@@BhuzoheraBhuzohera-w5inani kakwambia ni dictator anapigania uhuru wa kila nnchi kua na haki ya kufanya maamuzi yake unamuita dictator u r stupid we need a multipolar world not marekani aamue hatima ya dunia akiona ushoga sawa wote tuukubali upumbavu tafuta knowledge
Hii ndio shida ya sisi Waafrika. Wanaume wakipeana matako inakuhusu vipi?Shughulika na maisha yako kutengeneza the world to be a better place, mambo ya mashoga achia mashoga bana
Ruto ww unafikili kuwa wewe na nchi yako ni NATO? acha kuwa mfuasi wa hao magaidi na wakoloni hatuna mahusiana ya hivo waafrica na hao wezi wa Dunia hii
Kujahajakubwa africa zitawale tawala zaasili au twendekifalme kama haowenzetu njia yademoklasia siinzulikwetu fuingoziwengi africa njaaipo kwenyeubonko
Maadui wa afrika ni viongozi wao wenyewe, sasa mzee ruto ishu ya urusi na ukreini inakuhusu nini au ndo kukoroga bahari kwa kijiko, fanya mambo ya umuhimu kaa nchi yako, bora uwe adui wa marekani kuliko kuwa rafiki,
From TANZANIA Mimi Ruto nilikuwa nampenda sana lakin kwa hatua aloichukuwa kumpinga Putin simpendi tena. Nitabakia kuwapenda ndugu zangu wakenya lakin sio Ruto. Ruto hafai
@@hamidamussa-sy4fm soma historia zelensky watu wa dombasi alivokuwa anawapiga kisa wanaongea luga ya kirusi na wao wana asili hiyo. Alionywa mara kadhaa zelensky awache kuwapiga na kuwauwa akakataa sasa baba yao kawavamia acha wapigwe
Njaa mbaya sana Congo apo wanakufa kama kuku, wameishtaki kampuni ya😂simu kwakutumia madin kinyume na serikali ajasema hao ni jiran zake yuko kuhaha huko sasa ana
Ni sawa ndio maana Hamas ilivamia Israel kwanza na kuua watu 1200 na kuteka zaidi ya watu 200. Au wewe hujui hilo? Kosa la Israel ni kulipiza kisasi kupitiliza lakini kimsingi walikuwa na haki ya kujilinda wanaposhambuliwa km sheria za kimataifa zinavyosema.
Sasa ulitaka urusi asikemewe kwa uvamizi wake.Afrika tuache ujinga uliotujaa.putini kafanya kosa na anatakiwa akemewe na mataifa yote kama alivvyofanya Ruto.Hongera Ruto mpenda haki na msema kweli ni mpenzi wa Mungu.
Hiki kijamaa kimezidi uchawa kwa wamagharibi,kitakuja kuwaponza wakenya kwa upumbavu wake,wakenya kuweni Makini Sana na hiki kujamaa ni Cha ovyo-ovyo mno
Wanajeshi wa kenya sasa wajiandae na kutolewa muhanga maskini inasikitisha. Na hii sasa teyari inatusogezea uchokozi karibu kwan nchi yetu tz inaamani ya kutosha n wazungu hataki amani. Sasa mm inanipa hofu kuwa jirani na kibaraka wa america kwa kweli. Mungu atulinde.
Ndugu zangu wa kenya poleni sana huko afrika magharibi wamarekani na wafaransa wanafukuzwa nyie kwetu huku afrika mashariki mnawakaribisha na kuwakumbatia shauri zenu mtakujajuta muda siyo mrefu
@@MathewNathan-yb2bzhujui nini chanzo, aliyekuwa waziri mkuu wa Uingereza alichangia kwa kiasi kikubwa Mrusi alianzishe imejulikana juzi juzi, waingereza walivyosikia wakabaki hoi! Kwa hiyo kama hujui hawa wa magharibi ndo walioianzisha hii vita. Hata Tanzania tulivyoingia Uganda tuliambiwa tumevunja sheria za kimataifa kwa kuingia ndani ya Uganda.
