MADAWA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 3 сер 2022
  • Katika vitu sio vya kucheza navyo ni serikali, hasa katika hii idara, Maana wanaweza kuja ukadhani ni wenzako kumbe wapo kazini...
  • Комедії

КОМЕНТАРІ • 844

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly Рік тому +28

    East Africa hakuna joti.
    MASHAALLAH 🎊🎉🥳🥳👌kipaji kama kipaji,yaani hakuna kufosi

  • @hassanimapanga7024
    @hassanimapanga7024 Рік тому +31

    Kama naww umesikia mwamba akisema dan ger gonga like twende sawa joti mbavu zetu tafadhali🤣🤣

  • @emanueledwin5685
    @emanueledwin5685 Рік тому +103

    Team joti tujuane hapa,,nipeni like hata kumi leo cjachelewa saana

  • @wellbrand3415
    @wellbrand3415 Рік тому +28

    Escape Plan hatari sanaa...
    Polisi wamekula vumbi 😂😂😂😂

  • @lulumussa6458
    @lulumussa6458 Рік тому +18

    Joti on. 🔥🔥 utaira juu ya uchizi aisee nimecheka sana big up 🆙 ila tumemiss KIPANDE na SOPA 💪

  • @nilla1657
    @nilla1657 Рік тому +12

    Joti udalali wa nyumba anauleta kwenye biashara haramu anafunguka tu😄😄😄😄🤣

  • @McHellenIsaboke
    @McHellenIsaboke Рік тому +48

    Nakutazama kutoka New Jersey 🇺🇸 sasa hivi, uko na wafuasi wakenya 🇰🇪 wengi sana huku Joti. Lots of ❤️ 😍. Mungu azidi kiwalinda na kuwatunza waigizaji wetu wote kwenye team yako

  • @hitngwasutv971
    @hitngwasutv971 Рік тому +11

    🤣🤣🤣🤣🤣yani mwanzo nilikuwa naichukulia poa sana ira mwishoni nimecheka kamafara kabisa Joti no1 comediantz

    • @mzeewamjegeje
      @mzeewamjegeje Рік тому

      MJEGEJE NALELEWA NA SHUGA MAMI👇👇
      ua-cam.com/video/DJ-xEXgMXcU/v-deo.html

  • @fredrickdanford8666
    @fredrickdanford8666 Рік тому +26

    Asanteee Sana joti kwakuendelea kutufurahisha 🤣🤣

  • @johnngeke6457
    @johnngeke6457 Рік тому +10

    John ngeke from KIBAHA naombeni like Kama tukopamoja na team joti

  • @yasrikomba7874
    @yasrikomba7874 Рік тому +2

    Daah nimecheka sana sana joti umejua kujiongeza sana

  • @mrjaula7769
    @mrjaula7769 Рік тому +15

    Kazi mandonga Amekubalika mpaka na Mzee joti mwenyewe 🌟🌟🌟

  • @abelmange5430
    @abelmange5430 Рік тому +4

    Jamaa anakwambia Dangeli Yaan Danger...Nishai kajiongeza mwishoni 😂😂🤣 Kapita Na mdundoo 🤣🤣

  • @linahsemindu4261
    @linahsemindu4261 Рік тому +2

    Huyo aliesema danger danger ndo kamstua joti kwa ishara zao 😆😆😆

  • @salama1113
    @salama1113 Рік тому +2

    Nipeni like mwenzenu nimecheka hadi nimelia sio kwa ukilema huwo nishai😂😂😂😂😂

  • @TamuzaKale
    @TamuzaKale Рік тому +6

    WE MSENGE utaniua kwa kucheka. Kumanina nimecheka balaa. Sasa kile kipande cha kuona wenzako wamejibadili. Ukaona isiwe tabu, bora na wewe uligalambuwe tu!

  • @africanmandetraveler2847
    @africanmandetraveler2847 Рік тому +11

    Mwishoni nimecheka mpaka mbavu zimeuma😂😂

  • @mcdanta6919
    @mcdanta6919 Рік тому +1

    Mwamba huyu hapa😀😀😀

  • @halimaroma3062
    @halimaroma3062 Рік тому +2

    Nimecheka kifala kwaiyo kule mwish ni mandondocha au🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @abdallahahmed2776
    @abdallahahmed2776 Рік тому +4

    Shukran brother nimecheka sana huwa napenda ukiigiza kama NISHAI.

  • @abedysteven4930
    @abedysteven4930 Рік тому +6

    Jot utaniua na kicheko 😁😁😆😂 nmecheka mpaka machozi!

