Kuku huchunga vivaranga kwa kiakili. Mwewe Yu macho kufanya sherehe, kuwinda! Mwanamke kuwa macho na toeni Raha kwa kutimizia. Mpira ukirushwa, tuliza na daka!! . Dr. Ogeto International
JAMANI NAOMBENI SNA SANA KAMA KUNAMTU ANAIJUWA NYIMBO YA ADIJA KOPA JINA RAKE SIJUW IRA INAIMBWA IVI imeshafika tamati kukuereza bayana ujaujuwa utamu waume wauriznaaaa anayejuwa jmni
@@chamoubaou373 ad had gad gdad hzddddzaddzadaad hdzdzdzzaddâadaddddddgdfgdgdddddddddfdddfdfddfdfddfddddddddddfdfdefdddddddfdgdfddddddddfddddddfddgdddfdddddgdfdddfdddgddddddfdgdfdfddddfdfdddddfgddď
Wale tunaosubiri raha za pwani 2024 gonga like❤😂👌🏻
❤illovethesong
❤❤❤
2025 mko wapi❤❤
Ni uongozi utarusha utamu huu wa. Taarabu kama hizi😂🎉
Wale wa 2023 tujuane,🔥😊
28.2.2024 bado nairudia rudia masikioni mwangu
Old is Gold wallah❤
Nimeizikiza nikiwa mdogo mpaka sa sa hivi Niko naitwa nyanya. ❤❤❤❤❤❤❤love all the way from Kenya
Nani hupo hapa leo tarehe 17/08/2024
Mimi.nipo..nipo..nafulahia.talabu..ya..shangazi..khadja.kopa...natizama..nikiwa.qatar..gulf.hongela.saana.khadjakopa
Malikia.wamipasho.khadjapo
Nakupendaga bule shangingi la jiji nayapendaga mineno ya kuntu wape hao
15.1.2024 bado naisikilizia naipenda sana❤
Mwanamke mambo hahaha pambe mam khadija kopa huna mbaya
Khadija kopa zaman alikuwa mzur sana
Asanta tamu zaid ❤❤
Khadija kopa ni mambo yote.taraab safi
Narudhika eee kila kukichaa 🎉🎉❤
Kuku huchunga vivaranga kwa kiakili. Mwewe Yu macho kufanya sherehe, kuwinda! Mwanamke kuwa macho na toeni Raha kwa kutimizia. Mpira ukirushwa, tuliza na daka!! . Dr. Ogeto International
😭😭😭😭😭😭 this song is my late aunties favourite haki mungu amsamehe dhambi zake
Sorry for your loss
Aameen Ya Rabbi.
@@husseinguyo1177 Ameen
JAMANI NAOMBENI SNA SANA KAMA KUNAMTU ANAIJUWA NYIMBO YA ADIJA KOPA JINA RAKE SIJUW IRA INAIMBWA IVI imeshafika tamati kukuereza bayana ujaujuwa utamu waume wauriznaaaa anayejuwa jmni
Kubali matokeo inaitwa
Hamna dhambi kutakwa, iwapo watakwa..... Itika kwa mwito upekurwepekrwe
Woiiiii hamna cha peke ako, Kizuri kula na wenzio Kwiooooo
Ndio mana yake
Great Kopa. Mwanake Mambo ''Utapenda!!!'', one of my all time songs!!!
Umenikumbusha mbali sana
Malkia mmoja TU east Africa na kati.
Taarab za zamani uchoki kuzisikila wallah 🔥🔥👌👌 Leo tareh 2/6 2021 bado naitazama
Nothing beats old taarab songs..... message delivered 👌
When natural hair and beauty was a real deal😚😚😍
😅 wanaimba kuhusu kujipaka mkorogo 😂
Napenda mama zuchu alivo natural kweli tangu zamani
Beautiful natural sio mkorogo hapoooo sasa,Hatareeeee khadija.mwanamke jichooo.
apo chacha oyoooo maneno ayo mama yananiosha mie mwanamke nyonga bibi bwana mpaka anavurugwa baada yakuvaa tauro anavaa shuka wozaaaaaa mamaa khadija kopa mmwaaaaa
Hahahaha
Nampa kitumbuwa mafuta kujirambia aiseeee nakumbuka mbali
😂😂😂😂😂😂😂😂
I simply can't get enough of this song! Congrats Khadija!