Jeshi lipi si alilianzia hilo kwanza huenda alinua huyo mkuu wake wa majeshi angepinga, huyo heri mngempa urais Jaluo tu. Kumbe alikuwa anatumiwa muda mrefu na hao jamaa
Inafurahisha kwmb niwaKenya wenyew ndo wamemjibu Uzur nikwmb Urusi haingilii xaana mamb ya ndni ya nchi wala kulazimisha Upande Imagine Russia inaiwezesh Al-Shabab je Kenya itakua salama kweli ?
@@MathewNathan-yb2bzkuua si jambo zuri kwa Mungu putin anakosea lakini anaowaua putin ndo haohao wanaoua waafrika na kutunyonya pia. Mfn mdogo NATO walvomuua gaddafi na wanamapnduzi weng wa africa
@@abdallahngoe kwa hiyo unataka useme kule zanzibar kwenye kila uchaguzi wanaouawa kule wanauliwa na hao wazungu?Hata sisi waafrika wenyewe kwa wenyewe tunauana sembuse wazungu.
Sisi kama wakenya hapa hatuna rais wallah,,, who the hell is this guy
Si bure Kenyata …..poleni
Boda Boda
Mmeyakanyaga Sasa rais Gani huyu
Funny thing mlimchagua wenyewe 😂😂 siasa uongo bro always na uyo yiuko kimaslahi na tamaa
Tangu alipochaguliwa nchi imepata maendeleo gani
Huyo jamaa ni njingaa sana lazima hapewe kichapo na hutts ndo mahana hata Julius Malema alimchana na kumwambiya yeye ni ki Baraka wawazungu
Kibaraka yupo kazini, anafanya kazi yake aliopewa ya ukibaraka.
Nilichogundua uyu katumwa na haya ni miongoni waliyoongea na raisi robot wa marekani hapo hakuna tena kiongozi uyu ni mtumwa
Kweli wewe umeona this man is a mind slave 😂
Tamaa tu ndo alokua nayo akizani miaka mengine atapewa urais
Putin #Russia Welcom Tanzania 🤝
Huyu dicteta aje afanye nn
Kaulize Afrika Magharib kama dikteta au sio dikteta
@@BhuzoheraBhuzohera-w5ishoga lazima useme Putin ni dicteta coz hasaport kuuza kutobo😂
@@BhuzoheraBhuzohera-w5inani kakwambia ni dictator anapigania uhuru wa kila nnchi kua na haki ya kufanya maamuzi yake unamuita dictator u r stupid we need a multipolar world not marekani aamue hatima ya dunia akiona ushoga sawa wote tuukubali upumbavu tafuta knowledge
Kule Afrika Magharibi walikua nao miaka mingi sana lakini sasa wamegundua makosa yao na wanawatimua
Ruto choko na wanaoshabikia nchi za marekani na Israel ni mashoga tu
Wewe ndio shoga 😮
@@zebedayokatamaduni9676 Ushawahi kufirwa Wewe mbwa tulia acha uchoko nenda kaishi malekani baas
@@sbboymkaliofficial9108 wewe ndio shoga, unapenda ushoga wewe, pole sana kuwa shoga
Wanaume tupo Russia
Huyu nae anavojipendekeza kwa wamarekani kuiendekeza njaa tu
Hata nashindwa na yy kuzungukazunguka kwenye nchi za wazungu doing nothing he's a fool
Poleni sana kenya apo kuna kopo la oil
😂😂😂
Hahahaha kweri kabisa 😂
Umelionavizuli ndiohivyo
😂😂😂True
😂😂😂😂
Sasa hivi utasikia sherehe za LGBTQ zina adhimishwa Kenya.
Kwenye ndoto yako 😂😂😂
TATIZO LENU WAKENYA MNAJIFANYA NI WAJUAJI SANA NA HAMTAKI KUAMBIWA.
Ndivyo
Kabisaa huu mwaka hauishi
Hii ndio shida ya sisi Waafrika. Wanaume wakipeana matako inakuhusu vipi?Shughulika na maisha yako kutengeneza the world to be a better place, mambo ya mashoga achia mashoga bana
Ruto ww unafikili kuwa wewe na nchi yako ni NATO? acha kuwa mfuasi wa hao magaidi na wakoloni hatuna mahusiana ya hivo waafrica na hao wezi wa Dunia hii
KATIKA HISTORY YA KENYA, YA KENYA SIJAWAI. KUONA KIONZI MJINGA KAMA HUYU, SWALI JE WENYEWE MAUMAU WAKIFUFUKA NA KUONA. KENYA IMEUZWA WATASEMAJE?
