Mpina mungu Akulinde kweli wewe ni mzalendo wa Taifa letu lakin hao wote walio ungana na uyo spika mkumpavu ya mwanamke tulia kukutoa Bungeni juu ya kutetea hali maisha ya watanzania wanyonge mungu Anawaona lakin wakumbuke walio kuweka hapo mbungeni zio tulia na samia ni wananchi wa jimbo lako 2027 zio mbali watajua Ajui
mheshimiwa acha uongo umefukuzwa kwa sabab ya kushindwa kuheshim bunge kwa kutoa maelezo binafsi ya kuthibitisha waziri anadanganya kwa waandishi wa habar kabla bunge halijasikiliza na kutoa maamuz ya hoja zako
Mheshimiwa Luaga Mpina Nakupa Saluti Wewe ni Mtanzania Kwelikweli sio mkimbizi kama bashe, Tena Wewe Ni Mtu Na Robo Tatu,Chapa Kazi JEHOVAH MUNGU Yupo Nawe Na Mimi Nakuombea Sana.
Ole wao wasiporudisha jina lako uchaguzi ujao 2025 sisi na Mpina pote atapokuwepo walimbana Ndugai akanywea wamezoea Bunge la wafanya biashara na mabepari litafilisi nchi yetu
Kukosoana kupitia vyombo vya habari sio utamaduni wa CCM, kwa kuwa umefikia hapo jivue ubunge ugombee kupitia chama kingine tena kisicho maarufu ili ushinde na kuthibitisha nguvu zako, nilitegemea utamshitaki spika kwenye chama chenu, kwa kuwa unakwenda mahakamani tunasubiri matokeo na tafasiri ya mihimili mitatu.
@@MathewNathan-yb2bzkwa habari ya nyavu wengi walionewa, hata ng'ombe ilikuwa walikamatwa Leo kesho yake gari linawachukua kuwa wameshauzwa kabla ya hukumu, tunaishi huku usikatae
@@hassanmitayo1875 inawezekana alikosea kidogo tu tena kwa bahati mbaya tu ila mimi ninavyojua alifuata sheria.Unakumbuka magufuli alipokuwa kwenye wizara hiyo aliitia nchi hasara kubwa na kusababisha nchi kulipa mabilioni ya fedha kwenye kampuni moja ya uvuvi ya china baada ya kuchukua maamuzi ya kukurupuka.Mpina hakuitia nchi hasara.Hata hivyo haimzuii Mpina kuibua madudu pale penye madudu.
@@selemaniigosha jamii fulani ya wanyama huwa na lugha moja, sasa wewe kondoo mwenzangu uwe unatumia vizuri akili zako, usiwaamini sana wanasiasa mwingine leo katoka Chadema kaingia CCM, wanasiasa ni kama wanyama walao nyama, hivyo kondoo mwenzangu usiwe ng'wana byula uwe ng'wana kengela
naona umeamua kuiburuza mahakamani mihimili miwili inayoongozwa na wanawake.Sasa unajaribu mhimili unaoongozwa na mwanaume.Hebu tuone kama utaamua tofauti na ile ya wanawake.
Mbona huyu jama wakati alikuwa waziri wa mifugo na uvuvi aliboranga vibaya Sana. Watu walipigwa faini shillingi millioni tatu hadi millioni tano kwa kasifirisha kuku mmoja na samaki,kadha. alichoma nyavu na boti za wavuvi. Aliwaingiza wavuvi kanda ya ziwa katika umaskini.
HATA WAPAMBANE NAWR KWA KILA AUNA YA MBINU ZA KUKUDHOOFISHA WATANZANIA WANAJUA MBIVU NA MBICHI .HUU SI WAKATI WA NDIO MZER KIKA MTU ANAUHURU WA KUTETEA WANANCHI NA KUPINGA MIPANGO MIBOVU INAYOUMIZA RAIA .HONGERA MPINA NATHUBUTU KUSEMA SHUJAA MPINA.
Nina imani na wewe Kaka mkubwa endelea kusimamia ukweli Mungu atasimama na wewe daima kweli haijawahi kushindwa elekeza nguvu yako huko kwa watafasiri wa Sheria tuone kama nako watapindisha sheria!! Hauna kosa Kaka umeonewa tu kutokana na Ubabe wa Viongozi wetu.
Leo nimejua unaweza kuwa msomi lakini kitu kidogo kikakufanya uonekane wakawaida hapo unajidhalilisha tu ata wewe ulipo kuwa waziri wa uvuvi ulifanya madudu
Acha unafiki wewe mbona wakati wa magu watu walilazimishwa kununuliwa korosho zao mtwara kumbuka hata wewe ulikuwa waziri wa mifugo ulitesa sana watu wewe ulidiriki kupima samaki bungeni kumbe unataka kuendeleza mapambano na sasa wewe ni mwanaharakati basi nenda chadema
@@AlenKinyina Bila shaka hujui maana ya unafiki. Hivi wewe unadhani shetani hamjui MUNGU? Anamkubali na kumdhirisha kuwa MUNGU yupo. Ila atabaki muasi vilevile daima.
Kosa ulifanya ni kwamba ulitowa kashifa kwa waziri bashe spika kakwambia utowe ushaidi kama sheria ya bunge inavyosema wewe ukaenda kwenye mitandao kutowa ushaidi hatakama una ukweli lakini lazima ueshimu sheria za bunge
Pamoja na kukuunga mkono kwenye kulieleza taifa ufisadi wa huyo Msomali lakini wakati ukiwa waziri serikali ya mwehu mwenzako,unayakumbuka madudu yako?
Mungu wa mbinguni akubariki na kukulinda sana katika kipindi hiki unachoendelea kupigania haki za watanzania.❤ Sana my Brother Luhaga Mpina.
Ukiwa msema kweli siku zote Utapigwa vita mpina safi
Tanzania ndio nchi peke ambayo mwizi analindwa anaemkimbiza anashambuliwa
Huo ndo ukweli
@@yusufujemson9020kabisa hii nchi sijui inaenda wapi
Uko vizuri muheshimiwa mpina tunakufatilia sana
Respect Mpina Watanzania tupo nawewe 🇹🇿🙏
Wa kumshitaki ni spika ila mwambaa kumbuka Ndugai alikuwa na kosa gani kusema tusiwe na Deni kubwa Kisha anashinikizwa ajiuzulu Kwa maslahi ya nchi
Ndunga mnafiki tu alikuwa anajua mchakato wote wa mkopo na aliubariki alipokwenda kwa wananchi ikabadilika kwa kutaka kiki
We Kaka nakupenda sana unaipenda nchi yetu
Hayo ni maneno ya kwenye mtandao ila anaposhughulikiwa atatumia mwenyewe
Mpina mungu Akulinde kweli wewe ni mzalendo wa Taifa letu lakin hao wote walio ungana na uyo spika mkumpavu ya mwanamke tulia kukutoa Bungeni juu ya kutetea hali maisha ya watanzania wanyonge mungu Anawaona lakin wakumbuke walio kuweka hapo mbungeni zio tulia na samia ni wananchi wa jimbo lako 2027 zio mbali watajua Ajui
Tulia Mpina! Kunyamanza nako ni hekima! Nilidhani unaijua CCM! Hapo ndipo unazidi kuyakanyaga!
Hakuna lolote Mungu ndiye mpangaji wa yote
Tunakusubiri upinzanini huku... Maana kwa uhakika hawatarudisha jina lako lipigiwe kura Jimboni kwako...!!
Mpina unaongea ukweli,Mungu wa ahadi za kweli akulinde daima,Amen
mpina aende chadema
mheshimiwa acha uongo umefukuzwa kwa sabab ya kushindwa kuheshim bunge kwa kutoa maelezo binafsi ya kuthibitisha waziri anadanganya kwa waandishi wa habar kabla bunge halijasikiliza na kutoa maamuz ya hoja zako
Wewe nawe huelewi
Unazjua sheria hlo n kossa?
Na asingesema hayo kwenye vyombo vya habar wwe ungejua alichompelekea huyo spika
mimi nimelelewa kwenye chama,maridhiano ndio nguzo kubwa ya chama chetu,wamuite wamuweke chini kijana maisha ya endelee.
Sema mwamba tunakuelewa mungu atakuongoza
Allah akupe maisha malefu mpina
Mwamba mipango Iko waziii chadema❤❤❤
WAKATI UNAKARIBIA YALE YA KENYA. YAJA ,HAPA TANZANIA MAFISI EMU MTAJUTA MNACHOKIFANYA ENDELEENI
Kabisa aisee
Wengine sio wa kisesesa , lakini tunakuwelewa kuliko kawaida
Hiinchi ukionekana unatetea wanyonge unaambiwa unatumia ubabe
Mungu akulinde kipenzi chetu endelea kutupigania
Hongera sana Mpina
M ungu wa HAKI AKUPIGANIE . LUHAGA MPINA HOYEEEE!!!! WATANGANYIKA TUKO NYUMA YAKO TUKOMBOE RASLIMALI ZETU .
Hii haikubaliki Mh,tuko pamoja Wana nchi tunakufuatilia. Nimambo Ya Ajabu Sana 🙏 usiludi nyuma.
Pole sana mwamba hiyo ndio ccm tulokua nayo akili kichwani mwako
Hongera mpina
mungu akutangulie
kazi kazi
Baba usijali hilo ni jaribu 2 pia ni mapito 2 hivyo yasikufunje moya mwombe mungu na usonge na mbele
Mheshimiwa Luaga Mpina Nakupa Saluti Wewe ni Mtanzania Kwelikweli sio mkimbizi kama bashe, Tena Wewe Ni Mtu Na Robo Tatu,Chapa Kazi JEHOVAH MUNGU Yupo Nawe Na Mimi Nakuombea Sana.
Huku mpina kule Msigwa sijui ni chama Gani kinatenda haki🤔
Ole wao wasiporudisha jina lako uchaguzi ujao 2025 sisi na Mpina pote atapokuwepo walimbana Ndugai akanywea wamezoea Bunge la wafanya biashara na mabepari litafilisi nchi yetu
Tuko pamoja ,twende tumshitaki bashe
Na spika pia
I like 🇰🇪
MPINA 🔥🔥🔥🔥
Hii nchi ya Tanzania kuna vituko vingi sana !!!
waandishi wa habari wanapiga makofi baada Mheshimiwa Mpina kumaliza kuongea !😂
MwenyeziMungu tusaidie.
Pambana mpina siyo kuna wabunge kazi yao ni kupiga makofi tu na kuunga mkono kwa kila kitu mzarendo wa kweli
Hyu jamAA Anaongea point sana ila kuna wabunge wajuaji wanaoleta mamb yaajabu
Ukweli unagezwa dhambi Tz. Mungu atakutetea
Pamoja mliambiw wakmalza kushulikia wapnzan mtakulana wenyewe
Ahahaha 😂😂😂 Mpina uko vizuri kwa kwel ila kumbuka ndani ya chama chako cha CCM ukiwa mkweli lazima upigwe spana
So sad!
Nakushauri uwachane nao.
Hamna hapo umewafilisi wafanya biashara wa samaki nawenye walikua wanamungu
Achana na Siasa kaka watakuuwa ,hii ni nchi yao sisi wote wakimbizi
Ata kulima nikazi maslai yanalleta shida
Wapeleke
Chini ya uongozi wa CCM au? Ninachoamini watacopy matokeo ya kamati.
Mungu atakusimamia ingia cotini kakaaaa
Brother mpina usivunjike moyo tuko pamoja na ww ..
Kukosoana kupitia vyombo vya habari sio utamaduni wa CCM, kwa kuwa umefikia hapo jivue ubunge ugombee kupitia chama kingine tena kisicho maarufu ili ushinde na kuthibitisha nguvu zako, nilitegemea utamshitaki spika kwenye chama chenu, kwa kuwa unakwenda mahakamani tunasubiri matokeo na tafasiri ya mihimili mitatu.
Mzee baba swala la kusimamia kweli sio jambo rahisi brother! Umegusa jambo ambalo wengi wagopa wewe USIOGOPE tuko pamoja!
