Yaaani mimi binafsi sina mashaka na ustadh shafi uyu mwamba yuko vizuli anajua nini anachokifanya biidhnillah, napia namuombea sana dua ALLAH azidi kumpa maalifa mpaka kisimshinde chochote na waadhilli wengine wa kiislamu na nnaamini biidhnillah akuna kitakacho shindikana, Allah awaongoze waalimu wetu imamu shafi na jopo lake, na ajalie katika huuu mkutano watu waujue uislamu na waufate. AMIIN
Asalam aleikum warahmatullahi wabarakatuh Allah awatie hekima na.ujasiri mueze kushinda kaumu ya makafiri inshaAllah tuko pamoja na dua kuwaombea amiim dhumaa amiin
Na imani kamili ju ya.hii debata waisilamu ujuzi tunao kutoka.kwa Allah mjuzi huyu ndacha kupendua maandiko ndio kazi yake lakini Hatu hofu Allah yuko mbele yenu inshaAllah ❤❤
Kama Allah atajaalia comment yangu kusomwa na walimu wetu wakiislam mim nashauri kwamba kueni makini saaana na ndacha Ni muhuni wa maandiko anaunganisha sana tafsiri zake kutetea imani yake kwaio wahadhiri mzingatie mna kazi mbili kwanza kurekebisha tafsiri za ndacha hasa kwenye qurani na hadithi hajui chochote lakin anakazana kufundishia aya za qurani na kazi ya pili kuwafundisha wakristo wauelewe uislam vyema Asanteni Allah awasimamie in shaa allah
Matendo ya Mitume 3:26 [26]Mungu, akiisha kumfufua mtumishi wake Yesu, alimtuma kwenu ninyi kwanza, ili kuwabarikia kwa kumwepusha kila mmoja wenu na maovu yake. Unto you first God, having raised up his Son Jesus, sent him to bless you, in turning away every one of you from his iniquities.
Ya Allah kwenye Dibeiti hii uwende ukauthibitishe Uislamu kuwa ndio Dini ya Kweli na Hakki kwa Makafiri na Uwafanyie wepesi Mashekh na Walim wetu wa Dini ya Kiislam.. Allahumaamiin..
PIA OSTADHI SHAFII MIM USHAURI WANGU NILIKUWA NASHAURI HUWAZE NA KUWAJENGA KISAIKOLOJIA JIA YA KUWA WASIWEKE MEPENZI JUU YA MZUNGUMZAJI BALI WASIKILIZE MANENO KAKA MAANA WAKIWEKA MAPENZI ATA KAMA UKIONGEA VIZUR HAWATA KUWELEWA KAKA BILA SHAKA NAKUAMINI SANA NA SINA MASHAKA NAWE
@@salimramadhani5237inaonekana humfuatilii huyu ndacha,na ikiwa unamfatilia ipo haja ukafanye vipimo vya uelewa wa akili yako, Vp Mungu anamzaa yesu mbinguni halafu Mungu awe ni huyu hyu yesu huku tukijua Mungu ni mmoja muumba wa vimbe wote Ndacha anagawa Mungu wa waislamu na Mungu wa wakristo wakati vitu hivyo hakuna katika ulimwengu, Ndacha anasema yesu sio mama Ake mariamu wakati wakristo wote wanajua bikra maria ndio aliemzaa yesu,tumueleweje au hizi clip huzioni?
Subhana Allah...Huyu kafir ipo siku isiyokuwa na msaada wowote atakumbuka maneno haya mazito kwa kipenz chetu Rehma za ALLAH ziwe juu yake.Tunawapenda hatuchoki kuwaombea ALLAH azidi kufunua vifua vyenu katika kupambana na makafikr kama hawa.ALLAH awatangulie katika mhadhara.