Hata mm bana tamaaa mbaya
Kujahajakubwa africa zitawale tawala zaasili au twendekifalme kama haowenzetu njia yademoklasia siinzulikwetu fuingoziwengi africa njaaipo kwenyeubonko
Mbona huko Israel wanaua waparestina hujaona wewe ruto
Ndo hapo sasa
Ruto ni puppet ya wakoloni africa tuko na shida congo,chad,sudan,Eritrea nkt vita tunataka amani
@@blessingsmary Puppet aje... ana akili nyingi.. Russia inakosea kuisambulia Ukraine.
@@tommorara8031Mbna russia haikuishambulia ukraine 2020...kuna sababu kwann russia imeishambulia nenda kachunguxe usiongee kama umezaliwa leo
Amalize njaa kwenje nchi yake kabla aingilie mambo ya superpowers
Maadui wa afrika ni viongozi wao wenyewe, sasa mzee ruto ishu ya urusi na ukreini inakuhusu nini au ndo kukoroga bahari kwa kijiko, fanya mambo ya umuhimu kaa nchi yako, bora uwe adui wa marekani kuliko kuwa rafiki,
Huyu ruto jinga kabisa
Daah huyu Ruto ni mjinga sana kweli Africa kazi ipo 😢😢
Njaaa mbaya mpaka kaandikiwa aseme ivyo ili apate pesa aya ndio ujuaji wenu uwo wakenya kiengereza ichoooo 😂😂😂😂😂
Wazungu Weus😂😂😂😂😂
Ruto unajua ulichopewa😂😂😂
Maokoto😂😂😂😂
😂😂😂😂
alikarishwa kiti cha rais wa marekani akambiwa yeye ndio nyani mkuu africa nzima😂
As a kenyan i believe no kenyan stands with ruto's statement at all.
I do
Ruto angefanya kazi yake tu na kupambana na umaskin wa taifa lake hayo mengine waachie mataifa tajiri
Ata pambana vip wakati ni slave 😂 anafikiri wamarekani wanamupenda
Anajidanganya
Absolutely ulichosema ndugu
Hapo Ruto umeyatimba baba bora ungenyamaza kimya
Sijashangaa kwa hili maana kenya wanasapoti mashoga.. Uganda ameekewa vikwazo kwa sababu hakutambua haki za mashoga
Kenya 🇰🇪 Mumeyakanyaga😂😂😂😂😂 Subirini lijao Linafurahisha
Hahaha
Hujuwi unalo sema Ruto yupo sawa Kwa mfano wewe unavamiwa kwako na kupigwa kisa jirani Yako anaurafiki na Adui yako
@@goodluckmsoka3660 Acha ujinga ruto is a slave man.
Punguza bngi, jirani ambaye anashirikiana na aduwi wote ni aduwi @@goodluckmsoka3660
Wewe ndo hujui lolote @@goodluckmsoka3660
SHOGA RUTO Anapambana sana kuolewa na mabwanazake wakoloni
😂na wataolewa kweli marekani hana utani na makalio bwana
Puten ilove karibu tena Tanzania ulikuwa tanzania jotena ni nyumbani kwenu❤❤❤
Uyu Ruto atafanya Kenya tuvamiwe hapa na nuclear
Mdaa sio mrefu kenya wataruhusu ushoga😢😢😢😢
waruhusu mara mbili kitambo hiyo😅
From TANZANIA Mimi Ruto nilikuwa nampenda sana lakin kwa hatua aloichukuwa kumpinga Putin simpendi tena. Nitabakia kuwapenda ndugu zangu wakenya lakin sio Ruto. Ruto hafai
Kwaio wa uklenni ndio wauliwe urusi ana fanya makosa ukleni anafanya makosa
@@hamidamussa-sy4fm soma historia zelensky watu wa dombasi alivokuwa anawapiga kisa wanaongea luga ya kirusi na wao wana asili hiyo. Alionywa mara kadhaa zelensky awache kuwapiga na kuwauwa akakataa sasa baba yao kawavamia acha wapigwe
Jirani Pole Sanaaa..Hapa Rais Mmepata 😂😂.. ila sisi wa afrika 🙌🏾 Nani katuloga.
