Salama Na Gabo Ep 25 | MTOGAPAAFWE Part 1

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 10 лют 2025
  • #YAHStoneTown #SalamaNa #PodCast
    SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahSton...
    Listen our Podcast on
    Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
    ‪ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru‬
    GooglePodcast Link bit.ly/GoogleP...
    Audiomack Link bit.ly/YahSton...
    ‪UA-cam Link bit.ly/UA-camS...
    Jina halisi ni Salim Ahmed Issa, na kwa mujibu wa niloyasoma ni mjukuu wa moja ya watu maarufu mkoani Iringa ambaye alikua anatambulika kama Mtogapaafwe Kiyeyeu. Huyo alikua ni BABU wa Gabo Zigamba kabisaa ambaye binti yake Rafia Issa Kiyeyeu ndo Mama mzazi wa Gabo huyu tunayemfahamu mimi na wewe. Unaambiwa kaburi la Marehemu Mzee Mtogapaafwe lilikua na maajabu sana, ila hiyo ni khadithi ya siku nyengine. Hapa ilikua juu ya utambulisho wetu kwake na sifa zake actor hodari toka kwetu Tanzania.
    Gabo si moja ya marafiki zangu ila baada ya kuonana hapa ndo urafiki wetu ulipoanzia baada ya kujua pia tunafanana kwa mambo mengi kwa kweli. Gabo ni MTENDAJI, kuongea anaongea pale anapokua huru na mazingira ila mara nyingi huwa hasemi sana bali anatenda zaidi. Toka nimemsikia mara ya kwanza mwaka 2016, kijana huyu amekua akishinda tuzo mbali mbali na kutengeneza base yake vizuri kabisa. Na ukimuuliza mtu yoyote anayefuatilia mambo ya filamu kuhusu yeye basi hakika utaskia kipaji chake kikizungumziwa pia. Tuzo mbali mbali Gabo ameziokota sana na mpaka kuna kipindi ilikua inasemekana kwamba yeye ndo ‘mrithi’ wa Marehemu Steven Kanumba kitu ambacho kinaweza ikawa motivation au viatu vikubwa sana kwa miguu yake. Swali ni je, anajua watu wanamuona huko?
    Kwenye kikao chetu zaidi mimi nilitaka kumfahamu haswa, kumfahamu yeye binafsi na familia yake, nilitaka kufahamu kinachompa raha na karaha. Nilitaka kujua alianzia wapi, nilitaka kujua starehe yake, mipango yake, mitihani yake. Nilitaka kujua kuhusu jina lake, kuhusu kipaji chake, kuhusu dini na mahusiano. Kuhusu industry na ushindani wa ndani na nje na Sanaa kwa ujumla. Na nashkuru alinipa time yake na yangu matumaini humu utapata chochote kitu cha kukufunza jambo. Tafadhali enjoy.
    Love,
    Salama.
    Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
    Follow:
    Twitter: / yahstonetown
    Instagram: / yahstonetown
    Facebook: / yahstonetown

КОМЕНТАРІ • 234

  • @rosemofuga6313
    @rosemofuga6313 4 роки тому +15

    Yaani salama huwa napenda sana maswali kwa wageni wako, yaani huwa una maswali fulani hivi amazing l real like it

  • @ujudiabdull9442
    @ujudiabdull9442 4 роки тому +4

    Kwanza nimependa matching blackblack mmetokelezea ....pili Salama nakupenda mana maswali yako huaga yanachangamoto hufkirii km utaulizwa wajipange..huchoshi love it..

  • @zamamuuhamisi6654
    @zamamuuhamisi6654 4 роки тому +3

    Yaan katik wasanii wa kiume ninao wapenda GABO jmn uko vzr hngera sana dada salama kwa kumleta huyu mtu

  • @beshuuambarali4960
    @beshuuambarali4960 4 роки тому +4

    Salamaa fanya uje unihoji na mimi mjuba bEshuu mii nna saloon ungujaa

  • @noxlosingida2369
    @noxlosingida2369 4 роки тому +3

    Gabo nampendaga hasa ngozi yake ni Natural macho yake ndiyo ya nanivutiaga zaidi na huo urefu wake sasa 👌

    • @annemakaka210
      @annemakaka210 3 роки тому +1

      Nami napenda kicheko, busara na hekima anapojibu maswali. Yaani yuajibu kiufundi kabisa. Kudos from 254

  • @beshuuambarali4960
    @beshuuambarali4960 4 роки тому +2

    Salama Tuletee manGe kimambii yaani najikuta nampend BURE😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍

  • @hamenyayohanakasase5836
    @hamenyayohanakasase5836 4 роки тому +5

    Bonge la interview asee, huwezi kuchoa kutazama. Kwa kweli Salim (Gabo) ni mwana Kiswahili, na muitikio wake kwenye maswali yako Salama yanafanya mahojiano yavutie. Hongera Salama kwa mahojiano ya kistaarabu.