  • @waluzeomar6853
    @waluzeomar6853 Рік тому +3

    Eeehhh piece 50 kumbe ni vilema 3 mwanangu hujawahi ni angusha kwa kweli 💯%😂🤣🫵

  • @ashnaom2270
    @ashnaom2270 Рік тому +3

    Huhuuu mnajua kaz , jot timu yako muishi maisha marefu

  • @babatuidy2101
    @babatuidy2101 Рік тому +24

    🤣🤣🤣🤣 hilarious 😂 from Burundi 🇧🇮 9/9

    • @AmanAbdalah
      @AmanAbdalah 11 місяців тому

      Nishaaaai kikonteeenaaaaaa nakukubali saana broo lakin punguza kutoa vidio unajaza simu yangu brooo

  • @suleimanngare6707
    @suleimanngare6707 Рік тому +1

    Noma sana yani jot na team yako uwaga mnaniacha hoi kabisa big up sana🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🤝

  • @ayubuchristian7356
    @ayubuchristian7356 Рік тому +3

    Mnatak kaz mtu kaz mandonga au!!! Joti n nomaa

  • @shyneafya2468
    @shyneafya2468 Рік тому +1

    Dah yan Mecheka sanaaa dah Jot kibolo😆😆😆😆😆

  • @lilianalmas5911
    @lilianalmas5911 Рік тому +12

    😂😂😂😂 Joti Mzee wa testa Hadi mirungi testa. Binti Suzy kaupiga mwingi kwenye uteja 😂😂😂🙌🏼🙌🏼

  • @Waytozanzibar
    @Waytozanzibar Рік тому +6

    😂😂😂😂😂😂😂 Joti ninoma sn 💯🌱👍🏽👍🏽🤙🏼🤙🏼🤙🏼❤❤❤❤❤❤💥💥💥😍

  • @abdulyally1408
    @abdulyally1408 Рік тому +33

    Nakubl big up Joti na team yako!!!

    • @tonymaster3619
      @tonymaster3619 Рік тому

      ua-cam.com/video/Pla6c5WGotA/v-deo.html🥰

    • @denicmrema4296
      @denicmrema4296 Рік тому +2

      Kali

    • @mzeewamjegeje
      @mzeewamjegeje Рік тому

      MJEGEJE NALELEWA NA SHUGA MAMI👇👇
      ua-cam.com/video/DJ-xEXgMXcU/v-deo.html

  • @lynderperry563
    @lynderperry563 Рік тому +2

    Daaah nmecheka sana mpaka machozi,joti ni bonge la comedian

  • @Pascal1122
    @Pascal1122 Рік тому +1

    Huyo mama kinoma sana , ametisha ile mbaya 🔥🔥🔥🔥🇨🇩243

  • @omotemaina6243
    @omotemaina6243 Рік тому +1

    Joti me mkenya kisii hatari toka Nairobi kasarani mambo freshi bro Chanel yako bomba nmelike nmeshare nmesurbscribe pia……zidi kujituma mambo yako freshi barida

  • @aflahabdula4084
    @aflahabdula4084 Рік тому +2

    Joti mama ako kazaa nimecheka mpaka sijiwezi 😂😂😂

  • @allykhalfan9513
    @allykhalfan9513 Рік тому +4

    Komedi ni nzuri na inafundisha pia kuwa biashara za madawa ni haramu na nikosa kufanya biashara kama hiii

  • @maulidamir2420
    @maulidamir2420 Рік тому +3

    Kazi kazi Mandonga joti buanaa

  • @mwanaidiabdallah7311
    @mwanaidiabdallah7311 Рік тому +1

    Dan ger yaani danger n hatari apo joti kimbia

  • @Dulla_kite
    @Dulla_kite Рік тому +5

    Kazi kazi, kazi madonga au🤣🤣🤣🤣

  • @faizamohamed6993
    @faizamohamed6993 Рік тому +13

    Kiboko ya comedians ❤️❤️❤️ mingi from kenya

    • @hanifwari206
      @hanifwari206 Рік тому

      A Kenyan watching you from Doha Qatar

  • @peterswai391
    @peterswai391 Рік тому +4

    Nice,nga ngaa ngaa haaa, nakuona CEO wa comedy TZ God bless more brother and your team

  • @kapona927
    @kapona927 Рік тому +8

    Ingekua kunasehemu ya comment ya sauti ningecheka sana🤣🤣🤣🤣

  • @muhammedtz287
    @muhammedtz287 Рік тому +1

    We Ni Atali 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂

  • @asiri-romy-simba3671
    @asiri-romy-simba3671 Рік тому

    We joti kichwa haina akili lengo utuue, great Brain Sir songa mbele

  • @abdulkiwanga5432
    @abdulkiwanga5432 Рік тому +1

    umetisha

  • @mbarakasaidi8243
    @mbarakasaidi8243 Рік тому +4

    🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 jot Leo umenipata🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @mary2615
    @mary2615 Рік тому +18

