Rapcha ft Vanillah - 40 Missed Calls (Official Music Video)

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 12 гру 2023
  • STREAM/DOWNLOAD TTTV2: linktr.ee/rapcha
    LYRICS
    Someone is playing with me
    kuna mtu ananichezea
    Someone is playing with me
    Nashuka kiuchumi ndoa yangu inachafuka
    Kuna mchezo unaendelea they are playing with me
    Muda mchache kwenye ndoa maumivu yamenizidia
    Huu ni mwezi wa tano unaingia
    Nkitazama muda ni Saa sita usiku,
    baada ya kumtafuta sana
    huyu mwenzangu ndo nyumbani anaingia
    Niambie umetoka wapi Salma
    Hii kesi isidingo si tumetoka kuisolve jana
    Isingefika 40 missed calls ka ulikua kwa mama
    Nakuambiaga huniheshimu Salma unanidharau sana
    story zako mjini naambiwa
    Hamna kitu kinaniuma kama habari kwamba mi namegewa
    Unanipandisha hasira
    navokuambia ukweli afu unanijibu kwa kufoka
    kama unaonewa Hebu Leta simu yako, fungua!!!
    Salma usinipandishie, icho kiburi chako ntakupasua
    Naichukua nianze kuipekua akaja kuikwapua
    Akili ikaflip, gun nkanyanyua
    Salma Kanijia juu, Nimechoka maisha ya kubaniwa
    Bora tu tuachane umezidi kunitishia
    Story za malaya wako nikikuambia unajifanya mkali
    Kama we kidume fyatua..
    Gun shots!!
    [Chorus: Vanilla]
    Nilikupenda mpaka kufuru
    nikawa nawaza jidhuru
    ukiwa mbali
    Tena nikakupa uhuru
    na ukashindwa shukuru
    ikawa ndo dosari
    Ukaenda ku date na wale
    Mi wakuwa nasota we ule
    Na mie kukuacha siwezi
    Ni bora dunia tuiache aah
    [Verse 2: Rapcha]
    Fahamu zinarudi akili imeduaa
    Salma anateseka chini baada ya risasi nne kumvaa
    Hofu kubwa inaniingia nikiangalia
    Damu yake inavyonililia chini inatapakaa
    Ndo Idea ya kukamatwa ikanijia
    Nikajua haitopita muda mapolisi watanitimbia
    Ila nguvu zote zishaniishia
    Nikiumia kuona safari yetu ya mapenzi ilipokwamia
    Dhambi inaanza kunitafuna
    Natamani nirudishe muda nyuma niongee na Salma
    Najiona mnafki kwa kumwaga damu
    kwa makosa ambayo moyoni najua kuwa na mimi nafanya
    Itanitesa maisha yangu yote hii memory
    Ego zetu zimefanya tumeharibu destiny
    Vita na Insecurities hakukuwa na honesty
    Na loyalty marafiki wakatunyima privacy
    litimie agano
    Nahisi Mungu ametuchagua mi na wewe tuwe mfano
    Salma, hukustahili hii adhabu ninakiri
    Naomba kabla haujafika mbali nisubiri
    Gun shot!!
    [Vanilla]
    Roho yangu inauma
    Kosa lako kuzichezea hisia zangu Inamaana hukuona
    Nilivyopambana kuziheshimu hisia zako? Aaah
    [Chorus]
    Nilikupenda mpaka kufuru
    nikawa nawaza jidhuru
    ukiwa mbali
    Tena nikakupa uhuru
    na ukashindwa shukuru
    ikawa ndo dosari
    Ukaenda ku date na wale
    Mi wakuwa nasota we ule
    Na mie kukuacha siwezi
    Ni bora dunia tuiache aah
    Audio produced by: / papa_tz
    Mixing and Mastering by: / yogobeats
    Join Our Family:
    / rapcha_tz
    / rapcha_tz
    / rapcha_tz
    #rapcha #vanillah #40missedcalls

КОМЕНТАРІ • 2,4 тис.

