Biriyani ya kuku | Jinsi yakupika biriani ya kuku tamu na kwa njia rahisi | Biriani | Colloboration.
Вставка
- Опубліковано 21 сер 2024
- #biryani #birianiyakuku #swahilibiriani #biriani
Website:rukiaskitchen.com
Instagram: rukias _kitchen
Facebook: Rukias kitchen
Cookpad: Rukias kitchen
Suhayfoods (wali wa ouzi )➡️ • Jinsi ya kupika wali w...
English recipe follow the link➡️ • Biriyani | Chicken bir...
MAHITAJI:-
Kuku 1kg
biriani powder kijiko 1 chakula
Chicken masala kijiko 1 kidogo
manjano kijiko kidogo
magi ama jumbo
garamasala kijiko 1 cha kula
vitunguu vya maji 5
kotmiri / dania
mafuta kikombe nusu
maziwa mtindi kikombe 1
kitunguusaumu na tangawizi vijiko 3 vya kula
chumvi
foodcoloring tafuati
viazi 3
tomato 5 kubwa
tomato mkebe vijiko 4-5 vya kula
ndimu 2
For more swahili videos follow ➡️ / @mapishiyazanzibar
➡️ / @husna_laltia
➡️ / @eastafricanfoodsrecip... - Навчання та стиль
Mashallah habibty Asante Leo nitapika inaonekana ni tamu Sana Allah akubarikie mkono wako
Mashaa Allah tabaraka Allah unaweza mmy tafatilia ili jue zaidi
Masha Allah pambe kabisa kipenzi chetu pishi zuri shukran
MashaAllah leo nitapika hii looks so yummy 😋
The biryan looks yummyy mashaaAllah..shukran for sharing habbty❤❤🥰
M.mungu aibariki kazi ya mikono yako Inshallah
Jamna thanks nimepika wame enjoy sana piah wajna wang weye ❤❤❤
Mashaallah shukran habibty
am a big fun of your recepies .i have cooked this for Eid and it was amazing🤗
Your number 1fan ..you just made me like cooking even more 🤩
Kazi mzuri mi naitwa sheifu juma namfuatilia sana video zako
Asante nimeipika boss akaipenda
Hongera jamanii🥰🥰
Looks yummy, good job dear, sending love from Tanzania!!
Asante sanaa dada rukia. Ntajarbu
Hongera sana mamy umefanya nimekuwa fundi wa kupika
Madam Hz vtu unazieleza zakueleweka kabisa ndo mana naipenda upishi wko keep it up
❤
Mashaalla
Good explanation,you gain a follower
Mashallah Allah barik nitapika inshallah
Nice
Thanks
🤗🤗🤗🤗🤗😋😋😋😋ningeweza ningekutumia picha jamani🤗🤗🤗thanks thanks thanks for the tips I made it biriani bata Idd mubarak kwetu safiii kabisa bi Rukia,Jah bless you 🥰🥰
Ahsante
❤❤❤❤
Mashaallh
Nimeipendasaana birianikuku
Asante sana nitatumia njia yako kupika ntakwambia
This is so perfectly done Rukia👌
Thank you soo much
Mash Allah mpendwa,,,,he mchuzi Wa biriani hautakiwi kuweka hoho na karoti
Asante Sana Dada mungu akupe maisha mlefu yenye amani
Ameeen ameen asante
Vizuri😊
Mashaallah
Asante tunamba tumeelewe my
Very nice 👍
Shukran Allah akuzidishie elim
Ameen yarabi inshallah
Ahsante mom
Ahsante mzuri sana 😘😘😘😘❤
Nakupenda sana my d napika sana kupitia wewe
Mbn haujaweka kitunguu kwenye wali nataka kupika ndo maana nimeuliza
Tumeelewa
It's your cool voice for me
Awwww 😘😘😘
Im hungry!