Ostadhi Shaffy kuna jambo moja muwe makini na ndacha pamoja na msomaji wake ndacha anachomekea maandiko kisha msomaji wake anamalizia hii inatupa ukakasi ambao hawajui kueni makin sana
Ndacha umesaidia sana watu kupotoshwa kimandiko kila dini ya christo kanda hizi za Africa mashariki umesaidia pakubwa wengine huenda uislam kwajili wapate majini watajilike wengine kazi,njaa,wengine ili wale futali kipindi cha ramadhani
@@MohamedAhmada-ie7ke Unaelewa neno Kuabudu. Kuabudu maana yake kutumikia au kufuata hivo alivokufa hatukutumikia au hatkumfata coz tuliambiwa atafufuka hivo tukasubili kama kweli alivofufuka tukamtumikia si yupo Hai. Sasa wewe swali lipo palepale UNAMFATA MTU ALIYE MAITI duuuuuh
@@MohamedAhmada-ie7ke Kukuongezea ingia dictionary ya kiswahili alafu andika hilo neno KUABUDU utaona ata nyinyi mnamuabudu Mohammad na swali liloulizwa na shafii kimsingi lilipaswa kuulizwa hivi KATI YA YESU NA MOHAMADI NANI WA KUABUDIWA(KUFUATWA)
@@hafsakirao398 Nimefurai umefurai. Na nashukuru kuniombea Ufahamu zaidi. Ebu pia tutafakari hili Upaswi kumfuata MUSA Upaswi kumfuata IBRAHIM Upaswi kumfuata JACOB KWA SABABU WALISHA KUFA NA UMMAH WAO. Hila unapaswa kufuata MAFUNDISHO YAO KWA KUWA YANAISHI MPAKA SASA NA MILELE KWA KUWA NI MANENO YA ALIYE HAI MILELE NA MILELE( MUUMBA WA VYOTE) Lakini sio kumtumikia(kumfuata) marehemu. Ukifanya hivyo ni ibada za wafu yaani unamtumikia MTU MFU hakusikii hakuoni akusaidii lolote, hila YESU yupo HAI ata Waislam wanaamini yupo HAI hivo ukimtumikia ATAKUSAIDIA UKO ALIKO
Mimi mchango wangu ni ivi, kwamaba wahaziriwamekua wakiropokwa hovyo hovyo kwa sababu mda wa kuzungumza unakua ni wa kwake , Sasa ombi langu wakati wa maswali Bora wajibizane pale wote wawili wasimamishwe.
O Muslims of Bangladesh, you have showed the world what courage is by forcing the colonialists to remove their dictator Sheikh Hasina from office. Don't let them give you another tyrant who will continue to implement Kufr ideology. Reject the entire system; it is time for Islam, It's time for Khilafah. #Armie2Palestine #WorkForChange #WorkForPeace #WorkForKhilafah
Ndacha sabaratisha hii dini yakiislamu haina maraika haina yesu haina nguvu zamungu nikerere tuu nakejeri naupepari nakibuli chakuongea kiswaili na kusema taqbiri zakumaliza haibu juu wisramu sidini
Ndacha amezoea kurukaruka na kubadilishabadilisha topic na kutojibu maswali aloulizwa na hivo ndio mienendo yao mapastor wengi. Hakikisha amekaa kwa mada na amezijibu maswali
Sasa Ndacha unageukageuka , Ukiwa Kenya unasema Yesu siyo Mungu ila ukija Tanzania unasema Yesu ni Mungu. Hebu kuwa na msimamo kwanza kuhusu Yesu kabla hujaanza kuja kwenye hii mijadala!
Asalamaalekum niombe ki2 huyu mkiristor sion 7bu y kumlazimisha Ajue Uslam Kwani sioni pweynt anatoaga side y kuzugisha mada n ht mda mwengne humkashiffu Allah n kadhalika hjb maaswali ichokichwa hakielew hata husema Utapata Dhawabu ukiotoa sadaka .He Dhawabu inatamkwa n Dini gani zide Uwisilam .inamaana diniyake hina neno hillo neno
Nawaombea dua wahadhiri wote Allah awaongoze watu waelimike wapate kuijua haki na kuifuata na batili kuiepuka. Sina shaka nao kwani wanamuwakilisha mtume katika kazi ya daawa hivyo uadilifu ni pambio lao la kwanza.
Ndacha hapo umeingia cha kike huyo bwana anatisha wallahi mimi nilimfahamu ana akili na anajua sana kwa taarifa yako naskia maulana habshi yupo na kinyogoli yupo na babu yupo ndacha acha huo mjadala
Ewe Allah tuongoze vema katika Debet Hii na Uwatie Nguvu wanaotuwakilisha waislamu , 🙏 Hakika Yako Allah ñi mwingi wa Rehma,. Allahumma Aamin 🙏
Aamiyn Yaa Rabb
Amiin rabil alamin
Yaaani mimi binafsi sina mashaka na ustadh shafi uyu mwamba yuko vizuli anajua nini anachokifanya biidhnillah, napia namuombea sana dua ALLAH azidi kumpa maalifa mpaka kisimshinde chochote na waadhilli wengine wa kiislamu na nnaamini biidhnillah akuna kitakacho shindikana, Allah awaongoze waalimu wetu imamu shafi na jopo lake, na ajalie katika huuu mkutano watu waujue uislamu na waufate. AMIIN
Hongera Sana ndugu Ndacha Yesu kristo akutie nguvu, Amina
Allah jaalia ktk mkutano huo waingie waisilam wengi ambayo kabla walikuwa ni wakristo Inshalah amiin
Sheikh Shafii Allah akuzidishie elm,kwa ulichokiongea hapa umemfunza tayari Ndacha umeongea vitu vya kueleweka.