  • @user-cj5lo6pw2r
    @user-cj5lo6pw2r 7 місяців тому +1154

    Kuna mda nshawahi kusema kwamba rapcha ni kijana ambaye hatumii nguvu nyingi kwenye kazi lakini akifanya anafanya kweli📌📌❤️Kama unaniunga mkono please twende pamoja

  • @hellensizya7706
    @hellensizya7706 7 місяців тому +13

    Wanawake tunazidi midomo sana, mwanaume unaona umemchoka bora uondoke , mwanaume kaumbwa kumiliki lazima ukiwa nae ujimilikishe shuka chini jinyenyekeze onyesha una adabu mbona maisha yataenda vizur, tujifunze kuheshim wanaume zetu maana tumeumbwa tutawaliwe sio tujitawale iko iyo maandiko yanasema.. sad ending though too bada jmn tusifikie uku. Rapcha Master j zaylisaa big up🙏

    • @vinchystyles1675
      @vinchystyles1675 7 місяців тому

      Real talk!

    • @claudebitangalo4459
      @claudebitangalo4459 7 місяців тому +1

      Thanks mamy, nyumba nyingi Zina vujika kwa hilo, yes Kuna wengine wavulana Wana kuwa too much, but mkee ana takiwa kutizama njisi yaku endelesha Familia

    • @bandolatztrump2470
      @bandolatztrump2470 6 місяців тому

      Ahsante

  • @aggreysallah6905
    @aggreysallah6905 7 місяців тому +11

    "Najiona mnafki Kwa kumwaga Damu Kwa makosa ambayo moyoni najua na Mimi nafanya" 😢 ..... Hongera sna #Rapcha nyimbo nzuri sanaa

  • @mashairiyamachinga2379
    @mashairiyamachinga2379 7 місяців тому +15

    Hii ni historia ya Saidi .... kule Mwanza kama unakubaliana na mimi gonga like

  • @saxprince10
    @saxprince10 7 місяців тому +6

    TRUE STORY in MWANZA axeeeeee!!!!! Unajuaa kutupa Storey ❤

  • @josephatjordan2150
    @josephatjordan2150 7 місяців тому +11

    Once again...!!I ll never force my children to follow the same artist I like.The will have the total freedom to choose between following RAPCHA or leaving in my house..PURE TALENT EVER SEEN

  • @JosephDeoo-by7pe
    @JosephDeoo-by7pe 7 місяців тому +7

    SIO KAWAIDA YANGU KUKOMENT KWENYE UA-cam LAKIN NAOMBA NISEME KUNA NYAZIFA ZA SANAA WAMEPEWA WATU AMBAOO HAWANA UTASHI. MASTER J NA MAJANI NYIE NI ZAID YA BARAZA LA SANAA. RESPECT LEGEND🎉

    • @Ellyne001
      @Ellyne001 7 місяців тому

      Uwakikaa kiogozii

  • @MWALIMU21
    @MWALIMU21 7 місяців тому +7

    Sema ukiachana na miatari. Embu mchek masta j alivovaa uhusika. Oya wee masta igweeee🔥🔥🔥

  • @lvanyDaniel_pw7kk
    @lvanyDaniel_pw7kk 7 місяців тому +9

    Ambao tume rudia zaidi ya mala 3 huu wimbo naomba tujuane....🙏

  • @dynachriss5126
    @dynachriss5126 4 місяці тому +9

    Hii song story inafanania na lile tukio la maharusi mwanza mume alomuua mkewe kwa risasi na yeye akaenda kujipiga risasi ziwani📌

  • @255Digitalizeit
    @255Digitalizeit 7 місяців тому +9

    Video imefufua wimbo masterjay Ametendea haki uhusika majonzi yanarudi juu ya tukio la mwanza haya hebu namimi nipeni like sijui hata zinakazi gani ila LIKES TU

    • @Ellyne001
      @Ellyne001 7 місяців тому

      😂😂😂 ila likee

  • @amanrashid7061
    @amanrashid7061 7 місяців тому +7

    Jaman wanawake ambao mpo kwenye ndoa na pia katika mahusiano ya kimapenz ya kawaida kama unajua upo na kijana au mwanaume ambaye unamwona yup seriously na wewe na anakupenda sana kupita kiasi jitahid usichezee hisia zake kama ukiona humpendi bora umwambie mapema kuliko kuendelea kumfanyia vituko maana watu hao Huwa na hasira sana wanapochezewa hisia zao 😢😢😢

  • @johnnyoni6947
    @johnnyoni6947 7 місяців тому +6

    Master Jay (Joachim Kimario) ameua sana kwenye acting. I never thought he could be this best in acting. He needs a role in our movie industry

