Meena Ally Afunguka Kuondoka CLOUDS kwenda Wasafi au Crown Media? B Dozen, Mchomvu na Fetty Part 2
Вставка
- Опубліковано 23 вер 2024
- Meena Ally ameongea ushindani mpya uliokuwepo kwenye Media na mpango wa kuhamia media zingine (Wasafi au Crown)
Aongelea pia kuwa miss watangazaji wenzake B Dozen na Adam Mchomvu!
Tazama full interview, Part 2 Subscribe, Like, Comment & Share
#Sitetereki #Podcast #LilOmmy
Wa zanzibar wana ongea kiswahili safii sana.
Naamini mwenyezi Mungu amenitengeneza ambayo inatosha 🔥
Its true every thing is Allaha's plan
ويمكرون ويمكر الله والله خير الماكرين
Nampendqa huyu dada jamani
Very humble en wise🥰🥰big up Meena Ally!!!!!!
Kazi Kubwa ☝️ Niko Congo 🇨🇩
Aje crown media
Meena ally ❤❤ Nkbl sn my sister ❤
Meena Ally your the best
Crown media ndio nn😅😅
you're or you are
@@jabirkasunzu6841 yote sawa
Duuh
Kwani Inakua lazima mahojiano kama haya mtu aongee kizungu ? Kiswahili chetu kinakua sana sahivi.. meena ally tunajua una talent na unajua English ila jivunie lugha yako… (you don’t have to prove to anyone that you can speak English) Nahisi English iko na sehemu yake utaitumia tu mda ukifika ila sehemu kama hizi na mahajiano hayo inabidi tujivunie na lugha yetu… Ni mtazamo tu
Unaona vile wewe hujaweza kuandika complete Swahili sentence eh? Take yourself as an example.. plus we not stuck in 70s! We are a proud Swahili nation and that can’t be proven just by speaking Swahili all the time only
@@miriamadams7939 Hiyo sentensi nimeiweka kwa maana yangu na ndomana nikaiwekea mabano kuna watu wangejitokeza kusema sijui kizungu ndo mana nimetoa hayo maoni kama unaona ulimwengu unabadilika basi ndo usawa zaidi lugha yetu tuzidi kuipambania mana ukumbuke ndo lugha kubwa africa asa ikiwa vioo vya jamii kama hawa hawajivunii lugha yao na kueka uzungu mwingi kwenye mahojiano si ndo tunazidi kurudi nyuma tunabakia kutawaliwa tu mpaka kwa lugha pia
Jibu safi sana hilooo ❤
Kujua na kuzungumza lugha zaidi ya moja ina tija zaidi kuliko dhaifu.
@@miriamadams7939 hua sibishani na wanawake vile Wewe umeelewa hivo ni sawa ila ukitafakari kuna sababu ya mimi kuandika kizungu kwa mabano ili kuna watu kama nyie huenda wakasema nimeandika hivo sababu sielewi kizungu labda na ndo mana nikasema kua kila mtu anajua kua meena anaongea kizungu kizuri tu ila kwenye mahojiano kama haya sio lazima iwe nusu kizungu nusu kiswahili sababu mahojiano yenyewe ni kwa lugha ya kiswahili.. kizungu akieke tu kuna mahali pake atakitumia
Mina ally kwenda Wasaf hamna labda Crown 👑
Crown fm