Ustadh shafi Allah akutie nguvu sikua iyo nawenginea ustadhi pia tunawapenda mashekh wetu
Mashalla Sheikh .... nakupenda Kwa sababu y Allah
ALLAHhiBarikFikum. Ustadh Shafi na maustadh. ALLAH awape kila nguvu za 3lmu muweze kuiElimisha Dunya ya Rabb. Amiin Amiin thum'ma Amiin.
MashaAllah Alhamdulillah I'm a Muslim ☝️🕌🙏🙏🙏
Allah akupe nguvu, uendeshe mudahalo vizuri na uepehoja zakutosha
Niko znz nakufuatilia ustadh Shafiyy Alla,akupe nguvu na afya njema uislamu uko juu wala hautaliwa juu
Subhanallah
Maashaallah SHAFII namkubali.natamani sana ningekuwepo
Asalam aleikum warahmatullahi wabarakatuh Allah awatie hekima na.ujasiri mueze kushinda kaumu ya makafiri inshaAllah tuko pamoja na dua kuwaombea amiim dhumaa amiin
Mashaa Allah tabaraka Allah, uislam ni dini ya haki
Grande shekhe shafim shomar você é o melhor eu acredito em você.
MASHALLAH sheikh shafii.
Na imani kamili ju ya.hii debata waisilamu ujuzi tunao kutoka.kwa Allah mjuzi huyu ndacha kupendua maandiko ndio kazi yake lakini Hatu hofu Allah yuko mbele yenu inshaAllah ❤❤
Inshallah allah awafanyie wepesi kwenye dibet na atupe ushindi Amin
Im proud to be Christian❤
Allah itie nguvu dini ya haki na waislamu naidhalilishe shirk na washirikina
Kama Allah atajaalia comment yangu kusomwa na walimu wetu wakiislam mim nashauri kwamba kueni makini saaana na ndacha
Ni muhuni wa maandiko anaunganisha sana tafsiri zake kutetea imani yake kwaio wahadhiri mzingatie mna kazi mbili kwanza kurekebisha tafsiri za ndacha hasa kwenye qurani na hadithi hajui chochote lakin anakazana kufundishia aya za qurani na kazi ya pili kuwafundisha wakristo wauelewe uislam vyema Asanteni Allah awasimamie in shaa allah
Uhuni upi kaka maandiko yanasomwa hadharani,kama akipotosha walimu watamrekebisha
@@ejensonjohnson5209 Kweli Kabisa tuwape mda kesho sio mbali Inshaaa Allah ukweli utadhihirika uko wapi.
Said Juma kinyogori ni mfasaha sana ,napenda anavojenga hoja
Kabisaaa
Absolutely true
Shafi namkubali zaidi
@@i.dclassic116 kinyogoli yuko vizuri pia. Tena sana. Ngoja kesho utaona.
Allah kamkadiria katika hilo kwakweli.
Ana uwezo mkubwa sana.
Allah akuzidishie kaka ,
Inshaallah ndacha atasilimu kupitia elmu ya muhadhir shafii
I love you pastor Ndacha
Nakukubali ustadhi wangu Shaffiii
Matendo ya Mitume 3:26
[26]Mungu, akiisha kumfufua mtumishi wake Yesu, alimtuma kwenu ninyi kwanza, ili kuwabarikia kwa kumwepusha kila mmoja wenu na maovu yake.
Unto you first God, having raised up his Son Jesus, sent him to bless you, in turning away every one of you from his iniquities.
Napenda mada kama hizi na mashekhe zetu nawapenda sana kwa kujenga hoja imara
Mungu awanyoesheeni Kauli njema na zenye kueleweka
Maa shaa Allah
Ya Allah kwenye Dibeiti hii uwende ukauthibitishe Uislamu kuwa ndio Dini ya Kweli na Hakki kwa Makafiri na Uwafanyie wepesi Mashekh na Walim wetu wa Dini ya Kiislam.. Allahumaamiin..
