Stamina Feat Lody Music - Hayana Maana (Part 3) SMS [Skiza 8091567] to 811
Вставка
- Опубліковано 4 лип 2022
- #Stamina #HayanaMaana #SlideDigital
Stamina Songs OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
ffm.to/staminashorwebwenzi
Written & Performed by Stamina & LodyMusic
Video Directed by Khalfani
Follow Stamina on:
/ staminashorwebwenzi
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: / slidedigitaltz
Tulie rudia kuplay hii hit zaid ya mara 3 tujuane hapa. MAPENZI 🙌
Hayana mana
Leo narudia Mara ya kumi haichuji hii siriz
"Kwenye kipato chakoo buku ye anaomba laki" stamina umetishaa🔥🔥🔥
Nomaa😆😆🙈
Mzee hiyo level uliyoifikia ,ni kwamba dunia ikae kimya kwa dk mbili isikilize ngoma hii🔥🔥🔥🔥ni kwikwi
Kweli kabisa Mr. Shorwebwenz mmetisha Sana na lody music🔥🔥🔥 mapenzi Ni SoMo lisilo na kikomo big up Sana tupe nyingine Kaka🔥🔥❤️
Oya wametisha xana
Hii SERIES HAIJAWAHI TOKEA KWENYE MUZIKI WETU AFRICA.... NADHANI STAMINA DESERVE MORE THAN EVERYTHING 🔥🔥🔥🔥🔥
series 💣
Hii Kali lakini cheki ya king kaka. Hii wamecopy huko.
Am saying tho
Stamina kweli ni moto, ujumbe mzuri sana. Hello 👋 Stamina
@@allymwamini3456 ggg
Turio ludia mara mbili kuitizama hii ngom tujuane kwa coment hapaaa,,,, lody music kaua kwa chorus
Bg up moro town boy nmependa hapo uliposema unakomaa unampeleka mliman akale pza akito anaenda kwa mwana anekula chuv ya uviza kwel mapenz hayana mana 😂😂😂😂
Lody brow Unapokwenda Tnanza kupaona Brow Namini Ndoto zko Znakua Mungu Akubariki Nakukubali zaid ya sana tangia Ulipotoka gadi utapokwenda Ishallah nipo na ww brow napenda unachokifanya
Stamina sio level za hawa marapa waongo ongo janjanja janja hawa, stamina ni another level.
Lord kaua chorus keep standing mshua
hapo Kwa mshauri wa Ñdo Kuwa làbda alishawai pewa talaka Ñdo line nimetii Saana,,,,Stamina wewe sijui n jua Gani unaotanga Kweli,nataka niuote pia punchline za kubabee kweli,mega shout out Saana ,,kenya inakubali Saana kazi Zako brw🔥🔥🔥🇰🇪
stamina unajua brother siyo Siri big up
Kaka kwahili umenifikisha kileleni kwakujuwa wwe mkali.#stamina
#Roma njoo naww uje msepe n'a kijiji🦣💪🇧🇮🌍🌍🇧🇮🇧🇮🌍🌍🌍🐘🐘🐘🦣🦣💪💪💪
Hiki chuma shout out to stamina na mkali wa vocal lody music much love from kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Hayana maana kweli....../Unaeza kuta mshauri wa ndoa naye alipewaga talaka/ Big Hit, Bigger Collabo. Love toka Kenya!!
Nipo hiyo line apaa😆😆🥊🥊🚀
hata mganga anayetibu mapenzi kashapewa talaka #hayanamaana mob lov from +254 Kenya Stamina 💥💥💯🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Stamina unajua mpaka unakhera🔥🔥🔥🔥
Rap na mashairi all in one. Respect Stamina....mapemzi hayana siri ata ukadate na bubu 🔥🔥🔥 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
‘Unampa moyo alafu ikifika kwa kitanda anataka Kichwa 🤫’
Vina 🔥🔥🔥
Unalewa Nini Wakati mwenzako Amekukataa Unampendaga mwingine nayo mwingine Sha penda mwingine usijiumizee lody music ft Stamina nice song more love from kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪❤️🥰🥰🥰
mapenzi haihitaji nguvu......ila nguvu ya pochi.....stamina broman much more love🇰🇪🇧🇭🇰🇪🇧🇭hayana maana kweli hayana maana
Stamina never disappoint..... you deserve congratulations... You make a very good chemistry between you two🔥🔥🔥🔥
Eiiisshhh😭😭😭 Stamina's verses always sound so personal mazeh!!
