WAZIRI SILAA AMWAGA MACHOZI BAADA YA JAMAA KUTAKA KUJIUA KWA SUMU "WAMENIONEA"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 1 чер 2024

КОМЕНТАРІ • 151

  • @hildajoel5
    @hildajoel5 2 місяці тому +16

    Kuna nyakati unaweza kupita kama huna mtu sahihi wa kuongea nae haki unaweza kufanya maamuzi ya ajabu. Huyu kaka alifika mwisho wa akili yake ya kawaida ni nadra sana kumuona mwanaume analia hivyo mbele za watu.Uchungu aliobeba ni mzito.Mwenyez Mungu tujalie kila mwenye changamoto iliyomzidi uwezo amuonyeshe neema na njia ya kupita iliyo sahihi.Haya maisha yana mambo mengi sana😢Nyumba amejenga zaidi ya miaka 19 inavunjwa kimakosa na watu hawana habar aiseee😢😢😢

  • @subrynerysegerow1323
    @subrynerysegerow1323 2 місяці тому +30

    Mungu akuepushie hayo mawazo mabaya aisee na wote waliokosa majibu na utatuzi wa matatizo yao😢

  • @augustinesombi6285
    @augustinesombi6285 2 місяці тому +16

    Utendaji kazi wa Mh. Jerry na Rc Makonda, naomba watumishi muige,, tuache kujijali wenyewe kwa mamlaka tuliyopewa, kuna kifo na hukumu, tusisahau.

  • @joycekisamo4896
    @joycekisamo4896 2 місяці тому +21

    Hongera sana Mheshimiwa kwa kufanya kazi zako kwa moyo wako wote, kutumia taalama, na kwa kufuata haki. Umejaliwa usikivu, na hiyo inakusaidia sana. Kila la kheri 🙏🏽

  • @kulwankuba2785
    @kulwankuba2785 2 місяці тому +30

    Makonda na huyu mkuu silaa mungu awasimamie katika maisha yenu.

  • @audaxbizimana8084
    @audaxbizimana8084 2 місяці тому +21

    Duuuh huyu waziri mbona naona huruma😢😢😢😢😢 Mungu Baba wa Mbinguni Akutunze MHESHIMIWA❤❤❤❤

  • @susanwambui6361
    @susanwambui6361 2 місяці тому +15

    Kazi nzurii mhesimiwa👏👏

  • @rehemaadam4102
    @rehemaadam4102 2 місяці тому +5

    Mdogo wangu Silaa Mungu akubariki kwa upendo wako mimi nilizurumiwa eneo langu la biashara Mikumi na mama mmoja wa kichaga na nilimshinda kesi Mahakama ya Rufaa Kilosa kwa pesa yake nikanyinwa haki yangu😭

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 2 місяці тому +5

    Muheshimiwa M/MUNGU akulinde sana na aendelee kukupa hekima uliyonayo kazi njema

  • @user-kf9pu3cl9g
    @user-kf9pu3cl9g 12 днів тому

    Yaani mama Sania Rais wetu mpendwa hakika Mungu akubariki, akusamehe mapungufu yote kama mwanadamu akulinde uendelee.kutuongoza mama. Kama kuna faraja umetupatia ni outuletea kijana mh. Waziri Silaa waziri wa Ardhi na makazi. Kijana msomi, mnyenyekevu, muungwana mwenye hofu ya Mungu.na nchi pia. Barikiwa mama tunakupenda, Barikiwa Silaa tunawaombea. Endele3ni iuwatetea watanzania.

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 2 місяці тому +3

    Hongera Sana jerr silaa tunakupenda mno Mungu akutunze

  • @mwanakombopopo5117
    @mwanakombopopo5117 2 місяці тому +5

    Duh paka machozi yanitoka 😭😭😭 ya Allah tuhurumie waja wako hasa ss wanyonge na atujalie kupata tutakacho weza kunitumia kwa njia ya haki sio chakudhumu watu wasio na atia

  • @ireneimbuhira7759
    @ireneimbuhira7759 2 місяці тому +8

    Feel his pain 💔 😢👏 pole sana kaka

  • @user-sx1xi4yb2z
    @user-sx1xi4yb2z 2 місяці тому +3

    Waziri hongera na mungu akubariki,,,
    Naomba uje na kwetu kibaha,,,kata ya kidimu,
    Tumezuiwa kujenga ili kupisha ujenzi wa bara bara nane,,miaka Sasa imepita,,Hadi tuna zeeka,Kila siku tunapigwa tarehe tuu ya kulipwa pesa zetu za fidia,,
    Baba tunaomba uje kibaha jamani,,

