Kisugu uko sahihi kabisa.Tuombe tu tupate usijali mzuri sio tunawasijili wanakuja vizuri toka kwai baada ya muda wachezaji wanakua wa ovyo:wanashuka kiwango chao tunachowasifia. Simba nguvu moya❤❤❤❤🎉🎉🎉
Kwausajili upi mnajifariji tu nyinyi mwakahuu chama pekeake atawafunga tano hatamsajili vip hamtapata tena mchezaji Kama chama Mimi haomnao wasajili sijamuona hatammoja afanane na chama nyinyi mmezowea machawa wa Simba kuwadanganya mashabiki wa Simba waliokuja kwanza mliwasifia hivohivo hakuna Kama chama
SIMBA nguvu MOJA 💪
Kwa msimu ujao kazi nzuri Sana kwa sajiri zinazoendelea sahiv. MPANZU Lin jaman anatua MSIMBAZI
✍️ Mabetu &Co
Kweli kaka kisugu unaongea vzr na point simba tunaijenga upya naamini tutakuwa vzr et
Kisugu uko sahihi kabisa.Tuombe tu tupate usijali mzuri sio tunawasijili wanakuja vizuri toka kwai baada ya muda wachezaji wanakua wa ovyo:wanashuka kiwango chao tunachowasifia. Simba nguvu moya❤❤❤❤🎉🎉🎉
sawa kaka dua tu
Chama babu aende tu uwa Hawa ngai wakifika utopolo
SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Simba nguvu moja
Safi raha badaye machungu
😮said huwezi ukaelewa maana we utopolo
Kwa wachezaji nakupongeza ila kwa viongizi hasa nangungu wako sitajakuunga mkono abadani
Nikwelikisungu,tumefirahiwanasimba
Ongea Baba.
Shida ya huyu mwamba ni mwongo
Jamaa anailazimisha furaha😂😂😂😂
Chama ni nani chama alishamaliza Simba nguvu zake yanga anakwenda kupumzika tu anajipya
🎉ongea baba ongeaaaaaa
Kwausajili upi mnajifariji tu nyinyi mwakahuu chama pekeake atawafunga tano hatamsajili vip hamtapata tena mchezaji Kama chama Mimi haomnao wasajili sijamuona hatammoja afanane na chama nyinyi mmezowea machawa wa Simba kuwadanganya mashabiki wa Simba waliokuja kwanza mliwasifia hivohivo hakuna Kama chama
we kisugu Acha kum underate chama;
matusi peleka kwenu mwehu mkubwa usikute wew ni shoga
Ajatukana mbona amesema kumu underet maana yake Ni kumchukulia poa poa
Patachimbika meakani
Chuma hijo kimewadia simba
tusha wazoea wakina bii vijola
M o m
Joshua mutale. M
Omari diakite . O
Stephen mukwala from congo
M. O . M
P
Wewe ni nani? Simba?
MEMKWA
Acha kumuongelea vibaya Chama mpumbavu ww
Chama kitu gan ww duka tu lile,ana mwanzo tu ila mwisho wake mbaya!....hahahahahaha“aa
Makocha wa simba ni wengi ndiyo maana benchika ameshindwa
Wewe nani
Hap nikwer
Simb yamoto inakuja
Ukiona mara nyingi ukiongea unazomewa tambua unaongea uchafu
uyu nae anachongeaga ata simuwere wagi ana ongea umbavu gani apo sasa
Inategemea ubongo una uwezo gani wa kuelewa saaa huelewi nn au utopolo hamuelewagi
toka lini utopolooo mkawa waelewa