Kuna nyakati unaweza kupita kama huna mtu sahihi wa kuongea nae haki unaweza kufanya maamuzi ya ajabu. Huyu kaka alifika mwisho wa akili yake ya kawaida ni nadra sana kumuona mwanaume analia hivyo mbele za watu.Uchungu aliobeba ni mzito.Mwenyez Mungu tujalie kila mwenye changamoto iliyomzidi uwezo amuonyeshe neema na njia ya kupita iliyo sahihi.Haya maisha yana mambo mengi sana😢Nyumba amejenga zaidi ya miaka 19 inavunjwa kimakosa na watu hawana habar aiseee😢😢😢
Hongera sana Mheshimiwa kwa kufanya kazi zako kwa moyo wako wote, kutumia taalama, na kwa kufuata haki. Umejaliwa usikivu, na hiyo inakusaidia sana. Kila la kheri 🙏🏽
Mdogo wangu Silaa Mungu akubariki kwa upendo wako mimi nilizurumiwa eneo langu la biashara Mikumi na mama mmoja wa kichaga na nilimshinda kesi Mahakama ya Rufaa Kilosa kwa pesa yake nikanyinwa haki yangu😭
Yaani mama Sania Rais wetu mpendwa hakika Mungu akubariki, akusamehe mapungufu yote kama mwanadamu akulinde uendelee.kutuongoza mama. Kama kuna faraja umetupatia ni outuletea kijana mh. Waziri Silaa waziri wa Ardhi na makazi. Kijana msomi, mnyenyekevu, muungwana mwenye hofu ya Mungu.na nchi pia. Barikiwa mama tunakupenda, Barikiwa Silaa tunawaombea. Endele3ni iuwatetea watanzania.
Duh paka machozi yanitoka 😭😭😭 ya Allah tuhurumie waja wako hasa ss wanyonge na atujalie kupata tutakacho weza kunitumia kwa njia ya haki sio chakudhumu watu wasio na atia
Waziri hongera na mungu akubariki,,, Naomba uje na kwetu kibaha,,,kata ya kidimu, Tumezuiwa kujenga ili kupisha ujenzi wa bara bara nane,,miaka Sasa imepita,,Hadi tuna zeeka,Kila siku tunapigwa tarehe tuu ya kulipwa pesa zetu za fidia,, Baba tunaomba uje kibaha jamani,,
Nyie nimejikuta nalia jmn 😢bduuh hii Dunia mwenyezi Mungu atusaidie aki pole kaka etu baba etu alifariki 2003 akatuacha na mama pekee ndugu zake wakachukua Kila kitu mashamba alikua na maboti wakachukua ila adi sai Mwenyezi Mungu kamsaidia mama angu adi kutufikisha apa azid kumpa maisha marefu mama angu mzazi 🤲🙏 amen 🙏
MAMA etu SAMIA Hawa ndo mawaziri wakuwakumbatia na watakao kuvusha. Achana na mawaziri wale wenye swager nyiingi mdomoni lkn hawana uchungu na mateso wanayo pitia wa TZ
Mwenye kujua njia ya kumpata muheshimiwa naomba connection yake please sababu hata sisi na familia yetu tumezurumiwa vya kutosha na tunatamani tupate haki zetu
Hata ningekuwa mm slaa ningelia,,ni machozi flani hivi yanakutoka baada kugundua ulifanya jambo lililobadilisha maisha ya mtu bila ww kujua,,,hotuba imeleta tumaini
Mkuu, habari tunachangamoto ya mgogoro wa ardhi nyumba zetu zinavunjwa bila utaratibu elekezi tunamuomba mheshimiwa silaa namba zake nasisi tutoe kero zetu, matatizo ni mengi sana yanatuandama wananchi
Hii ndiyoo tanzania ya sasa mwenye pesa anakuwa na mamlaka ya kufanya lolote lakini Kuna baaziya viongozi wachache wanajaribu lakini mmmm itakuwa ngumu sana coz wapo wachache kuokoawanyonge
Ccm hutengeneza tatizo halafu waje walitatue kupata kick. Hili eneo kesi imechukua miaka zaidi ya 30 je serikali ilishindwa kutumia busara. Kwa tulioona hili eneo kiukweli inauma sana
Masuala ya Ardhi kuchukua miaka si ajabu. Lakini usisema tatizo limetengenezwa litatuliwe! Mheshimiwa Waziri anafanya kazi zake kwa moyo na haki. Acha kumtuhumu kwani hujui ufanyaji wake wa kazi. Jiongeze zaidi.
