Amina mchungaji Mastaar Ubarikiwe sana Yaani ktk ndoa zetu kama tungelidhika Neno na tukakaa ktk nafasi zetu kama Mungu alivyotuagiza ndoa zote Duniani zingekuwa na Amani
Bwana Yesu asifiwe. Nimependa Sana kipindi hiki kitaponya ndoa/family za wengi. Kuwa Wana ndoa ambao nimeshuhudia wengine wanaanza vizuri kuweka kipato chote kwa pamoja, lakini baadae mmoja wao ana misuse kipato hicho. Na migogoro inaanza na ndipo wengine wengi huanza kujitenga hiki changu hiki chako. Je hili linawekwaje? Maana ni kinyume na makusudi ya Mungu.
Mama mchungaji hiyo rangi huko kichwani iondoe. Haimtukuzi Mungu. Inashusha hadhi yako na ya Mchungaji. Pili, acha kudandia mazungumzo. Waache hao watumishi waongee mpaka wamalize.
Amina mchungaji Mastaar Ubarikiwe sana
Yaani ktk ndoa zetu kama tungelidhika Neno na tukakaa ktk nafasi zetu kama Mungu alivyotuagiza ndoa zote Duniani zingekuwa na Amani
Bwana Yesu asifiwe. Nimependa Sana kipindi hiki kitaponya ndoa/family za wengi.
Kuwa Wana ndoa ambao nimeshuhudia wengine wanaanza vizuri kuweka kipato chote kwa pamoja, lakini baadae mmoja wao ana misuse kipato hicho. Na migogoro inaanza na ndipo wengine wengi huanza kujitenga hiki changu hiki chako. Je hili linawekwaje? Maana ni kinyume na makusudi ya Mungu.
Ameeeeen sana
Mama mchungaji hiyo rangi huko kichwani iondoe. Haimtukuzi Mungu. Inashusha hadhi yako na ya Mchungaji. Pili, acha kudandia mazungumzo. Waache hao watumishi waongee mpaka wamalize.
Mama mchungaji, Nia Yako ni njema,ila lugha mnayoitumia mtawafanya wengi wasiwaelewe! Chagua lugha eitha kingerea au kiswahili.