Hahaha welcome love 🥰
U r the best dear💕💕💕
Thank you
Shukrani habbty
Nimeipenda
...will definately try this ..yummy
Mashaallah very nice 😘😘
Naic
Excellent
As nakuuliza unaweza kutia pilipili manga yaani ukimaliza kupika like more yummy maana nyumbani wanafanya hivyo sio kwa kuku but kwa wali
Sijawahi jaribu dear hapo sijuwi
Nazi haitafaa nikikosa maziwa mtindi
MashaALLAH
Hii kitu itanikomaaa, nilitamani sana kujua hii biriani kati ya mapishi nilikua sijui ni biriani na pizza
Hukoseagi kipenzi😋😋👌
Asante mpenzi 😘😘😘
Hbbty mm nilitakka uniunge kwenye group lako la mapish mana hm mashaallah allah akubarik
Love you da rukia
Asante inaonekana
Jmn 🥰🥰🥰
ماشاءالله تبارك الرحمن
Jamani nimeelewa star axant
😋😋😋😋😋😋 dats ol I can xay
Leo nimejaribu kuja mapema😊
Hahahaha karibu sana dear
👍👍
🥰🥰🥰🥰
MashaAllah
Mimi nilikua sijui kupika biriani lakini sasa najua nimejifunza kupitia nyinyi
Mimi pia nimejua kupitia huyu daa😂
Asante dada umajua kufundisha vizur mtu unaelewa
Chei her voice is sweet
Vip wanapika bokoboko
M
Sister Rukia I love u
Yummy!!! Naomba kuuliza Hivi mchele wa basmati kilo moja inatoa sahani ngapi dada?
Mchele hua unavimba hasa ukiuroweka
Am from Kenya where can i get your spices or herbs i do love your ingredients
If ur in Nairobi you can get them koma rock / Nyama villa contact ➡️ +254 787 022663 and mombasa majengo contact ➡️ +254 791 784401
MashaAllah inavutia sana 👌
Asante sanaa
Mambo
@@RukiaLaltia mamb rukia
Habari nimeona pishi lako la kuku zuri Sana Sasa mm nataka kupika la familia Sasa itakuaje bila mchuzi watu watakulaje pilau au wali bila mchuzi wa kutosha Sasa nitapikaje na mm huo mchuzi wa birian?
je ninaweza kutumia njegere badala ya zabibu?
Nsombs kujus garan masala ndo ile simba mbili ya kopo?
No hapana ni vitu tofauti
Assalam Alaykum, hugo kuku wa kienyej au wa kisasa?
Wa sasa
Waezatumia turmeric
Je unaweza kutumia maziwa ?
Madam Rukia uko sawa kabisa nipe No yako hki plz
If I don't have chicken masala
Can I use royco chicken
Yes u can
Daa rukia hem nipe no zako
Yaan najiramb ata sijala yan we Kwanz unajin kam kam lang ilove you somo mmmmwah
Tamu sana
Unaweza kupika biriani bila tungule nzima
Youghurt ni plain ama flavored?
Plain
Kuku wakienyeji?
Kama hutumii maziwa mtindi unafanyaje
Rukia dear naweza kuwek aront nikimaliza kupika lost
Aront nn
Kongole
Naulizia kama kuku haujaichamsha haitakua mbichi?
Unaweza chemsha ni sawa pia
Shukran appreciate your dish😋
Ranging za ubuyu haziwez
Hmmmm I think waeza
Kuku ni kienyeji au grade?
Mm sijuwi tofauti ya kuku samahani
@@RukiaLaltia mh acha uongo basi mh basi hata kuku humjui ww
Habar dada eti kwanini rosti ya Biriani inakua tam kama imeekwa sukar
Nzuri hapana usiweke
Mubishimuzurautanifubish
Je naweza pata namba au unaweza nitumiakazi zako kwa whtasp
Naweza pata no yako
Kama kuku umenunua washakaagwaa
No hapana wabichi
Asante sanaa dada rukia. Ntajarbu
❤
Mashaallah