Huna akili wewe mpumbavu, kila kitu ccm, huyu jamaa ni kijana na muadilifu hana njaa na hatokei kwenye njaa na kwao yeye peke yake ndio mwanasiasa, malezi na maadili mema na hofu ya Mungu ndio humpelekea kuwa hivi, ila hata makonda nae si kijana? Na kazi yake si inaonekana? Tuliwaamini wazee ndio walitufikisha hapo na wala si maswala ya chama.
Mheshimiwa kuna Eneo la Kimele kule Bagamoyo karibu na Shule ya BAOBAB kuna ukatili watu wanadhurumiwa viwanja na pesa na watu wanaojiita Kamati ya Ugawaji wanauza viwanja mara tatu,nne mpaka hata mara saba msaada wako Mheshiwiwa.
Hivi jamani saa zingine muww mnaangalia kama hivi ninavopambana hivi jasho linatoka mpaka linauka tena linatoka yani kiufupi ni mateso afu leo mtu aje anivunjie
Kuna nyakati unaweza kupita kama huna mtu sahihi wa kuongea nae haki unaweza kufanya maamuzi ya ajabu. Huyu kaka alifika mwisho wa akili yake ya kawaida ni nadra sana kumuona mwanaume analia hivyo mbele za watu.Uchungu aliobeba ni mzito.Mwenyez Mungu tujalie kila mwenye changamoto iliyomzidi uwezo amuonyeshe neema na njia ya kupita iliyo sahihi.Haya maisha yana mambo mengi sana😢Nyumba amejenga zaidi ya miaka 19 inavunjwa kimakosa na watu hawana habar aiseee😢😢😢
Mungu akuepushie hayo mawazo mabaya aisee na wote waliokosa majibu na utatuzi wa matatizo yao😢
Utendaji kazi wa Mh. Jerry na Rc Makonda, naomba watumishi muige,, tuache kujijali wenyewe kwa mamlaka tuliyopewa, kuna kifo na hukumu, tusisahau.
Hongera sana Mheshimiwa kwa kufanya kazi zako kwa moyo wako wote, kutumia taalama, na kwa kufuata haki. Umejaliwa usikivu, na hiyo inakusaidia sana. Kila la kheri 🙏🏽
Aisee kwakweli nimelia
Makonda na huyu mkuu silaa mungu awasimamie katika maisha yenu.
Duuuh huyu waziri mbona naona huruma😢😢😢😢😢 Mungu Baba wa Mbinguni Akutunze MHESHIMIWA❤❤❤❤
Kazi nzurii mhesimiwa👏👏
Mdogo wangu Silaa Mungu akubariki kwa upendo wako mimi nilizurumiwa eneo langu la biashara Mikumi na mama mmoja wa kichaga na nilimshinda kesi Mahakama ya Rufaa Kilosa kwa pesa yake nikanyinwa haki yangu😭
Mutafute makonda kaka atakusaidiy
Muheshimiwa M/MUNGU akulinde sana na aendelee kukupa hekima uliyonayo kazi njema
Yaani mama Sania Rais wetu mpendwa hakika Mungu akubariki, akusamehe mapungufu yote kama mwanadamu akulinde uendelee.kutuongoza mama. Kama kuna faraja umetupatia ni outuletea kijana mh. Waziri Silaa waziri wa Ardhi na makazi. Kijana msomi, mnyenyekevu, muungwana mwenye hofu ya Mungu.na nchi pia. Barikiwa mama tunakupenda, Barikiwa Silaa tunawaombea. Endele3ni iuwatetea watanzania.
