MPINA KUITAFUTA HAKI MAHAKAMANI, HII NDO KAULI YAKE YA KWANZA BAADA YA KUFUKUZWA BUNGENI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 28 чер 2024
  • #uhondotv #uhondo

КОМЕНТАРІ • 131

  • @wemakyagunya1895
    @wemakyagunya1895 Місяць тому +10

    Mungu wa mbinguni akubariki na kukulinda sana katika kipindi hiki unachoendelea kupigania haki za watanzania.❤ Sana my Brother Luhaga Mpina.

  • @stewartmdebe4314
    @stewartmdebe4314 Місяць тому +12

    Ukiwa msema kweli siku zote Utapigwa vita mpina safi

  • @janethtender6774
    @janethtender6774 Місяць тому +12

    Tanzania ndio nchi peke ambayo mwizi analindwa anaemkimbiza anashambuliwa

  • @MusaJuma-jr7wb
    @MusaJuma-jr7wb Місяць тому +5

    Uko vizuri muheshimiwa mpina tunakufatilia sana

  • @dominicfrancis4073
    @dominicfrancis4073 Місяць тому +4

    Respect Mpina Watanzania tupo nawewe 🇹🇿🙏

  • @aloycelaizer2553
    @aloycelaizer2553 Місяць тому +9

    Wa kumshitaki ni spika ila mwambaa kumbuka Ndugai alikuwa na kosa gani kusema tusiwe na Deni kubwa Kisha anashinikizwa ajiuzulu Kwa maslahi ya nchi

    • @kitwanashem3272
      @kitwanashem3272 Місяць тому

      Ndunga mnafiki tu alikuwa anajua mchakato wote wa mkopo na aliubariki alipokwenda kwa wananchi ikabadilika kwa kutaka kiki

  • @cosein
    @cosein Місяць тому +4

    We Kaka nakupenda sana unaipenda nchi yetu

    • @liannsambu7264
      @liannsambu7264 Місяць тому

      Hayo ni maneno ya kwenye mtandao ila anaposhughulikiwa atatumia mwenyewe

  • @laiserkuyan6075
    @laiserkuyan6075 29 днів тому +1

    Mpina mungu Akulinde kweli wewe ni mzalendo wa Taifa letu lakin hao wote walio ungana na uyo spika mkumpavu ya mwanamke tulia kukutoa Bungeni juu ya kutetea hali maisha ya watanzania wanyonge mungu Anawaona lakin wakumbuke walio kuweka hapo mbungeni zio tulia na samia ni wananchi wa jimbo lako 2027 zio mbali watajua Ajui

  • @user-dj8ot7tz4o
    @user-dj8ot7tz4o Місяць тому +3

    Tulia Mpina! Kunyamanza nako ni hekima! Nilidhani unaijua CCM! Hapo ndipo unazidi kuyakanyaga!

  • @user-fx3iy9zr5w
    @user-fx3iy9zr5w Місяць тому +4

    Tunakusubiri upinzanini huku... Maana kwa uhakika hawatarudisha jina lako lipigiwe kura Jimboni kwako...!!

  • @usembiphonedar5632
    @usembiphonedar5632 29 днів тому

    Mpina unaongea ukweli,Mungu wa ahadi za kweli akulinde daima,Amen

  • @sponsor7882
    @sponsor7882 Місяць тому +5

    mpina aende chadema

  • @daudmasanja9483
    @daudmasanja9483 Місяць тому +3

    mheshimiwa acha uongo umefukuzwa kwa sabab ya kushindwa kuheshim bunge kwa kutoa maelezo binafsi ya kuthibitisha waziri anadanganya kwa waandishi wa habar kabla bunge halijasikiliza na kutoa maamuz ya hoja zako

    • @SamwelSimon-tf6oo
      @SamwelSimon-tf6oo Місяць тому +1

      Wewe nawe huelewi

    • @boaziamos1224
      @boaziamos1224 Місяць тому +1

      Unazjua sheria hlo n kossa?
      Na asingesema hayo kwenye vyombo vya habar wwe ungejua alichompelekea huyo spika

  • @peterkerenge9207
    @peterkerenge9207 Місяць тому +1

    mimi nimelelewa kwenye chama,maridhiano ndio nguzo kubwa ya chama chetu,wamuite wamuweke chini kijana maisha ya endelee.