Huyu jamaa anauchungu sana nchi
Mpina wewe ulichoma nyavu za watu ukiwa wazili wa uvuvi wengne walifaliki ila malipo ni bapa hapa
Yeye alifuata sheria ww kilaza,hakuvunja sheria yoyote.
@@MathewNathan-yb2bzkwa habari ya nyavu wengi walionewa, hata ng'ombe ilikuwa walikamatwa Leo kesho yake gari linawachukua kuwa wameshauzwa kabla ya hukumu, tunaishi huku usikatae
@@hassanmitayo1875 inawezekana alikosea kidogo tu tena kwa bahati mbaya tu ila mimi ninavyojua alifuata sheria.Unakumbuka magufuli alipokuwa kwenye wizara hiyo aliitia nchi hasara kubwa na kusababisha nchi kulipa mabilioni ya fedha kwenye kampuni moja ya uvuvi ya china baada ya kuchukua maamuzi ya kukurupuka.Mpina hakuitia nchi hasara.Hata hivyo haimzuii Mpina kuibua madudu pale penye madudu.
Ww kondoo, kwa nn hukumpeleka mahakaman?
@@selemaniigosha jamii fulani ya wanyama huwa na lugha moja, sasa wewe kondoo mwenzangu uwe unatumia vizuri akili zako, usiwaamini sana wanasiasa mwingine leo katoka Chadema kaingia CCM, wanasiasa ni kama wanyama walao nyama, hivyo kondoo mwenzangu usiwe ng'wana byula uwe ng'wana kengela
naona umeamua kuiburuza mahakamani mihimili miwili inayoongozwa na wanawake.Sasa unajaribu mhimili unaoongozwa na mwanaume.Hebu tuone kama utaamua tofauti na ile ya wanawake.
Anajitoa ufahamu na kupotosha,alipokosa kuita press wakat jambo lipo kwenye kamati ya bunge ya jambo hlo
Jiongeze weewe
Kuweni kama wakenya
Gombea urais, nchi inahitaji kuangalia wananchi wake.
Mbona huyu jama wakati alikuwa waziri wa mifugo na uvuvi aliboranga vibaya Sana. Watu walipigwa faini shillingi millioni tatu hadi millioni tano kwa kasifirisha kuku mmoja na samaki,kadha. alichoma nyavu na boti za wavuvi. Aliwaingiza wavuvi kanda ya ziwa katika umaskini.
Ningekuwa Rais mpina ningemuingiza kwenye baraza la uwaziri moja kwa moja.ili tuoane yeye anaweza kufanya vyema
Aende mahakamani
Mpina anaongea kama utani vile lakn kamaliza
Na hurudii maneno
CCM wana kazi ndogo tu. Kukufukuza uanachama wa CCM na kupoteza ubunge wako. CCM Wamemaliza mchezo.
HATA WAPAMBANE NAWR KWA KILA AUNA YA MBINU ZA KUKUDHOOFISHA WATANZANIA WANAJUA MBIVU NA MBICHI .HUU SI WAKATI WA NDIO MZER KIKA MTU ANAUHURU WA KUTETEA WANANCHI NA KUPINGA MIPANGO MIBOVU INAYOUMIZA RAIA .HONGERA MPINA NATHUBUTU KUSEMA SHUJAA MPINA.
Jamaa ana akili nyingi
Kiukwel nimeumia san lakin ipo siku
Nenda tu mahakamani
CCM wote wezi mkombozi uliobaki ni wewee mpina namkumbuka sana mzee ngosha.
Nina imani na wewe Kaka mkubwa endelea kusimamia ukweli Mungu atasimama na wewe daima kweli haijawahi kushindwa elekeza nguvu yako huko kwa watafasiri wa Sheria tuone kama nako watapindisha sheria!!
Hauna kosa Kaka umeonewa tu kutokana na Ubabe wa Viongozi wetu.
Hamia upinzani kama hukubaliani na chama chako tafadhali
Kikokotoo wala hakujafurahiwa kwa 40% hzo
Kwann hii nnchi ukiwa msema kwli unaonekana kiherehere unaonekana mjinga unaonekana unaongea vitu usivyovijua kwanini tanzania tumekua ivi !!?😡
Hata ukishtaki, wakiamua wataamua wanavyotaka sisi WANANCHI tunakuelewa . Achana nao hawatatenda haki?
Wewe bwana una chuki binafsi kwa baadhi ya mawaziri kipindi chako cha uwaziri uliwavuruga sana wavuvi. Wacha kutaka huruma kutoka kwa watz.
Mshamba ww tena fucken ww
TUMPE SUPPORT ILI HAWAPIGE SPANA WEZI HAO
Pole jembe
Kama nyavu zetu za samaki,huku kigoma zilivyomwa ukiwa waziri.tatizo hapo,wakupe hata unaibu
Ziwa Tanganyika linafungwa na kukosa samaki!
Leo nimejua unaweza kuwa msomi lakini kitu kidogo kikakufanya uonekane wakawaida hapo unajidhalilisha tu ata wewe ulipo kuwa waziri wa uvuvi ulifanya madudu
Kwaiyo iwe kitu cha kawaida sbbu na yy akifanya acha ushoga
Kosa lako ni unafiki. Haya yote unayasema baada ya kuwa nje ya baraza la mawaziri?
Siku zote anasema sema wewe ni mnafiki CCM kenge
Kosa lako ni unafiki
Kalia chuma
Wakati wewe na baba yako magufuli mnapima samaki kwa rula watu walipiga kelele hamkusikia ..Sasa unapata wapi ujasiri wa kuwahoji mafusadi wenzako
Lema,lisu,Sugu,walifukuzwa miaka mingi bungeni..
Na hukusema chochote,
Leo wewe kutimuliwa tu kwa siku chache kelele nyingi
Mwanaume kujipambania
Walitakiwa nao kujipambania
Hapo unajianika tu watu wa jimboni kwako waanze kuangalia mbunge mwelevu wewe ni mnafiki tu.
Kalia kiti
We chawa tulia acha aseme ukweli
Acha unafiki wewe mbona wakati wa magu watu walilazimishwa kununuliwa korosho zao mtwara kumbuka hata wewe ulikuwa waziri wa mifugo ulitesa sana watu wewe ulidiriki kupima samaki bungeni kumbe unataka kuendeleza mapambano na sasa wewe ni mwanaharakati basi nenda chadema
Ww umefanya nn kwenye nchii hii au kujaza choo
Huyu hana lolote zaidi ya unafiki.
Wewe ndo mnafiki kwani anachoongea hapo ni uongo?
@@AlenKinyina Bila shaka hujui maana ya unafiki. Hivi wewe unadhani shetani hamjui MUNGU? Anamkubali na kumdhirisha kuwa MUNGU yupo. Ila atabaki muasi vilevile daima.
WAKATI ULIKUWA UNAPIMA SAMAKI KWA RULA ULIKUWA UNASIMAMIA HAKI YA WAVUVI AU
Kosa ulifanya ni kwamba ulitowa kashifa kwa waziri bashe spika kakwambia utowe ushaidi kama sheria ya bunge inavyosema wewe ukaenda kwenye mitandao kutowa ushaidi hatakama una ukweli lakini lazima ueshimu sheria za bunge
Hilo sio kosa
Ofcourse but why bashe achunguzwi? Yupo tu
Ww hujui kitu tulia
@@MathewNathan-yb2bz nini sasa 🤣
@@fidellujo8362 haya tufahamishe sasa wew
Pamoja na kukuunga mkono kwenye kulieleza taifa ufisadi wa huyo Msomali lakini wakati ukiwa waziri serikali ya mwehu mwenzako,unayakumbuka madudu yako?
Madudu yake yapi?
Wewe Mpina acha unafiki, wewe kutolewa tu bungeni unalalamika. Mbona hujawahi kemea makubwa wanayotendewa wengine. Unajifanya huelewi wewe endelea na ujinga wako.
Kapime samaki mjinga
Sasa ujinga unatokea wapi jamani????😊