Hongera Sana jerr silaa tunakupenda mno Mungu akutunze
Duh paka machozi yanitoka 😭😭😭 ya Allah tuhurumie waja wako hasa ss wanyonge na atujalie kupata tutakacho weza kunitumia kwa njia ya haki sio chakudhumu watu wasio na atia
Feel his pain 💔 😢👏 pole sana kaka
Waziri hongera na mungu akubariki,,,
Naomba uje na kwetu kibaha,,,kata ya kidimu,
Tumezuiwa kujenga ili kupisha ujenzi wa bara bara nane,,miaka Sasa imepita,,Hadi tuna zeeka,Kila siku tunapigwa tarehe tuu ya kulipwa pesa zetu za fidia,,
Baba tunaomba uje kibaha jamani,,
Jerry kaletwa Na Mungu tuendelee kumuomba jamani pole Sana mwanangu kwa kweli umeumia
I love this man
Asee imeniumaaaa Sanaa nimeliaaa ma mm 😢😢😢 huyu jamaa namfaham anauza cheni pale stendi
Nyie nimejikuta nalia jmn 😢bduuh hii Dunia mwenyezi Mungu atusaidie aki pole kaka etu baba etu alifariki 2003 akatuacha na mama pekee ndugu zake wakachukua Kila kitu mashamba alikua na maboti wakachukua ila adi sai Mwenyezi Mungu kamsaidia mama angu adi kutufikisha apa azid kumpa maisha marefu mama angu mzazi 🤲🙏 amen 🙏
Allah akubarik muheshimiwa na akulinde na kila hatua unayo piga amiin
Nakombea waziri Stra mungu akulinde baba uishi myaka mingi usizeke akaraka ufanyekazi apaduniani ❤❤❤❤ from Capetown South Africa
Mungu akulinde mh Jerry
JERRY SLAA NI KIONGOZI MZURI MUNGU AMPE NAFASI KUBWA ZAIDI KATIKA NCHI YETU
Hongera sillaa❤❤❤❤❤
Dah jamaa kanifanya mpaka na mm nalia
Huku Zanzibar hakuna viongozi kama Hawa why kwel zenji si nchi zuluma tupu huku #
Wallah tunaumizwa sana ktk hili
Makonda kuja Arusha tunashukuru jer slaa pia Mungu akulinde tunanyanyasika
MAMA etu SAMIA Hawa ndo mawaziri wakuwakumbatia na watakao kuvusha. Achana na mawaziri wale wenye swager nyiingi mdomoni lkn hawana uchungu na mateso wanayo pitia wa TZ
MUNGU akutunze Mh.waziri.Tunakuombea
Huo ndio uongozi sio ule wa kukaa kwenye viti ofisini
Mwenye kujua njia ya kumpata muheshimiwa naomba connection yake please sababu hata sisi na familia yetu tumezurumiwa vya kutosha na tunatamani tupate haki zetu
Pole sana kaka...Arusha Kuna maumivu sana...mh.waziri Rudi umalizie kiporo Cha clinic. KUMBUKA ulituahidi...tuna maumivu makubwa sana
Kaka Allah akulinde n wakuache ktk kitengo hicho hicho. Naimba serikali kwahlo. Insha'Allah
Nimelia jaman.. Dah katika yote Mungu yupo
Mungu akubari sana kaka
Pole kaka Mwenyezi Mungu yupo nawe.
Pole Sana
❤ mwenyezi mungu akulinde silaha
daaah mwanaume mpka alie ameumiaa kwel mwenyew mpka nimelia daaah pole sana broo na mweshimiw hii ndio talantaa umepew na Mungj na Mungu akutetee piah
Hii Safyy MuheshmiW 🔥🔥🔥👏👏
Mitaaa ya kibaha (kidimu) piaa wananchi wanateseka na masuala ya Ardhi
Goog wazire hakee huyo bro amitowa machozia apatea hakee yake naww wazire mungu takulipa
Hata ningekuwa mm slaa ningelia,,ni machozi flani hivi yanakutoka baada kugundua ulifanya jambo lililobadilisha maisha ya mtu bila ww kujua,,,hotuba imeleta tumaini
Mh silaa nafanya kazi nje,ma sanaa ameokoa uhai wa kijana
Jamani 😢😢😢😢😢😢😢 uwiiiii nakufa kwa uchungu nilivyo hapa nataabika kutfuta pesa nimalize nyumba yangu alafu nizulumiwe jamani inauma sana
Pole sana brother..
Kazi nzurii mheshimiwa wazir
Ooh lord, it's so painful, but God is good
Mungu tusaidie na ugumu huu wa maisha tunaopitia
Mh mmungu akulinde maana kupambana na manyangau kazi ngumu sana lakini kwa uwezo wa mmungu utashinda vita hivi
Hapa paul makonda pale jerry silaa wee spana watakula wale wezi na wapenda rushwa
Kwa kweli muheshimiwa Silaa kwapamoja muendelee kuungana na Makonda ili muwanyooshe mabepari na makabaila yanayodhulumu mali za watu
Huyu kaka ameongea Kwa uchungu
Mkuu, habari tunachangamoto ya mgogoro wa ardhi nyumba zetu zinavunjwa bila utaratibu elekezi tunamuomba mheshimiwa silaa namba zake nasisi tutoe kero zetu, matatizo ni mengi sana yanatuandama wananchi
Hii ndiyoo tanzania ya sasa mwenye pesa anakuwa na mamlaka ya kufanya lolote lakini Kuna baaziya viongozi wachache wanajaribu lakini mmmm itakuwa ngumu sana coz wapo wachache kuokoawanyonge
Najiuliza maswali mengi sana Ivo chain ile inafanana nini hawajui wajibu wapi au
Imargin slaaa waziri mkuu na makonda raisi wanchi😅😅
Makonda waziri Mkuu, Jerry Rais
Aisee ila haya maisha bana Kama Huna pesa 2tateseka xana dah😭😭😭
Jaman viongozi mjitathimin dhambi mbaya sana hiz,
Uyu ndo magufuli wapili nazani watu sahi Bado wapo
Kbs
Tuwaombee sasa hawachelewi kuwaondoa
Mimi nimezulumiwa eneo langu lindi jelii njoo lindi
Nchi ya mateso tupu, Jumatatu hadi Jumapili. January mpaka December.