Ruto is my president but he plays no fear He defends Ukraine and doesn't support Palestine this ain't fear at all
Ona mjinga mwenzake
Huyu jirani yetu ni njaa ndiyo inayomsumbua mbona hazungumzii congo,libya,palestina, Syria na nyinginezo??
Njaa mbaya sana Congo apo wanakufa kama kuku, wameishtaki kampuni ya😂simu kwakutumia madin kinyume na serikali ajasema hao ni jiran zake yuko kuhaha huko sasa ana
Njaa mbaya
Atulie aache kiherehere misaada anayopewa na Marekani isimleweshe
Hiyo ni sawa na Mbwa koko tena kibogoyo kumbwekea Simba
😂😂😂 mbwa alafu kibogoyo
Chawa kazini... Ila huyo jamaa wakati wa kuomba kula alijifanya mcha Mungu sana ila ona sasa
Kibaraka mkubwa, kenya imekwisha kwa kuwa na Rais kibaraka
I was proud your steps in the begining be like Ibrahim toure make Africa in Freedom
Ndo ubaya wa kubaki na lugha ya kingereza sasa mmeanza kutumikia
😂
😂
😂😂😂
Kwa kweli
Kenya mmeyatimba mtakuja kunishukuru
Bichwa box ndio manyangau yanapenda maviongozi majinga ya Africa kama hili taira la Africaashariki halielewi chochote
Uyu amna kitu majanga kweliii afrika
Yan haka kababu ka Kenya kajinga sana
Stupid ruto
Sasa mnamchokoza Kenya rest in peace
Alijisemea dj Smaa, huyu na yule wa Kigali watakuja kuwa vibaraka machawa East Africa
Ruto sio mkenya nimtusi wa Rwanda
Kabisa jamaa anayo maono ya mbali
Our president to the world 🌍🇰🇪
Tatizo majiran wanajionaga waingereza sana vita Palestine hamjaona mnaona ukrine tu,Kongo hamuoni.ruto ni kibaraka aisee
hukokote mbali jirani zake wapo mwaka 30 vitani somali
Iyo walifanya kukuadikia bt ni sawa utafuna ivi karibuni
Kinaonekana hakijuwi hata historian ya urusi na Africa!!
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂
Ruto kweli kopo nchi za ulaya magharibi hazijawahi kututakia heri ndiyo hao waligawana nchi zetu kama mashamba ya babu zao.soma historia
Wewe Jiingize Kwenye Vita Mwenyewe Alafu Utoroke Nchi utuachie Sisi Wakenya Tukiumia
Ruto ni mngese sana
Kanunuliwa jinga
Mzee kasha left 😢😢😢😢😢
Duh,hii ni hatari, mama samia kaamua kuwa kobe, mstaarabu wetu hataki Mambo mengi, ila Kenya mnakoelekea mjue ni pabaya
Huyu mjinga ajui alichojiunganacho NATO atatusababishia shida Nchi za Afika mashariki😢😢😢😢
Sisi tuko na rais kweli
Kwani Israel ilipo vamia Palestine ni sawa huyu ni chawa Wa magharibi
Ni sawa ndio maana Hamas ilivamia Israel kwanza na kuua watu 1200 na kuteka zaidi ya watu 200. Au wewe hujui hilo? Kosa la Israel ni kulipiza kisasi kupitiliza lakini kimsingi walikuwa na haki ya kujilinda wanaposhambuliwa km sheria za kimataifa zinavyosema.
@@humphreymwihambi4330Israel mashoga tu choko ww
@@omarymwaluko9765ndo imefanya muwaingilie na kuwateka sasa kwa nini mnakubali kuuawa na machoko 😂😂
Ruto shoga
@@humphreymwihambi4330 Ukiwa wapi ume pakatwa Nakupakwa Mafuta Matakoni kwako wewe 😋😋
Njaa ya rais anapigania wananchi wake washibe rais atatukanwa na wale wanaongalia usawa wa rula wanaona mbali wanajua lengo lake ni zuri
Apinduliwe uyo alaka mpumbavu
Huyu rais kilaza east Africa congo hapo wanakufa wala uongelei hiyo upo na ukaraine Je vipi Palestine ww omba misaada utoke zako hapo
Kweli anataka kufanya Kenya ionekane adui wa urusi
Sasa ulitaka urusi asikemewe kwa uvamizi wake.Afrika tuache ujinga uliotujaa.putini kafanya kosa na anatakiwa akemewe na mataifa yote kama alivvyofanya Ruto.Hongera Ruto mpenda haki na msema kweli ni mpenzi wa Mungu.