    Really amazing 👍🏻💕💫

  • @harrymakongwa1147
    @harrymakongwa1147 Рік тому +2

    Hahahaa Joti mjinga kweli ,..
    Nani kaona kiatu 😀😀😀

  • @jobssteverosenberg9183
    @jobssteverosenberg9183 Рік тому +1

    Weeee nishai noma sanaaaa
    Nakubali sana

  • @wilisipanganiwilisi3751
    @wilisipanganiwilisi3751 Рік тому +1

    Mlawa umetisha babuuu very creative comedy nimecheka Sanaa aisee mpaka boss kanifikuza kazi nimerudi home asubui tyuu

  • @mfaumeabasi1535
    @mfaumeabasi1535 Рік тому +2

    Sijawahi kucheka Kama Leo Leo nmefurahi sna aisee hongera sana unastahiri kabisa kuwa comedian Bora Tanzania aisee unajua ww na company yako mungu awazidishie zaidi tuzidi kufurah na sisi hicho n kipaji cyo propaganda.😁😁🤣@Madawa_joti.🤣🤣

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Рік тому

    Eti we kama mpishi mnatisha sana.👍👍👍👍❤❤👍👍👍

  • @lawitheofans7580
    @lawitheofans7580 Рік тому +2

    Ya Leo kali mabosi wamegeuka mazombi😂😂😂

  • @ummyirembe6145
    @ummyirembe6145 Рік тому +1

    Nishaii Suzy na Kanyinyi mmetisha sanaaaaaa

  • @abdulgafar01
    @abdulgafar01 Рік тому +1

    Nikiwa bored kazini, I enter on UA-cam one of d videoz nazikuta ni za Joti TV kwa sababu, I watch them often... Ila hii scape plan imeniua afu nikacheka ofisi nzima nikaonekana sina akili... Big up Joti na team yote kazi nzuri... All d way from Mozambique 🇲🇿

  • @juniormohammedi5481
    @juniormohammedi5481 Рік тому

    Nakukubali nishai sijawai kukupinga bba

  • @shebbybrain9346
    @shebbybrain9346 Рік тому

    Dangeri dangeri....kumbe mhuni ana maanisha denja

  • @bensonchaula4253
    @bensonchaula4253 Рік тому +1

    😂🤣😂🤣😂et mwamba huyu apa

  • @gatekanene5753
    @gatekanene5753 Рік тому +3

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣JOTI JOTI JOTI sikuwezi baba 🙌

  • @ramjum322
    @ramjum322 Рік тому +1

    daah jamaaa hua anakua na mwanzo mzur na anamaliza vizur big up san bro unatisha🔥

  • @jacklinejerr2447
    @jacklinejerr2447 Рік тому +5

    🤣🤣😂😂😂nimecheka mpaka nimekohoa duu

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Рік тому

    Jot walidishe Kipande na Sopa na dada yule jaman tumewamisi sana,

  • @sabinaonline6575
    @sabinaonline6575 Рік тому +1

    🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Uwiii mbavu zinauma jamani nimecheka daahhh kweli joti ni noma

  • @cassalyjames9129
    @cassalyjames9129 Рік тому +1

    Mzee baba daa🤣🤣🤣🤣🤣iyo kali

  • @nazizutv803
    @nazizutv803 Рік тому

    Sanaa mzee kiboga

  • @shommytheway8056
    @shommytheway8056 Рік тому +1

    Unyama sana
    Mzee wa siasa hapa from mbweni

  • @achymedia
    @achymedia Рік тому +41

    Best Comedian ever 👑

    • @tonymaster3619
      @tonymaster3619 Рік тому

      ua-cam.com/video/Pla6c5WGotA/v-deo.html🥰

    • @shebby4328
      @shebby4328 Рік тому +3

      Code zipo nyingi😀😀😀
      Team joti tujuane kwa like

    • @mzeewamjegeje
      @mzeewamjegeje Рік тому

      MJEGEJE NALELEWA NA SHUGA MAMI👇👇
      ua-cam.com/video/DJ-xEXgMXcU/v-deo.html

  • @jamesdeus9992
    @jamesdeus9992 Рік тому +3

    🤣🤣🤣🤣🤣..hizo style walizo Ondoka Nazo Sasa...wametisha!!