  • @josephkwai1819
    @josephkwai1819 5 місяців тому +10

    Master J. Ametisha saana... Darasa kubwa sana wimbo huu na video yake

  • @Rukwembe7712
    @Rukwembe7712 4 місяці тому +9

    Nitahakikisha 40 missed calls inafikisha views milion

  • @fabianijoseph-me8jk
    @fabianijoseph-me8jk 7 місяців тому +4

    Kweli rapcha ni last King of 90's baby kama unamuelewa rapcha twende p1 weka like

  • @simonjuma2912
    @simonjuma2912 7 місяців тому +6

    Hii ngoma acha tuipe mauwa yake ........walio angalia zaid ya mara mbili kwa ajil ya mashar matam pita hapa na like tuende sawa

  • @maureensunguya8779
    @maureensunguya8779 7 місяців тому +5

    Master J kumbe ana uwezo mkubwa ivi wa kuigiza? This is one of the best performances hadi nimefeel uhalisia wa nyimbo na video. Good job to Zaylissa too

  • @MuttaRweyemamu-ni6iz
    @MuttaRweyemamu-ni6iz 6 місяців тому +8

    Nimetafuta makosa kwenye hii ngoma naona umekuw mtihan mgumu....iko sawa kila kitu

  • @ChamaziMusic
    @ChamaziMusic 7 місяців тому +9

    hii imafanan na ile stori ya mwanza . fulle respect from Chamazi,Dar es salaam🇹🇿🇹🇿🇹🇿🎉🎉

  • @EdisonCavanny
    @EdisonCavanny 7 місяців тому +7

    Kwani nikichelewa ndo sipati like kabisa😂😂

  • @gregorygendowaga1509
    @gregorygendowaga1509 7 місяців тому +5

    Cha ajabu ngoma kama hizi hazipewi nafasi kama makirikiri Yao, dope lyrics dope video dope casting.....hizi ndio materials tunahitaji Kwa industry

  • @stevensenghana1593
    @stevensenghana1593 7 місяців тому +6

    wanao sema Master na bidada ndio wameba hii sound niunge hapa mimi naona mtu mpka atazame kideo big up kwa masta zailissa rapcha

  • @edwinfelix6298
    @edwinfelix6298 6 місяців тому +8

    Hii ni historia ya kweli ilitokea Buswelu Mwanza, baada ya jamaa kumshut wife nayeye alienda kujipiga risasi ZIWA VICTORIA.

  • @mrwhite24lyrics32
    @mrwhite24lyrics32 7 місяців тому +3

    isipo ingia top five ya trending siingii UA-cam mwaka huu mpaka uishe

  • @KennedyMbawala-pr4bt
    @KennedyMbawala-pr4bt 5 місяців тому +7

    My favorite song in 2023 to 2024 hii videoo ndio nmeionaa leoo january 29 2024 nmeaangliaa zaid ya maraa 10 master j kauvaa uhusikaa vizurii

  • @ruthmarco1489
    @ruthmarco1489 7 місяців тому +6

    Hivi ndivyomahusiano mengi yalivyo currently... Am sure Kuna some of us tuko missed call ya 50😂... Big up bro unatufunza through your songs

  • @shadrackalum2696
    @shadrackalum2696 7 місяців тому +9

    binafsi master jay. ameonyesha u master wake

  • @user-wq2jq7on7t
    @user-wq2jq7on7t 7 місяців тому +3

    Master J aendelee na uigizaji, anakipaji sana. Bonge la ngoma uandishi umetulia.

  • @petrolambe
    @petrolambe 7 місяців тому +4

    Master J kumbe ni mtu loyal tu

  • @marafikistation
    @marafikistation 7 місяців тому +8

    VANILLA AMELIPWA NGAPI JAMANI SIO KWA KOLASI KALI HIIIIII🔥🔥🔥🔥

  • @saidmakorijr-ko3fi
    @saidmakorijr-ko3fi 7 місяців тому +10

    Video Kama ile story ya said wa buswelu na swalleha mwil wa said ulipatikana ziwan mwanza 2021 good idea yatuacha vibaya maamuz ya hasira