@@MathewNathan-yb2bz See this one they know just coming write nonsense
@mathew We nae. Haki gani unayo ijua??
@@totonata5384 kwani haki ni nini
@@MathewNathan-yb2bzlamu watu wamechijwa mara ngapi? mzungu ngani alikea, bandit Wanaua Kila mara, nani alikemea?mafuriko yaliua mzungu mgani alisaidia; america ilivamia libya na Iraq nani alikemea? RUTO nkama KAHABA anayefuata pesa,na hatosheki,
Hiki kijamaa kimezidi uchawa kwa wamagharibi,kitakuja kuwaponza wakenya kwa upumbavu wake,wakenya kuweni Makini Sana na hiki kujamaa ni Cha ovyo-ovyo mno
Awa majirani mbona wanataka kutuletea balaa
😂😂😂😂
Sisi hatuna ubaya na nyinyi ni kiongozi wetu ameruka kichwa
Ruto hawezi uongozi@@kelvinkariuki1054
Wanajeshi wa kenya sasa wajiandae na kutolewa muhanga maskini inasikitisha. Na hii sasa teyari inatusogezea uchokozi karibu kwan nchi yetu tz inaamani ya kutosha n wazungu hataki amani. Sasa mm inanipa hofu kuwa jirani na kibaraka wa america kwa kweli. Mungu atulinde.
Ndugu zangu wa kenya poleni sana huko afrika magharibi wamarekani na wafaransa wanafukuzwa nyie kwetu huku afrika mashariki mnawakaribisha na kuwakumbatia shauri zenu mtakujajuta muda siyo mrefu
Anatuchafulia east Africa yetu
😮HUYU KENGE WA KENYA kapotea kbbsa, PUTIN/RUSSIA oyeeee
Hujui kati ya watu wabaguzi duniani na wenye roho mbaya ni hao,
Afrika acheni ujinga.Ruto yuko sahihi na ni mpenda haki.ww unavyoona putin katenda haki kuivamia nchi nyingine?Afrika punguzeni ujinga basi.
@@MathewNathan-yb2bzhujui nini chanzo, aliyekuwa waziri mkuu wa Uingereza alichangia kwa kiasi kikubwa Mrusi alianzishe imejulikana juzi juzi, waingereza walivyosikia wakabaki hoi! Kwa hiyo kama hujui hawa wa magharibi ndo walioianzisha hii vita. Hata Tanzania tulivyoingia Uganda tuliambiwa tumevunja sheria za kimataifa kwa kuingia ndani ya Uganda.
Ruto hawajui wa magharibi ipo siku watampa fundisho ndo atajua ajui
@@MathewNathan-yb2bzPutin aliamka tu asubuhi akavamia ukraine? Someni fatilieni mtajua ukweli ni upi
Sisi kama wakenya,, tafadhali hatutambui huyo ruto , please putin just come for ruto personally
😂😂😂😂😂
😅😅😅
🤣🤣🤣🤣
Jamaa ni papet wa high level
Jamaaa chawa wa marekan
Kabsaa
Tanzania tuwe makini sana tuache jirani atumike mwenyewe
Mzee huyu sasa anataka kung'olewa kijeshi
Jeshi lipi si alilianzia hilo kwanza huenda alinua huyo mkuu wake wa majeshi angepinga, huyo heri mngempa urais Jaluo tu. Kumbe alikuwa anatumiwa muda mrefu na hao jamaa
@@sosmakanya4901walimuua kiongoz wa jeshi ili kusiwe na mpinzani katika mjinga wao huu coz anajua wange muondoa kwa nguv
Africa nzima huyu mwehu ndo mwenye kihere here
Wakenya hebu mchunguzeni vizuri Ruto. Kweli ni mkenya? Au Raia wa kigeni?