Inauma 😢jamani mungu akutie nguvu waziri wangu
Ayo TV nawapenda sana naomba na mimi mnisaidie mimi na mme wangu tunateseka tunaishi kwashida naomba mnisaidie
Ukiona mwanamume analia ujue kaumia sana
Yaani inauma sn uje na dar es salaam mkoa wa pwani kibaha uku niatari mh
Daah nnamwelewa huyu kaka tunatafuta kwa shida sana mtu kujakukupora ulichokipambania mhm
Aise dah! Inauma sana
Tatizo letu sis watanzania hatupendan kabisa roho mbaya ndiyo inatumiuumiza sn
Polèe sanaaa aseeee
Mungu hajaruhusu kifo chako
Ccm hutengeneza tatizo halafu waje walitatue kupata kick.
Hili eneo kesi imechukua miaka zaidi ya 30 je serikali ilishindwa kutumia busara.
Kwa tulioona hili eneo kiukweli inauma sana
Masuala ya Ardhi kuchukua miaka si ajabu. Lakini usisema tatizo limetengenezwa litatuliwe! Mheshimiwa Waziri anafanya kazi zake kwa moyo na haki. Acha kumtuhumu kwani hujui ufanyaji wake wa kazi. Jiongeze zaidi.
Huna akili wewe mpumbavu, kila kitu ccm, huyu jamaa ni kijana na muadilifu hana njaa na hatokei kwenye njaa na kwao yeye peke yake ndio mwanasiasa, malezi na maadili mema na hofu ya Mungu ndio humpelekea kuwa hivi, ila hata makonda nae si kijana? Na kazi yake si inaonekana? Tuliwaamini wazee ndio walitufikisha hapo na wala si maswala ya chama.
Akili za kufikiri ujinga 😢😢
Haya mambo ya kisenge kisenge tutakuja kuuana siku moja😭
Nimejikuta naria 😭😭 pore baba🙏🏾
Hata cc shamba letu limeuzwa kitapeli .. cijui nampataje
2025 nje nje au!!!!!
Mheshimiwa kuna Eneo la Kimele kule Bagamoyo karibu na Shule ya BAOBAB kuna ukatili watu wanadhurumiwa viwanja na pesa na watu wanaojiita Kamati ya Ugawaji wanauza viwanja mara tatu,nne mpaka hata mara saba msaada wako Mheshiwiwa.
Inaumiza sana
Arusha kumezidi kwa dhulma
Mimi sijiui nitaua... Weeee mtu asiniletee umwamba nitampotesa ili na Mimi nipotee sio nipotee ni la wao
Da ! Mambo magumu
So painful 💔 😢
Dah 😢😮
Duuu sasa sisi huko kigoma tumedhulumiwa. Na hatujui tuanzie wapi?
Jamani huu ni wakati wa mungu kuwasaidia watu mungu aendelee kuwalinda jamanimsaidie watu
Sinto muito mas Allah vai ti perdoar insha-Allah 😢😢😢
hapa Paul makonda,, pale jerry siraha we huogopii😅
nataman huyu wazir angekua mzanzibar akafanya kazi huku
Nyi wazanzibar mbona naona mambo yenu yanaenda vizuri tu... huku kwetu ndo hatari sana
Watu km huyu wazir hawakushuka tu bali ni malezi mazur na utu wa wazee wake
Mungu atuekee kizazi hichi chema
Hao watu Mungu awalaani.wanaoumiza watu.
Daaah
Mm napongeza wote mulio mupongozi wazir huyu
Da😪
Msihamishe huyu kijana yupo serious sana kwenye hii wizara ya ardhi
😢
😢😢😢😢
Hivi jamani saa zingine muww mnaangalia kama hivi ninavopambana hivi jasho linatoka mpaka linauka tena linatoka yani kiufupi ni mateso afu leo mtu aje anivunjie
Mimi sio nabii ila huyu alie shika maic ata kuwa shabiki wa utopolo
😭😭😭😭😭😭
Mungu ndio tumaini la mioyo yetu na si kitu aina chochote
Nilijua kama kwetu ndio tunamatatizo ya ivo kumbe africa nyingi matatizo yapo sehem zote africa