  • @vickyshayo7880
    @vickyshayo7880 Місяць тому +1

    Jerry kaletwa Na Mungu tuendelee kumuomba jamani pole Sana mwanangu kwa kweli umeumia

  • @mr.yahzadochuno7914
    @mr.yahzadochuno7914 2 місяці тому +6

    I love this man

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed624 2 місяці тому +4

    Asee imeniumaaaa Sanaa nimeliaaa ma mm 😢😢😢 huyu jamaa namfaham anauza cheni pale stendi

  • @malietamaliet
    @malietamaliet 2 місяці тому +1

    Nyie nimejikuta nalia jmn 😢bduuh hii Dunia mwenyezi Mungu atusaidie aki pole kaka etu baba etu alifariki 2003 akatuacha na mama pekee ndugu zake wakachukua Kila kitu mashamba alikua na maboti wakachukua ila adi sai Mwenyezi Mungu kamsaidia mama angu adi kutufikisha apa azid kumpa maisha marefu mama angu mzazi 🤲🙏 amen 🙏

  • @fatmamati5246
    @fatmamati5246 2 місяці тому +1

    Allah akubarik muheshimiwa na akulinde na kila hatua unayo piga amiin

  • @janetchinga695
    @janetchinga695 2 місяці тому +1

    Nakombea waziri Stra mungu akulinde baba uishi myaka mingi usizeke akaraka ufanyekazi apaduniani ❤❤❤❤ from Capetown South Africa

  • @StellaWaillu
    @StellaWaillu 2 місяці тому +2

    Mungu akulinde mh Jerry

  • @ElihurumaThomas-kz8nq
    @ElihurumaThomas-kz8nq 2 місяці тому +6

    JERRY SLAA NI KIONGOZI MZURI MUNGU AMPE NAFASI KUBWA ZAIDI KATIKA NCHI YETU

  • @THOMASMAYOGU-vu5ny
    @THOMASMAYOGU-vu5ny Місяць тому +1

    Hongera sillaa❤❤❤❤❤

  • @mahmoudhamisi673
    @mahmoudhamisi673 2 місяці тому +8

    Dah jamaa kanifanya mpaka na mm nalia

  • @ashuramuhammed3257
    @ashuramuhammed3257 2 місяці тому +8

    Huku Zanzibar hakuna viongozi kama Hawa why kwel zenji si nchi zuluma tupu huku #

  • @boniventurehussein7276
    @boniventurehussein7276 2 місяці тому +3

    Makonda kuja Arusha tunashukuru jer slaa pia Mungu akulinde tunanyanyasika

  • @user-cb5zb3fy8y
    @user-cb5zb3fy8y 2 місяці тому +2

    MAMA etu SAMIA Hawa ndo mawaziri wakuwakumbatia na watakao kuvusha. Achana na mawaziri wale wenye swager nyiingi mdomoni lkn hawana uchungu na mateso wanayo pitia wa TZ

  • @naigeorge7765
    @naigeorge7765 2 місяці тому +3

    MUNGU akutunze Mh.waziri.Tunakuombea

  • @njuka3515
    @njuka3515 2 місяці тому +6

    Huo ndio uongozi sio ule wa kukaa kwenye viti ofisini

  • @RASHIDMOHAMMEDI
    @RASHIDMOHAMMEDI 2 місяці тому +4

    Mwenye kujua njia ya kumpata muheshimiwa naomba connection yake please sababu hata sisi na familia yetu tumezurumiwa vya kutosha na tunatamani tupate haki zetu

  • @Josephineexsuper
    @Josephineexsuper 2 місяці тому

    Pole sana kaka...Arusha Kuna maumivu sana...mh.waziri Rudi umalizie kiporo Cha clinic. KUMBUKA ulituahidi...tuna maumivu makubwa sana

  • @OllerDesononline6333
    @OllerDesononline6333 Місяць тому

    Kaka Allah akulinde n wakuache ktk kitengo hicho hicho. Naimba serikali kwahlo. Insha'Allah

  • @ruthleonard2958
    @ruthleonard2958 Місяць тому

    Nimelia jaman.. Dah katika yote Mungu yupo

  • @MonicaDamsoniMonikaDamsoni
    @MonicaDamsoniMonikaDamsoni Місяць тому

    Mungu akubari sana kaka

  • @safiaothman5175
    @safiaothman5175 2 місяці тому

    Pole kaka Mwenyezi Mungu yupo nawe.

  • @JescaMuyabi-ix8ly
    @JescaMuyabi-ix8ly 2 місяці тому +3

    Pole Sana

  • @mwantumuhassani5086
    @mwantumuhassani5086 2 місяці тому

    ❤ mwenyezi mungu akulinde silaha

  • @neemaneychricious6493
    @neemaneychricious6493 2 місяці тому

    daaah mwanaume mpka alie ameumiaa kwel mwenyew mpka nimelia daaah pole sana broo na mweshimiw hii ndio talantaa umepew na Mungj na Mungu akutetee piah

  • @eddietaxidriverzanzibar4395
    @eddietaxidriverzanzibar4395 2 місяці тому +1

    Hii Safyy MuheshmiW 🔥🔥🔥👏👏

  • @ahmesaofficial9611
    @ahmesaofficial9611 Місяць тому +1

    Mitaaa ya kibaha (kidimu) piaa wananchi wanateseka na masuala ya Ardhi

  • @SaadiyaMohammad-og5bg
    @SaadiyaMohammad-og5bg 2 місяці тому

    Goog wazire hakee huyo bro amitowa machozia apatea hakee yake naww wazire mungu takulipa

  • @rewardyesse7314
    @rewardyesse7314 2 місяці тому +1

    Hata ningekuwa mm slaa ningelia,,ni machozi flani hivi yanakutoka baada kugundua ulifanya jambo lililobadilisha maisha ya mtu bila ww kujua,,,hotuba imeleta tumaini

  • @suleymanimixkatafighter2669
    @suleymanimixkatafighter2669 2 місяці тому

    Mh silaa nafanya kazi nje,ma sanaa ameokoa uhai wa kijana

  • @johasaeed391
    @johasaeed391 2 місяці тому +1

    Jamani 😢😢😢😢😢😢😢 uwiiiii nakufa kwa uchungu nilivyo hapa nataabika kutfuta pesa nimalize nyumba yangu alafu nizulumiwe jamani inauma sana

  • @eddytheophil7626
    @eddytheophil7626 2 місяці тому

    Pole sana brother..

  • @PASCHAL-kh8qp
    @PASCHAL-kh8qp 2 місяці тому +9

    Kazi nzurii mheshimiwa wazir

  • @user-kt1vy1wf7d
    @user-kt1vy1wf7d 2 місяці тому

    Ooh lord, it's so painful, but God is good

  • @fifo262
    @fifo262 Місяць тому

    Mungu tusaidie na ugumu huu wa maisha tunaopitia

  • @MrishoHussein-oz9nr
    @MrishoHussein-oz9nr 2 місяці тому +1

    Mh mmungu akulinde maana kupambana na manyangau kazi ngumu sana lakini kwa uwezo wa mmungu utashinda vita hivi

  • @ramadhanisalum3898
    @ramadhanisalum3898 2 місяці тому +2

    Hapa paul makonda pale jerry silaa wee spana watakula wale wezi na wapenda rushwa

  • @christaoman8890
    @christaoman8890 2 місяці тому +1

    Kwa kweli muheshimiwa Silaa kwapamoja muendelee kuungana na Makonda ili muwanyooshe mabepari na makabaila yanayodhulumu mali za watu

  • @paulinakiria7918
    @paulinakiria7918 2 місяці тому +3

    Huyu kaka ameongea Kwa uchungu

  • @mswadikinamambo2276
    @mswadikinamambo2276 2 місяці тому +2

    Mkuu, habari tunachangamoto ya mgogoro wa ardhi nyumba zetu zinavunjwa bila utaratibu elekezi tunamuomba mheshimiwa silaa namba zake nasisi tutoe kero zetu, matatizo ni mengi sana yanatuandama wananchi

  • @LovelyOmbreSky-pu4jt
    @LovelyOmbreSky-pu4jt 2 місяці тому +2

    Hii ndiyoo tanzania ya sasa mwenye pesa anakuwa na mamlaka ya kufanya lolote lakini Kuna baaziya viongozi wachache wanajaribu lakini mmmm itakuwa ngumu sana coz wapo wachache kuokoawanyonge

