MAOMBI YA KUMKABIDHI BWANA MAMBO YAKO by Innocent Morris
Вставка
- Опубліковано 2 жов 2022
- MAOMBI YA KUMKABIDHI BWANA MAMBO YAKO by Innocent Morris
Mambo ya watu wengi hayafanikiwi kwa sababu wanaanza pasipo kumkabidhi Bwana. Wengine wanafahamu umuhimu wa kumkabidhi Bwana lakini hawafahamu namna ya kumkabidhi Bwana mipango yao au mambo yao. Katika maombi haya nimeelekeza yote na nimeomba pia.
Biblia inasema katika Mithali 16:3 kwamba "Mkabidhi Bwana kazi zako, Na mawazo yako yatathibitika."
Tafsiri ya Biblia ya Habari Njema imetumia lugha rahisi sana inasema
"Mwekee Mwenyezi-Mungu kazi yako, nayo mipango yako itafanikiwa."
Methali 16:3 BHN
Ili mipango yetu ifanikiwe ni lazima tumkabidhi Bwana Yesu kazi zetu, atawale Yeye. Kuna faida kubwa sana kufanya kazi yako na Yesu.
Karibu tuombe pamoja. Hakika mipango yako yote na mambo yako yote yatafanikiwa.
Ubarikiwe sana.
Contacts: +255652796450 (WhatsApp)
Instagram Page: holyspiritconnect
Facebook Page: Holy Spirit Connect
Contact: +255652796450 (WhatsApp)
Instagram Link:
/ holyspiritconnect
Facebook Link:
/ holyspiritconnect
UA-cam Link:
/ holyspiritconnect
Bwana yesu nakukabinzi kazi zangu zonte na ulinzi wako na Maisha yangu bwana wangu yesu kristo amen
Mungu tawala maisha Yangu na Familia Yangu na kila kitu nilichonacho bwana yesu njoo unitawalie mwenyewe ameen
Amen and amen 🙏
Asante bwana yesu kwa kunitua mizigo niliyokuwa nimebeba na kutawala maisha yangu kwa jina la yesu amina
Bwana Yesu nakukabidhi maisha yangu kwako, nakukabidhi watoto wangu, mamangu na familia yangu yote. Bwana Yesu naomba uniondolee matatizo yote niliyo nayo kwa maisha yangu magonjwa, dhiki, kukosa Amani. Uwatazame pia watoto wangu kwa matatizo waliyo nayo kwa jina la Yesu tunaomba na kuamini Amina.
Ameen
Amen God thank you
Najiungamanisha mimi na kizazi change mungu atende amen
Nakukabidhi bwana mipango yangu yote kwa jina la yesu kristo
Mungu nakukabithi mawazo yangu, mahitaji yangu, biashara yangu, kazi yanga watoto wangu, familia yangu Mungu ukatende sawa na mapenzi yako naomba ukatawale popote nitakapokuwa
Amen amen amen 🙏🙏🙏 thank you Jesus 🙏🙏🙏
Ameen
Bwana Yesu ninakukabidhi mipango yangu yote siku ya leo
Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu Hakika Mungu Baba akutunze na akuhifadhi kwaajili yetu kwani Binafsi nabarikiwa sana na maombi yako na mafundisho yako Ubarikiwe sana ,Nami kwa jina la Yesu kristo najiambatanieha na maombi haya yakumkabidhi Bwana Mambo yangu:
1.Kazi zangu
2.Njia zangu
3.Mipango yangu
4.Familia Yangu
5.Mawazo yangu na mengine mengi kadiri MUNGU atakavyo pendezwa nami....Amen
Amen amen 🙏
Ameen
Amen 🙏🙏 🙏🙏 pastor
Ameen
Bwana yesu nakukabidhi mipango yngu yote..
