Dah!! Haya yalinikuta nikiwa form 4 Kwa Art n design classes. Mwalimu hatusomeshi😬😤 weeeeh!! waliniruka nikapewa punishment ya kuosha choo!! Lunch yangu ikawa malipo ya muosha Choo. Ajabu nilikua no 1 Kwa KCSE. Uzuri mkubwa Wa Shule alitambua Ni kweli,😂😂
Dah hii tabia ipo sana, kunawatu wanajifanya walalamikaji wakubwa sana, mukienda mbele ya boss, wao wanarud nyuma na kuonekana wew ndo mchochezi, ndio maana mmi hujitahid sana kukwepa watu wanafki kama hawa, 😅😅😅😅
🤣🤣 Sku moja tulgom kufanya graduation tukasem tusitoe hela ya graduuu 😂😂😂 zkaletwa fimbo kam zote ambae hataki gradu akae upande huu wengine watoke njee wakatok wote tukabaki wa3 darasa zima 😝😝😝😝
Licha ya kufurah tuu nmejifunza kitu kwa jamii,kazini kama kuna kitu umejifunza kama mm gonga likes hapa
Moja kati ya macomedean bora kuwah kutokea tz like nyigi jaman
Hii kitu ilishawahi nitokea kilichosaidia nilirecord kila kitu wakajikuta wanaandikishwa barua wao mm nkapandishiwa mshahara cpend watu wanafki mm
KAMA MTAANI KWENU KUNA MASNICHI KAMA HAWA GONGA LIKE 😂😂
anaesoma coment kabla yakumalza kuangalia like hapa
yaaani joti unatupunguza huzuni za kumkumbuka king majuto kiukweli km upo mamoja nami gonga like moja tu inatosha
Jamani musiseme JOTI PEKE YAKE YAANI KIUFUPI HII TEAM MZIMA WAMETULIA ATA HAO WENZIA JOTI NI WASAANI WAZURI
Bola ....kukutana na snake kuliko kukutana na snichi km uk pamj nimi gonga like
🤣🤣🤣🤣imenikumbusha Shule “mmegoma? ndioooo, ,,we umegoma Hapana mwalimu...😂😂
Dah!! Haya yalinikuta nikiwa form 4 Kwa Art n design classes. Mwalimu hatusomeshi😬😤 weeeeh!! waliniruka nikapewa punishment ya kuosha choo!! Lunch yangu ikawa malipo ya muosha Choo. Ajabu nilikua no 1 Kwa KCSE. Uzuri mkubwa Wa Shule alitambua Ni kweli,😂😂
Thousands lessons.
Ukiacha comedy hili ni zaidi ya funzo.
Dah hii tabia ipo sana, kunawatu wanajifanya walalamikaji wakubwa sana, mukienda mbele ya boss, wao wanarud nyuma na kuonekana wew ndo mchochezi, ndio maana mmi hujitahid sana kukwepa watu wanafki kama hawa, 😅😅😅😅
Hii Ni Sawa Na Ile Ya Kati Ya Mange Na WaTZ. Amakweli Mipango Sio Matumizi! 😂😂😂
Duh hi kibongo bongo ipo xna yaan,, True story Joti 😕😢
Daaaah maskini weeeeee 😂😂😂😂😂 wamemponzaaa ila ipo kweli hii tabia
🤣🤣 Sku moja tulgom kufanya graduation tukasem tusitoe hela ya graduuu 😂😂😂 zkaletwa fimbo kam zote ambae hataki gradu akae upande huu wengine watoke njee wakatok wote tukabaki wa3 darasa zima 😝😝😝😝
Jaman JOTI unajua sio siri mimi napenda hizo mbwembwe zako tu NISHAI.. Like nyingiii
Kwel kbsa joti mfazili mbuzi binaadam atakupa maudhi hahahaha 😂😂😂😂 leo joti amentia huzuni maskiniii😢😢😢
Hahahha uwiii nmecha mbk nimetowa machozi jmni wallah joti umeniweza