Ashawah umizwa ndomana😪📌
Muda wote Nikiona notification ya Stamina najua ni mauaji na maangamizi...
Ama kweli mapenzi hayana maana.... Much love from Kenya...🇰🇪🇰🇪
mwanangu Tena,,,Kenya imekubali saaana,kinyamwezi🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Ngoma Kali kideo kikali 🇹🇿 Sanaaa
I normally find my comment not worthy to be on any stamina's project, therefore let me just say much love and blessings from KENYA 🔥🔥🔥
Same here, just respect to the legend
Ila ni mfupi mnoo..Very short man
@@johnjohn7952 short and sweet hahaha ila mzuri sana
Mkali wao,,much love from ke
¹ 0
Bredher hiingoma Kali sana naiangalia zaidi yamala kumi nasichok
Father ndo wewe ulie nifanya niipende hip hop hakuna mwingine ni wewe 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Stamina mkali mkali kwenye vokali🔥
254 representing
Stamina is a very underrated Tanzanian lyricist I swear.thats what we call Music. 🧠🧠🧠
Thats real music man
Who underrates him.. Probably not hip hop fans
True
Nikiskiza bongo hip hop napona,,,, Stamina huna mpinzani bro big love from 254🇰🇪🇰🇪, Mashairi, utunzi....laini
Duh, hataree ukikomaa na akili yako ilivyo utatufunza, ila wengi wanalewaga mbeleni,,,, Mungu akulinde na hilo
Le morceau est vraiment significatif surtout le couplet de stamina c'est waouh! J'aime aussi le refrain c'est mélancolique . depuis DR Congo Kinshasa, boza makisi fort💪💪💪👏
T'as compris, mon grand! Stamina est complètement fort💪
Number one hipop artist in TZ
From burundi, kweli mapenzi hayana maana Bora huwe single😢 🙏🙏
Daah...Stamina Umeuaa Sana Ukisikilizaa Hii Nyimbo Kweliii MAPENZ hayana MAANA Daah KUANZIA Leoo MAPENZ Basii
🔥🔥🔥 Stamina never disappoints 🇰🇪✈️🇶🇦
ua-cam.com/video/jIKtN6WUSe8/v-deo.html yo
Lody music to the world🔥
🙌🙌🔥🔥🇦🇺🇦🇺🇦🇺nyimbo ime Nigusa sanaaa Kama na imbiwa Mimi 🙌🙌🙏🇦🇺🔥 Kama ime kugusa na wewe like 👍
Star mi naamnia. Stamina uko juu kama kamba ya kujinyonga
Stamina is so underated, this guy is 🔥🔥🔥🔥
L'intouchable au rap swahili Stamina big up broo !!! Asante kwa uandishi full maneno 🇨🇩💪💪💪
Lakin Kaka hujatwambia kama mwendelezo upo au ndo tyumefuga kibarua ☄☄☄🔥🔥🔥🔥
Daaaaaaaaaaaah bro uko na talent vibay sana nakukubali mpak sijuh niseme nn kweny mziki unatufundisha na kutuelimisha vizur tu BIG UP BRO.... 👍👍👍
Lody music is another story 🔥🔥🔥🙌
He sounds a little bit like Marioo but yuko poa
ua-cam.com/video/Du0Owr8Pebw/v-deo.html
Respect to STAMINA
Me Bongo Sihami,,, Na Sishangai Ukinyimwa Tuzo
Wimbo una ujumbe tosha, ila kumfananisha mwananke na mchongo, sijapenda 🇰🇪💔
After listening to the song, I noticed the chemistry formed here is 🔥🔥🔥. Mmeua Sana wazee, nimejifunza mapenzi hayana maana
ua-cam.com/video/Ty2JzIBxpjs/v-deo.html
Kbs
Sure....the chorus is lit.
Stamina has been giving us good music ever since he started. Legendary that one, Respect!