Nakukabidhi maombi yangu ya kaz nataka nitume barua za kazi kwenye company flan iv mimi na mdogo wangu Naomba Bwana YESU utufanyie njia pasipo na Njia. .🙏🙏
MUNGU BWANA YESU BWANA YESU TAWALA maisha yangu tawala familia yangu tawala kizazi changu tawala kz yangu mawazo yangu
Ameen
Lllpp@@holyspiritconnect
Tawala kila eneo la maisha yangu pamoja na family yangu
Ameen
🎉beans nakukabidhi magonjw yote yanayo nisumbua
🙏🙏🙏
Mungu anisaidie
Nimempokea bwana Yesu leo
Asante sana mchungaji kwa muongozo wa maombi
Namkabithi mungu watoto .kazi
Aminaaa
🙏🙏🙏
Mtumishi nimempokeya bwana niombe
Amen. Thanks
Amen amen amen YESU AHSANTE 😢Ubarikiwe
Ameen
Amen🙏
Amen
Amen amen Mungu akubaliki Mungu akulide mutumishi wa mungu you are blessed Man
Amen amen Mutumishi wa mungu mungu akubaliki asanti kwa kutuongosa
Nibalik mm piah na uzao Wang wot
ameneen
Ameen
Naomba ndoa yangu na nakabidi bwana yesu naomba uniombee nipate kazi Kwa Robinson security office
Ameen
Mungu akupe haja ya moyo wako katika jina la Yesu Kristo
Ameni, najiungamanisha ktk maombi haya ya Leo,ktk jina la YESU kristo Alie hai.
Ameen
Namkabidzi Bwana maisha yangu,famila yangu,watoto wangu,wajukuu wangu Na huduma yangu Amen
Asante Bwana Yesu kwa kutawala katika kila eneo la maisha yangu na uzao wa tumbo langu. Na Asante pia kupokea mizigo yangu yote, katika jina la Yesu Kristo Ameen 🙏
Ameen
Ameni
Bwana Yesu nakukabidhi mipango yangu yote ktk jina la Yesu
Ameen
Nakabidhi kila eneo kwenye maisha yangu, ukatawale wewe tu Yesu Kristo
Amen 🙏 najiunganisha na madhabahu hii katika jina la Yesu Amen 🙏
Ameen
Ameni katika jina la yesu , najiunganisha na madhambao haya juu ya kumkambidhi bwana yesu mambo yangu yote
BWANA YESU Asifiwe Mtumishi w MUNGU,Nimebarikiiwa Sana n huduma yako,Naomba unitumie no yako kw huduma zaidi, Asante!!!
+255652796450 (WhatsApp)
Ameen. Ubarikiwe pia
Yesu nakupenda Mungu yangu mzuri kutoka moyoni mwangu
Ameen
maisha ya familia yangu na yangu pia nayakabidhi kwa Bwana Yesu katika jina la yesu kristo hakuna mwingine isipokua yeye
Ameen
Bwana yesu nakukabidhi kazi zangu zote na mipango yangu yote eeeh yesu nisikie kilio changu
Ameen ameeen
Amina namkabidhi Bwana Yesu kila kitu changu akatawale yeye
Ameen
Amen ninakukabidhi kila kitu changu bwana yesu ukitawale
🙏🙏Nakushukru Mungu Kwa Ajiri yawema wako kwangu na Familia yangu kukubsli Kutawala ktk kila Eneo la Maisha yangu naUzao wa Tumbo langu NaAsante kukubali Kubeba Mizigo yetu yote Nakutawala ndani yetuEmen Emen♥️👏👏
Ameen ameeen
Nakabidhi kila kitu kwako Yesu ni wewe Bwana Yesu ni wewe hakuna Mungu kama wewe
Ameen
Amen amen
🙏🙏🙏
Amen.
🙏🙏🙏
Nimepokea uokovu
Ameen
Mungu akubariki sana sana
Bwana yesu nakukabidhi mipango yangu yote
BWANA YESU, BWANA YESU tawala maisha yangu, tawala wazazi wangu, tawala ndugu zangu, tawala mtoto wangu, tawala mahusiano yangu, tawala kazi yangu, tawala kila sehemu ya maisha yangu AMEN 🙏🙏
Ameen ameeen
Lord Jesus today I submit my daughter and myself anything concerning me in your hands. Thank you Lord Jesus.
Ameen ameeen
Namkabidhi Bwana familia yangu,atawale maeneo yote,ktk jina la yesu !
Nakabidhi kila kitu yangu yesu hakuna Bwana yesu kama wewe
Ameen
Pastor nisaidie 🙏🙏🙏 nko Saudi Arabia naomba kurudi Kenya plz pastor ntohuku plz🙏🙏🙏😭😭
Nitakuombea. Mungu atafanya njia
Amen
🙏🙏🙏
AMINA AMINA BARIKIWA Sana mtumishi
Asante mungu, namkabidhi matokeo yangu ya mitihan mikinon mwako, namkabidhi bab Jay.namkabidhi mwanang, family angu,mipango yangu yote na kabiddhi mipango ya baba j ikawe ya ukweli, namkabidhi kila kitu ktk maisha angu nakukabidhi yesu, nitendee sawa na mapenzi yako
Ameen
Ameen ameeen
Amen