  • @OmanOman-gc1zu
    @OmanOman-gc1zu 4 роки тому +3

    mungu akupe afya njem na umri mrefu ln shaa Allah.. najifunza mengi sana tena sana.. 🌹🌹❤️❤️

  • @noelmarapachi1808
    @noelmarapachi1808 4 роки тому +18

    One of my favorite INTERVIEWER-Salma Jabir, tafsiri sahihi ya Interviewer

    • @alush3138
      @alush3138 2 роки тому

      Nampenda gapo anamaneno yahekmaa

  • @Celestin-G-1
    @Celestin-G-1 4 роки тому +1

    Duuu Gabo mi nakukubali sana tangu zamani. Kwenye *Bado natafuta* Nakubali sana Sara kwa kumuita Gabo

  • @mohgamhooga1270
    @mohgamhooga1270 4 роки тому +6

    Napenda maswali yako kwa mgeni wako salama,,,,,ni maswali yeny uhai ivi,,,,,na hasa majibu yaendane na maswali,,,big up kwenu,,,Allah awahifadhi insha Allah

  • @shariffabdallah4669
    @shariffabdallah4669 4 роки тому +3

    Baadhi ya waandishi wadogo waige mfano wa Salama ktk kuhoji ili wakue kitaaluma,haichoshi kumsilikiliza Salama anapohoji kama inavyochosha baadhi yao,kuanzia jinsi ya kuhoji mpaka lafudhi zao zinachosha kwani hawajui tofauti kati ya L na R....Ahsante Salama........Ombi...tuletee na viongozi wa dini

  • @richardmollel2032
    @richardmollel2032 4 роки тому +1

    Gabo baba lao salama vipindi vyako navikubali sana iyani upo ameizing

  • @beatricetenywa4367
    @beatricetenywa4367 4 роки тому +7

    Gabo ni actor mkubwa asiye na majigambo atafika mbali..anajibu maswali vizur sana🤗

  • @POGtv-xp9ee
    @POGtv-xp9ee 4 роки тому +2

    Daaaah my brother gabo anajibu maswal so nice one day Nita fanya kazi I believe and I know

  • @misslovria
    @misslovria 4 роки тому +2

    Jaman Gabo amenifanya nicheke mpaka basi love u so much GZ

  • @twalibutwalibu5252
    @twalibutwalibu5252 4 роки тому +2

    Mtangazaji bora wa kike wa mda wote.... Kwa muongo wa pili Sasa

  • @elyzahlizzy7674
    @elyzahlizzy7674 4 роки тому +4

    I love gabo so much..🍎

  • @evnglst.rahniel5238
    @evnglst.rahniel5238 4 роки тому +5

    Good convo salama na kila mgeni wako unaemualika ... Special applause to you mamaa, and whole crew of yours ... Nawapenda na ninapenda kipindi chako ...ni fireeeee,

  • @frankngereza6373
    @frankngereza6373 4 роки тому +2

    Kazi nzuri sana napenda kukufatilia toka zamani dada

  • @anitanahimana2115
    @anitanahimana2115 4 роки тому

    Asante sana.kwakuturetey gabo zigambo tureteya na Rammy..mu somaria

  • @omarmaryam9889
    @omarmaryam9889 4 роки тому +1

    Duh gabo hadi nakupenda yan unafurahish kwel

  • @remmyrahma841
    @remmyrahma841 4 роки тому

    Salama mm huchelewa sana ila sipitwi kabisa gabo namkubali hana sifambaya am Remmy from Mombasa Kenya

  • @aminanamoyo83
    @aminanamoyo83 4 роки тому +6

    Ellen wa Tanzania Salama jabir ❤🥰

  • @ajaxjunior4151
    @ajaxjunior4151 4 роки тому +4

    Good interviews, good questions, good answers Mimi ninapenda hivyo vyote cause ninajifunza vitu vingi sana