💯💯
Oya ujawai kufer broo nakukubar kinyama🙏🙏🙏 kwenye hip hop wewe🔥🔥🔥🔥
Najua wengi hawataamini but in the world of music Roma is the king
Let's agree lody is on another level this guy daaa
I'm happy stamina is always supporting upcoming artists, well done Lody music
Hata siku ..moja ...hatuwezi ruka Ngoma ..kama hizi .hip hop..stamina .oug...love you brother
Tatizo stamina bwana mapenzi bado yanakutesaa Sanaa tangu uachwe na mkeo unatuaminisha mapenzi mabaya
Hatulii anacheza ligi kuu adi ndondo😂😂😂
Serious and trending art piece from my super 🌟 🇺🇬🇺🇬 staminizing!!
Babalao stamina 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 tunakukubali
Stamina Mzee wakutema mashairi yaku sisimuwa.🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 one love
For really this guy is very talented and is always right for his songs big up bro may the lord protect you man
You made it clear my boys, let's show love on this one
All the way to part 100 🔥 burn it up sholobweeeeeeeeeeeeeeeeeenz 🔥
Namsubiri Roma mshushe nondo wanafunzi waondoke na vibuti...!!
King vs king..... Stamina mkali sana lody music,,,, more love ❤️ from kenya
Am a Nigerian but to be honest I love the rhythm of the song so cool and lovely
what a chorus🔥🔥🔥🔥lody music, stamina
Imeni tuch Sana bro. Niko kwa wakati mgumu Sana big up
Na kukubali Sana Stamina
Weye nimukali kabisa 🥰🥰🥰✊✊🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Stamina respect brother 🔥🔥
Stamina to the world 🔥🙌
Good
My own Star stamina,hongera bana am your number one fan here from Kenya count me as your own fan
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Stamina ana mashairi yenye stamina
Lody nailed it, stamina did it like always 🏆
You done much good,, Stamina you are the rapper of 🌏 big up lody music u deserve congratulations
Who else hears Marioo kwe hii sauti?
Stamina never disappoint, 🔥
Daaah mwanang staminaa unaupigaa mwingii kakaaaaa 🤣🤣🤣 mapenz konyo mnooo
Stamina never disappoint 🇰🇪
Oh my goodness this is so dope 🔥🔥🔥
Kazi safi wakuu. Mad love from Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Oyaaa nmeiskiza kma mara 10 hvi.....stamina vibez zko n 🔥🔥🔥🔥....Lody music umejua kuipatia viungo chorus....Thumbs Up gus👍👍👍
Sempre no ponto ..... grande senhor.... Stamina 👍👍👍👍👍🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Kaka umetish
STAMINA⛽🔥🚬
Best Hip hop artist mwaka huu wasipokup naandamana....My role model shorobwenz... 🔥
"Unaweza kuta mshauri wa ndoa naye alipewaga talaka "daaah nipe glass kubwa🍻🍻🍻🍻
When we talk about the music..this is the real music..no nudity..just clean music...
More bless from MZ 🇲🇿🇲🇿🇲🇿, sou fã número 1 desses dois.
From Kenya 🇰🇪 😍 much love Broo ❤ 😍 💖 nakukubali ata basi tu bars zako n moto maupendo sana
Uwaandishi wa chorus ni wa marioo.. i cant tell the different
Creativity Iko juu brothermen, twende hadi part 10
When vocals meet with message. Dope. This is not only music, its a lesson.
Stamina Umeamua kweli kaka nakupenda Sana❤
Achilia mbali midundo na flow tamu za hawa jamaa wawili ..
Ishi na hii mistari utakuja nishkuru baadae Mwanaume yoyote unaesikiliza hii ngoma...
Cha msingi tupende watoto tuliobahatika kuwapata ..
RIP Said ..
Lody music voice 🔥🔥 stamina the guru
The best rapper..in TZ the message in this guy's songs is deep....
Hey fans stamina kweli kaumizwa ajengeww sanamu lake liwekwe pale karume
Kaka nyimbo kaliii Ila Ungejitahidi kuweka connection na part2 Kaka 📌📌📌📌
Lody killed it🔥🔥🔥
Stamina is still very hurt I can tell it in his word’s, pole sana dawg
Jamaan huyu bwana hakosagi maneno🤔🤔🤔, big thing up to you sharobwenzi
Fundiiiiiiii stamina sholobwez