Vous allez bien
@@chamoubaou373 ad had gad gdad hzddddzaddzadaad hdzdzdzzaddâadaddddddgdfgdgdddddddddfdddfdfddfdfddfddddddddddfdfdefdddddddfdgdfddddddddfddddddfddgdddfdddddgdfdddfdddgddddddfdgdfdfddddfdfdddddfgddď
Moira ukirushwa nadaka nafunga hili kwa tiktaka karibu utapewa taraka😂😂👌🙌 ahsante khadija kopa🔥🔥🔥
Kama wewe mwenye nyumba ooh na mie kanitaka mwenyewe kanitaka hahaha Khadija hizi nyimbo zamani zilikuwa ugomvi tu kwenye rusha roho uswahilini
Mimi mpenzi wa Khadija kufa kupona😘😘😘😘😘napenda pia zee la nyeti
Mwanamke mambo, wala sitombania nampa kisawasawa halllooooo
Hakuna cha peke ako ukichukua nitachukua 👌
Khadija Kopa ngoma tamu kweli hapa hatutoki
Kiboko yao
Mwanamke kujiamini eeeeeh
Nakupenda mami kopa MY ALL TIME FAV😍😘👌
penda sana wajina
Mziki mtamu tena kwa utaratibu wa aina yake. Mbio ya nn??❤️
Yaan mm nikion adija kopa nawimbo huo unanikumbushambali saan
Hyo vdeo jangwani sea breeze jangwani mbezi beach hatareeeee😀
2020 still More fire hapa eldoret , ndani cheruu estate nikiwa na Blvd wife rutto Winnie
Niliupenda sana huu wimbo, una message na unanikumbusha mbali sana, love you mama wa mipasho
Saumu Hassan saumu hassani
umenikumbusha mbali sana natamani enzi izo ingekuwa sasa . ni wako akiwa kwako akitoka nahopoa.
Yote Tisa apo mwisho anakuambia kalipasuwa fenesi na huo mdundo wake
Wangapi tunatazama tarehe 28-5-2024
Wengi
Majestic Khadija Kopa has all the beauty and confidence. Articulates her issues adequately. I love this game. Dr. Ogeto International
Maneno pambeee😂👌🏻👌🏻👌🏻
...old is Gold, mashaallah 🫡
2019 bado naitazama hii nyimbo! Naipenda mnoo Khadija kopa nampenda sana.
❤❤❤love hadija saana
Khadija kopa u so cute 😍😘😘
Nakupenda sana mama
Mwanamke wakujipenda nakujirembua apo chacha niwako akiwa kwako
Kama wewe mwenye nyumba mbona mwenyewe kanitaka?who is here 4/6/2021?
Nipo
Taarabu is my favorite music every time
adi november tupo nayo 2024
December 2024 ndaniiiii 👌 👍
Old iz Gold i love you khadija kopa October 2019
Ajaaab
I like the same idea as I am looking for
Hope all good things will go well 😊
Machallah maman Copa vous j'avais transmis votre vois à zuchu é votre boutté machallah bravo 👍👍💃💃💃💃👋👋👋👋🎸🎻🎧🎤💯🥇❤️❤️👁️👁️🇫🇷
Nakupebdaaa weweeee
1:02 ❤❤❤❤
Enz zake izo hakongi
Malkia wa mipashoooo
uko vzr mammy koppa na unajitambua sana
hapo nisawa nambabika tu nikiwa hapa nairobi
selemani omary 1ejbjbbf"ģh/grgf
nampa kitumbuwa mafuta kujirambia Wala stombania nampa kisawa sawa....hongera sana...khadija....kopa
Nitamwinda kama paka hataree weweee
mtauwawa bureee.....!
Hilo neno
One of the best taarrab songs
Apo kalipasuwa fenesi na huo mdundo wake chacha lazima utacheza kama hauna mawazo sijui fenesi gani ilo jamani naomba jibu
Kwa mavitu ameroa kwako hakupendelea kwa mavitu ameroa hakutaki kaniambia
Wala sito mbania nampa kisawasawa ngomaa namchikichia
Still 2021 I am watching my favorite songs (taarab)
Kama wewe mwenyewe nyumba mbona nami kanitakaa mwenyewe kanitakaa.heeeee oyaaaa weee
Mwanahamisi Juma l
All good and good for me.
2020 tupoo kama kawa💖💖💖
"mwenyewe kanitaka" niko loaded 2019
Nitampa kisawasawa mmmmh
Mama la mama
Khadija kopa 👌
Kwa mavitu amerowa hakutaki kanambia wala ctombania nampa kisawasawa
wala sitombania nampa kisawa sawa.
were Lilian doh
Upo vizuri kopa ilove it
2020 January mpo hapa
Yap tuko ndani ndani kapisa
Lovely song
Mwnamkee mambo
maneno hayo,haya basi kayelete
Safi sanaaaaaaa
Unatisha wng
hatariiiiiii
Bhonface Chagoche maneno
Tar21/4/2024 nampenda sana bi hadija kopa ❤
najisikia raha mwili mzimaaaa
Hahaaaaaa mambo hayo😂😂😂
My favorite songs 💗😍💗
Alikutaka kwa bahati mbaya (woiii)
Still here in 2023❤❤❤
nyimbo tamu
My all-time favorite 😍😍
Waaaaaaaw
I'm watching now 2021 amaizing song
nice one
I love this song still the best 2019
What’s it meaning?
Enzi izo ata zuchu hajazaliwa
Walla sitom-bania.......
Khadija kopa utabaki mawinguni
Good music
🔥🔥🔥🔥🔥💯💪.