  • @fathumramadhan7567
    @fathumramadhan7567 4 роки тому +1

    Mambo vp salama napenda sana vipi vyako na uko sawa one love watching you from Qatar Doha

  • @hajiramadhani2699
    @hajiramadhani2699 4 роки тому

    Nakukubali Sana dada anipa unafanya kazi nzuri Sana
    Mimi natamani pia nifanye kipindi hichi na wewe ninamengi ya kuismbia na kuifundisha jamii

  • @youngtuso3048
    @youngtuso3048 4 роки тому +5

    Sio muigizaji niliyemtazama Nilipokua mdogo kama SINGLE MTAMBALIKE.. JACOB STEPHEN AU NATASHAA MAMVI lakini Nimemjua kama Muigizaji Bora Katika Generation Yake... Namkubali Sana Gabo...!!! He is One Of The Best Actors in Tanzanian film...!!!

  • @husnazahoro7082
    @husnazahoro7082 4 роки тому +1

    Salama nakupenda sana mm ni shabiki wako na Gabo ni msanii wangu

  • @mzulunatal8062
    @mzulunatal8062 4 роки тому +4

    Bro #Gabo huku kuna kitu kinaitwa #panguso, ndio habar ya mjini kwa sasa, ikifuatiwa na shilingi. Natumai ukimya wako sio wa bure, bila shaka kuna bomu unaliandaa, tupo tunalisubiria kwa ham, najua hutatuangusha. Fikisha salam kwa bro Ray, mwambie tumechoshwa na kufoka foka, abuni style mpya ya kuvutia mashabiki. Watu wanapenda kuona mambo halisi yanayojir uswahilini sio maofisini tu kila siku

  • @Emmy22655
    @Emmy22655 4 роки тому +2

    Love u so much form sauza Africa my salama .😘😘😘😘😘😘😘really I like u

  • @mwajabumalekela4511
    @mwajabumalekela4511 4 роки тому

    Nzuri saana!!! Ila natamani nipate jina la movie uliyokuwa na JB kwny kampuni ya usafi ...... jina tu jmn!!

  • @mozasaid3869
    @mozasaid3869 4 роки тому +2

    Namkubali sana Gabo , Intevie imetulia👏👏👏

  • @vanpower9798
    @vanpower9798 4 роки тому +1

    Gabo uko vzr 💪💪

  • @kazunguthoya8800
    @kazunguthoya8800 2 роки тому +1

    Watching it today although watched others before but this is my fav with my fav artist so far I enjoyed

  • @reyshard3770
    @reyshard3770 4 роки тому +2

    Ur my favourite salama😍

  • @alexiamruu7581
    @alexiamruu7581 4 роки тому +8

    Throug your interview i learn alot and get courage where i have fall.....Big up kwako sis Salama💋💋💋

  • @grolyqueen5833
    @grolyqueen5833 3 роки тому

    Misemo ndo mahala pakee big up sana gabo

  • @didahbebe3866
    @didahbebe3866 2 роки тому

    Hahahahaaa wallahi this dude is so good ma sha allah anakipaji kikubwa sana namkubali kinyamaaaaaa

  • @AlexKarisa
    @AlexKarisa Рік тому

    Tunakupenda sana Gambo likini moves hatuzipati lete move bwana.

  • @charlesmabena954
    @charlesmabena954 4 роки тому

    Daaaaah Jamaa Namkubali Alafu Anapenda Sana Majani Yaaaan Kitu Cha Jamaica Yaaaan Kwa Bongo Wanaita Kitu Cha Chuga

  • @haidarjuma8302
    @haidarjuma8302 2 роки тому

    Mnyamwezi snaa

  • @makamefaki9513
    @makamefaki9513 4 роки тому +1

    Kipindo kiko poa sn mung akujalie mafanio mazur pia gabo namkubali sn big shara kwake 👊

  • @blandinamnyinga8318
    @blandinamnyinga8318 4 роки тому +4

    Lungembaaa hiyooo!!!!wazee wa matukio machifu hataree sana

  • @charlesmabena954
    @charlesmabena954 4 роки тому +1

    Daaaaah Nampenda Sana Gabo Zigamba/ Salim ❤️❤️❤️❤️

  • @reenlis7665
    @reenlis7665 4 роки тому +3

    It will be best if we get to know your story salama.... so its NA SALAMA

  • @dorisnaboti9902
    @dorisnaboti9902 4 роки тому +1

    Napenda sana kz za gabo hasa kapuni niliipenda sana naomba utoe move hii ya kapuni tupate yote pale nilipata vipande

