Maombi ya Ujazo wa Roho Mtakatifu by Innocent Morris
Вставка
- Опубліковано 11 лис 2019
- Haya ni maombi ya ujazo wa Roho Mtakatifu tuliofanya siku ya mkesha wa tarehe 4/10/2019. Ni maombi yenye nguvu sana kwa imani utapokea katika jina la Yesu Kristo wa Nazareth. Amina.
"Lakini mtapokea nguvu, akiisha kuwajilia juu yenu Roho Mtakatifu; nanyi mtakuwa mashahidi wangu katika Yerusalemu, na katika Uyahudi wote, na Samaria, na hata mwisho wa nchi."
Matendo ya Mitume 1:8
Instagram Page: holyspiritconnect
Facebook Page: Holy Spirit Connect
Contact: +255652796450 (WhatsApp)
Instagram Link: / holyspiritconnect
Facebook Link: / holyspiritconnect
AMEN 🙏.....AHSANTE ROHO MTAKATIFU...NINAFUNGULIWA SANA KUPITIA HAYA MAOMBI
BARIKIWA SANA MTU WA MUNGU 🙏❤
Amina nimetikiswa viganja na nyayo vimewasha nmenena kwa lugha ,,machozi na kamas zimetoka,,,tumbo lilikuwa la moto endelea kutufundisha barikiwa sana ,,,MINGU AKUINUE KWA VIWANGO VINGINE
Ameen
Nashukuru MUNGU kuona haya maombi nimenena kwa lugha kwa mara ya pili maishani mwangu Asnte MUNGU asante ROHO MTAKATIFU 🙏
Yesu kristo nijaze roho wako mtakatifu
Amen napkea kujazwa nguvu
for my first time kunena kwa lugha thank you holly spritt thank you Jesus
Nipo hapa leo and this video imekua msaada sana.
Niliamka nikiwa mkavu sana lakini imenisanidia. God bless you mtumish.
Mungu asifiwe sana kwa mala ya kwanza nimenena kwa lugha leo
Ameeeen 👏👏👏👏
Utukufu kwa Yesu Kristo. Haleluya
Asante roho mtakatifu kwakusema kutumia kinywa changu leo, wapendwa haya maombi yananguvu🙏
Nimemwona Mungu kupitia ww ktk somo la Maombi
Naminapokea kunena kwa lugha kwajina layesu
Barikiwa mtumishi, na mm Leo nmejazwa na Roho Mtakatifu kwa Mara ya kwanza nmenena kwa lugha
Wow! Utukufu kwa Yesu. Nimefurahi sana
@@holyspiritconnect hallelujah Mungu ni mwema
Ubarikiwe
Amen mtumishi ubarikiwe tumekumic huku kiwira tukuyu
Barikwa mtumishi kupitia hili somo
Ameen
Ameen mtumishi kwa mara ya kwanza nami nimejazwa na kunena kwa lugha kweli Mungu ni mwema
Ameen 👏👏👏👏👏
Utukufu kwa Yesu Kristo. Haleluya
Ubarikiwe sana sana
Mungu nijaze Na Roho mtakatifu
Napokeaaaa nguvu ya ROHO mtakatifu
Aminaaa
I kned the holly spirit in and spiking in tongues
Asante Yesu nimenena kwa lugha
Amen
Be blessed man of God 🙏🙏
Yesu nisaidie nipo tayar na mimi
Ameen
Baba niteter
Hallelujah hallelujah Amen thanks you Holly l love you Holly spirit
Thank you Holy spirit and Man of God
Asante roho mtakatifu
Amen
Ameen na pokeya roho mtakatifu 🙏
Ameen mtumishi ubarikiwe kwa mara ya kwanza nimenena kwa lugha nifanye ili niendelee
Mimi ni amina wa yesu 🙏🙏❤
Ubarkiwe Mtumishi
Ameen
Roho nijawe tena kama siku ya Pentekosti🙏🙏🙏
Ameen
Amen 🙏
Napokea ujazo wa rohoni
Amen
Barikiwa sana mtumishi wa MUNGU napata nguvu yakuomba sana ninapo angalia video zako