  • @dayanikitambi2085
    @dayanikitambi2085 28 днів тому

    Sema mwamba tunakuelewa mungu atakuongoza

  • @nassibdoma5408
    @nassibdoma5408 27 днів тому

    Allah akupe maisha malefu mpina

  • @Officialjidaa-sn9cs
    @Officialjidaa-sn9cs Місяць тому +1

    Mwamba mipango Iko waziii chadema❤❤❤

  • @hassaniulende-sp6io
    @hassaniulende-sp6io Місяць тому +3

    WAKATI UNAKARIBIA YALE YA KENYA. YAJA ,HAPA TANZANIA MAFISI EMU MTAJUTA MNACHOKIFANYA ENDELEENI

  • @BossiLaizer
    @BossiLaizer Місяць тому +2

    Wengine sio wa kisesesa , lakini tunakuwelewa kuliko kawaida

  • @husseinhemedi9314
    @husseinhemedi9314 Місяць тому +3

    Hiinchi ukionekana unatetea wanyonge unaambiwa unatumia ubabe

  • @user-hh6ij9su9u
    @user-hh6ij9su9u Місяць тому

    Mungu akulinde kipenzi chetu endelea kutupigania

  • @Majambo_Duniani_Tv
    @Majambo_Duniani_Tv Місяць тому

    Hongera sana Mpina

  • @benardsamizi-qo4yp
    @benardsamizi-qo4yp Місяць тому

    M ungu wa HAKI AKUPIGANIE . LUHAGA MPINA HOYEEEE!!!! WATANGANYIKA TUKO NYUMA YAKO TUKOMBOE RASLIMALI ZETU .

  • @DicksonJaphet-fq7ov
    @DicksonJaphet-fq7ov Місяць тому

    Hii haikubaliki Mh,tuko pamoja Wana nchi tunakufuatilia. Nimambo Ya Ajabu Sana 🙏 usiludi nyuma.

  • @abubakarsaid7303
    @abubakarsaid7303 Місяць тому +1

    Pole sana mwamba hiyo ndio ccm tulokua nayo akili kichwani mwako

  • @kalumunakalumuna7403
    @kalumunakalumuna7403 Місяць тому

    Hongera mpina

  • @musakitalala-xf5kl
    @musakitalala-xf5kl 27 днів тому

    mungu akutangulie

  • @norbertmbena5896
    @norbertmbena5896 Місяць тому

    kazi kazi

  • @jackisonmlaari4556
    @jackisonmlaari4556 27 днів тому

    Baba usijali hilo ni jaribu 2 pia ni mapito 2 hivyo yasikufunje moya mwombe mungu na usonge na mbele

  • @SmilingBulldogPuppy-nb9ur
    @SmilingBulldogPuppy-nb9ur Місяць тому

    Mheshimiwa Luaga Mpina Nakupa Saluti Wewe ni Mtanzania Kwelikweli sio mkimbizi kama bashe, Tena Wewe Ni Mtu Na Robo Tatu,Chapa Kazi JEHOVAH MUNGU Yupo Nawe Na Mimi Nakuombea Sana.

  • @MwinyijumaThomas-rp4sz
    @MwinyijumaThomas-rp4sz Місяць тому

    Huku mpina kule Msigwa sijui ni chama Gani kinatenda haki🤔

  • @samsonhamery3809
    @samsonhamery3809 Місяць тому

    Ole wao wasiporudisha jina lako uchaguzi ujao 2025 sisi na Mpina pote atapokuwepo walimbana Ndugai akanywea wamezoea Bunge la wafanya biashara na mabepari litafilisi nchi yetu

  • @paulombay6884
    @paulombay6884 Місяць тому +2

    Tuko pamoja ,twende tumshitaki bashe

  • @sofiamsuya2254
    @sofiamsuya2254 Місяць тому

    I like 🇰🇪

  • @user-qq1fr2vd2v
    @user-qq1fr2vd2v Місяць тому

    MPINA 🔥🔥🔥🔥

  • @djumakadege659
    @djumakadege659 Місяць тому

    Hii nchi ya Tanzania kuna vituko vingi sana !!!
    waandishi wa habari wanapiga makofi baada Mheshimiwa Mpina kumaliza kuongea !😂
    MwenyeziMungu tusaidie.

  • @emanuelmchelemi2428
    @emanuelmchelemi2428 27 днів тому

    Pambana mpina siyo kuna wabunge kazi yao ni kupiga makofi tu na kuunga mkono kwa kila kitu mzarendo wa kweli

  • @user-pw2rl5zs1v
    @user-pw2rl5zs1v Місяць тому

    Hyu jamAA Anaongea point sana ila kuna wabunge wajuaji wanaoleta mamb yaajabu

  • @BossiLaizer
    @BossiLaizer Місяць тому

    Ukweli unagezwa dhambi Tz. Mungu atakutetea

  • @sondajohn1371
    @sondajohn1371 Місяць тому

    Pamoja mliambiw wakmalza kushulikia wapnzan mtakulana wenyewe

  • @fredrickyakobo
    @fredrickyakobo Місяць тому

    Ahahaha 😂😂😂 Mpina uko vizuri kwa kwel ila kumbuka ndani ya chama chako cha CCM ukiwa mkweli lazima upigwe spana

  • @kambamazig02024
    @kambamazig02024 Місяць тому

    So sad!

  • @RenaldaZeramula
    @RenaldaZeramula Місяць тому

    Nakushauri uwachane nao.

  • @user-wu2du6jy5c
    @user-wu2du6jy5c Місяць тому

    Hamna hapo umewafilisi wafanya biashara wa samaki nawenye walikua wanamungu

  • @severamtungi7036
    @severamtungi7036 Місяць тому

    Achana na Siasa kaka watakuuwa ,hii ni nchi yao sisi wote wakimbizi

  • @user-wu2du6jy5c
    @user-wu2du6jy5c Місяць тому

    Ata kulima nikazi maslai yanalleta shida

  • @OmarMohamed-bs2hf
    @OmarMohamed-bs2hf 28 днів тому

    Wapeleke

  • @samwelshepa8443
    @samwelshepa8443 Місяць тому +1

    Chini ya uongozi wa CCM au? Ninachoamini watacopy matokeo ya kamati.

  • @MussaBundala-yg8nw
    @MussaBundala-yg8nw Місяць тому

    Mungu atakusimamia ingia cotini kakaaaa

    • @mungatandassa5453
      @mungatandassa5453 Місяць тому

      Brother mpina usivunjike moyo tuko pamoja na ww ..

  • @hassanmitayo1875
    @hassanmitayo1875 Місяць тому

    Kukosoana kupitia vyombo vya habari sio utamaduni wa CCM, kwa kuwa umefikia hapo jivue ubunge ugombee kupitia chama kingine tena kisicho maarufu ili ushinde na kuthibitisha nguvu zako, nilitegemea utamshitaki spika kwenye chama chenu, kwa kuwa unakwenda mahakamani tunasubiri matokeo na tafasiri ya mihimili mitatu.

  • @user-uh3eg5cj2r
    @user-uh3eg5cj2r Місяць тому

    Mzee baba swala la kusimamia kweli sio jambo rahisi brother! Umegusa jambo ambalo wengi wagopa wewe USIOGOPE tuko pamoja!

  • @simonchristian6319
    @simonchristian6319 Місяць тому

    Huyu jamaa anauchungu sana nchi

  • @user-ie2sr4fi4k
    @user-ie2sr4fi4k Місяць тому +3

    Mpina wewe ulichoma nyavu za watu ukiwa wazili wa uvuvi wengne walifaliki ila malipo ni bapa hapa

    • @MathewNathan-yb2bz
      @MathewNathan-yb2bz Місяць тому

      Yeye alifuata sheria ww kilaza,hakuvunja sheria yoyote.

    • @hassanmitayo1875
      @hassanmitayo1875 Місяць тому

      ​@@MathewNathan-yb2bzkwa habari ya nyavu wengi walionewa, hata ng'ombe ilikuwa walikamatwa Leo kesho yake gari linawachukua kuwa wameshauzwa kabla ya hukumu, tunaishi huku usikatae

    • @MathewNathan-yb2bz
      @MathewNathan-yb2bz Місяць тому

      @@hassanmitayo1875 inawezekana alikosea kidogo tu tena kwa bahati mbaya tu ila mimi ninavyojua alifuata sheria.Unakumbuka magufuli alipokuwa kwenye wizara hiyo aliitia nchi hasara kubwa na kusababisha nchi kulipa mabilioni ya fedha kwenye kampuni moja ya uvuvi ya china baada ya kuchukua maamuzi ya kukurupuka.Mpina hakuitia nchi hasara.Hata hivyo haimzuii Mpina kuibua madudu pale penye madudu.

    • @selemaniigosha
      @selemaniigosha Місяць тому

      Ww kondoo, kwa nn hukumpeleka mahakaman?

    • @hassanmitayo1875
      @hassanmitayo1875 Місяць тому

      @@selemaniigosha jamii fulani ya wanyama huwa na lugha moja, sasa wewe kondoo mwenzangu uwe unatumia vizuri akili zako, usiwaamini sana wanasiasa mwingine leo katoka Chadema kaingia CCM, wanasiasa ni kama wanyama walao nyama, hivyo kondoo mwenzangu usiwe ng'wana byula uwe ng'wana kengela

  • @jonathanakhabuhaya1693
    @jonathanakhabuhaya1693 Місяць тому

    naona umeamua kuiburuza mahakamani mihimili miwili inayoongozwa na wanawake.Sasa unajaribu mhimili unaoongozwa na mwanaume.Hebu tuone kama utaamua tofauti na ile ya wanawake.

  • @khadijanurdin3163
    @khadijanurdin3163 Місяць тому

    Anajitoa ufahamu na kupotosha,alipokosa kuita press wakat jambo lipo kwenye kamati ya bunge ya jambo hlo

  • @nathanlusulo-po2lj
    @nathanlusulo-po2lj Місяць тому

    Kuweni kama wakenya

  • @kambamazig02024
    @kambamazig02024 Місяць тому

    Gombea urais, nchi inahitaji kuangalia wananchi wake.

  • @noahirst914
    @noahirst914 Місяць тому

    Mbona huyu jama wakati alikuwa waziri wa mifugo na uvuvi aliboranga vibaya Sana. Watu walipigwa faini shillingi millioni tatu hadi millioni tano kwa kasifirisha kuku mmoja na samaki,kadha. alichoma nyavu na boti za wavuvi. Aliwaingiza wavuvi kanda ya ziwa katika umaskini.

  • @fredrickshantiwa9710
    @fredrickshantiwa9710 Місяць тому

    Ningekuwa Rais mpina ningemuingiza kwenye baraza la uwaziri moja kwa moja.ili tuoane yeye anaweza kufanya vyema

  • @user-ij2lp1om6i
    @user-ij2lp1om6i Місяць тому

    Aende mahakamani

  • @boaziamos1224
    @boaziamos1224 Місяць тому

    Mpina anaongea kama utani vile lakn kamaliza
    Na hurudii maneno

  • @AhmedAli-gh1lm
    @AhmedAli-gh1lm Місяць тому

    CCM wana kazi ndogo tu. Kukufukuza uanachama wa CCM na kupoteza ubunge wako. CCM Wamemaliza mchezo.

  • @gracebwimbo1889
    @gracebwimbo1889 Місяць тому

    HATA WAPAMBANE NAWR KWA KILA AUNA YA MBINU ZA KUKUDHOOFISHA WATANZANIA WANAJUA MBIVU NA MBICHI .HUU SI WAKATI WA NDIO MZER KIKA MTU ANAUHURU WA KUTETEA WANANCHI NA KUPINGA MIPANGO MIBOVU INAYOUMIZA RAIA .HONGERA MPINA NATHUBUTU KUSEMA SHUJAA MPINA.

  • @dottomabula7253
    @dottomabula7253 Місяць тому

    Jamaa ana akili nyingi

  • @godfreyfrugence4176
    @godfreyfrugence4176 Місяць тому

    Kiukwel nimeumia san lakin ipo siku

  • @twahakabajemi9716
    @twahakabajemi9716 Місяць тому

    Nenda tu mahakamani

  • @JosephManginja
    @JosephManginja Місяць тому

    CCM wote wezi mkombozi uliobaki ni wewee mpina namkumbuka sana mzee ngosha.

  • @wemakyagunya1895
    @wemakyagunya1895 Місяць тому

    Nina imani na wewe Kaka mkubwa endelea kusimamia ukweli Mungu atasimama na wewe daima kweli haijawahi kushindwa elekeza nguvu yako huko kwa watafasiri wa Sheria tuone kama nako watapindisha sheria!!
    Hauna kosa Kaka umeonewa tu kutokana na Ubabe wa Viongozi wetu.

  • @patricknyiti5303
    @patricknyiti5303 Місяць тому

    Hamia upinzani kama hukubaliani na chama chako tafadhali

  • @khadijanurdin3163
    @khadijanurdin3163 Місяць тому

    Kikokotoo wala hakujafurahiwa kwa 40% hzo

  • @gabapentin8070
    @gabapentin8070 Місяць тому

    Kwann hii nnchi ukiwa msema kwli unaonekana kiherehere unaonekana mjinga unaonekana unaongea vitu usivyovijua kwanini tanzania tumekua ivi !!?😡

  • @ngambikomsu64
    @ngambikomsu64 Місяць тому

    Hata ukishtaki, wakiamua wataamua wanavyotaka sisi WANANCHI tunakuelewa . Achana nao hawatatenda haki?

  • @kitwanashem3272
    @kitwanashem3272 Місяць тому

    Wewe bwana una chuki binafsi kwa baadhi ya mawaziri kipindi chako cha uwaziri uliwavuruga sana wavuvi. Wacha kutaka huruma kutoka kwa watz.

    • @yokoi3970
      @yokoi3970 Місяць тому

      Mshamba ww tena fucken ww

  • @TradersEasyWay
    @TradersEasyWay Місяць тому

    TUMPE SUPPORT ILI HAWAPIGE SPANA WEZI HAO

  • @kingkendrickk
    @kingkendrickk Місяць тому

    Pole jembe

  • @ZainabuBakari-yb4vj
    @ZainabuBakari-yb4vj Місяць тому

    Kama nyavu zetu za samaki,huku kigoma zilivyomwa ukiwa waziri.tatizo hapo,wakupe hata unaibu

    • @sambulugu9988
      @sambulugu9988 Місяць тому

      Ziwa Tanganyika linafungwa na kukosa samaki!