    • @salamasaid6905
      @salamasaid6905 3 роки тому

      Ni kweli upo vzr inshaallah

    • @salamasaid6905
      @salamasaid6905 3 роки тому

      Uyo ni Kk yetu mzuri Salim na ss salama tupo vizuri mzuri kwa sura na tabia ndio siraha kubwa mungu akusmamie inshaallah

    • @salamasaid6905
      @salamasaid6905 3 роки тому

      Yani zegamba ni mtu kipaji cha uwongozi tena ni mkweli ana mamno ya zuruma mbska Queen darin anamsfia yani anasema kuwa ana longolongo kwa wema wake na mungu atampa uwezo zaidi inshaallah

  • @shadrackngovano5747
    @shadrackngovano5747 Рік тому

    Unyamaaa sana

  • @baruthdickson9463
    @baruthdickson9463 4 роки тому +1

    Nakubali sana kazi zako

  • @kantizehubert4910
    @kantizehubert4910 4 роки тому +1

    Gabo namkubali

  • @saidahj2543
    @saidahj2543 4 роки тому +3

    My favourite actor...Mr Brown

  • @rashidinyakanyaka5992
    @rashidinyakanyaka5992 4 роки тому +1

    Kpind kzur na nafuatilia kwa kuwa nakufuatilia salama kitambo sana kabla hata ya mkasi

  • @charlesyapuka4992
    @charlesyapuka4992 4 роки тому +1

    Kwani Da SALAMA BROTHER K usha mwita😀😀😀😀😂😂

  • @faswilatniyonkuru3861
    @faswilatniyonkuru3861 4 роки тому +1

    Dash my favorite actress Gabo zigamba

  • @charlesdamas1863
    @charlesdamas1863 4 роки тому +3

    Salama leo umepatikana
    Maana bro anaongea kama ana rap

  • @magicfighter5475
    @magicfighter5475 4 роки тому +2

    Wooooh big up dada salama huyu brooh namkubali sanaa

  • @nassirnassor3891
    @nassirnassor3891 3 роки тому

    Well done gabo zingamba

  • @seventcentlothy105
    @seventcentlothy105 4 роки тому

    Daaah!!broo kuna kitu kimoja ivi haukipendi sana ktk life lako na ni kweli kinakera sana ZARAU daaah!!! Ni kitu kibaya sana icho nami no 1 icho big up broo

  • @johnwilliam8553
    @johnwilliam8553 3 роки тому

    Ongera sana salama

  • @sarahfaith3074
    @sarahfaith3074 3 роки тому +1

    😂😂😂😂😂hapo kwenye dharau aisee ata me simaindi hzi pigo

  • @mohamedhussein-qb5sg
    @mohamedhussein-qb5sg Рік тому

    big up salama and gabo ..much love from Kenya

  • @stevenmeless
    @stevenmeless 4 роки тому +2

    We katarina karatu njoo ukuu

  • @therealmsopa
    @therealmsopa 4 роки тому +2

    Aire Kama Hailesalasie 🔥🔥 Gabo Katisha

  • @davidsindoma9403
    @davidsindoma9403 4 роки тому

    Nakukubari sana salama katiki vipindi vyako

  • @lizziesylivester3159
    @lizziesylivester3159 4 роки тому +2

    Nakuelewa Zigamba👑

  • @zailulu7781
    @zailulu7781 4 роки тому +2

    Salama mwite na wema please

  • @justinmganiwa2790
    @justinmganiwa2790 2 роки тому

    nicee

  • @mohamedmunisi6705
    @mohamedmunisi6705 2 роки тому

    I like this salama u r the best always

  • @salumjumah5648
    @salumjumah5648 Рік тому

    Gabo zagamba bado natafuta filamu yangu bora siku zote

  • @MariamShaha-nj4bg
    @MariamShaha-nj4bg 9 місяців тому

    Sister salama naomba umlete na hamisa

  • @salehsalmin1972
    @salehsalmin1972 4 роки тому +1

    Big show big up my sister

  • @maryamhamad5158
    @maryamhamad5158 4 роки тому +4

    Kumbe ni wa 3 ndio maana ana akili mingi like me

  • @aminahamis9377
    @aminahamis9377 4 роки тому +12

    Hi salam I love ur show never miss it love from Dubai I can’t wait see wema sepetu or Diamond Platnumz on ur show