  • @user-yp8vt8ni8e
    @user-yp8vt8ni8e 2 місяці тому +1

    Najiuliza maswali mengi sana Ivo chain ile inafanana nini hawajui wajibu wapi au

  • @ajaykilawah2622
    @ajaykilawah2622 2 місяці тому +3

    Imargin slaaa waziri mkuu na makonda raisi wanchi😅😅

  • @abedysteven4930
    @abedysteven4930 2 місяці тому +1

    Aisee ila haya maisha bana Kama Huna pesa 2tateseka xana dah😭😭😭

  • @LeonardChacha-it2pb
    @LeonardChacha-it2pb 2 місяці тому

    Jaman viongozi mjitathimin dhambi mbaya sana hiz,

  • @user-gr6wb9oq1n
    @user-gr6wb9oq1n 2 місяці тому +9

    Uyu ndo magufuli wapili nazani watu sahi Bado wapo

  • @honoratusmodest285
    @honoratusmodest285 2 місяці тому +1

    Mimi nimezulumiwa eneo langu lindi jelii njoo lindi

  • @user-cz5oy1od5d
    @user-cz5oy1od5d 2 місяці тому +1

    Nchi ya mateso tupu, Jumatatu hadi Jumapili. January mpaka December.

  • @thomastemu3332
    @thomastemu3332 2 місяці тому

    Inauma 😢jamani mungu akutie nguvu waziri wangu

  • @reginamtitu5592
    @reginamtitu5592 2 місяці тому

    Ayo TV nawapenda sana naomba na mimi mnisaidie mimi na mme wangu tunateseka tunaishi kwashida naomba mnisaidie

  • @denisrukangula2227
    @denisrukangula2227 Місяць тому

    Ukiona mwanamume analia ujue kaumia sana

  • @user-pd1kt3xr3s
    @user-pd1kt3xr3s 2 місяці тому

    Yaani inauma sn uje na dar es salaam mkoa wa pwani kibaha uku niatari mh

  • @zabibubashiri3034
    @zabibubashiri3034 2 місяці тому

    Daah nnamwelewa huyu kaka tunatafuta kwa shida sana mtu kujakukupora ulichokipambania mhm

  • @ismailchibonda5005
    @ismailchibonda5005 2 місяці тому

    Aise dah! Inauma sana

  • @babazungu3180
    @babazungu3180 2 місяці тому

    Tatizo letu sis watanzania hatupendan kabisa roho mbaya ndiyo inatumiuumiza sn

  • @frankazalia5985
    @frankazalia5985 2 місяці тому +2

    Polèe sanaaa aseeee

  • @MagdalenaMatiko
    @MagdalenaMatiko 2 місяці тому +6

    Mungu hajaruhusu kifo chako

  • @karolikisaka8991
    @karolikisaka8991 2 місяці тому +4

    Ccm hutengeneza tatizo halafu waje walitatue kupata kick.
    Hili eneo kesi imechukua miaka zaidi ya 30 je serikali ilishindwa kutumia busara.
    Kwa tulioona hili eneo kiukweli inauma sana

    • @joycekisamo4896
      @joycekisamo4896 2 місяці тому +3

      Masuala ya Ardhi kuchukua miaka si ajabu. Lakini usisema tatizo limetengenezwa litatuliwe! Mheshimiwa Waziri anafanya kazi zake kwa moyo na haki. Acha kumtuhumu kwani hujui ufanyaji wake wa kazi. Jiongeze zaidi.

    • @nassercurtis9579
      @nassercurtis9579 2 місяці тому

      Huna akili wewe mpumbavu, kila kitu ccm, huyu jamaa ni kijana na muadilifu hana njaa na hatokei kwenye njaa na kwao yeye peke yake ndio mwanasiasa, malezi na maadili mema na hofu ya Mungu ndio humpelekea kuwa hivi, ila hata makonda nae si kijana? Na kazi yake si inaonekana? Tuliwaamini wazee ndio walitufikisha hapo na wala si maswala ya chama.

    • @KS-iw7qv
      @KS-iw7qv 2 місяці тому

      Akili za kufikiri ujinga 😢😢

  • @giftyjohn3852
    @giftyjohn3852 2 місяці тому +1

    Haya mambo ya kisenge kisenge tutakuja kuuana siku moja😭

  • @chany9950
    @chany9950 Місяць тому

    Nimejikuta naria 😭😭 pore baba🙏🏾

  • @MariaChiwaligo
    @MariaChiwaligo 2 місяці тому

    Hata cc shamba letu limeuzwa kitapeli .. cijui nampataje

  • @kamrudinelias3922
    @kamrudinelias3922 Місяць тому

    2025 nje nje au!!!!!