Amen. Ubarikiwe sana
Amina
Asante yesu nimekupokea roho mtakatifu, usifiwe mungu usifiwe baba usifiwe milele 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Amennn nimepokea kwa jina la yesu
AMEN AMEN AMEN, barikiwa Sana
Ameen
Amina kaka, nilishjazwa before but this time it was different, oooh my GOD nimepta furaha inayodumu jaman am soooo happy Thank you HOLY FATHER we love youuu am blessed to have u HOLY SPIRITY your mostly welcome in my heart 😘😘😘 oooh sijui nisemeje nafuraha sana mimi na barikiwa sana mtumishi wa MUNGU
Ameeeen
Ubarikiwe sana
Mimi pia nilijazwa kitambo lakini leo nimefurahi sana maana nmenena kwa lugha ile sijawahi
Mungu naomba unijaze na roho wako🙏🙏🙏🙏
I'm filled
Amen
Dam ya yesu iniokoe,
Amen
Asante Roho Mtakatifu 🙏🏾
Napokea ujazo wa roho mtakatifu
Amen
Asante yesu napokeya
Amen
Ubarikiwe mtumishi
Amen
Amen mtu wa MUNGU napokea
Amen
Napokea kwa Jina LA yesu
Amen
Thank lord I receive
Barikiwa kaka Inno kwa somo zuri..🙏🙏🙏
Ameen
Amen Amen
Ameen
I'm filled with holy spirit
Ameen 👏👏👏
@@holyspiritconnect amen
Barikiwa sana mtumishi
Amina,
I receive power in Jesus name amen
Amen
Amen na pokea kwa jina la Yesu
Amen
Ameen mtumishi
Amen barikiwa sana
Amen
Amena
Barikiwa Mtumishi
Ameen
I receive blood of Jesus christ
Amen
Amen
Thank you lord
Damu ya yesu jaa ndani yangu
Tufuze kabisa
Asante mtumishi
AMEN
Thank you Jesus for the holy Spirit
Amina🙏
Ameeeeeeen ameeeen
Nimetamani nimeskiza hii video Mara mbili nikitamani. Natamani siku yangu iwe Leo. Ipo siku tu nikumbuke
Ameen
Thank you Holly Spirit 🕊️🕊️
Ameen
@@holyspiritconnectAmen 😊
Haleluya haleluya
Amen
@@holyspiritconnect l
Ameeen
Amen 🙏🙏🙏
Amina napokea🙏🙏🙏
Amen
Amen I received it in Jesus mighty name 🙏🙏
Ameen
Amen 🙏
Ameen
Nimeokoka Ila roho mtakatifu sijajazwa
Omba kwa imani maombi haya utajazwa. Mungu ni mwaminifu sana
Asante kwa mafundisho mazur ,naomba kuuliza ukipokea loho mtakatifu unakuwaje na nitajuaje Kama nimepokea
Ishara ya kwanza ni kunena kwa lugha. Mbili, utaanza kuona matunda ya Roho Mtakatifu ambayo ni "Lakini tunda la Roho ni upendo, furaha, amani, uvumilivu, utu wema, fadhili, uaminifu, upole, kiasi; juu ya mambo kama hayo hakuna sheria."
Wagalatia 5:22-23
Tatu, atakuwa anakuombea.
Kwa hiyo unaponena kwa lugha Roho Mtakatifu anakuwa anakuombea.
"Kadhalika Roho naye hutusaidia udhaifu wetu, kwa maana hatujui kuomba jinsi itupasavyo, lakini Roho mwenyewe hutuombea kwa kuugua kusikoweza kutamkwa. Na yeye aichunguzaye mioyo aijua nia ya Roho ilivyo, kwa kuwa huwaombea watakatifu kama apendavyo Mungu."
Warumi 8:26-27
Kwa hiyo ndio utaanza kuyaona kwenye maisha yako.
Asante nimeelewa
Amen Mtumishi
Nimeuona muujiza wako bwana baada ya kumpokea roho mtakatifu
Amen mtumishi...nmefurahi sana leo nimenena kwa lugha. Nifanyeje ili niendelee kunena kwa lugha?