  • @CoachHafidh
    @CoachHafidh 4 роки тому +26

    Kiswahili kizuri jamaa anaongea...alafu nidhamu kubwa ya maneno yake mwanzomwisho

    • @yassinkassim5241
      @yassinkassim5241 4 роки тому +1

      Yaani kingereza hakuna kabisa nimependa sana

    • @mwanajakalatv8656
      @mwanajakalatv8656 6 місяців тому

      Huyo ni mtoto wa kitanga.. So, Ki​swahili lazima kinyooke...@@yassinkassim5241

  • @MctMct-tt4rq
    @MctMct-tt4rq 4 роки тому

    NAMKUBALI SANA GABO NI MTU MSTARABU NA HAPENGI UNAFIKI NA HAPENDI KUONEWA NAMKUMBALI SANA

  • @samkiria450
    @samkiria450 4 роки тому +4

    Jamaa akili nyingi Sana 🔥🙌

  • @furahasalim5962
    @furahasalim5962 4 роки тому +4

    nakipenda hichi kipindi mm

  • @fidelisraymond940
    @fidelisraymond940 4 роки тому +17

    Lini utamleta 20% hapo jamaa ana mengi ya kuongea pls dada salama

  • @aureuscobla4904
    @aureuscobla4904 4 роки тому

    Hongereni sanaaaa

  • @chachamwita6535
    @chachamwita6535 4 роки тому

    Namkubali xna gabo

  • @allysood8003
    @allysood8003 4 роки тому +1

    salama i wish kuona salama na wana siasa yoyote bongo mkali mwenye impact kwa jamii yetu

  • @ab3ab313
    @ab3ab313 4 роки тому

    kanz nzuri kbs

  • @CyprianTraiphon
    @CyprianTraiphon 6 місяців тому

    NZANGAMBA

  • @narcosmaoze9486
    @narcosmaoze9486 4 роки тому +4

    YahStone Town ♥️♥️

  • @aishakidotigakii6157
    @aishakidotigakii6157 4 роки тому +39

    Salama looks like Ellen

  • @fayjaychriss9156
    @fayjaychriss9156 4 роки тому +1

    Duhh
    Namkubali San uyo bro

  • @juniormushi8178
    @juniormushi8178 4 роки тому +12

    Gabo ni mnyamwez xanaaa 🙌🙌🙌🔥🔥

  • @beshuuambarali4960
    @beshuuambarali4960 4 роки тому +2

    Yaan hii interview ni Yaajabu Gabo hana kuekti kiingrezaa ata kidog so awo wengne wangkuja tusingeelewana.

  • @mkiwamkiwa3570
    @mkiwamkiwa3570 4 роки тому +1

    Nakkbari sn slm kitambo

  • @trumpetoflife7312
    @trumpetoflife7312 4 роки тому +1

    Napenda sana akili yako....akili yako ina akili sana

  • @khairatabdallah5514
    @khairatabdallah5514 4 роки тому

    Gabo honra sana

  • @nadinebashizi5962
    @nadinebashizi5962 4 роки тому

    Nampenda saana Gabo toka DRC Congo

  • @scripturetz1056
    @scripturetz1056 4 роки тому +1

    From Tabora unyamwezini naichek show APA #madsoft

  • @maliharajabu8917
    @maliharajabu8917 4 роки тому +1

    My favorite actor

  • @said306nyatu9
    @said306nyatu9 4 роки тому

    I wish. Muigize gabo. Rihama awo watu alowataja gabo I wish move itanoga sana

  • @yusufmohamed8874
    @yusufmohamed8874 4 роки тому +1

    GABO ni mtu safi sana...
    Nilisoma naye pale Ipogolo, Iringa na tukala maharage pamoja.... BigUp sana mzee 👏.... Watching from Vereeniging, South Africa 🇿🇦

  • @yustinageorge1771
    @yustinageorge1771 4 роки тому +1

    Ww kaka gabo nomaaa

  • @maansaitoti3712
    @maansaitoti3712 4 роки тому +3

    Nice show 🔥🔥🔥

  • @erickerickmboge2403
    @erickerickmboge2403 4 роки тому

    Good

  • @blandinamnyinga8318
    @blandinamnyinga8318 4 роки тому +2

    MHEHE kumdharau ufanye KAZI🙆🙆🙆kamwene be mwagito