Ukuta wa Hofu ya Mabadiliko | Yesu Pale Gethsemane | HOFU YA MABADILIKO | Rev. Dr. Eliona Kimaro
Вставка
- Опубліковано 8 лип 2024
- IBADA YA MORNING GLORY (THE SCHOOL OF HEALING) 09/ 07/ 2024
MAHUBIRI: SEMINA YA NENO LA MUNGU
"HOFU YA MABADILIKO"
(FEAR OF CHANGE)
''UKUTA WA HOFU YA MABADILIKO''
(YESU PALE GETHSEMANE)
Torati 28 : 6
Yohana 12 : 24
Marko 14 : 32 - 38
Luka 22 : 40 : 44
`1"UTABARIKIWA UINGIAPO, UTABARIKIWA NA UTOKAPO"
KUMBUKUMBU LA
Torati 28 : 6
6 Utabarikiwa uingiapo, utabarikiwa na utokapo.
Yohana 12 : 24
24 Amin, amin, nawaambia, Chembe ya ngano isipoanguka katika nchi, ikafa, hukaa hali iyo hiyo peke yake; bali ikifa, hutoa mazao mengi.
Marko 14 : 32 - 38
32 Kisha wakaja mpaka bustani iitwayo Gethsemane; akawaambia wanafunzi wake, Ketini hapa muda niombapo.
33 Akamtwaa Petro na Yakobo na Yohana pamoja naye, akaanza kufadhaika sana na kuhangaika.
34 Akawaambia, Roho yangu ina huzuni nyingi kiasi cha kufa; kaeni hapa mkeshe.
35 Akaendelea mbele kidogo, akaanguka kifudifudi, akiomba ya kuwa, ikiwezekana, saa hiyo imwepuke.
36 Akasema, Aba, Baba, yote yawezekana kwako; uniondolee kikombe hiki; walakini, si kama nitakavyo mimi, bali utakavyo wewe.
37 Akaja akawakuta wamelala usingizi, akamwambia Petro, Je! Simoni, umelala? Hukuweza kukesha saa moja?
38 Kesheni mwombe, msije mkaingia majaribuni, roho i radhi ila mwili ni dhaifu.
Luka 22 : 40 : 44
40 Alipofika mahali pale aliwaambia, Ombeni kwamba msiingie majaribuni.
41 Mwenyewe akajitenga nao kama kiasi cha kutupa jiwe, akapiga magoti akaomba,
42 akisema, Ee Baba, ikiwa ni mapenzi yako, uniondolee kikombe hiki; walakini si mapenzi yangu, bali yako yatendeke.
43 Malaika kutoka mbinguni akamtokea akamtia nguvu.
44 Naye kwa vile alivyokuwa katika dhiki, akazidi sana kuomba; hari yake ikawa kama matone ya damu yakidondoka nchini.
Mhubiri: Mch. Dr. Eliona Kimaro.
Kwa maombi na ushauri :
Mch. Kiongozi: Dr. Eliona Kimaro
Simu: +255 655 516 053, +255 754 516 053
Ni mwaka wa 7 tangu Roho Mtakatifu aliponielekeza kwenye mafundisho ya "The school of healing" Sijawahi kujuta..na kila kipindi ninavyovifuatilia...Mafundisho yake yanaAkisi jina la kipindi...Hakika WENGI TUNAPONA MIOYO,Mwenyezi Mungu akulinde kama mboni yake ya jicho daima,Wewe na familia yako..Akuangazie mafunuo zaidi..kwani UMEJIPATA Baba Mchungaji Kimaro.
Asante Mungu kwa chimbo hili la Baraka katika Kristo Yesu!
Mchungaji Kimaro una baraka ya kutoka na baraka ya kuingia, asante kwa somo zuri sana na Mungu azidi kukupaisha, wewe ni researcher wa hali ya juu sana hubahatishi kwa mafundisho
Amen Amen
Dr Kimaro Mungu akubariki
Niwe na baraka kuingia na baraka ya kutoka katika maisha yangu ya afya roho na mwili, kielimu, na kiuchumi. 🙏
Amen
Mungu akulinde.mchungaji kimaro unaponya watu waliokata tamaa kutokana na mahubiri yako yanatibu
Mchungaji EK Mungu akulinde na kukuinua zaidi
Dr Kimaro siku zote nabarikiwa na mahubiri yako
Ameeen Ameen❤❤❤
Asante sana mchungaji. Mungu azidi kukubariki kwa utume huu. Najifunza mengi
Ameen dady
Nina baraka ya kuingia na baraka ya kutoka
Amen pastor
Aminaaa
Amen 🙏
Mungu wa israelindiye mungu wa eliona mbele ya farao tumpate wapi mchungaji kama hutu ambae roho wa mungu anakaandani yake?
Mungu wa israel ni mungu wa ek .mchungajikimaro watanzania wanasema.tumpate wapi mtu kama huyu ambaye roho wa mungu anakaa ndani yake? Mungu akufikishe kiwango unachokiitaji kukifikia tupone
Amina mchungaji kimaro mungu akubariki sana🙏🙏