  • @deejeydaev
    @deejeydaev Рік тому +1

    Now this is creativity..
    Yan iko unpredictable..
    Safi sana , now you are back

  • @aljenomodesthmpaji6567
    @aljenomodesthmpaji6567 Рік тому

    Dah jotti kamalizia vizuri sana nimecheka mpaka nimepiga teke meza ya chakula

  • @herenapaulo7487
    @herenapaulo7487 Рік тому +1

    Kizaz sana nishai uko vyema mzeee

  • @hapinesphilimon8127
    @hapinesphilimon8127 Рік тому +1

    Si ugundue kua awa ni mapolis

  • @alfredjohn5693
    @alfredjohn5693 Рік тому +2

    Siku zote joti namkubalia,,😁😁

  • @yourvideostz1579
    @yourvideostz1579 Рік тому +8

    😁😁😁iyo ending scene kwel umeuwa,..iyo inaitwa Akili kichwani

  • @jumaamrani3295
    @jumaamrani3295 Рік тому +1

    genius hhh daaah style ya kutoroka mlioitumia ni nouma

  • @justinathanas6783
    @justinathanas6783 4 місяці тому

    Joti is the Best Comedian in East Africa 🔥🔥

  • @mohamedsheealom8745
    @mohamedsheealom8745 Рік тому +2

    🤣 Joti kasoma kodi 😂😂ingia ndani ugeuke kipofu wana sio 😂😂😂😂

  • @predictioneasyodds2779
    @predictioneasyodds2779 Рік тому

    Yaan katika vomedy zote hii kiboko sanaa

  • @simonmisri7824
    @simonmisri7824 Рік тому

    Nakukubali keakazi joti

  • @boazambokile2587
    @boazambokile2587 Рік тому +1

    🤣🤣😂😂😂😂 Alfu nyie acheni usenge nacheka peke yangu kweli

  • @uncleyusuph7920
    @uncleyusuph7920 Рік тому

    We mtu laana ....hakuna kama we star sana ,na team yako nawakubaliiiiiiii

  • @ziyandamhlana8776
    @ziyandamhlana8776 Рік тому +2

    Nic video best comedy in Tanzania

  • @niyongendakosamuel858
    @niyongendakosamuel858 Рік тому +1

    Nishai bans😂😂😂😂

  • @starlonejadamskp8224
    @starlonejadamskp8224 Рік тому +3

    Hujawai niangusha Jotiiii 🤣🤣😂😂😂

  • @nickymustafa4306
    @nickymustafa4306 Рік тому +3

    Joti 🤣🤣🤣 one love from Mozambique +258

  • @amoskithy5705
    @amoskithy5705 Рік тому +1

    Kaua bro,💣💥🤣🤣🇰🇪🇮🇹

  • @TupoComedy
    @TupoComedy 8 місяців тому

    One love tm jot naomba like

  • @JudithDaniel-sw4og
    @JudithDaniel-sw4og 20 днів тому

    😅😅😅😅😅😅😅jot anduu wangu

  • @Matiherbalist
    @Matiherbalist Рік тому

    Hahaha😹😹😹 miguu ni ponye

  • @hamidabdalla1814
    @hamidabdalla1814 Рік тому +2

    Duhhh ..hii nimecheka sanaa🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂

  • @jumajoseph9353
    @jumajoseph9353 Рік тому +1

    Daaah kudadeki jot we nouma nimecheka kwa saut peke angu hada machokhaaa 🤣🤣🤣🙌🤣

  • @mbogwestationery1342
    @mbogwestationery1342 Рік тому +1

    Joti ni hatri kaka best comedy show

  • @abdulccmyabongoiyooo8101
    @abdulccmyabongoiyooo8101 Рік тому +1

    Hongera bro mungu abres kazi yako

  • @mwambiretv165
    @mwambiretv165 Рік тому

    Kutoka Kenya huku kwema ila ni kwema zaidi Kwa zenye #full support

  • @mohammedbashock7763
    @mohammedbashock7763 Рік тому +1

    Safi Sana wanangu. Ila hapo kwenye mandonga hapo

  • @athmanywaomary3204
    @athmanywaomary3204 Рік тому +1

    Khaaaa! Nishai Kama Nishai,,, Nishai Kontena! 😂😂😂😂😂

  • @jp1780
    @jp1780 Рік тому

    Police wamepigwa nakitu kizito usoni!😂😂😂

  • @cholomsury1548
    @cholomsury1548 Рік тому

    Watching from Toronto...

  • @francisnatal9091
    @francisnatal9091 Рік тому

    Aseee mnaua mbavuuu kwaaa kwaaa

  • @ramashemngindo5719
    @ramashemngindo5719 Рік тому +8

    Leo wa 26 gonga like hapa

  • @chigofapeka8187
    @chigofapeka8187 Рік тому

    Mmmmh jot ww umeshindikana haiseeeh