Wewe ndasha Mungu akuongoze unajitahhidi sana.
Bwana yesu ni MUNGU
Ambaye alizaliwa na Mwanamke km ww
Mungu wa wasiojielewa
Tumsifu bwana yesu mwana wa MUNGU
Subhanna allah
Always Waafrika kamwe hatuwezi kuendelea , watu wanakaa kushindania dini walizoletewa na wageni aisee
Ndàcha tayari naona umeshasilimu mwoyoni umebakiza kukiri tu Alha akuwezeshe kukiri
Niko Msa nakuamini Sana inshaàllah ushindi upo Kwa waislam
Shafii sana nakufatilia
InshaAllah.Bidhin.llah.Ukafiri.mzigo.tena.
😢shekhe, kinyogori unauhakika utamuweza Mchungaji Ndacha
Shekh shafii ALLAAH Akutie nguvu uislamu usimame kupitia wewe
PIA OSTADHI SHAFII MIM USHAURI WANGU NILIKUWA NASHAURI HUWAZE NA KUWAJENGA KISAIKOLOJIA JIA YA KUWA WASIWEKE MEPENZI JUU YA MZUNGUMZAJI BALI WASIKILIZE MANENO KAKA MAANA WAKIWEKA MAPENZI ATA KAMA UKIONGEA VIZUR HAWATA KUWELEWA KAKA BILA SHAKA NAKUAMINI SANA NA SINA MASHAKA NAWE
Aje Shafii na jopo lake aje ndacha ni genius mashehe wengi kuanzia mazinge wamemshindwa
Ndacha akisilimu sisi waislamu tutafurahi sana sababu yeye ndiye atusumbuae sumbuae, kila nikiswali naomba kwa Allah itokee hivyo
Ndacha hasumbui anawadanganya wakristo tu na hao wanaposikiliza maandiko wanaslimu
mkristo wakwenda uislam ni chiz
ndacha sio chiz sasa😂 ukiwa ww muislam inatosha baki na allah wako ss allah hatumtaki wala kumsikia hatumtak
Ukiona mristo kasilimu ujue hayuko sawa kichwani.@@nassorsharifu9837
@@salimramadhani5237inaonekana humfuatilii huyu ndacha,na ikiwa unamfatilia ipo haja ukafanye vipimo vya uelewa wa akili yako,
Vp Mungu anamzaa yesu mbinguni halafu Mungu awe ni huyu hyu yesu huku tukijua Mungu ni mmoja muumba wa vimbe wote
Ndacha anagawa Mungu wa waislamu na Mungu wa wakristo wakati vitu hivyo hakuna katika ulimwengu,
Ndacha anasema yesu sio mama Ake mariamu wakati wakristo wote wanajua bikra maria ndio aliemzaa yesu,tumueleweje au hizi clip huzioni?
Subhana Allah...Huyu kafir ipo siku isiyokuwa na msaada wowote atakumbuka maneno haya mazito kwa kipenz chetu Rehma za ALLAH ziwe juu yake.Tunawapenda hatuchoki kuwaombea ALLAH azidi kufunua vifua vyenu katika kupambana na makafikr kama hawa.ALLAH awatangulie katika mhadhara.
Unauwelew San shekh shafi
Shafi wewe kiboko Ismail in 🇿🇦 from 🇨🇩 ww mkali Wang sn
Shafi humwezi ndacha
Ostadhi Shaffy kuna jambo moja muwe makini na ndacha pamoja na msomaji wake ndacha anachomekea maandiko kisha msomaji wake anamalizia hii inatupa ukakasi ambao hawajui kueni makin sana
MashaAllah Allah azidi kuwalinda muzidi kuelimisha watu
una mpongeza kwa kipi ww? mwambie afundishe watu AT TAUHID aache kuchezea dini
@@AlexMangenaAcha husda
Wacha makasiriko silimu uone ufalme mungu
Sheikh Shafii Huo Mdahalo Utakua Live Kwenye Mitandao
Swali muhim sana hilo sheikh
Utakua live
Mashehe zangu mama katoa fursa hiz za dibet tumien hapahapo kabla hajaja kiongoz kafri kuzuia kuhubri
Waaaa Wewe umejificha nyuma ya kina mazinge kuja mwenyewe 😂😂😂 utabatizea mapema
Ndacha umesaidia sana watu kupotoshwa kimandiko kila dini ya christo kanda hizi za Africa mashariki umesaidia pakubwa wengine huenda uislam kwajili wapate majini watajilike wengine kazi,njaa,wengine ili wale futali kipindi cha ramadhani
Yaani huyu Ndacha ndio chambo chetu kinacho tusaidia kufikisha ujumbe kwa ndugu zetu wakristo. Allah Taala Aendelee kumuweka.