Nikweli kabisaa ruto akili mingi ukweli mzuri sana wengine wanaaa
Akili kama pumbu 😂😂😂😊
Akili gani aliyonayo Ruto, anajipendekeza tuu hana lolote subiri muone kenya kitakachowapata ndipo mtaamini kuwa putin ni jeshi kubwa.
Kama li nyani la Africa Ili limekuwa li jitu la ovyo sana li luto
Njaa haina akili siku zote.. tusimlaumu.. Akitazama wananchi wake wana andamaai kwa kulilia sembe lishuke bei 🤗🤔😂😂😂😂😅😅 wacha ajizime data tu🤣🤣🤣
Nawaona nyote hapo hamna akili timamu vp Moja wa wanaopigama hayupo eti mnasaka amani wehu.
Kweli kabisa
Tamaa ya kukaa n wamagharibi ndio inamfanya aropoke chochote kile ili wazid kumpenda
Ruto anafanya kosa kubwa la kimkakati. Russia ashawahi mwambia Kenya anatikisa matikisa mbuyu, anaishia kutikisa mayai
Yaani huyu mzee kumbe hajitambui kbs unaenda kuingilia hayo magomvi ya nn unaenda kujiingiza kwenye matatizo na nchi yako
Atajuta mzungu hanaurafiki 😂😂
Ruto ni chawa wa ungereza,
Oooh majirani zetu kenya mna nini ruto huna hekma
Ningekua na uwezo ningemuomba Putin apereke Meri za kivita Kenya maana Kenya ni kibaraka wa NATO 😢😢
Ruto ni mfuasi wa Marekani
Kenya mmeingia njia mbovu ....huyu ni msaliti kama zelesky juu yenu ..
Huyu anatapatapa tu kama kuku mgonjwa
😂😂😂😂
Inafurahisha kwmb niwaKenya wenyew ndo wamemjibu
Uzur nikwmb Urusi haingilii xaana mamb ya ndni ya nchi wala kulazimisha Upande
Imagine Russia inaiwezesh Al-Shabab je Kenya itakua salama kweli ?
Ruto ni mbwa wa kawaida tu
Posho alio toa marekani inafanya kazi njaa itawaua kenya
Sio njaa ,huyu ni rais mpenda haki .kwani ww unamuunga mkono putin kwa alichokifanya?
@@MathewNathan-yb2bzkuua si jambo zuri kwa Mungu putin anakosea lakini anaowaua putin ndo haohao wanaoua waafrika na kutunyonya pia. Mfn mdogo NATO walvomuua gaddafi na wanamapnduzi weng wa africa
@@abdallahngoe kwa hiyo unataka useme kule zanzibar kwenye kila uchaguzi wanaouawa kule wanauliwa na hao wazungu?Hata sisi waafrika wenyewe kwa wenyewe tunauana sembuse wazungu.
Huyu Ruto akili hana anataka kuingiza Kenya kwenye vita Ambayo hawa iwezi dar ubaraka mbaya sana
Hii ngedele ya kenya imekosa kazi yakufanya bora ingeenda kula mhindi shabani mpuuzi Huyu bure kabisa, inchi imekushinda kazi kuomba omba kama malaya
Matokeo ya ziara ya USA
Huyu jamaa mbona anataka kututia kwa shida sisi wakenya?alianza na sudan akaenda Haiti na sai kwa putin kweli huyu jamaa anatupenda wakenya ?
Anatusisha yanini😢😢😢
Ruto shoga Kama hao ma beberu wenzake
Siku sio nyingi utaskia makao makuu ya ushoga Africa yako kenya 😂😂😂
Huyo jamaabombona amekua kibaraka mkubwa sana wamesha mpa Pesa Anakua kiherehere wa mabeberu
sawa kaka
Njaa mbaya kbs WAKENYA wapewepole nninyi WAKENYA mmepewazamanananani? Nanani
Huyu kweli Kenya amewauza kibaraka wa West huyu. Wanakenya mkataeni mapema vinginevyo ataivuruga umoja wa Africa mashariki na Africa Kwa ujumla.
Hapa ndio naamini ule msemo wa "who feeds you controls you"
Weeeeweee ruto mtoto mdogo wewe unausubutu gani kuongea
wakenya kuweni macho