  • @KassianChengo
    @KassianChengo Місяць тому

    Mheshimiwa kuna Eneo la Kimele kule Bagamoyo karibu na Shule ya BAOBAB kuna ukatili watu wanadhurumiwa viwanja na pesa na watu wanaojiita Kamati ya Ugawaji wanauza viwanja mara tatu,nne mpaka hata mara saba msaada wako Mheshiwiwa.

  • @mohamedkitemwe3569
    @mohamedkitemwe3569 2 місяці тому

    Inaumiza sana

  • @SKY-fk3fz
    @SKY-fk3fz 2 місяці тому +2

    Arusha kumezidi kwa dhulma

  • @NixonJohnson-zn8nk
    @NixonJohnson-zn8nk Місяць тому

    Mimi sijiui nitaua... Weeee mtu asiniletee umwamba nitampotesa ili na Mimi nipotee sio nipotee ni la wao

  • @fifo262
    @fifo262 Місяць тому

    Da ! Mambo magumu

  • @barakadaprince3742
    @barakadaprince3742 2 місяці тому

    So painful 💔 😢

  • @ArafaJafari
    @ArafaJafari 2 місяці тому

    Dah 😢😮

  • @FaridaKaduguda
    @FaridaKaduguda 17 днів тому

    Duuu sasa sisi huko kigoma tumedhulumiwa. Na hatujui tuanzie wapi?

  • @EsterMbise-pj4vd
    @EsterMbise-pj4vd 2 місяці тому

    Jamani huu ni wakati wa mungu kuwasaidia watu mungu aendelee kuwalinda jamanimsaidie watu

  • @youngtomuller-vh2pu
    @youngtomuller-vh2pu 2 місяці тому

    Sinto muito mas Allah vai ti perdoar insha-Allah 😢😢😢

  • @teddyndungurusabnu4792
    @teddyndungurusabnu4792 2 місяці тому

    hapa Paul makonda,, pale jerry siraha we huogopii😅

  • @Allybinamour
    @Allybinamour 2 місяці тому +2

    nataman huyu wazir angekua mzanzibar akafanya kazi huku

    • @ChemworldTV
      @ChemworldTV 2 місяці тому

      Nyi wazanzibar mbona naona mambo yenu yanaenda vizuri tu... huku kwetu ndo hatari sana

  • @imanimussa6256
    @imanimussa6256 Місяць тому

    Watu km huyu wazir hawakushuka tu bali ni malezi mazur na utu wa wazee wake
    Mungu atuekee kizazi hichi chema

  • @jareengeorge5478
    @jareengeorge5478 Місяць тому

    Hao watu Mungu awalaani.wanaoumiza watu.

  • @Natashawaziri-bv2xl
    @Natashawaziri-bv2xl 2 місяці тому

    Daaah

  • @SayiMadaha-fq7tu
    @SayiMadaha-fq7tu 2 місяці тому

    Mm napongeza wote mulio mupongozi wazir huyu

  • @dr.phormenykishaija6508
    @dr.phormenykishaija6508 Місяць тому

    Da😪

  • @stevenemwakasimba-pt8er
    @stevenemwakasimba-pt8er 2 місяці тому

    Msihamishe huyu kijana yupo serious sana kwenye hii wizara ya ardhi

  • @mariamdullazy8166
    @mariamdullazy8166 2 місяці тому

    😢

  • @samiraabdimahamed4449
    @samiraabdimahamed4449 2 місяці тому

    😢😢😢😢

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 2 місяці тому

    Hivi jamani saa zingine muww mnaangalia kama hivi ninavopambana hivi jasho linatoka mpaka linauka tena linatoka yani kiufupi ni mateso afu leo mtu aje anivunjie

  • @lvanyDaniel_pw7kk
    @lvanyDaniel_pw7kk 2 місяці тому

    Mimi sio nabii ila huyu alie shika maic ata kuwa shabiki wa utopolo

  • @abdallahkambangwa7215
    @abdallahkambangwa7215 Місяць тому

    😭😭😭😭😭😭

  • @frankdablacknation2057
    @frankdablacknation2057 2 місяці тому

    Mungu ndio tumaini la mioyo yetu na si kitu aina chochote

  • @hamzafishten9560
    @hamzafishten9560 2 місяці тому

    Nilijua kama kwetu ndio tunamatatizo ya ivo kumbe africa nyingi matatizo yapo sehem zote africa