Una IQ 3000 bila kipimo😂😂 hakika chambo chetu kimekaa kwenye ndoano vizur
Mashaalla
Mmh SHAFII
Unamfata MTU aliyekufa Duuuuuh. Jibu ushapata MAITI HAIFATWI.
😂😂😂kwaiyo yesu alipo kufa kuabudu kulikua hakuna au ni vipi
@@MohamedAhmada-ie7ke
Unaelewa neno Kuabudu.
Kuabudu maana yake kutumikia au kufuata hivo alivokufa hatukutumikia au hatkumfata coz tuliambiwa atafufuka hivo tukasubili kama kweli alivofufuka tukamtumikia si yupo Hai.
Sasa wewe swali lipo palepale UNAMFATA MTU ALIYE MAITI duuuuuh
@@MohamedAhmada-ie7ke
Kukuongezea ingia dictionary ya kiswahili alafu andika hilo neno KUABUDU utaona ata nyinyi mnamuabudu Mohammad na swali liloulizwa na shafii kimsingi lilipaswa kuulizwa hivi KATI YA YESU NA MOHAMADI NANI WA KUABUDIWA(KUFUATWA)
@@ManchesterTz😂😂😂😂😂 Allah akutie fahamu
@@hafsakirao398
Nimefurai umefurai.
Na nashukuru kuniombea Ufahamu zaidi.
Ebu pia tutafakari hili
Upaswi kumfuata MUSA
Upaswi kumfuata IBRAHIM
Upaswi kumfuata JACOB
KWA SABABU WALISHA KUFA NA UMMAH WAO.
Hila unapaswa kufuata MAFUNDISHO YAO KWA KUWA YANAISHI MPAKA SASA NA MILELE KWA KUWA NI MANENO YA ALIYE HAI MILELE NA MILELE( MUUMBA WA VYOTE)
Lakini sio kumtumikia(kumfuata) marehemu. Ukifanya hivyo ni ibada za wafu yaani unamtumikia MTU MFU hakusikii hakuoni akusaidii lolote, hila YESU yupo HAI ata Waislam wanaamini yupo HAI hivo ukimtumikia ATAKUSAIDIA UKO ALIKO
SubhanaAlla..huyu.. Ndacha..akishikwa.na.Umauti.huyu.atajuta.kamaFiraun
Kila lakheri inshaallah
InshaAllha tutashindatuu
Mimi mchango wangu ni ivi, kwamaba wahaziriwamekua wakiropokwa hovyo hovyo kwa sababu mda wa kuzungumza unakua ni wa kwake , Sasa ombi langu wakati wa maswali Bora wajibizane pale wote wawili wasimamishwe.
O Muslims of Bangladesh, you have showed the world what courage is by forcing the colonialists to remove their dictator Sheikh Hasina from office. Don't let them give you another tyrant who will continue to implement Kufr ideology.
Reject the entire system; it is time for Islam, It's time for Khilafah.
#Armie2Palestine
#WorkForChange
#WorkForPeace
#WorkForKhilafah
Ndacha sabaratisha hii dini yakiislamu haina maraika haina yesu haina nguvu zamungu nikerere tuu nakejeri naupepari nakibuli chakuongea kiswaili na kusema taqbiri zakumaliza haibu juu wisramu sidini
Mada apewe shafii na kinyogoli
Wakristo mjiulize paulo utume kapewa na nanani? Mnashindwa kujiuliza mna jadili swala la utume wa muhammadi ambao haunashaka yeyoteile niubishi tu.
Kumbe unamjua kabisa ni kidumee , kesho shafii atakuoa
Assalaamu Alayka. Sheikh Shafii kwa tulioko Mikoani Channel gani Inakuwa Live siku ya Debet?? Ili Tuifuatilie?
Hiii hiii
@@shafiishomari2328 InshaAllah. 🙏
Wakenya wanajua kiswahili acha kukejeli
Kibanoo
Mbona ndacha anaposimama na waislamu kwenye mada jasho linamtiririka ?