Uwe unapata lisaa limoja la kunena kwa lugha utakuja kunena moja kwa moja
Nimejazo na Roho mtakatifu
Ameen. 👏👏👏👏👏
Yesu ni mwema sana
Shalom,
Vipindi vyenu live inakuwaga Saa ngapi
Instagram na you tube
Kila ijumaa saa nne kamili usiku mpaka saa saba usiku.
Pia kuanzia tarehe moja mwezi wa saba tutakuwa na mfungo. Ambao kila siku tutakuwa live hapa kuanzia saa nne kamili usiku mpaka saa saba usiku
MAOMBI YA KUFUNGA NA KUOMBA kuanzia 1/7/2021 mpaka 7/7/2021
Tutakuwa na maombi ya kufunga na kuomba kuanzia tarehe 1 mwezi wa saba mpaka tarehe 7 mwezi wa saba.
Katika hizi siku saba kila mtu atakuwa na mahitaji yake ambayo atamuomba Mungu amtendee. Katika siku hizo saba za maombi utaandika mahitaji yako sita na la saba iwe ni shukurani. Mahitaji hayo utayaombea kwa siku hizo saba ukiomba Mungu akutendee.
Kila siku utakuwa unaombea hitaji moja. Na siku ya mwisho utamalizia kwa maombi ya shukurani kwa kumshukuru Mungu.
Haya maombi ya kufunga na kuomba yatakuwa ya masaa 12 yaani kuanzia saa 12 asubuhi mpaka saa 12 jioni. Ukipenda unaweza kufanya saa 12 jioni mpaka saa 12 asubuhi vyote ni sawa utafanya kwa kadri Roho Mtakatifu atakavyokuongoza.
Wenye matatizo ya kiafya au wajawazito au wanaonyonyesha wanaweza kufanya maombi haya wakiwa wanakula au kuacha baadhi ya vyakula au vitu visivyo vya muhimu ambavyo vina wanakuchukulia muda na muda huo wakautumia katika maombi na kusoma neno.
Katika hizi siku saba wekeza muda wako mwingi katika kuomba na kusoma neno. Ukiwa kazini au kwenye biashara ukipata muda tu soma neno au jitenge uombe. Ukirudi nyumbani chukua hata nusu saa au saa zima kuomba. Usiku amka omba, soma neno, omba tena, soma neno, omba tena.
Pia utaanda mistari ya kusimamia katika kila hitaji utakalo ombea. Ni vyema sana kusimama katika neno lake. Pia katika maombi yako usisahau kuombea kazi ya Mungu na nchi yako. Omba Mungu azidi kuokoa watu wakapate kumjua Yeye, ombea watumishi wake na watu ambao wanapitia matatizo mazito. Hata kama wewe unapitia matatizo mazito ombea na wengine wanaopitia katika matatizo. Hiyo itakuwa ni mlango wa wewe kuuona utukufu wake katika maisha yako.
Na mimi hapa kila siku nitakuwa natoa muongozo wa maombi hayo kwa kadri Roho Mtakatifu atakavyo ni ongoza na tutakuwa live kila siku usiku katika channel yetu ya UA-cam ya Holy Spirit Connect kuomba pamoja kuanzia saa nne kamili usiku mpaka saa tano usiku kwa siku zote saba.
Usisahau kushare na wengine habari hizi za mfungo huu.
HUU NI WAKATI WETU WA KUOMBA
Innocent Morris
+255652796450 (WhatsApp)
Tumusifu yesu,,naeza pata namba yko?
Namba ni 0652796450 (WhatsApp) Pia unaweza kutembelea na page ya Instagram: holyspiritconnect
@@holyspiritconnect naomba code ya hii hapa
@@scolasticawacuka8371 +255652796450
0716221852
Ninaomba namba yako Mimi ninashida naomba msaada wako
0652796450 (WhatsApp)
NAPOKEA KWA JINA LA YESU
Ameen
Amen 🙏
Napokea ujazo wa rohoni
Amen
Amen
Nqpokea kwa damu ya Yesu
Ameen
Amen napokea kwa jina La Yesu
Ameen
Amen
Ameen
Amen Amen
🙏🙏🙏
Amen 🙏
Ameni Ameni Ameni
Ubarikiwe mtumishi
Ninaomba namba yako Mimi ninashida naomba msaada wako
0652796450 (WhatsApp)
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen