Kama una Miaka 30 na Kuendelea njooo. Mambo 9 Siwezi fanya katika Umri wangu.

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 27 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 43

  • @salma_salum
    @salma_salum Рік тому +11

    Mambo 9 siwezi kufanya;
    1. Kulazimisha kufit kwenye urafiki
    2. Kuruhusu dharau
    3. Kutopanga matumizi ya pesa
    4. Kujali /Kuangalia watu wengine watasemaje juu ya maisha yako
    5. Kutoa maoni juu ya maisha ya watu wengine
    6. Kuwa na marafiki wengi wa umbea...tengeneza good network
    7. Kufata mkumbo wa mambo yanayofanywa na marafiki
    8. Kutokumjua Mungu
    9. Kugombana kwa kutukanana au vijembe
    Asante 🤝🤝

    • @malkiafoods
      @malkiafoods  Рік тому +2

      Woow. This 🙌 Thanm you for joking them down. Love you

  • @uburizasandra1255
    @uburizasandra1255 Рік тому +1

    ❤❤❤asante nimejifunza vingi kwako kabisa asante dada

  • @ladyt1471
    @ladyt1471 Рік тому +3

    Mimi tatizo langu kubwa kwenye pesa hapo mtu akija kuniomba pesa nampa yaani sijui nikoje jmn huwa nakuwa na huruma sana sijui nimerogwa

    • @theresiashayo2147
      @theresiashayo2147 6 місяців тому +1

      Dear naona mm na ww tukae pamoja najiumizaga sababu ya huruma kwa watu

  • @SelestinaJoshua-pn4zv
    @SelestinaJoshua-pn4zv Рік тому +1

    Da malkia naonaga unaongelea wasichana kuanzia 18,24 na 30 ,mpaka 40, mbona kuanzia miaka 26mpaka 29 huongelei

  • @juditholotu7249
    @juditholotu7249 3 місяці тому

    Very true dear above 30 ni shangazi kabisa lazima uchange ulivyokua ukiishe in 20s

  • @zengeummu9575
    @zengeummu9575 Рік тому +2

    Nimekusikiliza kwa umakini Sana dear! Nimekuelewa na umenijenga Sana leoo Yaani Hadi nimehisi wepesi kwenye maisha yangu, asantee Sana mdogo wangu umenijengaaa kiafya leo💞💞💞💞

  • @fatmakhelef2943
    @fatmakhelef2943 Рік тому +1

    Yani umenipa maisha mapya kipenzi asante sana

  • @winfridamlawa89
    @winfridamlawa89 Рік тому +5

    Me nina miaka 22 lakin nimekuelewa sana dada malkia🥰

  • @jacklinekaini1335
    @jacklinekaini1335 Рік тому +1

    Asante sana …be blessed 🙏

  • @MaryamSuleiman-xs5ph
    @MaryamSuleiman-xs5ph Рік тому +3

    Video hz tunazihitaji sanaa big up sis❤

  • @glorynkini9220
    @glorynkini9220 Рік тому +2

    Dada malkia toka nijue channel yako nilijua ume base kupika tu kumbe na madini kama hayo yaushaur unatoa siko above 30 but nmepata kitu kikubwa sana naomba utufanyie vdeos pia za house tour tujifunze zaid kutoka kwako ubarikiwe mpaka ushangae dada maana hunauchoyo wakile Mungu alichokupa.

  • @ZasamNamwago
    @ZasamNamwago Рік тому

    Thanks love 😘 but voice slow down 🤷🤦

  • @gracelyimo1693
    @gracelyimo1693 Рік тому +2

    Umeongea mpaka umeongea tenaaaaaaa… Loud and Clear sis😘 Thank you

  • @siaurio7382
    @siaurio7382 Рік тому

    Nakupenda sana Dada, ngozi yako inavutia sana unatumia jmni

    • @malkiafoods
      @malkiafoods  Рік тому

      Sante love. Natumia products za kikorea, nenda @smj_store kule Instagram utamuuliza atakusaidia

  • @vivianvincent4303
    @vivianvincent4303 Місяць тому

    ❤❤❤

  • @Maha-fl9qe
    @Maha-fl9qe Рік тому +1

    Masha Allah nakupenda dada .

  • @joycekonga4095
    @joycekonga4095 Рік тому +1

    we need more of this❤❤❤

  • @lucyhaule5779
    @lucyhaule5779 2 місяці тому

    Kukupenda tu ndo najuwa

  • @shufaamohammed9181
    @shufaamohammed9181 Рік тому +2

    darling video ni nzuri naomba tuongezee sauti next time.... upo kama mimi ila kwenye hela jamani naweka list nilinunua nini vileeee ai budget hela naikumbukia hadi ya wiki ilopita😅😅😅😅😅

  • @janethjosephat6986
    @janethjosephat6986 Рік тому +2

    Ur so smart dear ❤❤❤

  • @ashurajengela3926
    @ashurajengela3926 Рік тому +1

    Mywangu sisi wa 25-29 umetusahau cc 😓 ila hii napita nayo cc Asante 😍😍

  • @camillakibanga8267
    @camillakibanga8267 Рік тому

    👏👏👏😘

  • @fooddiarytz
    @fooddiarytz Рік тому

    I’m here listening and taking notes babes ❤

  • @Elizabeth-wf8zd
    @Elizabeth-wf8zd Рік тому +1

    Thank you darling for sharing ❤️❤️❤️

  • @julianagervas5198
    @julianagervas5198 Рік тому

    @our age !! I love you dearly

  • @zulfahussein6784
    @zulfahussein6784 Рік тому

    Nasaha zako ni zuri hila ni bora zaidi uwe sehem zuri yaani kama sebuleni sio jikoni daer

    • @malkiafoods
      @malkiafoods  6 місяців тому

      Kwanini sio jikoni love?

  • @neemamoses5591
    @neemamoses5591 Рік тому

    ❤️❤️