TUWE NA HOFU YA MUNGU DUNIA TUNAPITA.
Hao asikari huwa wanataka sifa hata mimi walitaka kuniuwa heti niwe mfano kwa wengine wakaamua kunivunjia simu yangu na kuitupa
Pole
Duuu!! Pole sana dear
Poleni sana kwa kuondokewa .kama ingekua anatabia hio ripoti japo moja au zaidi ingekuepo kituo cha polisi bila ya kuepo haiaminiki ila wachunguze zaidi .hata hivo haipendezi mtu kuchuku hatua mkononi mwake kumzuru wela kumuua raia
Hii ndo shida ya mpumbavu kumpa fimbo, vikosi vya SMZ havina nidhamu.Ushauri wngu Kwa serekali kwenye kuajir wajitahid kuwaajiri watu waliosoma sio kuchukua watu maskani,Elimu inamzuia mtu kufanya upuuzi. Jengine naweza kusema ulevi Zanzibar umekua mama wa maasi, mungu kaharamisha nyinyi mumehalalisha, then munajipa sifa ya uislaam, ipo siku Utajuta Kwa nn ulizaliwa.
Askari wa smz ndo wanaongoza kwa kuuwa then wanakundwa ila M/mungu hawalindi madhwalim IPO sku Moja watajuwa
Allah hakeem 🙏
Hawa watu wanadhani wana haki ya kutoa Roho za watu.
Hiyo ndio kazi za vikosi vyetu kazi iendelee hata bado kampeni bado mambo yameanza mapema ikifika uchaguzi je kumenuka
Mtihan
2025 tuta ona mengi zaidi vifo vitakua vingi zaidi 😢😢
Hiyo ndio serikali ya kidhalimu wangapi wanauwawa kituo cha polisi na wanajeshi wanachukua sheria mikononi mwao na serikali iko kimnya
Acha upuuzoi sio pahala pale hapa kwanini kila mara serikali ya kidhalimu viongoz wenu hawamo humo?
@@staanstaan8722Hao viongozi wenyewe nao hupigwa, wakati ukifika nao hupigwa barabara haswa, wakafichwa kusikojulikana, muulize Jusa na Mazrui, na Duni wana majibu.
Tena wawe na ubavu gani kuzuiya maovu ya kauli mbiu yajayo yametimia.
Sawa tuseme kaiba police ndo wamuuwe inamana police hao vikos wanawafundisja nn raiya .haya hatakama kalewa sindikabisa unampiga mlevi mm usjauri wangu aloporwa mkoba atafutwe aje hazaran akiri.akipangwa mtu sisi tutamsubiri kwa ALLAH. unyama
Elimu Ni muhimu sana ,umeskia jku unasema polisi
Poleni sana
Alllah mpe kauli thabit said shineni
Duuuu masikini dunia kunavifu bingine unasabsbisha niwatu
Smz dhulma kwenda mbele
Lazima tufahamu kuwa hii ni serikali ya wakwezi na wakulima
Mhhh😢
Hio kwanza Ni Coronas Court
Subhaanallllah
Hao ndo askar wetu wa smz kupiga ni fahar kwao na ndo kipao mbele chao.polen wafiwa allah akupeni subra.
na hao walofanya hivo watakua washafurahi roho zao.
Innalillah
Siku chache tu kule Arusha kwenye kikao cha Tume ya Raisi ya uchunguzi wa mambo ya haki jinai, Zanzibar na vikosi vyake ilitajwa. Matukio mabaya ya watu kutekwa na kupigwa yamekithiri. Tukimbilie wapi!? Serikali hii ya watu isimame imara kutulinda. Mungu atusaidie.
Saidi Kuna kijana wa bububu kigamboni ameuliwa bububu skuli juzi ijumaa ugomvi wa vijna
Jaman nnani alieuliwa huko kigambon nambie Mimi nipo mbali ya Tanzania kwangu hapo kigambon
Kigamboni ukimaliza daraja kwa bamgana mwanawe anaitwa rama
Inalilah wainailahirajun
Mwisho wa siku utaambiwa kifo cha kawaida tuu
Kwa utawala wa samia mtaonewa sana
Kwani samia ndiyo kawatuma waiwe hao wanaousika na kifo cha huyomtu. Acheni chuki
mbona wanaomfaham wanasema kweli ni mwizi
Wacha uhuni wewe sasa samia anahusika na nini hapo
Kwa iyo ndo adhabu yake kifo au hebu tueleze tufaham labda hatujui
@@user-bl3rp5tk5fSasa kama ni mwizi ndo anastahili kuuwawa?
Kafa akiwa amelewa jaman kuna kifo
Mtihani kifo ni ulevi na yeye kalewahaliilikuaje. Mtihani
😢jamani
C walikuwepo private security wamewaondoa wakaona bora waweke Vikosi ili wauwe
Wamezoea wavuta bangi wanaonea watu
Innalillaih wainnaillaih rajiuun😭😭😭😭😭
Hao ni kawaida tu kwao kuua na wao ndio watapewa haki,kwani mlevi anauliwa? hao viongozi wengi si wanalewa mbona hawauliwi?
Unatumalizia bando halafu hatulipi acheni
Wauaji ao
💔💔💔🤲😭
Nchi ngumu hii
Mkiambiwa mwanamke hafai kuongoza muwe mnaelewa punguzeni kujipendekeza kwa samia
Kwani raisi wa Zanziba ni mwanamke?
Kwani Rais kawatuma hao askali vituvingine mtukabla hujafungua mdomo unatakiwa utumie kichwa kifikilia kwanza maana huu niujinga unao zungumza kwani kipindi cha Marais wakiume watu hawajauwawa au ukichaguliwa wewe uwe Rais watu hawatauwawa???
Anachuki tu na Samia. Samia anaijenga Tanganyika ni hatariii hana baya mama.
@@awadhsalim2680Tanganyika anajenga nn?
@@lakasid3860 wewe wakaa wapi au mwisho wa reli ?
Njoo uone kariakoo,,,ilala na miji mengine magorofa yanavo mwagika. Kipindi cha magu kaua kila kitu mpaka leo nchi haijakaa sawa. Yeye tunaona ndege na barabara za juu tu. Ndege atapanda muuza nyanya ? Xi bora nchi ikijengeka atabeba japo zege mambo yaendelee. Magu alikuwa na vita na wafanya biashara tu bc.
Smz