  • @norbertdamas9638
    @norbertdamas9638 7 місяців тому +6

    Mater J's Acting is going to cost peoples' jobs🔥

  • @CatherineKabelege-te3yo
    @CatherineKabelege-te3yo 7 місяців тому +5

    Master ni noma anajua kuigiza mno ila sema iki kisa kinafanana na cha mwanza

  • @kalziidazamba2862
    @kalziidazamba2862 6 місяців тому +9

    Ngoma hii inaendana na kile kisa ambacho kilitokea kule mwanza 2022👍👍👍

  • @Iyna-kd3ge
    @Iyna-kd3ge 4 місяці тому +7

    Mapenz yanaumiza sana,😞jibu ni kukimbia,,lia ukiwa mbali na mtu anaekuumiza,,itachukua muda ila ipo siku utamsahau tu na utajua ulifanya maamuz yaliyosahihi 👏😔(bado yupo moyon mwangu na nampenda ❤ila its too late siwez kuwa nae)

  • @user-vu2bl9su5f
    @user-vu2bl9su5f 7 місяців тому +6

    kam mnakumbuka jisa kilichotokea mwanza cha mchimba madin na mkewe basi master kapita mulemule

  • @silvesterjohn8
    @silvesterjohn8 7 місяців тому +3

    3:35 best story ...... True story ile ya mwanza yule bwanake nae akaenda kujiua baharini umetisha sana mwanangu RAPCHA🎉maua yako kaka🎉🎉

  • @godluckgmanartist-ju7jp
    @godluckgmanartist-ju7jp 7 місяців тому +4

    Hii inanikumbusha said wa mwanza aliye mpigia mke wake more than 40 missed call akasema alkuwa kwamama akamshuti the same story km hii big up sana Rapcha

  • @mercysadock7575
    @mercysadock7575 7 місяців тому +6

    ni ile stori ya mwaaaaanza ❤️❤️

  • @kilomoleerneus9117
    @kilomoleerneus9117 Місяць тому +5

    Anaitwa rapcha mchizi kutoka shi town......ngoma zake continuable......hazichoshi kusikiliza......salute senior

  • @lilwiz5414
    @lilwiz5414 7 місяців тому +9

    Everything amazing, master j 👏performance

  • @QuincyOJohns
    @QuincyOJohns 4 місяці тому +6

    This song is poweful. there's a lot to learn from this. thanks Rapcha, vanillah and Master J for putting out such a masterpiece

  • @JuliusTushabe
    @JuliusTushabe 2 місяці тому +6

    Wangapi wanaisikiliza Tena hii Ngoma, 10 may 2024

  • @flinchclassic1531
    @flinchclassic1531 7 місяців тому +4

    Kwenye uhalisia master Jay umetisha sana kwenye hii video

  • @aloiceassenga7582
    @aloiceassenga7582 7 місяців тому +7

    Vanilla may God bless u broo💯💯 💯💯 unyama mwingiii

  • @jacksonbruno487
    @jacksonbruno487 7 місяців тому +5

    The song should be verified by TBS. From audio (verses with amazing chorus from Vannila 🙌🏽) to qualified video (MJ killed 😅) 🔥 🔥

  • @Fanzy_kabaya
    @Fanzy_kabaya 7 місяців тому +4

    No body talks about the chorus ❤❤vanillah ukoo juu sana

  • @oscartwinzi2705
    @oscartwinzi2705 7 місяців тому +4

    Naomba like ZA vannila kutoka king's music aap

  • @Mgodza
    @Mgodza 5 місяців тому +5

    Mwamba nimemkubali kumbe uko vizuri ❤❤ nilikuwa kwenye sikufatilii saiv nakifuatilia sasa

  • @yaedlifemedia3203
    @yaedlifemedia3203 3 місяці тому +4

    Acha na mistar mcheki master alivyo uwa kwenye uhusika Noma sana pia uyu shemej yetu nae kacheza sana Safi Heshima kwa director 🎉🎉🎉

  • @ibrahimsamsonichristian5704
    @ibrahimsamsonichristian5704 7 місяців тому +3

    Master j bonge mmoja la actor. Mpeni likes zake

  • @AstarikoMalanda-jn2xn
    @AstarikoMalanda-jn2xn 7 місяців тому +4

    Huwa mnaesma ngoma tuh! Hii ni bonge kiukweli❤❤ hayaaaah nupeni likes basi

  • @GabrielSky64
    @GabrielSky64 7 місяців тому +4

    Ebhanae kumbe Hip hop si lazima ukamie kama ugomvi ni mpangilio tu wa sounds bonge la ngoma 🔥🔥🔥🔥

