Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa una uhakika ulivyosema kuwa Mkuu wa wilaya pamoja na kamati ya ulinzi wapande kule juu kusudi waone je ni kweli kuna wananchi wamefanya hivyo ?? hata wewe mheshimiwa inatakiwa uwemo kwenye huo msafara maana wewe ndo mhusika Mkuu, Mkuu wa wilaya ni mtu mdogo sana hiyo hotuba isiwe kama comedy ya akina joti kufurahisha wabongo
Sehemu ya kuwekaa nguzo tuu zile za overpass hazigarim hata 300m mtu anaomba 2b kweli pata sehemu yakula na ww uongezee mboga yako. Mmmh polen wana mlimba
Weka mawe hapo na kifusi haitakiwi B moja wala nini acheni wizi😂😂
Kkkkkkkk mwendo alishaumaliza magufuli niwakati wenu vuneni izokodi😢😢
Suku zote izo 😂😂😂😂
😮daaah eti 1b daaah 😅😅😅 r.i.p magu
Shilika la tazara limesha kufa ndio mana halifuatiliwi wanaona halina faida
Vifusi tuu jmn billion moja apo!!!
Yani na uinjinia wangu wote hapo siwez Jenga na b 1 maisha Yako yote ivi ili jasho la watanzania Lina wapelekesha sana eehh
Uwizi jamani b 2
Ety serekali itoe 2 b yan hilo eneo n la 2 b kumbe huwa mna2piga xana 2b hapo duhh!! Maamamaaaa 😭😭😭
Tanzania yangu 😭😭
Mwaga mawe bilion moja ya nini hapo ikienda kihalali ni milioni 500
Apo inatakiwa boxcalavat maji yapite iyo billion yann?? na mawe maji yashaweka njia kwaiyo yaendelee kupita kama mto
Yeah 500m ni kwaajili ya vikao na posho
Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa una uhakika ulivyosema kuwa Mkuu wa wilaya pamoja na kamati ya ulinzi wapande kule juu kusudi waone je ni kweli kuna wananchi wamefanya hivyo ?? hata wewe mheshimiwa inatakiwa uwemo kwenye huo msafara maana wewe ndo mhusika Mkuu, Mkuu wa wilaya ni mtu mdogo sana hiyo hotuba isiwe kama comedy ya akina joti kufurahisha wabongo
Kumamake wa kwanza kuviw n mmi
Waache kutupiga,,Hakuna kazi ya Bilioni 2 hapo.
Sioni bilioni inatumikaje hapo aiseee
Mbona hela nyingi sana 2b
Aibu eti 2B kweli
😂😂😂😂 jamaa anakwambia kias cha two bi uku jicho likiwa na wasi wasi
Mda wa wapiga dili umefika B 2
Usimamizi ni waserikali lawama ni kuwapa wananchi
Huo ni upigaji, kunawatu wanakosa dawa mahospital, hapo hakuna billion
Ingekua china au Japan ndani ya masaa 24 mpaka 72 ingekua tayari sasa sisi mpaka watu wajadiliane 🤔🤔🤔
Pesa
Billion 2 hazitoshi hapo
Taalifa imechelewa sama
Sehemu ya kuwekaa nguzo tuu zile za overpass hazigarim hata 300m mtu anaomba 2b kweli pata sehemu yakula na ww uongezee mboga yako. Mmmh polen wana mlimba
Uweke na mboga yako uongo 🤣🤣🤣🤣👍👍👍
Apo kubomoka mnafanya fursa au sio
Pilioni moja??? Kwani kokotozahapahapa matipa serekari inamatipa serekari inavituvyote watuwanataka kupigatu
Hayo mapete kama Mkurugenzi wa Jiji la Arusha😂... hivi hawa wateule wana nini? Karibia wote wana mapete kama Amitah Bachan
😂😂😂😂😂😂😂 za kutufanya mandondocha😅😅😅😅😅😅😅
@@MiriamAbdallah 🤣🤣🤣dahh umenichekeshaaa
Vitendea kazi hivyo 😂😂😂😂😂
@MiriamAbdallah weeee 😂😂😂😂😂😂😂
Apo watataja mabilion ujinga mtupu wakati rufiji na baazi ya mikoa Kuna mafuriko wanaitaji msaada
Et 2 be 😂😂😂😂😂😂
NDO BILION
Uongo uongo tu, acheni wachina wenyewe walojenga wakarabati, nyie mpaka muunde kamati ?
2B😂😂
Huko Juu huko Hukooo juu Wapande huko juu😂😂
Umri wako nahiradaraja tunapigwa saundi hamna kitu hapo hapo kuna koff olomeder drc
Bilion😂😂😂😂
Wapande wenyewe
Bilioni 1??😢
muitane mule. zote izo
Hivi ni B au ni M😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ni Sh.😂😂😂😂😂😂😂😂
M elf 2
Duu