Sheikh shafi mi nnna mazungumzo na ww sijui nakupataje
Ndacha ni wakati wake wa kusilimu kwani anakwenda kufundishwa uislamu.
Ndacha amezoea kurukaruka na kubadilishabadilisha topic na kutojibu maswali aloulizwa na hivo ndio mienendo yao mapastor wengi. Hakikisha amekaa kwa mada na amezijibu maswali
Sasa Ndacha unageukageuka , Ukiwa Kenya unasema Yesu siyo Mungu ila ukija Tanzania unasema Yesu ni Mungu. Hebu kuwa na msimamo kwanza kuhusu Yesu kabla hujaanza kuja kwenye hii mijadala!
Mdahalo utakuja viwanja gani ?
Pt sinza
Asalamaalekum niombe ki2 huyu mkiristor sion 7bu y kumlazimisha Ajue Uslam Kwani sioni pweynt anatoaga side y kuzugisha mada n ht mda mwengne humkashiffu Allah n kadhalika hjb maaswali ichokichwa hakielew hata husema Utapata Dhawabu ukiotoa sadaka .He Dhawabu inatamkwa n Dini gani zide Uwisilam .inamaana diniyake hina neno hillo neno
Hiyo madaa ya kwanxa ndacha tayari hapo ushafeli bora nitizame tu ila iyo mada ya kwanxa badilisha utakufa kifo cha mendee
Hahahahaha, kesho tunamfinyanga ndacha
Sheikh shafi nna maongezi na ww sijui nakupataje
Uislamu ni dini ya Mungu mkuu Alie juu..ndacha aongea kama katiwa muhuri nyoyoni😂😂😂
Mie natokea Burundi 🇧🇮 naisubir kesho ndacha kama kamuogopa sheikh shafii 😂😂😂😂
Wallai mada tamu sana
Nawaombea dua wahadhiri wote Allah awaongoze watu waelimike wapate kuijua haki na kuifuata na batili kuiepuka.
Sina shaka nao kwani wanamuwakilisha mtume katika kazi ya daawa hivyo uadilifu ni pambio lao la kwanza.
Mimi napenda tulivyo ss na wkiristo ni ni upendotu
Pia tunataka mada ya je Krismas ni kuzaliwa kwa Yesu?
Wasioweza kumuelewa shafii basi kaapime akili yako . Huyu jamaa hata mtoto anamuelewaa
@@qaboossalim47
Kwahiyo tumuelewe alivosema wakenya hawajui kiswahili hivo na wewe Umesapoti MATUSI aliowatukana wa kenya?
Ni time ya ndacha kuslimu
Ndacha hapo umeingia cha kike huyo bwana anatisha wallahi mimi nilimfahamu ana akili na anajua sana kwa taarifa yako naskia maulana habshi yupo na kinyogoli yupo na babu yupo ndacha acha huo mjadala
Shaffi si kitu kwa ndacha, shaffi ni mtoto bado
Je kwanini hamjaingiza mada ukristo ni dini na kama ni dini je kaleta nani
Kaleta paul
Ndacha ni mtu wa kukurukakara ,anapenda speed huku anavungavunga hoja ,ila akibanwa kwa hoja anakaa
HATUTAKI MDAHALO NA WEWE KAFIRI BWANA USITUPATISHE DHAMBI BURE TUKAONEKANA TUNAKULAZIMISHA.HAPANA KULAZIMISHA KTK DINI Q2:256
Shafii mfundishe huyo mjaruo wa kenya
Tutajifunza kitu
Huyu ndacha yuko hapo ju anawakilisha wazungu michigan amerika ili alipwe kukoroga watu wasifahamu uisilamu ngoja muone vile atafanya
Huyu Muachane nae ana asili ubishi.
Ndacha kasalimia amani kutoka kwa Mungu wetu na bwana wetu Yesu Kristo halafu akibanwa anasema Yesu ndiyo Mungu😂😂😂
kila mtu na dini yake
allah binafs cmjui km ni mungu,,allah co mungu ns hawez kuwa mungu
Omba sana ujue kuwa allah ni mungu kabla hujafa itakusaidia lakini ukija kujua kuwa Allah ni mungu baada ya kufa andika umeumia
Wewe ndacha unabwabwaja tu huwezi kushindana na Sheikh Shafii hata robo