  • @tuzungumzeafya
    @tuzungumzeafya 6 місяців тому +6

    Master piece 🙌 vanilla katisha sana namsikia Mario na vanny boy ndani ya sauti yake 🔥

  • @vostin3537
    @vostin3537 7 місяців тому +8

    Feels like a tribute to the deaths of those beloved souls from Mwanza last year😢Swalha/Said

  • @RichardMbwelwa-xk3tm
    @RichardMbwelwa-xk3tm 7 місяців тому +4

    Master J is a good character inabi afanye filamu moja classic na mi niwemo

  • @aoneelemes1028
    @aoneelemes1028 5 місяців тому +6

    Dah ideas za hiv sjui zinatoka wap sijawah ona music full story af inaeleweka namna hii... dah 🔥

  • @wizonqao839
    @wizonqao839 7 місяців тому +4

    Mbali na kuujua mziki master J anajua na kuigiza very talented.

  • @user-yp6fw5vy7z
    @user-yp6fw5vy7z 7 місяців тому +12

    Basi bana nimekaa mahali karibu na barabaran nachek hii video 😅😅nimefika kwenye hicho kipande master j anataka kujilipua then kuna scania ikapita hapa barabarani tairi ikapasuka nimeshtuka kinoma 😅😅😅true story mazee 😅😅😅😅😅

  • @mosessilungwe1670
    @mosessilungwe1670 7 місяців тому +6

    Rapcha I'm your number one fan from Zambia 🇿🇲

  • @depsmilindi8424
    @depsmilindi8424 7 місяців тому +2

    Jamani, ningekuwa nauwezo ningekupa ukongomani ili nikujivuniye wewe kwasana Rapcha..... Like zangu nyingi from🇨🇩✌️shabaki yako sana

  • @tabithamlalami18
    @tabithamlalami18 7 місяців тому +4

    Asante kwa huu mziki umetuletea story ya kweli ya yule kijana wa mwanza na demu wake aliyekuta missed call zaidi ya 30 asante umetukumbusha mwanza na umetukumbusha salma r.i.p kwao

  • @nass8558
    @nass8558 6 місяців тому +4

    Rapcha ni rapper mwe ye story nzuri na zinazogusa jamii. anatiririka nazo kwa style ya kipekee na wala hafoki. napenda styke yk.hata mtu mzima hii anasikiliza na kuelewa vyema.keep it up bro

  • @user-lz7xm8mc6w
    @user-lz7xm8mc6w 7 місяців тому +7

    Vanillah umeua mzee colas Kali san

  • @asumanisadikianswa
    @asumanisadikianswa 6 місяців тому +5

    Vanillah love from canada 🇨🇦

  • @adammagoli3956
    @adammagoli3956 7 місяців тому +6

    I have never seen acting like this in tanzania master j umeua salute

  • @agnessnkandi5229
    @agnessnkandi5229 7 місяців тому +4

    Dah! Vanilla ni nyoko🔥🔥🔥🔥

  • @user-xi7mc5sm8i
    @user-xi7mc5sm8i 6 місяців тому +5

    Feel the music,gonga like kama unamkubali Rapcha

  • @mcnyota
    @mcnyota 6 місяців тому +7

    Alafu Vannila ni fundi sana aise.. Kings hapa waliangukia kifaa🎉

  • @ahmedysaidy9874
    @ahmedysaidy9874 7 місяців тому +7

    Based on true story tukio lilotokea mwanza.

  • @hamisisalim
    @hamisisalim 7 місяців тому +4

    Waaah nyimbo inafunzo sana watu waheshimiane na uaminifu uwepo

  • @officialhysam2720
    @officialhysam2720 7 місяців тому +151

    Wa kwanza mnipe like hata 1

  • @ramcymosungu4700
    @ramcymosungu4700 7 місяців тому +4

    Master amefanya vitu vya kimaster San katuliaaa mnooo❤

  • @erickdioniz8277
    @erickdioniz8277 7 місяців тому +3

    Ngoma kali , video kali,vina vikali,beat kali,story kali na flow kali pia

  • @user-re9gn4bt1n
    @user-re9gn4bt1n 7 місяців тому +8

    Vannilah hajaangusha pia...Mia kwa Mia kila sehemu...audio video..lyrical

  • @salomejames9639
    @salomejames9639 6 місяців тому +8

    Tunaoangalia Mara kwa Mara ihi video gonga likes hapa❤❤

  • @user-xn5qp4km1y
    @user-xn5qp4km1y Місяць тому +4

    Vita na insecurities, hatukua na honest na loyalty, marafiki wakatunyima privacy🙌🙌🙌

  • @user-et4ie2sm5b
    @user-et4ie2sm5b 7 місяців тому +4

    Jama hatumi nguvu.kama anafinya tonge to la ugali.RESPCT RAPCHA.