  • @LuciaMagoli-en7eb
    @LuciaMagoli-en7eb Місяць тому

    Leo nimejua unaweza kuwa msomi lakini kitu kidogo kikakufanya uonekane wakawaida hapo unajidhalilisha tu ata wewe ulipo kuwa waziri wa uvuvi ulifanya madudu

    • @yokoi3970
      @yokoi3970 Місяць тому

      Kwaiyo iwe kitu cha kawaida sbbu na yy akifanya acha ushoga

  • @twahakabajemi9716
    @twahakabajemi9716 Місяць тому

    Kosa lako ni unafiki. Haya yote unayasema baada ya kuwa nje ya baraza la mawaziri?

    • @AlenKinyina
      @AlenKinyina Місяць тому

      Siku zote anasema sema wewe ni mnafiki CCM kenge

  • @twahakabajemi9716
    @twahakabajemi9716 Місяць тому

    Kosa lako ni unafiki

  • @patricknyiti5303
    @patricknyiti5303 Місяць тому

    Wakati wewe na baba yako magufuli mnapima samaki kwa rula watu walipiga kelele hamkusikia ..Sasa unapata wapi ujasiri wa kuwahoji mafusadi wenzako

  • @josephbisare1629
    @josephbisare1629 Місяць тому

    Lema,lisu,Sugu,walifukuzwa miaka mingi bungeni..
    Na hukusema chochote,
    Leo wewe kutimuliwa tu kwa siku chache kelele nyingi

  • @LuciaMagoli-en7eb
    @LuciaMagoli-en7eb Місяць тому

    Hapo unajianika tu watu wa jimboni kwako waanze kuangalia mbunge mwelevu wewe ni mnafiki tu.

  • @nyembobea7285
    @nyembobea7285 Місяць тому

    Acha unafiki wewe mbona wakati wa magu watu walilazimishwa kununuliwa korosho zao mtwara kumbuka hata wewe ulikuwa waziri wa mifugo ulitesa sana watu wewe ulidiriki kupima samaki bungeni kumbe unataka kuendeleza mapambano na sasa wewe ni mwanaharakati basi nenda chadema

    • @fidellujo8362
      @fidellujo8362 Місяць тому

      Ww umefanya nn kwenye nchii hii au kujaza choo

  • @ProsperMwakasungura
    @ProsperMwakasungura Місяць тому

    Huyu hana lolote zaidi ya unafiki.

    • @AlenKinyina
      @AlenKinyina Місяць тому

      Wewe ndo mnafiki kwani anachoongea hapo ni uongo?

    • @ProsperMwakasungura
      @ProsperMwakasungura Місяць тому

      @@AlenKinyina Bila shaka hujui maana ya unafiki. Hivi wewe unadhani shetani hamjui MUNGU? Anamkubali na kumdhirisha kuwa MUNGU yupo. Ila atabaki muasi vilevile daima.

  • @mzalendomzalendo2567
    @mzalendomzalendo2567 Місяць тому

    WAKATI ULIKUWA UNAPIMA SAMAKI KWA RULA ULIKUWA UNASIMAMIA HAKI YA WAVUVI AU

  • @songamberetv2219
    @songamberetv2219 Місяць тому +2

    Kosa ulifanya ni kwamba ulitowa kashifa kwa waziri bashe spika kakwambia utowe ushaidi kama sheria ya bunge inavyosema wewe ukaenda kwenye mitandao kutowa ushaidi hatakama una ukweli lakini lazima ueshimu sheria za bunge

  • @gulalakitinya7615
    @gulalakitinya7615 Місяць тому

    Pamoja na kukuunga mkono kwenye kulieleza taifa ufisadi wa huyo Msomali lakini wakati ukiwa waziri serikali ya mwehu mwenzako,unayakumbuka madudu yako?

  • @ProsperMwakasungura
    @ProsperMwakasungura Місяць тому +1

    Wewe Mpina acha unafiki, wewe kutolewa tu bungeni unalalamika. Mbona hujawahi kemea makubwa wanayotendewa wengine. Unajifanya huelewi wewe endelea na ujinga wako.

  • @NicholausZongo
    @NicholausZongo Місяць тому

    Kapime samaki mjinga