NTEMI EPI75||Swahili Movie ll Bongo Movies Latest II African Latest Movies
Вставка
- Опубліковано 5 жов 2024
- Huu ni mwendelezo wa filamu ya NTEMI na hii ni Season 3. Ni moto!. Endelea kuifuatilia hautajuta!
NTEMI ni moja kati ya filamu bora za Swahili Movie/Bongo Swahili Movie/Swahili Movie nchini Tanzania.
NTEMI ni kijana wa Kisukuma mwenye juhudi katika ufugaji wa Ng'ombe. Tatizo lake anathamini sana Ng'ombe kuliko hata mwanae kumsomesha.
Kupitia series hii Swahili Movie /Bongo Movies utajifunza zaidi kuhusiana na kabila la Kisukuma pamoja na makabila mengine yanayowazunguka Wasukuma.
Hakika utajifunza kitu kikubwa.
Hii ni moja kati ya Swahili Movie/Bongo Swahili Movie/Swahili Movie za Tanzania series itakayokujia kila Alhamisi saa Tisa na Nusu Alasiri.
Endelea kufuatilia hadi mwisho,usisahau kulike,share zaidi kusubscribe.
Tunaomba support yako kwa kushare kwa wengine, ila zaidi uendelee kujifunza kupitia filamu zetu za Swahili Movie/Bongo Swahili Movie/Swahili Movie za Tanzania. WE LOVE YOU ALL. ...........................................................................................................................................................................................
KAPAYA THE GREAT FILM
Contact:
0655 218 331/0753 318 331
email. kapayamic75@gmail.com
Instargram
Kapayathegreat
TANZANIA.
Ila wasukuma wana ngombe mashallah
Asanteni Sana kwa Muendelezo,tunaendelea kusubiria mpaka kieleweke
Hata tatu tu like zenu jaman naombeni
Ww Ntemi tule tee mwendelezo wa Shujaaa
Kwa kweli shujaa imekaa kimia muda mrefu watuletee mwendelezo wake.
exactlly
Yaani ukitoka NTEMI mwenyewe , staaa mwingne kwenye hii movie ni ZENA , yaani huyu mdada anajua mpka anakera duh🎉🎉🎉
Kweri ndugu yangu hata mim nimewaelew
Mashimba hiyo roho mbaya jamani duuh sasa unataka kuua kiumbe kisicho na hatia jamani 😭😭😭
Jamaniiii naomba mwendelezo usichelewe maana natamani nimuone Jeremiah akiwa amepona na akili zake timamu
mimi wa kwanza leo sasa 😂😂
Jamani ntemi we hatari nimekupenda bure
@@kamarhelokweli umenipenda?😂
Mbona jaman
Yaaan we machiba punguza loho mbaya jaman
Nampenda zena
Leo Ntemi mpole kabisa
Mambo ni 🔥 🔥 ntemi ndo hbr ya mjini
Saanaaaa
Leo nimeiotea. Nabhiza wa kwandya
Jaman mm nampenda mganga😂😂😂😂
Ntemi...et wee sengi umeolewa😂😂😂😂😂
Kazi poa ❤❤❤❤❤
mayombya na Ntemi mnatuvunja mbavu balaa😂😂
Watching from South Africa
Kazi nzuri
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Ntemi maua yako 🎉🎉🎉
Huyu kakake make nyanjige hajui kuigiza kbsaa mtoeni Ntemi hswa kurudi mshughulikie 😂😂😂ataka vibiko😅 Jane umecheza party yako vizuri sana ❤ Zena usiondoke bila Jeremia tafadhali😢 Mzee small majuto n mjukuu watoto wakikeqatakukimbia wote sijui utakuja kuuguzwa nnani kuwa n buasara hyo mahimba uwakupotosha kbsaa😢
🎉🎉🎉
Zena mtemi ilove you so much❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
Ntemi,bhalekotoja esafali eye😂
Nakuchimba mkwaraa
Kazi nzuri sana ntemi❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Mashimba ni kichana mpumbavu sana kuliko ashugulike na mambo yake anajisumbuwa na mapenzi ya siyo muhusu.
Piga nahuyo😂😂😂Jele apone
👌👌👌👌👌👌👌👌👌👌👌
Go achard
❤❤❤❤
Tunasubiri episode ya 76 kwa ham
From Pakistan Zena nampenda sana
Ila mashimba ana roho mbaya na sura yake nyeusi kama chungu😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Duh mashimba Ka kakang jaman Kwa mamb anay fanya utazan kwel
Shangazi 💃wooo
Ila wewe ntemi jaman😂 eti hivi umekuja kutugesha au kunitoja 😂
Kaz nzuur sana lakin mwanzon matangazo maref punguzen nawapendaaaaaaaa 9:43
Irene eeeeeeeeh
@@laurentmaguta2043 🤗🤗
Mmeamua kuleta jumatatu❤❤❤
Zena ni staa jaman
Zeena jihazari sasa
Mashimba mchawi
Umekua sitaaa
Ila Mashimba kubwa jinga
Mmmhh
Safi Sana ila huyo kaka anae dai mtoto nimjinga Sana yanimwanamke umemchezea ukamterekeza afu unakuja kudai mtoto hujuwi kama ulichezea maisha yake
Hata kama angemtunza VIP bado Kwa Mila za wakurya ni ngumu kumpata mtoto