  • @saidsidaz
    @saidsidaz 7 місяців тому +3

    Mlango mpya ya Kuigiza umefunguka Master Jay Umetisha sana

  • @foodmark482
    @foodmark482 7 місяців тому +5

    Kisa cha said wa Mwanza hichi

  • @RA2KJR
    @RA2KJR 6 місяців тому +4

    Yani nakubali sana haya Mambo mpeni maua😂 jaman

  • @user-jq1kq7bb2n
    @user-jq1kq7bb2n 7 місяців тому +4

    Hii kaz ya rapcha n msuli sisimizi matokeo tembo daah yaan anatumia nguv kdogo alafu kaz n uhakika aseee big up bro rapcha

  • @Hashdough
    @Hashdough 7 місяців тому +4

    RAPCHA IS GOOD WITH STORY TELLING RAP MPAKA BASI ASEEE

    • @BigZhumbe
      @BigZhumbe 7 місяців тому

      He is so good 🔥🔥

  • @c.e.omasasi5131
    @c.e.omasasi5131 7 місяців тому +13

    Hii story kama.yule tajiri wa mwanza aliye Muua mkewe akaenda ziwa Victoria rockbizmack kisha na yeye akajifyatua ebhana mumetisha aise

  • @zamidually744
    @zamidually744 7 місяців тому +2

    Ukweli asie comment hapa atakuwa ni mchawi vers kali kideo kikali vanilla kolas kali nimeanza kukuheshim xx 🔥🔥🔥

  • @AdamRichard-pd5lc
    @AdamRichard-pd5lc 2 місяці тому +4

    rapcha mamae nataka kumaliza mb zang mimeliludia zaid ya mara 10

  • @herielrodgers
    @herielrodgers 7 місяців тому +4

    Masta j kauwa big up

  • @ernestnyansambo1982
    @ernestnyansambo1982 7 місяців тому +4

    Master J kumbe ni bonge la Actor hivi!!🔥🔥🔥🙌

  • @djcheusi2627
    @djcheusi2627 7 місяців тому +4

    Rapcha ni story teller mkali sana hajawah kutokea

  • @hair_by_dayanna
    @hair_by_dayanna 7 місяців тому +9

    Hv master j ashajigundua ana kipaj cha kuigiza au bado

  • @user-dv3vl6ml7o
    @user-dv3vl6ml7o 4 місяці тому +6

    Huyo vanilla kanogesha wimbo

  • @lupamwakyusa1582
    @lupamwakyusa1582 7 місяців тому +4

    Daah nmefurahi sanaa kumuona master

  • @linahmeena
    @linahmeena 7 місяців тому +4

    Yan hii nyimbo kuna tukio 2021 nafikiri or 2022 kuna kaka alifanya hivi huko mwanza na jina lamke lilikuwa hili salima umetisha mwamba

  • @user-pc9ki3os8e
    @user-pc9ki3os8e 6 місяців тому +7

    Yan naskliza zaidi ya Mara 10

  • @a-zproduction8143
    @a-zproduction8143 7 місяців тому +3

    Master umetisha una bonge la talent

  • @ChenchiKing
    @ChenchiKing 7 місяців тому +4

    Kihukwel Hapa Nguvu Ndog Inatumika Ila Akili Nying Xan , I'm Proud Of You 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @felicianmponzi1419
    @felicianmponzi1419 7 місяців тому +4

    Kweli Master J ni master of everything, he nailed the character well🔥

  • @saidjirani386
    @saidjirani386 7 місяців тому +4

    Nimeamini kua master Jay ana vipaji vingi tutegemee akienda mbali sana kwenye kuigiza kama ataamua kua serious mchaga yule

  • @geralddisbord8191
    @geralddisbord8191 7 місяців тому +4

    We need more of Master Jay.. Great acting skills..❤