PAULA Aongea kwa HASIRA Alipoulizwa KUHUSU NDOA/ MARIOO Afichua siri "Nimetoa POSA kwa KAJALA
Вставка
- Опубліковано 3 лют 2025
- Unaweza kututembelea instagram @bingoonlinetz
#bingoonlinetz
#sisisiowepesi #TunakupaKwaWakati
Ahsante kwa Kuiamini na ku SUBSCRIBE BINGO ONLINE TZ Na kuifanya ifikishe Subscribers Milioni 1
This is internment industrial so hio ni kazi wacheni wivu mashabiki lazima wafurahie na Paula anaelewa na anamjuwa mume wake ,ubaya ya watanzania ni udaku sana hawana lakufanya Mario Big up ,waching form Italy ❤❤❤ love u guys
Jamani ila huyo 😮mtangazaji sauti yake kama Queen Darling au masikio yangu
Muoe tuu paula mzuri pia bado mdogo na anakupenda Mungu hapendi zinaa
Subhanallah 😔 kwani wanaume hutoboa pua pia yarrabhi tustir waja wako 🤲
Kwli bhna😢😢😢😢
Marioo zinaa sio mzul ndoa ndokilakitu mukifunga ndoa Ata mungu Anafrah sn anachukia nzinaa
mmmh jmn mmeona kam mm mbn vidole vyeusi vya Paula jmn tofauti na uso 😂😂😂
Asa uso c makeup
Sio make up wew ni mikorogo tu hapo mibao kujichubua usoni tu miguuni aaah 😂😂😂😂😂😂😂😂😂 yule ni mweusi na asili yake ni mweusi mikorogo imemchuna eti anajitapa mi mzuri so l don't using make up I ovyo kumbe Hana lolote lmkorovo inatosha akwendre kwanza hapo ndoa mmh shida tupu wataoana, wasioane lakini mungu Mollah ndiye anyejua maana Hana heshima hata kidogo vipini humo yaani shida tupu zinaa pia simtaji nan miye mwanaume tayari n nani 😂😂😂😂❤❤❤❤
Mikorogo tu hapo
We naye make up kasema mwenyewe hatumii eti yupo tu hatumii make up aah wajinga ndiyo wali wao
Mie nimetoanmacho niona hzo miguu na mikono😂😂
Mhmhmh akil kichwan sidhan kama kuna ndoa
Mario punguza umalaya,unakatikiwa mauno mbele ya mkeo 🤔
Mmmmh marioo unazingua oa bhana
Kumbe watu bila filta awatoboi 😅😅😅
Umeona eeeh
😂anavyo chek sa marioo 😅
❤
Huyu ni mume kweli ,roho ya talaka imejaa hapo
Ujue ninyi wanawake kinach waponza ni kupenda kurubunika na watu maarufu na siku zote mtu maarufu huwa hatulii na mke mmoja
❤❤❤❤❤
Yule ni mweusi shost mikorogo ishirini kwa wakati mmoja imejaa pale ila 😂😂😂😂😂😂usoni tu vidoleni aaah kama kashindwa vidolenk ataweza miguu eeh nicheke khaa we dada paula unajitapa nakujitakapia eti mrembo mrembo utakuwa wew acha situmii make up mi mzuri nendra uko wew mikorogo tu ovyo kumbe 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Nemaa ya mungu muoane
Tabia na matendo yake ndo yataifanya ndoa imuweke ndan
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉
Huyu mtoto anafaa kua shule,ujinga mtupu
😅😅
Wametish
😂😂😂😂😂😂
Uwoo moshi vp konde yup karib nn
😂😂😂😂
Hahahahahahah
😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂ghai😂😂😂😂
Wacha nicheke leo😂😂😂😂
❤❤❤❤